NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Wenyeji Simba Sc wamefanikiwa kuibaka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara uliochezwa leo Katika Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex Mwenge, Dar es Salaam. Mabao ya Simba SC yamefungwa na viungo Muivory Coast, Jean Charles Ahoua dakika ya 29, Mkongo…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene wakati alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) kufungua Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao leo tarehe 11 Februari 2025. (Katikati ni Mkuu wa…
WAZIRI wa Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe.Ridhiwani Kikwete,akizungumza wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi hafla iliyofanyika leo Februari 11,2025 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma,wakati akimwakilisha Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda. NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia anayeshughulikia masuala ya Elimu Dkt. Charles…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Dole Kwasilva, Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025.(Picha na Ikulu) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kufungua…
Na WMJJWM-Dar Es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima, amesema Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, inatekekeza mipango mingi ya kuleta usawa wa kijinsia, na kuandaa kizazi kipya cha viongozi wanawake wenye weledi, uthubutu na maono. Amesema mipango hiyo imeainishwa kwenye Mpango wa Taifa…
NIRC Pwani Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa Pwani. Visima hivyo ni sehemu ya Mpango wa Serikali kupitia Programu ya Mifumo Himilivu ya Chakula kwa Kuzingatia Matokeo ili kuhakikisha nchi inakuwa na chakula cha kutosha. Visima hivyo vinatarajiwa kutumika katika kilimo cha mbogamboga na vitachimbwa katika wilaya…
Na Mwandishi wetu, Arumeru BAADHI ya wakazi wa Kata tatu za Naisinyai Wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, Majengo Wilayani Arumeru Mkoani Arusha na Kia Wilayani Hai, Mkoani Kilimanjaro, wamefunga barabara kwa muda wa saa tatu kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa 2 asubuhi leo jumanne ya Februari 11 mwaka 2024 wakishinikiza kufanyiwa ukarabati wa miundombinu ya mto inayosababisha mafuriko na kufanya…
Kamishina Msaidizi wa Idara ya Uendelezaj wa Sekta ya Fedha, Bi. Dionesia Mjema, akitoa mada kuhusu masuala ya fedha na umuhimu wa kusajili vikundi vya kutoa huduma ndogo za fedha na vile vya kijamii kwa wananchi wa Kata ya Makanya, kwenye program maalum ya elimu ya fedha iliyotolewa kwa wananchi hao katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Makanya Wilaya ya…
Confirmed
0
Death
0
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi Mhe. Mohamed Nyundo amewaasa Wafanyabiashara na Wananchi wa Kilwa kuacha kujihusisha na biashara za magendo kwani zina athari mbaya kwa jamii na…
Mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Naamini Yonazi akiongea na wasichana wanaofanya mafunzo ya Code like a Girl yanayofadhiliwa na kampuni hiyo kupitia asasi ya…
Sign in to your account