Top Stories
View all
MICHUANO YA AFCON 2027 KUFUNGAMANISHA UCHUMI WA ZANZIBAR
Na. Mwandishi wetu – Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inafungamanisha uchumi wake na Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027…
WRRB, MISRI WAJADILI USHIRIKIANO WA KIBIASHARA KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Misri…
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na kuzingatia sheria…
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu, kuanzia Julai 2 -4 , 2026.…
MIXX YAWAZAWADIA WATANZANIA WANNE SAFARI YA KOMBE LA DUNIA MEXICO
Dar es Salaam, Julai 2, 2026 Watanzania wanne wamejishindia tiketi za safari ya kwenda Mexico kushuhudia mechi za Kombe la Dunia kupitia kampeni ya…
MIAKA 40 YA COSTECH: SERIKALI YATAKA TATHMINI YA MCHANGO WA SAYANSI NA UBUNIFU
WAZIRI wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda, ameitaka Tume ya Taifa ya sayansi na Teknolojia (COSTECH), kutafakari na kufanya tahmini ya…
KHERI JAMES: MKOA WA IRINGA UTAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE UJENZI WA BARABARA KUCHOCHEA UCHUMI
NA DENIS MLOWE IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya barabara kwa kusimamia utekelezaji wa miradi yote…
MHE. BALOZI OMAR: SABASABA NI FURSA YA KUJENGA UCHUMI NA KUPATA ELIMU YA FEDHA KATIKA KUTIMIZA MALENGO YA DIRA 2050
Na. Saidina Msangi na Asia Singano, WF, Dodoma Wananchi hususan vijana, wanawake na wajasiriamali wanaochipukia, wamehimizwa kutembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho…
WATUMISHI WA AFYA HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza na baadhi ya watumishi wa kituo kipya cha afya Langiro baada ya kukagua…
TTCL YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA VITENDEA KAZI, YAKABIDHI MAGARI SITA
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi…
DKT. MAGHEMBE ASHIRIKI MHADHARA KUADHIMISHA MIAKA 51 YA UHURU WA COMORO
Nibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb.), ameshiriki Mhadhara maalum wa kuadhimisha Miaka 51…
WAZIRI MKUU AKAGUA DARAJA LA MTO NYATHOROGO LINALOUNGANISHA WILAYA ZA RORYA NA TARIME
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua Daraja la Mto Nyathorogo lililopo katika Kijiji cha Nyathorogo, Kata ya Nyathorogo, wilayani Rorya, mkoani Mara, ambalo limejengwa…
MAMENEJA WA RUWASA, TANROADS MARA WAONJA ‘JOTO YA JIWE’ KWA WAZIRI MKUU
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewabana Mameneja wa RUWASA na TANROADS mkoani Mara kwa kuwahoji maswali huku akiwaonya wasizoee matatizo ya wananchi na kuyaona…
WAZIRI MKUU: WAKANDARASI WAREJEE SITE
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea maeneo ya kazi mara…
WAZIRI KAPINGA ATEMBELEA BANDA LA NMB SABASABA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), akipokelewa na Mkuu wa Mtandao wa Matawi na Mauzo wa Benki ya NMB, Donatus Richard,…
PROF. KABUDI: USIMAMIZI WA MADAMPO NA MAJITAKA UPEWE KIPAUMBELE KULINDA AFYA YA JAMII
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Paramagamba Kabudi, amesema usafi…
PROF. SHEMDOE: ELIMU NDIYO MSINGI WA MAENDELEO, MIUNDOMBINU ITUNZWE
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe,Amesema elimu ni msingi wa maendeleo ya…
MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA NEMC, ASISITIZA WELEDI , BIDII YA KAZI, USHIRIKIANO NA UADILIFU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…
BARRICK-TWIGA, SERIKALI WAZINDUA AWAMU YA PILI YA MRADI WA BARRICK FUTURE FORWARD EDUCATION PROGRAM
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Kampuni ya Barrick inayofanya shughuli zake kwa ubia na Serikali kupitia Twiga Minerals imeahidi kuwa kupitia programu…
KILA NILIYEMPENDA ALINIACHA LAKINI LEO NIMEOLEWA NA TAJIRI
Nilikuwa mrembo wa kawaida, mwenye ndoto za kawaida kama msichana mwingine yeyote: kupata kazi nzuri, kuolewa na mtu anayenipenda kweli, na kuanzisha familia yenye…
KILA SIKU SAA SITA MTOTO WETU ALIKUWA AKIPIGA KELELE KILICHOPATIKANA CHINI YA KITANDA BADO KINATUUMIZA
Kwa zaidi ya miezi mitatu, usingizi haukuwahi kuwa wa amani katika familia yetu. Kila usiku, hasa saa sita kamili, mtoto wetu mchanga alikuwa akiamka…
DCEA YAKAMATA TANI 22.6 ZA DAWA ZA KULEVYA NDANI YA MIEZI MIWILI
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas James Lyimo akizungumza katika. mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam Julai 02, 2026. Emmanuel Alphonce…
SPIKA ZUNGU: HAKUNA BUNGE DHAIFU, KAZI YAKE NI KUISIMAMIA SERIKALI NA KUWATETEA WANANCHI
Dar es Salaam – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hakuna Bunge ambalo linaweza kuitwa dhaifu au…
WIZARA, TAASISI NA UMMA NA BINAFSI NA MASHIRIKA YA KIRAIA YAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA MKUTANO WA COP 12
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari Julai 2, 2026 Jijini…
MHE. MDANDISI MUNDE AIWAKILISHA TANZANIA MKUTANO MKUU WA 26 WA ATIDI
Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…
TET NDIYO MOYO WA ELIMU NCHINI, VITABU VYA KIDATO CHA TANO NA SITA VIPO HAPA SABASABA -DEO FAZAH
Mkuu wa Idara ya Fedha na Uhasibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Deo Fazah akipokea zawadi alipotembelea banda la TET ndani ya Maonesho…
TANZANIA, MAREKANI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MOU) ZA DOLA BILIONI 3.14 KUIMARISHA SEKTA YA AFYA
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano itakayotekelezwa kuanzia mwaka…
TANZANIA NA SERBIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA KILIMO
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amekutana na…
SERIKALI YAPELEKA VICHEKO BARABARA YA MAKAMBAKO–SONGEA
Serikali imeanza ujenzi mpya wa barabara inayounganisha mikoa ya Njombe na Ruvuma baada ile ya awali kuanza kuchoka kutokana na kutumika kwa zaidi ya…
PROF. SHEMDOE AWAPONGEZA MAAFISA AFYA KUPUNGUZA MLIPUKO WA KIPINDUPINDU NCHINI
• Awataka wakuu wa mikoa kuendeleza kampeni za usafi Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…
MANISPAA YA IRINGA YATAKIWA KUTENGA ASILIMIA TANO KUBORESHA MAENEO YA BIASHARA
NA DENIS MLOWE IRINGA MKUU wa Wilaya ya Iringa, Benjamin Sitta, ameutaka uongozi wa Manispaa ya Iringa kuhakikisha asilimia tano ya ongezeko la mikopo…
DKT. MUNISI ASISITIZA UTEKELEZAJI WA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA
Na: OWM – KAM , Mara Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Dkt. Evaline Munisi, amewasisitiza waajiri sekta ya…
RAIS SAMIA: ZAWADI KUBWA NITAKAYOACHA NI TRA YENYE SIFA YA KUKUSANYA KODI KWA HAKI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo ya Rais kwawalipakodi kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka…
SERIKALI YAWATAKA MAOFISA AFYA MIKOA YOTE KUONGEZA KASI KATIKA AFUA ZA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe akizunvumza kwenye mkutano huo jijini Arusha…