NDALLU- WANACHAMA WAPYA 165 WAJIUNGA UWT KIBAHA MJINI
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WANACHAMA wapya 165 wamejiunga na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kibaha Mjini, Mkoa wa Pwani, hatua inayoonesha mwitikio wa wanawake…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WANACHAMA wapya 165 wamejiunga na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kibaha Mjini, Mkoa wa Pwani, hatua inayoonesha mwitikio wa wanawake…
Na Mwandishi Wetu Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Magereza, Balozi Phaustine Martin Kasike, ameagwa rasmi katika hafla iliyowakutanisha viongozi wa Serikali, Jeshi la…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amekutana na…
NA: MWANDISHI WETU, DODOMA Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo ni miongoni mwa taasisi chini ya Wizara ya Fedha imejipanga kuhakikisha kuwa bajeti ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…
Na Jackline Minja, WMJWM Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuratibu vikao shirikishi vya kijamii…
Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Tanga (Tanga UWASA) imepokea ugeni wa viongozi wa kanda na wawakilishi kutoka Mfuko wa Umoja wa Mataifa…
*Yatoa mwaka mmoja ili waweze kujiimarisha WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imetoa msamaha wa kodi ya mapato kwa kwa kipindi cha mwaka…
Na Mwandishi Wetu WATOA huduma za saluni nchini wametajwa kuwa kundi lenye uwezo mkubwa wa kuharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kutokana na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na ujumbe wa Kampuni ya Heidelberg Materials, ambao ni wazalishaji wa…
Na Happy Lazaro, Arusha Wanawake katika Afrika Mashariki wametakiwa kuchangamkia fursa za teknolojia, elimu ya STEM na mitandao ya ufadhili ili kuepuka kuachwa nyuma…
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura aliyevaa kapelo,akimsikiliza katibu wa afya wa Halmashauri hiyo George Mhina kulia,baada ya kukagua…
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
NA DENIS MLOWE, MAFINGA – IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameziagiza halmashauri kuhakikisha zinachukua hatua za haraka kutekeleza mapendekezo ya wakaguzi…
Katibu mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Stephen Mbundi akizungumza kwenye mdahalo huo jijini Arusha. …………… Na Happy Lazaro, Arusha. Viongozi wa Jumuiya…
NA DENIS MLOWE IRINGA SERIKALI imewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Iringa kuwa ujenzi wa Barabara ya Mzunguko ya Igumbilo–Kihesa (Iringa Bypass) utaanza tena baada…
Na Victor Masangu, Pwani Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 30 imeamua kurudisha fadhila kwa…
Nilikuwa kwenye mahusiano ambayo mwanzoni yalikuwa yenye furaha na upendo mkubwa. Tulifanya kila kitu pamoja na tuliamini kwamba tungejenga maisha yetu ya baadaye kama…
Nilipoanzisha biashara yangu, nilikuwa na ndoto ya kuifanya ikue na kuwa moja ya biashara kubwa katika eneo letu. Nilifanya kazi kwa bidii kila siku.…
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Watanzania wataanza kushuhudia kushuka kwa bei za mafuta kuanzia mwezi Julai mwaka huu kufuatia kuanza kushuka kwa bei…
Serikali imetoa wito kwa wazalishaji, waingizaji bidhaa, wasambazaji, wafanyabiashara, vyombo vya habari, vyombo vya dola, mamlaka za forodha, Taasisi za umma, asasi mbalimbali pamoja…
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi…
Na OWM–TAMISEMI, Dodoma Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo imeendesha mafunzo ya Muongozo wa Chakula na Ulaji kwa Maafisa Lishe kutoka mikoa 26…
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kukamata watuhumiwa 550 wa makosa mbalimbali…
Mshambuliaji Nicolas Pepe aliiongoza Ivory Coast kutinga hatua ya 32 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga mabao mawili katika…
✅Zaidi ya Wataalamu 30 Wanufaika na mafunzo kupitia Mradi wa Kizuna 📍 Dodoma Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Shirika la Ushirikiano…
Paris, Ufaransa. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO, Mheshimiwa Saidi Othman Yakubu, amekutana…
Na Sophia Kingimali. Waajiri nchini wametakiwa kuzingatia kwa umakini wajibu wao wa kuwasilisha michango ya hifadhi ya jamii kwa wakati ili kulinda ustawi wa…
Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 unatarajiwa kupokelewa Julai 2, 2026 katika Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, ambapo pamoja na shughuli nyingine za maendeleo utazindua…
✅Asisitiza Waajiri kutekeleza amri ya kima cha chini cha mishahara Na: OWM – KAM, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) tangu kuanzishwa kwake, Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Kupitia Mwenyekiti…
Na. Sixmund Begashe, MNRT WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Mfuko wa Kuhifadhi Wanyamapori Tanzania (TWPF), imekabidhi pikipiki kwa Halmashauri 22 na Jumuiya za…
*Zaidi ya Wataalamu 30 Wanufaika na mafunzo kupitia Mradi wa Kizuna Dodoma Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Shirika la Ushirikiano wa…