Top Stories
View all
YANGA DAY : YANGA SC YAPOTEZA 2-1 DHIDI YA AIGLES DU CONGO
Kikosi cha Yanga SC kimepata matokeo yasiyoridhisha baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Aigles du Congo katika mchezo wa kirafiki uliochezwa…
NM-AIST KINARA WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI 2026
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo,…
BARAZA LA USHINDANI LAJA NA MFUMO WA KIDIJITALI KURAHISISHA RUFAA ZA WANANCHI
📍Dodoma Baraza la Ushindani (FCT limeendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi kwa kutumia teknolojia za kidijitali, likiwataka wananchi na wadau kutumia mfumo wa kielektroniki…
NDEJEMBI: BILIONI 6.7 ZIKAMILISHE JENGO LA MAMA NA MTOTO KWA WAKATI KAHAMA
KAHAMA, SHINYANGA Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameitaka Manispaa ya Kahama kuongeza kasi ya ujenzi wa…
TMA YAKANUSHA TAARIFA POTOFU KUHUSU BARIDI NCHINI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa tukio la…
SERIKALI KUIMARISHA MIUNDOMBINU KUCHOCHEA UZALISHAJI NA UKUAJI WA UCHUMI
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiteta na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, wakati akiwasili katika Ofisi…
TANZANIA, UNEP MGUU SAWA KUIMARISHA USHIRIKIANO HIFADHI YA MAZINGIRA
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi (wa pili kushoto) akifanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la…
NDEJEMBI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA- BULYANHULU JCT-KAKOLA
KAHAMA, SHINYANGA Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemtaka Mkandarasi wa Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola, M/s China…
SOKO BUBU LA MADINI LAGUNDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM
▪️Watuhumiwa 14 wakamatwa na tuhuma za utoroshaji madini ▪️Waigeuza nyumba ya kupanga kama soko ▪️Waziri Mavunde aelekeza uchunguzi kuwabaini na kukamata wahusika zaidi ▪️Mgeni…
STANBIC YAHIMIZA UFADHILI UNAONGOZWA NA WAAFRIKA ILI KUFUNGUA FURSA ZA MIUNDOMBINU BARANI AFRIKA
Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania, Manzi Rwegasira (kulia), akizungumza wakati wa mkutano wa Africa50, katika mjadala wenye mada “Pace Setters: African-Designed, African-Led”. Pembeni…
DKT. AKWILAPO: WIZARA YA ARDHI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA KUTAYARISHA RAMANI YA UWANJA WA NYAKABINDI- BARIADI
Na Munir Shemweta, Bariadi, Simiyu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kushirikiana na…
WAZIRI NDEJEMBI AANZA ZIARA MAALUM MKOANI SHINYANGA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara maalum ya kikazi ya kukagua utekelezaji na kuzindua miradi ya maendeleo, pamoja…
MIXX BY YAS YARAHISISHA MALIPO KWA WAKULIMA NYANDA ZA JUU KUSINI
Meneja wa Biashara wa Mixx – Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. ………….. Mbeya. Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wameendelea kunufaika…
ZAIDI YA WAKULIMA 2,000 KANDA YA KASKAZINI WANUFAIKA NA HUDUMA ZA MIXX
Eric Sosthenes – Meneja wa Biashara Mixx – Kanda ya Kaskazini ……………. Arusha. Zaidi ya wakulima 2,000 wa kahawa, mbaazi na mazao mengine katika…
WAKULIMA KANDA YA KATI WAVUNA NA MIXX
Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Vyama vya Ushirika (TCDC), Dkt. Benson Ndiege (aliyevaa suti nyeusi), akikabidhi funguo za pikipiki ya…
NANENANE 2026: ASTERIA AGROVET YAWAPA WAKULIMA SULUHISHO LA MBEGU, MBOLEA NA VIUATILIFU
Afisa Kilimo wa Abatop Prime Limited, inayojulikana kama Asteria Agrovet, Zuhura Yusuf akizungumza kwenye maonesho hayo jijini Arusha Happy Lazaro,Arusha. Arusha .Abatop Prime Limited…
NGORONGORO NA SIMBA DAY NI BAO LA KISIGINO
Waswahili husema Chanda chema huvikwa pete msemo ambao umedhihirika siku ya mnyama “Simba Day “ baada ya klabu hiyo kumtunuku tuzo Kamishna wa Uhifadhi…
KILA KILO INAYOPOTEA NI SHILINGI INAYOPOTEA – MENEJA FEDHA WA WMA ATOA SOMO NANE NANE
Na WMA – DODOMA. Meneja wa Fedha wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Ibrahim Mbinga, amesema usimamizi mbovu wa vipimo ndiyo adui mkubwa wa…
TANZANIA, WADAU WAIMARISHA USHIRIKIANO UTEKELEZAJI WA MALENGO YA HIFADHI YA BIOANUWAI
Tanzania, wadau waimarisha ushirikiano utekelezaji wa malengo ya hifadhi ya bioanuwai Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itanufaika na Ushirika wa Wadau wa…
WANANCHI ARUSHA WAASWA KUKATA BIMA YA MAZAO, MIFUGO NA MALI ZAO
Happy Lazaro,Arusha . Arusha: Wananchi wa Arusha wameaswa kuhakikisha mazao, mifugo, mali na biashara zao zinalindwa kwa bima, ili kupunguza athari za majanga na…
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA GAMIS KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA.
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, akizungumza na Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Fedha,…
BABATI DC YATOA WITO WA UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA PEKEE KWA MIEZI SITA
Na John Walter -Babati Imeelezwa kuwa maziwa ya mama ni chakula cha kwanza, salama na chenye virutubisho vyote muhimu anavyohitaji mtoto katika miezi sita…
IFM YAWAFUNZA VIJANA KUJIAJIRI, KUUNDA AJIRA
Mkuu wa Utawala Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kampasi ya Mwanza, Dr. Lawrance Sunga, akionesha baadhi ya bidhaa zilizobuniwa na kutengenezwa na wanafunzi…
RUZUKU YA MBEGU NA MBOLEA YABORESHA KILIMO, YAKUZA KIPATO ARUMERU-DKT LUKUMAY
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi Dkt.Johannes Lukumay akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali katika maonesho ya nanenane Njiro.…
WAKAZI WA MBAGALA KUTOKA KUGOMBEA DALADALA HADI KULA KIYOYOZI
Na Mwandishi Wetu KUNA wakati safari ya kutoka Mbagala kwenda katikati ya Jiji la Dar es Salaam haikuwa tu suala la kufika unakokwenda, bali…
SIMBA SC YAKUBALI KIPIGO CHA 1-0 DHIDI YA KENYA POLICE
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police katika mchezo wa Simba Day uliopigwa leo, Agosti 8, 2026,…
BI. NGASONGWA ASHIRIKI KILELE CHA NANENANE DODOMA
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameshiriki kilele cha Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane,…
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAVUTIA WANANCHI UWAKA DAY BUZA
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Temeke, Bw. Goodluck Assenga (kulia) akitoa ufafanuzi matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa Makamu…
MULEBA KUPATA SOKO LA UHAKIKA,WAZIRI KIJAJI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WAKE
Na Mwandishi Maalum,Muleba WAZIRI wa maliasili na Utalii ambaye ni Mlezi wa mkoa wa Kagera Mheshimiwa KIJAJI, ametembelea mradi wa ujenzi wa soko kubwa…
WYFI, HWPL KUSHIRIKIANA, NA REA KUSAIDIA MAJIKO YA KUPIKIA YA GESI, KUUNGANISHA UWASILISHAJI WA DPCW NA HATUA ZA MAZINGIRA
Mpango wa Wanawake na Vijana wa Baadaye (WYFI) unatarajiwa kuzindua rasmi shughuli zake mnamo Agosti 7 katika Kituo cha Mikutano cha Mlimani City jijini…
RAIS WA AFDB AHITIMISHA ZIARA TANZANIA BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA WANAHISA WA AFRICA50.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya AfriKa (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah, akiagana na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb) (kushoto), katika…
VIJANA WA BBT WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA FURSA ZA KILIMO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la vijana katika kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima…
BETAREN TANZANIA KUSAJILI MBOLEA 13 MPYA NOVEMBA 2026
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametembelea pia Banda la Betaren Tanzania Limited, Kampuni Tanzu ya Schelokovo Agrohim…
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA WANAJUMUIYA YA SEMINARI YA URU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru…