DCEA YAPOKEA VIFAA VYA KISASA KUTOKA UNODC KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imepokea vifaa vya kisasa vya uchunguzi wa kimaabara…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imepokea vifaa vya kisasa vya uchunguzi wa kimaabara…
NIRC Dodoma. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imefanya tafrija ya mwaka wa fedha 2025/26 huku ikitoa wito kwa watumishi kuongeza umoja, mshikamano na uwajibikaji…
Chama cha Wafanyakazi Serikali za Mitaa (TALGWU), tawi la RUWASA, kimefanya mkutano mkuu wa uchaguzi wa viongozi wapya ambapo Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Mhandisi…
Rais wa Taasisi ya Wanaume Tanzania (Men at work Global) Maxwell Shing’oma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Jijini Mwanza ……… Na Hellen…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibiti JUMLA ya miradi nane yenye thamani ya shilingi bilioni 3.916 imepitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Kibiti, mkoani…
●Ni kuepukana na mifumo ya utoroshaji madini ●Kuzingatia Utunzaji wa mazingira ●Ulinzi wa Wachimbaji Wadogo Dodoma Viongozi wa Wachimbaji Wadogo wa Shirikisho la Wachimbaji…
NA DENIS MLOWE,IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amezindua rasmi bonanza kubwa la watumishi lililofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu Kishiriki cha…
Baadhi ya walimu wanawake ambao ni wanachama wa Chama cha walimu(CWT)walioshiriki bonanza la michezo wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Ruvuma Kalimeje Sandali(hayupo…
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Denis Masanja,akikabidhi funguo ya pikipiki kwa mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika (Tamcu) Musa Manjaule kwa ajili…
Na. John Bukuku- Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa maelekezo kwa Wizara ya Mifugo…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Ashatu Kijaji (Mb), akikagua Hoteli ya Rift Valle wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu ya malazi katika…
Na Silivia Amandius. Bukoba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Ndg. Faris Buruhan, ametoa wito kwa vijana kuzingatia umoja, ushirikiano na kulinda amani ya…
KAHAMA Serikali kupitia Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa bei elekezi za madini ya dhahabu, shaba na fedha kila siku itakayotumika kwenye masoko na…
Na John Bukuku, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD) imesema imeendelea kuboresha mfumo wa ununuzi wa bidhaa za afya nchini kwa kutumia mikataba ya muda…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais, Zanzibar Bi. Shumbana Taufiq alipowatembelea…
Dar es Salaam, Mauzo ya EFTA Corporate Bond yamekamilika kwa mafanikio makubwa, yakikusanya Sh33.04 bilioni dhidi ya lengo la awali la Shilingi 15 bilioni,…
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Serikali imetangaza mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Malaria nchini, huku takwimu zikionesha kupungua kwa maambukizi kwa asilimia…
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi, pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba wamekutana na Viongozi wa Wizara pamoja na Taasisi…
Na Mwamvua Mwinyi, Mkuranga KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amezindua mradi wa basi dogo la kikundi cha vijana wanane…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. James Millya (Mb.), amemwakilisha Rais wa Jamhuri…
Katikati ni Naibu waziri wa uchukuzi David Kihenzile katika uzinduzi wa kiwanja cha ndege cha Sumbawanga Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kiwanja…
Na John Bukuku – Dar es Salaam Kituo cha NuLife Advanced Fertility Centre kinaendelea kujijengea sifa kama mtoa huduma kinara wa tiba za uzazi…
Na WMJJWM – Dodoma Wajumbe wa kikundi kazi cha utekelezaji wa eneo namba moja la kuimarisha uchumi wa kaya chini ya Mpango wa Taifa…
*Lengo ni kuongeza tija kwa wachimbaji wadogo *Yashauriwa kufufua mpango wa Benki ya Madini *FEMATA kufaidika na Utafiti wa kina Dodoma Shirikisho la Vyama…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wakazi wa Dunga mkoa wa Kusini Unguja…
Maji ya kimataifa ni moja ya rasilimali inayoleta amani katika nchi mbalimbali zinazonufaika na wananchi wake. Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ( Mb)…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imepekuwa Mikataba 2,562 ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa , katika kipindi cha kuanzia Julai 2025 hadi Machi 2026.…
Na Maelezo Zanzibar 24.04.2026 Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Balozi, Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema ujenzi wa maabara ya…
Kaimu Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Saleh Juma Mussa akisaidiwa akiongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Wakuu wa Serikali…
Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine Sima, ambaye ndiye Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) akizungumza na waandishi wa…
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Cecilia Paresso, aliyetaka kujua lini Serikali…
Na.Sophia Kingimali. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amesema Nchi imejipanga vizuri kuhakikisha inalinda na kuendeleza vyanzo vya maji kwa maslahi ya wananchi. Hayo ameyasema…
Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine Sima, ambaye ndiye Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) akizungumza na waandishi wa…
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, akizindua rasmi kampeni ya “Linda Ushirika, Chagua Uadilifu” Aprili 24,2026, jijini Dodoma katika Mkutano wa Wadau wa Maendeleo…