KONGAMANO LA NISHATI : ETDCO YASISITIZA UBORA MIUNDOMBINU YA UMEME
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya ETDCO, Mhandisi Richard Mwanja akizungumzia umuhimu wa Kongamano la Siku ya Nishati (Energy day) lililofanyika leo, Julai 10,…
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya ETDCO, Mhandisi Richard Mwanja akizungumzia umuhimu wa Kongamano la Siku ya Nishati (Energy day) lililofanyika leo, Julai 10,…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, ameipongeza BRAC Maendeleo Tanzania kwa kuendelea kuunga…
New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza hatua zake za kuanza kutekeleza Mpango wa Nne wa Taifa wa Maendeleo wa…
Na. Veronica Mwafisi-Uyui Tarehe 10 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…
Mawaziri wanaosimamia sekta za Uchukuzi, Mawasiliano na Hali ya Hewa kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameazimia kuongeza kasi ya utekelezaji…
Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) katika Maonesho…
Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani (FCC) akipata maelezo kutoka kwa Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano – FCC wakati alipotembelea banda hilo…
Na Mwandishi Wetu Julai 25, 2026, dunia itaadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwa Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo vya Kuzama Maji Duniani, ikiwa…
Na Jeremia Mwakyoma na Jeremiah Mbwambo Picha na Gladys Lukindo DODOMA – JULAI 10, 2026 Kliniki ya Wateja Maalumu, wa Kimataifa na uchunguzi wa…
Na. Jacob Kasiri – Arusha. Uongozi mpya ndani ya Shirika kongwe la uhifadhi nchini umechukua hatamu rasmi baada ya aliyekuwa Kamishna wa Uhifadhi –…
Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania imewezesha urejeshaji wa hekta milioni 3.3 za…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MCHEZAJI wa Yanga SC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize, ametangaza rasmi kufanyika kwa tamasha la hisani la…
*Mtambo maalumu wa ‘Geotech’ kuchunguza udongo na tafiti Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuimarisha usimamizi wa ubora…
Tanzania imepata heshima ya kutunukiwa Tuzo ya Kimataifa ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa minara 758…
Na. Veronica Mwafisi-Sikonge Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake…
📍 Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo, amekihakikishia ushirikiano Chuo cha United African Institute of Technology (UAIT) Cha Korea Kusini katika…
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Michael Mwang’onda amezindua mradi wa ujenzi wa tenki la maji…
Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Morocco mabao 2-0 katika mchezo…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wananchi kuhusu Mfuko wa Maendeleo…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing Investment (WHI), Mhandisi Sephania Solomon, amesema Mfuko wa Uwekezaji wa Faida Fund umeendelea…
Na. Veronica Mwafisi-Sikonge na Tabora Tarehe 09 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.…
Na Mwandishi Wetu Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika ujenzi na matengenezo ya barabara nchini kupitia matumizi…
Wadau wa mradi wa Dumisha Amani unaotekelezwa na VETA na kufadhiliwa na mashirika ya kimataifa ya UNPDF, UNDP-Tanzania, kampuni ya CPP na GPF-Tanzania wamepanga…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa…
Tukio la Ngorongoro kuonesha vivutio vya utalii mubashara kupitia runings kubwa iliyofungwa katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii limevutia wananchi wengi wanaotembelea…
Na Mwandishi wa OTR Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika…
…………….. Na Mwandishi wetu, Zanzibar Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Bw. Othman Masoud Othman, amesema kutiwa saini kwa makubaliano ya maridhiano kati ya…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto) akiwa katika picha na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa-IMF anayesimamia Idara…
Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolengakuimarisha uchumi…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – DODOMA. Kamishna wa Huduma za Urekebu Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, Julai 8, 2026, alifanya ziara ya kukagua…
Na Fullshangwe Blog, Dodoma Watoto watatu kati ya Sita wenye matatizo ya matundu ya moyo kutoka nchini Burundi wamefanyiwa upasuaji kuziba matundu ya moyo…
Afisa Uhusiano Kampuni ya ETDCO Bi. Samia Chande (wa pili kulia) akitoa elimu leo Julai 9, 2026 kwa wananchi waliotembelea banda la Kampuni hiyo katika…
Na. Calvin Katera – Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ametoa maagizo sita kwa Kamishna wa Uhifadhi TANAPA Massana Mwishawa…
Mwanafunzi wa fani ya umeme wa magari wa chuo cha ufundi stadi(VETA)Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Orafu Ngonyani kulia,akitoa maelezo kwa Mwakilishi wa Mkuu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.…