Top Stories
View all
SHERIA YA VIPIMO NI RAFIKI WA WOTE, MUUZAJI NA MNUNUZI
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuwa ni rafiki wa muuzaji na mnunuzi na kwamba sheria ya vipimo haikuundwa kuwakomoa wafanyabiashara…
MBUNGE NGAJILO AIBUA KERO YA FIDIA YA WANANCHI 23 IRINGA MJINI
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa fidia ya wananchi 23 waliopisha ujenzi…
WATUMISHI OTR WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA UBORA
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwajengea…
VODACOM DIGITAL ACCELERATOR NA BRIDGE FOR BILLIONS WAINGIA UBIA WA MIAKA MITATU KUIMARISHA MFUMO WA UJASIRIAMALI TANZANIA
Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi (kulia), muda mfupi baada…
TANZANIA NA MAREKANI ZAJA NA MAPINDUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA AFYA
Na John Mapepele – WAF, Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na…
MKUTANO WA MWAKA WA BARAZA LA MAWAZIRI NA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA ESAAMLG WAFUNGULIWA KIGALI- RWANDA
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb)(kulia), Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Juma Homera (Mb) (kushoto) na Naibu Gavana na Makamu…
RAS KAYOMBO AWEKA MSISITIZO ELIMU, UWEKEZAJI, MAPATO NA KUKABILI EL NINO
Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 4, 2026 KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi…
WAZIRI MAVUNDE AONGOZA KIKAO CHA UTATUZI MGOGORO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI
Dodoma Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, akiongoza kikao cha utatuzi wa mgogoro wa haki madini na haki ardhi baina ya Kampuni ya Barrick…
VETA YAWAALIKA WAAJIRI NA WAMILIKI WA VIWANDA KUSHIRIKIANA KUENDELEZA UJUZI KWA WATANZANIA
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeendelea kuwaalika wamiliki wa viwanda na waajiri nchini Tanzania kwa ajili ya kushirikiana katika kuendeleza…
WATUHUMIWA WAWILI WA MAUAJI WAFARIKI DUNIA
………….. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi pamoja na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali…
MAKAMBA: UMEME WA UHAKIKA NI MSINGI WA UWEKEZAJI NA UZALISHAJI
📍DODOMA SERIKALI imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme kwa ajili ya kuchochea uwekezaji na kuongeza uzalishaji nchini, baada ya kusainiwa kwa mkataba wa utekelezaji wa…
DKT. MWIGULU: IFIKAPO 2030 MWANZA–DODOMA KWA SGR
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameiagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Uchukuzi, kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), wakandarasi na taasisi…
WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUATHIRIKA NA TATIZO LA MISULI YA MOYO (DILATED CARDIOMYOPATHY – DCM)
Na Mwandishi Maalumu , Dar es Salaam. Watoto wenye umri chini ya miaka mitano uathirika zaidi na ugonjwa wa misuli ya moyo unaojulikana kitaalamu…
MFUKO WA TAIFA WA MAJI WATAKIWA KUTAFUTA VYANZO MBADALA VYA FEDHA
Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) umetakiwa kutumia ubunifu kupata vyanzo mbadala vya fedha kufanikisha utekelezaji wa miradi ya maji nchini. Waziri wa Maji…
WANANCHI WAWEZESHWA USHIRIKI BIASHARA YA KABONI
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha wananchi wananufaika na Biashara ya Kaboni kupitia misitu ikiwemo mikoko wanayopanda katika maeneo ya pwani. Naibu…
PUMA ENERGY YAZINDUA ZIARA YA PUMAGAS KATIKA MIKOA MITANO NCHINI
Wafanyakazi wa Puma Energy Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja huku wakipeperusha bendera, ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ziara ya PumaGas katika mikoa…
ALIYEKUWA MUUGUZI ZAHANATI YA BUNYAMBO AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UBADHIRIFU WA DAWA
Aliyekuwa muuguzi na mtunza dawa katika Zahanati ya Bunyambo wilayani Kibondo, Leonard Alfonsi Mosha (31), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibondo akikabiliwa na…
BILIONI 1.8 KULIPA FIDIA KWA WAATHIRIWA 996 KUPISHA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI WILAYANI RUANGWA
Ruangwa, Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.8…
MRADI WA UMEME MPOMVU – GGM KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI GEITA – MHE. SALOME
* Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. *…
MRADI WA MAJI WA MIJI 28, SERIKALI YAFIKISHA MAJI MANGAKA KWA ASILIMIA 100
Hatimaye mji wa Mangaka unaenda kunufaika na mradi wa maji wa mji 28 uliofanikishwa na Serikali ambapo hali ya upatikanaji wa maji kwa wananchi…
VETA KUONGEZA UDAHILI HADI WANAFUNZI 130,892 MWAKA 2027
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amesema VETA imeweka…
KAMISHNA WA MAGEREZA MALAWI AWASILI TCTA KUSHIRIKI HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO
Na Ssgt Mawazo Mtondo – DODOMA Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya…
SERIKALI YASISITIZA UFAHAMU WA PAMOJA KATIKA KUIMARISHA DHANA YA UGATUZI WA MADARAKA KWA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
Serikali imesisitiza umuhimu wa kujenga uelewa wa pamoja kuhusu dhana ya ugatuzi wa madaraka kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa, ili kuongeza ufanisi katika…
RWANDA YAANDAA MKUTANO WA MWAKA WA BARAZA LA MAWAZIRI NA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA ESAAMLG
Rwanda imekuwa nchi Mwenyeji wa Mikutano ya Mwaka ya Umoja wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kupambana na Utakasishaji Fedha Haramu…
WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki,…
SERIKALI INAWAJALI WATUMISHI SANA
Serikali inaendelea kuhakikisha maeneo ya kazi kwa watumishi wa umma ni salama ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya kiwango. Waziri wa Maji Mhe.…
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MIKATABA YA MSAADA WA KIUFUNDI KATIKA SEKTA YA MADINI
DODOMA, Septemba 3, 2026 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb.) imepatiwa mafunzo kuhusu…
MAKATIBU WAKUU WAHIMIZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BONDE LA ZIWA VICTORIA
Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi wamehimiza kuharakishwa kwa utekelezaji wa programu na miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC),…
RAIA WA OMAN AIPONGEZA ORCL, AHAIDI KUWA BALOZI WA HUDUMA ZA SARATANI TANZANIA
Raia wa Oman, Mohammed Abdallah Al-Habsy na familia yake wakiangalia chumba chenye mashine ya Linear Accelerator (LINAC) kinachotumika kutoa matibabu ya saratani kwa tiba…
MAGEUZI YA ELIMU NI FURSA KUBWA KWA VIJANA
Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo…
WAZIRI MKUU AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI NA UWEKEZAJI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipofungua Kongamano la Tano la Ushiriki wa Watanzania katika Miradi ya Kimkakati na Uwekezaji lililoandaliwa na Baraza la…
BUNGE LARIDHIA MKATABA UANZISHWAJI TAASISI YA UKUZAJI MAENDELEO YA KIJANI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiwasilisha maelezo kuhusu azimio la kuridhia Mkataba wa…
KIWANDA CHA SARUJI KIGOMA SULUHISHO LA BEI KUPANDA – WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali bungeni jijini Dodoma, Septemba 3, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ………. *Apanga kuitisha kikao cha…