Top Stories
View all
RWANDA YAANDAA MKUTANO WA MWAKA WA BARAZA LA MAWAZIRI NA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA ESAAMLG
Rwanda imekuwa nchi Mwenyeji wa Mikutano ya Mwaka ya Umoja wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kupambana na Utakasishaji Fedha Haramu…
WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki,…
SERIKALI INAWAJALI WATUMISHI SANA
Serikali inaendelea kuhakikisha maeneo ya kazi kwa watumishi wa umma ni salama ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya kiwango. Waziri wa Maji Mhe.…
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MIKATABA YA MSAADA WA KIUFUNDI KATIKA SEKTA YA MADINI
DODOMA, Septemba 3, 2026 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb.) imepatiwa mafunzo kuhusu…
MAKATIBU WAKUU WAHIMIZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BONDE LA ZIWA VICTORIA
Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi wamehimiza kuharakishwa kwa utekelezaji wa programu na miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC),…
RAIA WA OMAN AIPONGEZA ORCL, AHAIDI KUWA BALOZI WA HUDUMA ZA SARATANI TANZANIA
Raia wa Oman, Mohammed Abdallah Al-Habsy na familia yake wakiangalia chumba chenye mashine ya Linear Accelerator (LINAC) kinachotumika kutoa matibabu ya saratani kwa tiba…
MAGEUZI YA ELIMU NI FURSA KUBWA KWA VIJANA
Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo…
WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI NA UWEKEZAJI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipofungua Kongamano la Tano la Ushiriki wa Watanzania katika Miradi ya Kimkakati na Uwekezaji lililoandaliwa na Baraza la…
BUNGE LARIDHIA MKATABA UANZISHWAJI TAASISI YA UKUZAJI MAENDELEO YA KIJANI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiwasilisha maelezo kuhusu azimio la kuridhia Mkataba wa…
KIWANDA CHA SARUJI KIGOMA SULUHISHO LA BEI KUPANDA – WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali bungeni jijini Dodoma, Septemba 3, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ………. *Apanga kuitisha kikao cha…
ZAIDI YA VIJANA 500 WANUFAIKA NA ELIMU YA UJUZI NA UJASIRIAMALI
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Malengo Development ,Hamza Rajabu akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo. ………… Happy Lazaro,Arusha Arusha.ZAIDI ya…
TANZANIA YAWAALIKA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA SEKTA YA MADINI
Perth, Australia Tanzania imeendelea na mkakati wa kuwaalika wawekezaji wa kimataifa kutumia fursa zilizopo katika Sekta ya Madini nchini, kwa kuwa Serikali imeendelea kuboresha…
WADAU WAALIKWA KUWEKEZA KATIKA UBORA WA UANDISHI WA HABARI
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa wito kwa taasisi, kampuni, mashirika na wadau wa maendeleo kujitokeza kudhamini Samia…
WANANCHI WAPEWA NAFASI KUCHAGUA KAZI BORA SKA 2026
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026 Wananchi wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kupigia kura kazi 294 za uandishi wa habari na makala za maendeleo zilizofuzu…
NMBF YATENGA SH. BILIONI 1 KWA UWEZESHAJI WA VIJANA 50
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM VIJANA 50 wenye ufaulu wa juu lakini wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo wa kifedha watanufaika na uwezeshaji…
NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali inaendelea kuongeza matumizi ya nishati jadidifu, hususan nishati ya jua, katika uzalishaji wa umeme nchini,…
SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA UMEME IGUNGA” MHE. SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme katika Wilaya ya Igunga…
MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, UTOAJI WA TUZO ZA PYMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akikabidhiwa tuzo iliyotolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kuboresha mazingira ya uwekezaji na viwanda nchini wakati wa hafla ya utoaji tuzo za 19 za Rais za Wazalishaji Bora Viwandani (PYMA), zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam. (anayekabidhi ni Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga, kushoto ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Hussein Suphian Ally) ………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…
WANAFUNZI WA KISARAWE SEMINARI WATEMBELEA HESLB, WAPATA ELIMU YA MIKOPO
Dar es Salaam Wanafunzi wa Kidato cha Sita wa Kisarawe Seminari (Kisarawe Lutheran Junior Seminary) wametembelea ofisi za HESLB hivi karibuni, ambapo wamepata elimu…
UJENZI SPORTS CLUB YATOA MSAADA KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM DODOMA
Timu ya Ujenzi Sports Club imeendelea kuunga mkono juhudi za kuwawezesha wanafunzi wenye mahitaji maalum kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi wa…
MSD KURATIBU UPATIKANAJI WA “NALTREXONE” KWA WARAIBU WA POMBE
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe, ameiagiza Bohari ya Dawa (MSD) kuharakisha mchakato wa upatikanaji na usambazaji wa dawa ya kutibu…
BODI YA TRC YARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA SGR MAKUTUPORA–MWANZA
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Bw. Jaffer Machano, amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa…
TAWA YATINGA MOROGORO KWA KISHINDO NA TUZO ZA WORLD TRAVEL 2026
*Kamishna Kabange ampongeza Rais Samia, asema ushindi huo umefungua milango mipya ya utalii na uwekezaji. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imewasili rasmi…
MKAKATI WA SERIKALI 2028: ELIMU YA LAZIMA MIAKA 10 KUANDAA VIJANA KWA AJIRA KUPITIA AI NA UFUNDI
Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na kuimarisha…
BODI YA NHC: HATUTAKI TENA MIRADI ICHELEWE, NYUMBA ZETU ZISHINDANE NA ZA PRIVATE DEVELOPERS
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) imesisitiza kasi, ubora na ujenzi unaokwenda sambamba na mahitaji ya soko, ikieleza kuwa…
TANESCO UBUNGO YAWABAINI WATEJA WALIOCHEPUSHA UMEME KUPITIA VISHOKA
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao…
MHE. BALOZI OMAR: SEKTA BINAFSI NI INJINI YA TANZANIA KUFIKIA MALENGO YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa halfa ya Mjadala wa Bodi ya Wakurugenzi na Wajumbe wa Jukwaa la…
WASIRA AZUNGUMZA NA WABUNGE WA CCM
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) amezungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM (CAUCUS), Leo September 2,2025 White House Jijini Dodoma Aidha Katika Kikao hicho…
WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA KUKABILIANA NA UKAME
Ofisa Masoko wa Kijani Consultant, Franswer Lawrence, leo akitoa elimu kwa wananchi kwenye Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki (MEATF 2026), yanayofanyika…
WATAALAMU WA MOI WATEMBELEA JKCL KUBADILISHANA UJUZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya…
MHITIMU IFM AWEKA KANDO SHAHADA YA UHASIBU NA FEDHA, AGEUZA NGOZI KUWA AJIRA
Mhitimu wa Chuo cha IFM Kampasi ya Mwanza, Gladness Michael Silayo (kushoto), akiwaonesha wateja viatu vinavyotengenezwa katka kiwanda chake cha Pacha Shoes Company, leo…
RAIS DKT. MWINYI AMEKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERBIA, MHE MACUT.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tanzania iko tayari kuimarisha zaidi ushirikiano na Serbia katika…
BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA NA 2 WA MWAKA 2026
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 2) wa Mwaka 2026 (The Written Laws…
SERIKALI YAFIKISHA UMEME KATIKA MAENEO 582 YA WACHIMBAJI WADOGO, KILIMO NA VIWANDA TANZANIA BARA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetekeleza Mradi wa Usambazaji Umeme katika maeneo 582 ya…