KILA KILO INAYOPOTEA NI SHILINGI INAYOPOTEA – MENEJA FEDHA WA WMA ATOA SOMO NANE NANE
Na WMA – DODOMA. Meneja wa Fedha wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Ibrahim Mbinga, amesema usimamizi mbovu wa vipimo ndiyo adui mkubwa wa…
Na WMA – DODOMA. Meneja wa Fedha wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Ibrahim Mbinga, amesema usimamizi mbovu wa vipimo ndiyo adui mkubwa wa…
Tanzania, wadau waimarisha ushirikiano utekelezaji wa malengo ya hifadhi ya bioanuwai Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itanufaika na Ushirika wa Wadau wa…
Happy Lazaro,Arusha . Arusha: Wananchi wa Arusha wameaswa kuhakikisha mazao, mifugo, mali na biashara zao zinalindwa kwa bima, ili kupunguza athari za majanga na…
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, akizungumza na Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Fedha,…
Na John Walter -Babati Imeelezwa kuwa maziwa ya mama ni chakula cha kwanza, salama na chenye virutubisho vyote muhimu anavyohitaji mtoto katika miezi sita…
Mkuu wa Utawala Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kampasi ya Mwanza, Dr. Lawrance Sunda, akionesha baadhi ya bidhaa zilizobuniwa na kutengenezwa na wanafunzi…
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Dkt.Johannes Lukumay akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali katika maonesho ya nanenane Njiro.…
Na Mwandishi Wetu KUNA wakati safari ya kutoka Mbagala kwenda katikati ya Jiji la Dar es Salaam haikuwa tu suala la kufika unakokwenda, bali…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police katika mchezo wa Simba Day uliopigwa leo, Agosti 8, 2026,…
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameshiriki kilele cha Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane,…
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Temeke, Bw. Goodluck Assenga (kulia) akitoa ufafanuzi matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa Makamu…
Na Mwandishi Maalum,Muleba WAZIRI wa maliasili na Utalii ambaye ni Mlezi wa mkoa wa Kagera Mheshimiwa KIJAJI, ametembelea mradi wa ujenzi wa soko kubwa…
Mpango wa Wanawake na Vijana wa Baadaye (WYFI) unatarajiwa kuzindua rasmi shughuli zake mnamo Agosti 7 katika Kituo cha Mikutano cha Mlimani City jijini…
Rais wa Benki ya Maendeleo ya AfriKa (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah, akiagana na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb) (kushoto), katika…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la vijana katika kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima…
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametembelea pia Banda la Betaren Tanzania Limited, Kampuni Tanzu ya Schelokovo Agrohim…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru…
Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Prof. Tumaini Nagu ameitaka Wakala ya…
Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bw. Sospeter Mtwale amewataka Wakala ya Barabara…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia, David Mwakalinga [63] na Sarah Ngama [52] ambao ni mume na mke wote wakazi wa Mji Mwema…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akimkabidhi Funguo za Trekta kama Mkopo kutoka Benki ya CRDB, Mkazi wa Jiji la…
Dodoma. Kampuni ya mawasiliano ya Yas imewahimiza wakulima kutumia huduma za kidijitali kupata taarifa za masoko, hali ya hewa na fursa za biashara, ikiwa…
Afisa masoko wa kampuni hiyo ,Veronica Lyimo akizungumza kwenye maonesho hayo ya nanenane Njiro Arusha . Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Kampuni ya watengenezaji na…
Na Cletus Sanga, WAF – Arusha Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu – TAMISEMI na CIHEB Tanzania chini ya Mradi…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ali Kakurwa, amesema thamani ya mifugo nchini imeongezeka kutoka…
Mkuu wa kanda wa COPRA,Fahmia Selemani akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya nanenane Njiro …………. Na Happy Lazaro, Arusha Mamlaka ya Udhibiti…
Dodoma, Wakulima Kanda ya Kati wamehimizwa kutumia huduma za kifedha kidijitali zinazotolewa na Mixx by Yas ili kurahisisha upokeaji wa malipo ya mazao, kupata…
NA DENIS MLOWE, DAR ES SALAAM VICTORIA Group (VG) imetangaza kuwa mbio za VG Fun Run zitafanyika kila mwaka tarehe 8 Agosti, huku kamati…
Na WMA – DODOMA Kiongozi mstaafu wa Wakala wa Vipimo (WMA), aliyekuwa Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Bw. Deogratius Aloyce Maneno amesema uwekezaji wa Serikali…
Na WMA – DODOMA. Wakala wa Vipimo (WMA) umemhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mhe. Selemani Mwendwa kuwa utaongeza kasi ya utendaji kazi wa…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, amesema Serikali imefikia hatua ya kuanza utekelezaji wa masoko ya kimkakati…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa maelekezo kwa Wizara ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo baada ya kuwasili katika viwanja…
Na Peter Ngamilo- TAEC Katika safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kisasa na wa viwanda, sekta za kilimo, mifugo na viwanda zinaendelea kuwa nguzo…