Top Stories
View all
DKT. NCHIMBI AFUKUZWA UANACHAMA WA CCM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel…
CCM YAMPENDEKEZA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na leo jijini Dar es…
WANAWAKE KATA YA PANGANI WAMPA KONGOLE MWENYEKITI WA UWT KIBAHA MJI KUWANOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
Na Victor Masangu, Kibaha Baadhi ya wanawake wa (UWT) Kata ya Pangani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wamempongeza kwa dhati Mwenyekiti wa…
POLISI SONGWE YATENDA MATENDO YA HURUMA KUSHEREHEKEA MIAKA 20 YA POLISI JAMII
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, akiwa na maofisa, wakaguzi na askari, aliwaongoza askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe katika kusherehekea miaka…
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI WASHINGTON DC KUSHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI JUU YA NISHATI YA NYUKLIA
Washington Dc, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasili katika Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C., Marekani, leo Agosti 26, 2026, na kupokelewa na…
TANZANIA, COMORO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Waziri wa Fedha, Bajeti na Sekta ya Benki wa Comoro, Mheshimiwa Moussa…
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AKIONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU MAALUM YA CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum Cha Halmashauri…
MASAUNI ASHIRIKI KIKAO KUJADILI AFYA YA UDONGO NA MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akizungumza na Mwakilishi Maalumu wa Uingereza nchini…
SERIKALI KUENDELEA KUTOA VIBALI VYA UCHIMBAJI MAENEO YA HIFADHI YANAYORUHUSIWA KISHERIA: DKT. KIRUSWA
*Asisitiza Sheria ya Uhifadhi hairuhusu utafiti, uchimbaji madini mengine isipokuwa Urani, Gesi Asilia na Mafuta *Aeleza Sheria Ya Madini inamtaka Mmiliki wa Leseni Kupata…
ACT WAZALENDO YATAKA UMOJA NA MSHIKAMANO KIEMBESAMAKI
Vongozi wa Jimbo la Kiembesamaki, Chama cha ACT Wazalendo, wametakiwa kudumisha umoja na mshikamano, wakielezwa kuwa misingi hiyo ni siri ya mafanikio katika uendeshaji…
OTHMAN: ZANZIBAR HAITAFIKIA MAENDELEO YA KWELI BILA BARAZA IMARA LA WAWAKILISHI
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia…
MWENGE WA UHURU KUKAGUA MIRADI 54 KAGERA YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SH. BILIONI 23
Na Silivia Amandius. Kagera. Mkoa wa Kagera umejiandaa kuupokea Mwenge wa Uhuru utakaofika mkoani humo Agosti 30, 2026, ukitokea Mkoa wa Geita. Mwenge huo…
MALIMA AFUNGUA TAMASHA LA UTAMADUNI KITAIFA, AWATAKA WATANZANIA KUTUMIA AFCON KUTANGAZA TAMADUNI
Farida Mangube Morogoro Serikali imewataka watanzania kuitumia vizuri fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027 kwa kutangaza tamaduni za makabila mbalimbali…
RC MAKALA ATAKA MAANDALIZI YA ELNINO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Makala ametoa wito kwa Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro ,wilaya na maeneo mengine ya…
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Kamati…
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA TAASISI ZA UMMA ZA CHINA
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) iko katika hatua za mwisho za kukamilisha hati mbili za makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na…
MORCASE- ASKARI WAWILI WAFARIKI KWA KUGONGWA NA GARI MAILI MOJA
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Agosti 26, 2026 WATU wawili ambao ni askari wa Jeshi la Polisi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika…
WATOTO 116,125 SIMANJIRO KUPATA CHANJO YA POLIO
Na Mwandishi wetu, Simanjiro WATOTO 116,125 wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone…
SERIKALI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA KUWEZESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akijibu maswali bungeni jijini Dodoma, likiwemo swali la Mheshimiwa Haidary Hemed Sumry, Mbunge wa Mpanda mjini…
DARAJA LA IKINDA LAONDOA KERO YA USAFIRI KWA WANANCHI KAHAMA
*Wananchi watakiwa kulitunza daraja Kahama, Shinyanga Wananchi wa kata za Ikinda na Bugarama halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameondokana na changamoto ya…
TUME YA MADINI YATOA SIKU 30 KWA MIRADI YA UCHIMBAJI MDOGO KUFUATA SHERIA
DODOMA, Agosti 26, 2026 Tume ya Madini imetoa muda wa siku 30 kwa wamiliki na wawezeshaji wa miradi ya uchimbaji mdogo yenye Mikataba ya…
JWTZ: USHIRIKIANO WA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI NI ISHARA YA IMANI NA MSHIKAMANO
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania (JWTZ) , Luteni Jenerali Salum Haji Othman, akizungumza katika uzinduzi Wiki ya Ushirikiano wa Kijeshi na…
RUWASA SIMANJIRO KUKAMILISHA MIRADI 10 YA MAJI
Na Mwandishi wetu, Simanjiro WAKALA wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imeendelea na utekelezaji wa miradi 10 ya…
RC MAKALLA: UWEKAJI TAA UWANJA WA NDEGE ARUSHA UMEKAMILIKA
. Amshukuru Mhe. Rais Samia kwa kutekeleza ahadi yake . Asema kukamilika kwa uwekaji wa taa hizo kutarahisisha usafiri wa uhakika kwa abiria, kuchochea…
KAMPUNI YA FRANONE YATAKA TEKNOLOJIA NA UTAFITI KUCHIMBUA HAZINA MPYA YA TANZANITE
Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Onesmo Mbise akizungumza mbele ya Waziri wa madini kuhusu changamoto.zinazowakabili Happy Lazaro,Manyara. Manyara .Kampuni ya Franone Mining & Gems Ltd…
KOKA: VIJANA JIKITENI KIUCHUMI KUELEKEA DIRA 2050
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Agosti 26, 2026 MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amewasihi vijana wa Kata ya Tangini na jimbo hilo…
WAZIRI MKUU AWATAKA WATANZANIA KUIMARISHA MALEZI, KULINDA AMANI NA KUTIMIZA WAJIBU
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa,…
MIRADI YA BONDE LA ZIWA VICTORIA IWE CHACHU YA UCHUMI NA USTAHIMILIVU WA JAMII
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Bw. Charles Ngeleja Kadonya, amesisitiza umuhimu…
TANZANIA YASISITIZA UFADHILI ENDELEVU WA AFYA KUPITIA RASILIMALI ZA NDANI
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Omar (Mb), (wa sita mstari wa pili mbele-kushoto) akiwa katika picha ya…
NMB YAONGOZA KURA ZA SUPERBRANDS KUNDI LA BENKI
Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi zaidi za watumiaji katika…
TANZANIA YASISITIZA USHIRIKIANO WA UMOJA WA AFRIKA ILI KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama…
TANZANIA YAUNGA MKONO MABADILIKO YA MFUMO WA AFYA DUNIANI
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imeunga mkono juhudi za kuimarisha Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia maboresho ya Muundo wa Mfumo…
DKT. NCHIMBI “AJIUZULU”, HATA HIVYO MAMLAKA BADO HAZIJATHIBITISHA
Kumekuwa na taarifa kuhusu madai ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, huku taarifa hizo zikiendelea…