MSUVA AUNGA MKONO MPANGO WA MAFUNZO WA JAB KUELEKEA AFCON 2027
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)…
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameongoza kikao kazi kinachohusu mapitio ya Mapendekezo ya Marekebisho ya Sheria ya Jeshi la Polisi…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 21 Juni…
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafugaji nchini kuanzisha mashamba ya malisho na kutumia teknolojia za kisasa za ufugaji ili kuongeza tija na kupata…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Zaidi ya wananchi 2,000 wamejitokeza kupata huduma katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi iliyoandaliwa na Taasisi ya…
Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufani za Zabuni za Umma (PPAA), Bw. James Sando, akiscan msimbo kupata Jarida la Hazina Yetu, linaloandaliwa na Kitengo…
Na Mwandishi Wetu, Songea Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendesha mafunzo ya siku moja kwa vijana, wafanyabiashara, wakandarasi, watoa huduma na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewakaribisha wananchi kutembelea banda la ofisi katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya…
Timu ya Taifa ya Mexico imefuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kukusanya pointi 6 kutokana na ushindi…
Bahi, Dodoma. Serikali imeipongeza NMB Bank Plc kwa kujenga shule ya sekondari ya bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu wilayani Bahi, mradi wa Sh5…
Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na…
Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kujivunia mafanikio ya matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa kieletroniki…
Na Shaban Juma, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa vifaa tiba na rasilimali watu katika sekta…
📍Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi wa Migodi na Mazingira kwa lengo la kuhakikisha shughuli za…
John Bukuku, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika kipindi cha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake imepata mafanikio makubwa katika…
Mkurugenzi wa Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Eleuter Mangi (kulia), akipata maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na Ofisi ya…
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechaguliwa kuwa Mratibu wa Nchi za Afrika katika Ajenda ya Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Mobility). Hayo…
Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewahimiza wazazi na walezi kuimarisha…
Na John Bukuku Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefungua rasmi dirisha la uombaji wa mikopo kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga…
Na John Bukuku, Dar es Salaam, Wakili Emma Gelani kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma amesema Sheria ya Maadili ya Viongozi wa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa imezindua rasmi ratiba ya matukio yatakayofanyika kuanzia Juni 22 hadi Juni 27,…
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe, Bw. Christopher Ngubiagai akizungumza na wananchi wa kisiwa cha Gana Ukerewe. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe…
FARIDA MANGUBE MOROGOGO Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Dkt. Stella Bitanyi, amewataka wafugaji nchini kuongeza mwitikio wa kuchanja mifugo…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameiagiza Manispaa ya Kibaha kufanya tathmini ya mara kwa mara ya vipaumbele vya…
Na OWM-KAM, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao kwa…
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji…
Timu ya Taifa ya Afrika Kusini imefanikiwa kutoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la…
Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC imerejesha kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza uwezo wa kuzuia, kujiandaa, kukabiliana…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefungua rasmi dirisha la Awamu ya Nne ya Tuzo kwa watafiti…
Na Happy Lazaro, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania…
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ya miundombinu ya usafiri inayolenga kuimarisha huduma…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Waandishi, watangazaji na waandaji wa vipindi vya watoto wametakiwa kuzingatia maadili na kanuni za kitaaluma katika kuripoti…