Top Stories
View all
DODOMA KUPATA BARABARA YA NJIA SITA KWA ZAIDI YA BILIONI 241
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali Kupitia Wizara ya ujenzi imesaini mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini hadi Chamwino Ikulu…
TANZANIA NA SERBIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KISEKTA NA DIPLOMASIA
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18…
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YAFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian,…
CHALAMILA: WEZI WA VIPIMO NI VIBAKA WANAOSTAHILI HATUA KALI
Na.Sophia kingimali. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafanyabiashara kuacha tabia ya kutumia vipimo batili akisema wanaowaibia wananchi kupitia mizani…
DKT. MAGHEMBE AZINDUA TIMUN 2026, ASISITIZA NAFASI YA VIJANA KATIKA MAENDELEO ENDELEVU
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb) amemwakilisha Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb),…
SERIKALI KUENDELEA KULETA MAGEUZI KATIKA SEKTA YA SHERIA NCHINI – DKT. HOMERA
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera amesema kuwa Serikali inaendelea kufanya maboresho mbalimbali ili kuleta mageuzi katika Sekta ya Sheria…
RAIS SAMIA AKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA DUNIA IKULU, DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia…
WATUHUMIWA 176 WAHUKUMIWA KWA MAKOSA MBALIMBALI NDANI YA MWEZI MMOJA ARUSHA
Jeshi Polisi mkoani Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali kwa makosa ulawiti, ubakaji, wizi,…
AFUA ZA UKIMWI KUBORESHWA MKOA WA PWANI
Na, Mwandishi wetu – Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amekutana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala…
HESLB NA BoT KUZINDUA PROGRAMU YA ELIMU FEDHA KWA WANAFUNZI
Dodoma, Jumatatu, Mei 18, 2026 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), zimezindua rasmi utekelezaji…
TANZANIA YAAHIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA SARATANI KUFUATIA RIPOTI YA UHAKIKI WA imPACT 2025
Na John Mapepele Geneva, Uswisi — Mei 18, 2026 Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kuimarisha huduma za kinga, uchunguzi, tiba na uangalizi wa…
TFS YATOA ELIMU YA FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA MADABA
Ruvuma Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umetoa elimu kwa zaidi ya vijana 300 wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma kuhusu…
TANESCO YATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA KUBORESHA HUDUMA KWA WATEJA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti na kubuni teknolojia mpya zitakazorahisisha utoaji wa huduma kwa wateja nchini. Amesema…
WAZIRI MCHENGERWA ANGOZA UJUMBE WA TZ WHA 79 GENEVA USWISI
Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Waziri wa Afya Nchini, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika ufunguzi rasmi wa Mkutano Mkuu…
MWENYEKITI WA UVCCM IRINGA MJINI ISACK KIKOTI ATOA WITO WA UWAJIBIKAJI KWA VIJANA
…… NA DENIS MLOWE IRINGA MWENYEKITI wa UVCCM Iringa Mjini, Isack Kikoti, ametoa wito kwa vijana kuongeza uwajibikaji na nidhamu kama nguzo ya mafanikio…
UJUZI NI AJIRA: MIAKA 98 YA MAFANIKIO YA UANAGENZI PERAMIHO
Na OWM (KAM), Songea Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwekeza katika ukuzaji wa ujuzi kwa vijana…
VYAMA SITA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAANZA MAFUNZO KIBAHA
Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya vyama sita rafiki vya ukombozi kutoka kusini mwa Afrika imefanyika leo katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius…
HALAMGA AIPONGEZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA MAFANIKIO YA KUKUZA SEKTA YA UTALII
Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Mbunge wa Hanang, Asia Halamga ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa hatua na mikakati inayoendelea kuchochea maendeleo ya sekta…
MJUMBE WA KAMATI KUU ACT WAZALENDO AWATAKA VIONGOZI WA MAJIMBO KUIMARISHA MAPAMBANO YA KISIASA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Raisa Abdallah, amewataka viongozi wa majimbo kuendelea kuimarisha mapambano ya kisiasa kwa lengo la…
WANACHAMA WA ACT WAZALENDO WATAKIWA KUONGEZA NGUVU YA CHAMA KUPITIA USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili…
MELEKA KULWA NDIYE MWAKILISHI WA MTANDAO WA FULLSHANGWE KANDA YA KATI DODOMA
MELEKA KULWA PICHANI JUU NDIYE MWAKILISHI WA FULLSHANGWEBLOG KANDA YA KATI DODOMA WADAU WETU WOTE WAWASILIANE NA MELEKA KULWA MOJA KWA MOJA AU MKURUGENZI…
MASWI ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA NIDHAMU KWA WATUMISHI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Bw. Eliakim Maswi, amewataka …
TANZANIA NA MAREKANI ZATAKA MKATABA WA AFYA WENYE MANUFAA PANDE ZOTE KUWA MFANO AFRIKA
Na John Bukuku Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa, amekutana na Afisa wa Marekani wa Shirika la Global Health, Brad Smith, mjini Geneva na…
WAZIRI WA AFYA ASHIRIKI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO “WALK THE TALK” GENEVA USWISI
Waziri wa Afya na Mbunge wa Rufiji Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameshiriki matembezi ya mshikamano ya “Walk the Talk” yalioandaliwa na Shirika la Afya Duniani …
NILIFUKUZWA KAZI LIVE KWA ZOOM, BOSS AKAFICHUA SIRI YANGU MBELE YA WOTE
Siku hiyo nilikuwa nimejiandaa kwa meeting ya kawaida tu ya kazi kupitia Zoom. Nilivaa vizuri juu lakini chini nilikuwa nimevaa kawaida, nikidhani hakuna mtu…
NILIVYOFANYA BIASHARA YANGU IANZE KUONEKANA BAADA YA KUKAA MIEZI BILA WATEJA NA KUKARIBIA KUFUNGA DUKA
Kufungua biashara ilikuwa ndoto yangu ya muda mrefu. Nilikuwa nimeweka akiba kwa miaka kadhaa ili siku moja niweze kujiajiri na kusaidia familia yangu kwa…
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
Na Kassim Nyaki, Dodoma. Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa iliyopita na…
DKT. MWIGULU AMUAGA MKURUGENZI MKAZI WA (WB) MALAWI, TANZANIA, ZAMBIA NA ZIMBABWE
*Apongeza mchango wake katika maendeleo nchini. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 17, 2026 ameshiriki katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa…
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
NMB YAPATA SH. BILIONI 468 KUCHOCHEA MIKOPO KWA WAKULIMA NA WAJASIRIAMALI
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna (kushoto), na Makamu wa Rais wa IFC Kanda ya Afrika, Ethiopis Tafara,…
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
SERIKALI KUONDOSHA ADHA YA MAJI CHEMBA
Serikali imejipanga kuondosha adha ya huduma ya maji kwa wakazi wa Chemba. Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itahakikisha Mradi wa Maji…
SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA KILIMO NA UVUVI
Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Serikali imeeleza hazma yake ya kuendelea kutekeleza miradi ya mashirikiano katika sekta za kilimo na Uvuvi kwa…