MAKATIBU WAKUU WA EAC WAKUTANA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA SCTIFI
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha…
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza mageuzi mbalimbali ya kodi yanayolenga kuongeza mapato ya ndani, kupanua wigo wa walipakodi na…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imesema uchumi wa Tanzania umeendelea kuimarika kutokana na utekelezaji wa sera madhubuti za kiuchumi, uwekezaji katika miradi ya…
Utaratibu wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa njia ya mazungumzo na maridhiano umewezesha kupatikana kwa suluhu…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika usimamizi wa fedha za umma na ukusanyaji wa mapato kwa…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeweka mkazo katika utekelezaji wa vipaumbele mbalimbali vya kimkakati kwa mwaka wa fedha 2026/27,…
NA DENIS MLOWE, IRINGA Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii inayofanyika kuanzia Juni…
Na Victor Masangu, Kibaha Jumuiya ya Umoja wa wanawake (UWT) Wilaya ya Kibaha katika kuimarisha kasi ya Uhai wa jumuiya yao pamoja na kuongeza…
Na mwandishi wetu, Morogoro SERIKALI imeendelea kuimarisha mifumo ya uratibu, kujiandaa na kukabiliana na maafa ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inayotolewa inawafikia walengwa kwa…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa tahadhari kwa wakurugenzi wa halmashauri mkoani humo kuacha kuwalea kwa kuwakumbatia…
Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Bi. Tone…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka Maafisa Tawala…
Dar es Salaam. Benki ya NMB imetumia uzinduzi wa Tamasha la Twenzetu kwa Yesu kuwafikia vijana kwa ujumbe wa maadili, nidhamu ya fedha na…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma WATUMISHI wa umma wanaojihusisha na kughushi barua za uhamisho na nyaraka nyingine za kiutumishi wameonywa kuacha mara moja tabia…
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Dodoma 2 Juni, 2026: Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya…
Na mwandishi wetu, Morogoro SERIKALI imeendelea kuimarisha mifumo ya uratibu, kujiandaa na kukabiliana na maafa ili kuhakikisha misaada ya kibinadamu inayotolewa inawafikia walengwa kwa…
Na Albano Midelo Wakati wengi walidhani ajali ilizika ndoto zake milele, Deogratius Chami ameandika historia mpya Tanzania kwa kuwa mtu wa kwanza mwenye ulemavu…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa…
Kilosa, Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) chini ya mradi wa RISE kupitia programu ya uondoaji vikwazo katika barabara (bottleneck) umekamilisha…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius…
*Aipongeza TANESCO kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kwa umeme. *Ahimiza TANESCO kuendelea kupanda miti kwa wingi kwenye vyanzo vya uzalishaji wa…
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Air Tanzania Company Limited (ATCL) Mhandisi Peter Ulanga, amesema shirika hilo linajiandaa kurudi rasmi kwenye safari za…
Na Oscra Tarimo WMJJWM- Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda watoto na…
Paris, Ufaransa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO, Mhe. Saidi Othman Yakubu, amewasilisha…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo kila siku nilifungua biashara yangu bila kujua kama ningepata faida au hasara. Nilikuwa nimewekeza fedha nyingi kwenye biashara…
Miaka saba ni muda mrefu sana kumkosa mtu unayempenda. Lakini ndivyo ilivyokuwa kwetu baada ya kaka yangu kutoweka ghafla bila kuaga wala kuacha maelezo…
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe, Essau Hossiana Ngoloka, pamoja na wenzake sita wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Buhigwe wakikabiliwa na…
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu…
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetangaza vipaumbele saba itakavyovitekeleza katika mwaka wa fedha 2026/27 kwa lengo la kujenga jamii…
Na. Meleka Kulwa, Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha uwezeshaji wa wafanyabiashara…
Wizara ya Maji ni miongoni mwa washiriki wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.…
Na Happy Lazaro, Arusha . Wananchi mkoani Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika mikutano ya hadhara itakayofanyika wakati wa ziara ya Katibu wa Halmashauri…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, atafanya Ziara ya Kitaifa katika Shirikisho la Urusi kuanzia tarehe 3…