KONGAMANO LA UCHUMI WA BULUU KUWAKUTANISHA WAZAWA ZAIDI YA 200 KIZIMKAZI
NA FAUZIA MUSSA SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Uchumi wa Buluu…
NA FAUZIA MUSSA SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Uchumi wa Buluu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye Maonesho ya Sanaa za Picha katika…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (Mb.), amekutana na Balozi wa Ethiopia nchini Tanzania, Mhe.…
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Sekta ya kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania. Inatoa ajira kwa mamilioni ya Watanzania, inachangia usalama…
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026, Wazo Mwang’onda, akikata utepe kuzindua mradi wa ujenzi wa mtambo wa kuchuja maji wa Igombe-Kabangaja, wilayani…
Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha…
Shirika la Madini la Taifa ( STAMICO) katika muendelezo wa kuhakikisha linaendelea kuwa kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi Tanzania nzima, leo tarehe…
NIRC Katavi. Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekabidhi pampu 52 za umwagiliaji zenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 500 kwa vikundi…
Wanafunzi 6,800 kutoka nchi tano za Afrika Jumuiya ya Mashariki Mashariki tayari wamewasili mkoani Morogoro kushiriki Mashindano ya Michezo ya Wanafunzi wa Shule za…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Maryam Seif…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli…
* Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja * Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo * Dhahabu tani 67.8 zenye thamani…
Na: OWM – TAMISEMI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeanza rasmi vikao vyake jijini Dodoma…
Zanzibar Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema juhudi za usambazaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia zinapaswa kwenda sambamba na kuweka mkazo…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa Wizara kupitia Balozi zake duniani imekuwa kiungo…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali *Mhe. Hamza S. Johari amewasilisha Maelezo ya Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2) wa Mwaka…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Zanzibar, leo tarehe 11 Agosti 2026. Makamu wa Rais…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mama Fatma Karume, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar…
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wanachama wa Maskani Kaka ya Kisonge, Mjini Magharibi,…
Mkuu wa kitengo cha biashara Incubator benki ya Stanbic,Kai Mollel akizungumza katika hafla hiyo jijini Arusha. Happy Lazaro,Arusha . Arusha . Benki ya Stanbic…
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida, akiongoza kikao kwa niaba ya…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akifungua mkutano na wataalamu wa Kampuni ya Kimataifa ya Tathmini ya Madeni ya (Fitch Ratings),…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini (VETA) imetakiwa kushirikiana na Kiwanda cha kutengeneza samani za ndani cha EDOSAMA cha Kinyerezi jijini…
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha Zawadi Ngailo akizungumza katika warsha hiyo jijini Arusha leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla akizungumza…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeanza kuweka mfumo wa kamera za usalama barabarani…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wananchi Mji Mkongwe (Stone Town) katika eneo la Jaws Corner, Zanzibar,…
Agosti 10, 2026. Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeshinda tuzo mbili katika Tuzo za TEHAMA 2026, ikiwemo ya Mtandao Bora wa…
10 Agosti 2026, Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za kifedha kidijitali, Mixx, imeshinda tuzo tatu katika Tuzo za TEHAMA 2026, ikiwemo nafasi ya…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Manispaa ya Iringa, Zaina Mlawa, amezionya kampuni zinazofanya shughuli za usafi katika Manispaa za Bejom na Suma JKT,…