NAIBU WAZIRI MILLYA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.), ameambatana na ujumbe…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.), ameambatana na ujumbe…
Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Barabara za Mzunguko Jijini Dodoma imechangia kwa kiasi kikubwa kuondoa msongamano wa magari katikati ya jiji, hususan magari makubwa…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…
Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula amepongeza ushiriki wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa…
🔶_Tume ya Madini yaeleza usimamizi wa leseni za madini na Local Content unavyowanufaisha Watanzania_ 🔶_Fursa za uwekezaji zatangazwa kuanzia utafiti, uchimbaji hadi uongezaji thamani…
Muonekano wa sasa wa makutano ya Barabara ya Mzunguko Dodoma (Dodoma Outer Ring Road) katika eneo la Nala, jijini Dodoma, ambayo tayari yameanza kutumika…
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imeibuka mshindi wa People Category Award katika Tuzo za Business SDG…
………….. KIZIMKAZI Kumenoga! Hiyo ndio kauli mbiu iliyobeba Tamasha la Kizimkazi 20226 linatarajiwa kufanyika kuanzia Agosti 12 hadi Agosti 14 mwaka huu likiwa limesheheni…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Makamu wa Rais Mwandamizi wa Kampuni ya Alstom, Philippe Delleur  katika mazungumzo  yaliyofanyika kwenye hotel ya Intercontinental jijini…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema mafanikio ya Hati Fungani ya iTrust Finance Limited (iTrust…
Meneja Mahusiano Kitengo cha Kilimo kutoka Makao Makuu ya Benki ya NMB, Elias Leasa, akikabidhi funguo za trekta kwa Dustan Alan Bembati, mnufaika wa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya…
Nahodha wa muda mrefu wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu hiyo, akihitimisha safari ya takribani miaka 15 aliyosema imejaa mafanikio,…
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali baada ya kuichapa Misri mabao 3-2 katika mchezo wa hatua ya 16 bora…
Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amesema kwamba katika kipindi cha miezi 18 iliyopita, Benki Kuu…
Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Baraza la Mawaziri wa Masuala ya Kijamii wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umehitimishwa Julai 7, 2026 jijini Dar…
‎Na Mwandishi Wetu, Arusha ‎ ‎Wadau wa sekta ya kilimo, biashara, mazingira na teknolojia kutoka ndani na nje ya Afrika wanatarajiwa kukutana jijini Arusha…
Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipofunga Maadhimisho ya Tano ya Wiki ya Kiswahili Duniani kwenye  ukumbi wa Makao Mkuu ya Shirika la Umoja wa…
Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na biashara ya kisasa ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika…
NA: MWANDISHI WETU, AFRIKA KUSINI Waziri wa Maji, Jumaa Aweso pamoja na ugeni wake, wapo nchini Afrika Kusini, ikiwa ni ziara ya kikazi yenye…
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko…
Msajili wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Dk. Benson Ndiege (kushoto), akibadilishana hati za makubaliano…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Julai 7, 2026 amewasili kwenye Makao Makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makakazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akiakabidhi hati za Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Misungwi mkoani Mwanza…
Mkuu wa Sehemu ya Sheria wa PPAA, Bi. Agnes Sayi akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James…
NA: DK. REUBENI LUMBAGALAÂ Kuna umuhimu mkubwa kwa Watanzania kubadili mtizamo kuhusiana na lugha ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa, tusiiangalie lugha ya Kiswahili…
Saa nane usiku, kelele za maji zikimiminika chini ya godoro zilinifanya nijishtukie tena. Nilikuwa mtu mzima, lakini nilijikuta nimelowa kitandani kwa mara nyingine tena.…
Na; Mwandishi Wetu – Dar es Salaam. Ofisi ya Waziri Mkuu imewezesha watu wenye ulemavu nchini kushiriki katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya…
ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…
Na OWM–TAMISEMI, Ifakara Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ifakara wanatarajia kunufaika na huduma za kulaza wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Ifakara mara…
Mkuu wa Idara ya Kilimo kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Christopher Mwalugenge, akizungumza na Theresia Mbilinyi kuhusu huduma na suluhisho za kifedha…
Na Kassim Nyaki, Ngorongoro. Mbio za Mwenge wa Uhuru jana tarehe 6 Julai, 2026 zilliwasili Wilaya ya Ngorongoro na kukimbizwa umbali wa kilomita 386…