Top Stories
View all
NHIF: BIMA YA AFYA NI MSINGI WA MAISHA YA KILA MTANZANIA
Yawataka wananchi kujiunga mapema kujikinga na gharama za matibabu Na Grace Michael- NHIF, Dodoma MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewahimiza wananchi…
TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU AFRIKA KWA UBORA WA SEKTA YA MBEGU
Na Scolastica Sambi – MAELEZO Tanzania imeendelea kuthibitisha mafanikio yake katika tasnia ya mbegu baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55…
TEKNOLOJIA ZA KISASA ZAONGEZA TIJA NA UBORA WA PAMBA
Na Baltazar Mashaka, Ilemela Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) imewataka wakulima wa pamba nchini kuzingatia kanuni bora za kilimo pamoja na matumizi ya teknolojia za…
NAIBU WAZIRI AAGIZA MKANDARASI KUONGEZA KASI YA UJENZI WA MIKOCHENI APARTMENTS
NAIBU WAZIRI wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka mkandarasi wa mradi wa Mikocheni…
KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AVUTIWA NA SAYANSI YA HALI YA HEWA
Morogoro, Tarehe 06 Agosti 2026. Katibu tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta avutiwa na sayansi ya hali ya hewa, aliyasema hayo Tarehe…
LONDO: ELIMU YA FCC NI NGUZO YA UCHUMI SHINDANI NA MAENDELEO YA VIWANDA
Tume ya Ushindani (FCC) imetajwa kuwa mdau muhimu katika kuongeza thamani ya mazao ya Watanzania kupitia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa…
VG FUN RUN KUFANYIKA KESHO AGOSTI 8
NA DENIS MLOWE- DAR ES SALAAM VICTORIA Group ambao ni waandaaji wa mbio za VG Fun Run 2026 wamesema maandalizi ya tukio hilo yamekamilika…
WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI NA MAADILI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA NANENANE
Watumishi wa Wizara ya Fedha wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bw. Simbani Liganga, wakati…
AKWILAPO ATOA WITO ELIMU, AMANI KUPEWA KIPAUMBELE ITILIMA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akizindua mradi wa shule Mpya ya Awali na msingi katika Kijiji Cha…
EWURA KANDA YA KATI YATOA WITO KUHUSU LESENI ZA MAFUNDI UMEME,MAONESHO YA NANENANE
📍Dodoma Meneja Kanda ya Kati wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Bi. Hawa Lweno, ametoa wito kwa mafundi umeme…
WANASIMBA WAPIGA BIRYANI WAKIHITIMISHA HAMASA YA SIMBA DAY 2026
Na Mwandishi Wetu WANASIMBA wamehitimisha hamasa ya Wiki ya Simba 2026 kwa kushiriki kuitandika ya Biryani (Ubwawa) ya nguvu iliyoandaliwa kwa ajili yao ,…
SERIKALI YAHIMIZA UWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mkurugenzi wa Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Nolasco Mlay akizungumza katika hafla ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano…
SERIKALI YASISITIZA USIMAMIZI IMARA WA MAJI CHINI YA ARDHI
Serikali imezitaka kampuni na wadau wote wanaojihusha na utafiti na uchimbaji wa maji chini ya ardhi kuzingatia utaratibu wa kuwa na nyaraka halali za…
KIELELEZO KIPYA CHA VIWANGO VYA FAIDA VYA DHAMANA ZA SERIKALI KUBORESHA UWAZI NA UWEKEZAJI
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa…
BWAWA LA FARKWA TUMA UJENZI WAKE KUANZA OKTOBA 2026
▪️Fidia Shilingi bil 8.5 Imeshalipwa kwa Wananchi Waliopisha Mradi Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Tatizo la uhaba wa maji katika baadhi ya maeneo ya…
TANZANIA YAIPONGEZA AFRICA50, YAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU AFRIKA
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting-GSM) uliofanyika…
TEKNOLOJIA MPYA YA MBOLEA YA SAMADI YA WANYAMA NA NDEGE YAWA KIVUTIO MAONESHO YA NANANANE
Mbunifu wa mbolea ya asili ya mazao mbalimbali , Albert Ssamawa Salimu kutoka halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro akizungumza na waandishi wa habari katika…
NAIBU WAZIRI DKT. MAGHEMBE AFUNGUKA MAONESHO YA 4 YA BHARAT TANZANIA MIMI DEFENCE
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amefungua rasmi Maonesho ya 4 ya Bharat Tanzania Mini…
TANZANIA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA MAZIWA
Mradi wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabianchi (C_SDTP) kinara katika hili Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya…
WIZARA YA MALIASILI YAVUNJA REKODI KUPOKEA WAGENI 17,000 KWA SIKU MAONESHO YA NANENANE
* Wapo viongozi wa juu, wananchi na wanafunzi kwa ajili ya kujionea wanyamapori kutangaza utalii wa ndani *Tembo Mary awa kivutio kwenye bustani ya…
T-CAMS NI MAGEUZI YA KIDIJITALI YANAYOJENGA UWAZI, UFANISI NA USHINDANI KATIKA SEKTA YA UWAKALA WA FORODHA TANZANIA
Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali kwa ubora wa mifumo…
DC LULANDALA AHIMIZA WADAU KUSHIRIKI NANE NANE KUONGEZA UJUZI
Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala amewasihi wakulima, wafugaji na wavuvi kushiriki maonyesho ya kilimo nane nane…
EWURA YAWASHAURI WANANCHI KUTUMIA WATOA HUDUMA WENYE LESENI
Meneja wa EWURA Kanda ya Ziwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya Nanenane Nyamhongoro Jijini Mwanza ikiwa imesalia siku moja maonesho hayo…
BALOZI MUSSA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA MAKATIBU WAKUU WA SADC
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Kikao…
RAIS SAMIA AFUNGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA AWAMU YA PILI (BRT II)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitumia kadi ya kidigitali kuingia katika Kituo cha abiria cha mabasi yaendayo…
WANAFUNZI WA MTEMI MAZENGO WATOA ELIMU YA VIPIMO KWA NAIBU WAZIRI LONDO NANE NANE
Na WMA – DODOMA. Wanafunzi wa Klabu ya Vipimo (Vipimo Club) kutoka Shule ya Msingi Mtemi Mazengo ya jijini Dodoma, wamegeuka walimu kwa siku…
FURSA ZA BIASHARA ZA MABILIONI KATIKA MIGODI ZAWAFUNGUKIA WATANZANIA
Vijana na wanawake wapewa kipaumbele kunufaika na mnyororo wa thamani wa madini 📍DODOMA Serikali kupitia Tume ya Madini imefungua fursa za biashara zenye thamani…
DARAJA LA BILIONI 1.2 KUONDOA KERO YA USAFIRI KILOSA
Na. OWM–TAMISEMI, Kilosa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa watanufaika na Shilingi Bilioni 1.2 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya…
SANGU: BILIONI 13 ZA SAMIA ZAGEUZA MTAMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi,Ajira na Mahusiano Deus Sangu ( shati la njano) akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Lindi Victoria…
IGP WAMBURA APOKEA HATI YA SHUKRANI
Kamishna wa Kamisheni ya Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai CP Shabani Hiki, akipokea kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus…
WAKULIMA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA KIFEDHA KUKUZA BIASHARA ZA MAZAO
Meneja wa tawi Benki ya Azania, Ambokile Tuntufye akimkabithi zawadi Mkuu wa wilaya ya Hai mara baada ya kutembelea banda hilo Nanenane ,Njiro .…
RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI WA WAHUSIKA WA MATUKIO YA OKTIBA 29
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa…
KAMPUNI YA AVOAFRICA YAWAFIKIA WAKULIMA WA PARACHICHI ARUSHA, YAAHIDI SOKO LA UHAKIKA KWA PARACHICHI AINA YA HASS NA FUERTE
Afisa Mazingira wa kampuni hiyo,Getruda Salingo akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika viwanja Themi, Njiro mkoani Arusha. Happy Lazaro,…
WAZIRI SANGU APONGEZA USHIRIKI WA YAS KATIKA MAONYESHO YA NANENANE LINDI
Lindi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ameipongeza kampuni ya Yas kwa ushiriki wake katika…
TANZANIA YAZINDUA JUKWAA LA NANE LA WADAU WA MAENDELEO YA BONDE LA MTO NILE
Jukwaa la Nane la Wadau wa Maendeleo ya Bonde ya Mto Nile (NBDF8) limezinduliwa rasmi nchini Tanzania.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma…