Top Stories
View all
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
NMB YAPATA SH. BILIONI 468 KUCHOCHEA MIKOPO KWA WAKULIMA NA WAJASIRIAMALI
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna (kushoto), na Makamu wa Rais wa IFC Kanda ya Afrika, Ethiopis Tafara,…
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
SERIKALI KUONDOSHA ADHA YA MAJI CHEMBA
Serikali imejipanga kuondosha adha ya huduma ya maji kwa wakazi wa Chemba. Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itahakikisha Mradi wa Maji…
SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA KILIMO NA UVUVI
Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Serikali imeeleza hazma yake ya kuendelea kutekeleza miradi ya mashirikiano katika sekta za kilimo na Uvuvi kwa…
DKT. MWIGULU AWAHAKIKISHIA WANANCHI KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI
* Asema utekelezaji wa Bwawa la Farkwa kuanza baada ya kukamilika kwa taratibu za manunuzi * Aagiza kukomeshwa kwa ukamataji usio na msingi wa…
NILIFUNGIWA NDANI YA LIFT NA EX WANGU, SIRI ZIKATOKA BILA FILTER
Siku hiyo nilikuwa nimeenda kwa building moja ya kifahari kwa meeting ya kawaida ya kazi. Nilikuwa focused kabisa, nikiwa na plan ya kumaliza shughuli…
WAFANYABIASHARA WA MADINI NZEGA WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUIMARISHA BIASHARA YA MADINI
TABORA Uongozi wa Soko la Madini Nzega mkoani Tabora umempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuanzisha masoko…
NILIPIGIWA SIMU NAMBA YANGU MWENYEWE. NDIPO MAMBO YAKAANZA KWENDA LEFT
Siku hiyo ilikuwa jioni ya kawaida kabisa. Nilikuwa nimekaa sebuleni nikitazama TV, nikijaribu kupumzika baada ya siku ndefu ya kazi. Ghafla, simu yangu ikaanza…
DKT. MWIGULU ASISITIZA KUKAMILIKA KWA MRADI WA MAJI CHEMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Mji wa Chemba unakamilika kwa wakati ili kuongeza…
TANZANIA YASISITIZA UTEKELEZAJI WA AGENDA MPYA YA MIJI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Tanzania, Dkt. Leonard Akwilapo akisoma tamko la serikali ya Tanzania wakati akihutubia Mkutano wa Mawaziri…
SERIKALI,UN-HABITAT KUENDELEZA USHIRIKIANO SEKTA YA MAKAZI NA MAENDELEO YA MIJI
Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na UN-Habitat katika jitihada za kukuza maendeleo…
WASIRA:WALIOHUSIKA VURUGU OKTOBA 29 WACHUKULIWE HATUA
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiwahutubia mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma mjini leo Mei 16,…
TIMU YA BWENI YATWAA UBINGWA AWESO VIJANA CUP
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Timu kutoka Kata ya Bweni ya wilaya ya Pangani imefanikiwa kuibuka mshindi wa mashindano ya Aweso Vijana Cup kwa ushindi…
DKT. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI
WAZIRI MKUU, amewahimiza wananchi kuendelea kuiombea Tanzania ili amani, umoja na mshikamano wa kitaifa viendelee kuimarika sambamba na nchi kuendelea kupiga hatua za maendeleo…
TANZANIA NA URUSI ZAFUNGUA UKURASA MPYA WA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KIUCHUMI, ELIMU NA NISHATI
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirikisho la Urusi zimefungua rasmi ukurasa mpya wa ushirikiano wa kimkakati katika…
TANZANIA YAUNGA MKONO MAAZIMIO YA UN KUTAFUTA AMANI YA KUDUMU MASHARIKI YA KATI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuunga mkono kikamilifu maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na jitihada…
SIFA YA WADATOGA KUOA WAKE WENGI
Katika bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii, makabila ya Wadatoga na Wahadzabe ambayo ni sehemu ya Jiopaki ya Ngorongoro Lengai walitia nakshi na…
ISO KONGWE HAIVUKI
Waswahili husema _Iso kongwe haivuki na Utu uzima dawa_, misemo hii imedhihirika mwishoni mwa wiki hii wakati Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt.…
KIONGOZI MKUU WA BOHORA DUNIANI ASAFIRI KWA SGR, AIPAISHA HADHI TANZANIA KIMATAIFA
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia…
SERIKALI KUIMARISHA NISHATI YA UMEME WILAYANI KONDOA
Katika jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa…
PROF. SHEMDOE ASISITIZA KUIMARISHA UPANGAJI MIJI INAYOIBUKIA KATIKA MAENEO YENYE VITUO VIKUBWA VYA TRENI YA MWENDO KASI
Na OWM – TAMISEMI, Azerbaijan Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
MATUKIO KATIKA PICHA: MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUJADILI MASUALA YA MASHIRIKIANO SJMT NA SMZ DAR ES SALAAM
Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim…
MBUNGE WA VITI MAALUM KUNDI LA WALEMAVU ASISITIZA JAMII KUJIFUNZA LUGHA YA ALAMA
Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Nassirya Ally amesisitiza umuhimu wa jamii kujifunza na kutumia lugha ya alama ili kujenga…
YANGA SC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA CRDB
Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Young Africans S.C. wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe hilo baada ya kuichapa JKT Tanzania…
DKT. NCHEMBA AONESHA UPENDO KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM DODOMA
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akizungumza na mtoto mwenye ulemavu wa viungo, Raudhwat Abeid katika viwanja vya Puma Kondoa, mkoani Dodoma leo tarehe 16…
DIWANI WA MAKANGARAWE ATOA MSAADA WA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI DOVYA NA JITIHADA
Diwani wa Kata ya Makangarawe, Fadhili Mboga (kushoto) akikabidhi madawati katika Shule za Msingi Yombo Dovya na Jitihada leo Mei 16, 2026, Dar es…
WAKILI MARATHON KUCHOCHEA MSAADA WA KISHERIA, KUHAMASISHA AFYA
Na Sophia Kingimali. Mwenyekiti wa Chama cha mawakili wa Serikali, Addo Novemba amesema mbio za Wakili Marathon zitakazofanyika Mei 31 mwaka huu mjini Dodoma…
JUMUIYA WAZAZI PANGANI YAWAFUNDA WANAFUNZI FUNGUNI SEKONDARI
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamefundwa masuala mbalimbali yahusuyo elimu, maadili, ukatili wa kijinsia…
JKCI YAWAFIKIA WATUMISHI 441 WA WIZARA YA FEDHA KWA HUDUMA ZA UCHUNGUZI WA MOYO
Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Glory Mtui akichukua sampuli ya damu ya Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali…
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA BONIFACE MAKENE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Boniface Makene…
RC MAKALLA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUMI NA MAENDELEO WA URUSI
Na Prisca Libaga, Arusha RC Makalla akaribisha watalii na wawekezaji kutoka Urusi kuwekeza katika sekta ya utalii – Wapendekeza ushirikiano wa Mkoa wa Arusha…
DIPLOMASIA YA UCHUMI YA DKT. SAMIA INAIFANYA TANZANIA KUBAKI KITOVU CHA UWEKEZAJI KIKANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha sementi cha Dangote cha…
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI.
Na MWANDISHI, WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…