DKT. MWIGULU AONGOZA HARAMBEE YA MAOMBI YA KITAIFA, ACHANGISHA MILIONI 700
*Asisitiza maadili na uwajibikaji kama mhimili wa Dira 2050 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania, taasisi za umma, sekta binafsi, na…
*Asisitiza maadili na uwajibikaji kama mhimili wa Dira 2050 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania, taasisi za umma, sekta binafsi, na…
Na Mwandishi Wetu, ARUSHA: Udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu, pamoja na uuzaji wa dawa zisizosajiliwa, umetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa…
MOROGORO WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya…
NA DENIS MLOWE , MBEYA HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa imeibuka bingwa katika mchezo wa mpira wa wavu kwa wanaume katika Mashindano ya Shirikisho…
Na WMJJWM – DODOMA Serikali imewataka viongozi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kuhakikisha chama hicho kinakuwa chombo muhimu cha malezi, upatanishi na…
Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa kauli hiyo wakati…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius John Ndejembi akizungumza na Wananchi wa Chamwino, wakati aliposimama kuwasilimu mara baada ya…
Mwanafunzi Ibrahim Omary, kutoka Shule ya Msingi Ghana iliyopo jijini Mwanza, akitoa elimu ya vipimo kwa wanafunzi wenzake waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo…
NA DENIS MLOWE IRINGA WANAFUNZI wa zamani (Alumni) wa Shule ya Sekondari Tosa Maganga wameungana kuchangisha Shilingi milioni 250 kwa ajili ya ununuzi wa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MEYA wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, amesema utalii ni biashara yenye uwezo mkubwa wa kuchochea uchumi na kuunda ajira…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kuapishwa kwa Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu…
Na TAEC Dodoma Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Tests), ikiwa…
YANGA SC imeendelea kukusanya pointi ikishinda mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu Bara, baada ya leo Agosti 28, 2026 kuichapa Pamba Jiji mabao…
Mkuu wa wilaya ya Arusha ,Joseph Mkude akizungumza kwenye baraza hilo jijini Arusha leo . ………… Na Happy Lazaro, Arusha . Mkuu wa Wilaya…
Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Msajili wa Baraza la Masoko ya Mitaji (CMT), Mhe. Dkt. Martin Kolikoli, amewataka wadau hususan wawekezaji kulitumia Baraza…
Na Shaban Juma, WAF – Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inaendelea na mikakati ya kusambaza huduma za matibabu ya…
Dodoma Wajumbe wa Bodi yaTaasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) pamoja na Menejimenti ya Taasisi, leo Agosti 28, 2026, wamekutana katika…
Na.Sophia Kingimali.Dar es salaam Wanafunzi 34 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi nchini wameondoka kwenda Ireland kwa ajili ya kuanza masomo ya shahada ya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini…
Morogoro Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeeleza kuwa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja umeendelea kuhakikisha Tanzania inapata bidhaa za mafuta kwa…
📍Dodoma TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeanza ukaguzi wa taasisi, mashirika na wafanyabiashara wanaokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini, ikiwa ni sehemu…
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na wanafunzi walionufaika na Ufadhili wa Samia Scholarship Extended…
Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP. Jeremiah Yoram Katungu, amewataka wataalamu wa ujenzi wa Jeshi la Magereza wanao simamia ujenzi wa mradi wa Gereza…
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imepokea jumla ya mawazo 9,545 ya ubunifu kutoka kwa wananchi ikiwa ni awamu ya pili ya mpango wa mawazo…
*Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Agosti 28, 2026)…
Spika wa Bunge, Mussa Zungu akionesha barua yenye jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius Ndejembi kwa Wabunge (hawapo pichani), Bungeni jijini Dodoma, Agosti…
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kamati ya Bajeti ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa…
Mamlaka ya Elimu na Maunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kushirikiana na kampuni ya ushauri na utalaamu wa biashara na miradi (ASNL Advisory Limited),…
LAWAMA ZA KISIASA HAZISHABIHIANI NA MAKUBWA YA RAIS SAMIA- MALOTO UTENDAJI WA RAIS SAMIA UMEKUWA MWIBA KWA MAADUI ZAKE Na Luqman Maloto Mwandishi wa…
NA Mwandishi Maalumu RS Arusha Mwenyekiti wa Chama cha Pool Table Mkoa wa Arusha, Fadhili Msangi, amesema mashindano ya Pool Table yanafanyika kwa mara…
DODOMA Wahitimu wa vyuo vya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi nchini Tanzania wanatarajiwa kuwa na ujuzi unaoendana zaidi na mahitaji ya soko la…
Na. Meleka Kulwa– Fullshangwe Blog,Dodoma Watumishi wa Idara ya Mahakama, akiwemo Jaji Mfawidhi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Wasajili, Mahakimu, Watendaji na…