ULEGA, WABUNGE WAONESHA KAZI ZA RAIS SAMIA KUSINI
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema ujenzi unaoendelea wa barabara za mikoa ya Kusini mwa Tanzania ni ushahidi mwingine wa matumizi mazuri ya fedha…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema ujenzi unaoendelea wa barabara za mikoa ya Kusini mwa Tanzania ni ushahidi mwingine wa matumizi mazuri ya fedha…
Katika siku ya nane (08) ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Wakala wa Vipimo (WMA) imeendeleza…
Mashabiki wa Simba SC wamefurika maeneo tofauti ikiwemo Jangwani jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB,…
Amshukuru Rais Samia kwa kuidhinisha fedha hizo. Na. OWM -TAMISEMI, Ulanga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb)(kushoto), akisalimia na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria anayesimamia pia shughuli za kibalozi nchini Gambia, Mhe.…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewakamata na linaendelea kuwashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kukutwa wakipanga na kuhamasisha watu kufanya vurugu na uhalifu…
Mkuu wa wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva amewataka wanafunzi 60 watakaonufaika na mafunzo ya ufundi kupitia ‘Mradi wa Dumisha Amani’ unaofadhiliwa na mashirika…
Na Prisca Libaga RS Arusha Kaimu Katibu Tawala Msaidizi anayeshughulikia Rasilimali Watu katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Polycarp Nkuyuba, amewapa wanafunzi…
📍Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo, ameagiza Tume ya Madini kuboresha mfumo wa utoaji wa leseni za madini…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kilele cha Shindano la Vijana Uchumi Challenge kwenye Kituo cha Mikutano…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, leo ametembelea banda la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika Maonesho…
Mwenyekiti wa Makampuni ya Mati Group, David Mulokozi, ameshiriki kama Mgeni Rasmi katika Ibada ya Harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa Kanisa la…
NA FARIDA MANGUBE Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mheshimiwa Prof. Riziki Silas Shemdoe…
Na Jackline Minja, WMJJWM – Ruvuma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana…
Mhadhiri Msaidizi wa Shule ya Uuguzi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Hamza Lilenga, akionesha namna ya kutatua tatizo la kupumua…
Timu ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Canada mabao 3-0 katika mchezo…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Rajabu Abdulrahman akizungumza kwenye kikao hicho jijini…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MASHINDANO ya Great Ruaha Marathon yameendelea kujidhihirisha kuwa jukwaa muhimu la kutangaza utalii wa kusini mwa Tanzania, kuhamasisha uhifadhi wa…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa…
Baada ya kusubiri kwa miaka minne hatimaye Simba SC imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB baada ya kuichapa Azam kwa bao 1-0…
Zaidi ya wananchi 1,940 wamepatiwa huduma za bure za uchunguzi wa macho katika Banda la Mixx by Yas kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…
Mhandisi wa Umeme wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), Aron Julius Munuo (wa pili kulia),…
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, anayeshughulikia Huduma za Hazina, Bw. Nsubili Joshua, akitembelea Banda la Wizara ya Fedha ili kuona namna watumishi wa…
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imezindua rasmi shughuli za Kijiji cha Bima katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Maonesho ya Kimataifa ya…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM) ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais…
DAR ES SALAAM. Benki ya NMB imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma za bima kidijitali kupitia Umebima Mini App, huduma iliyounganishwa ndani ya programu ya…
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Sera Uratibu na Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Hamza Hassan Juma akishuhudia utuaji Saini mkataba…
Dar es Salaam, Julai 3, 2026 – Watanzania sasa watapata fursa ya kujishindia simu janja aina ya ZTE A35 kila wiki baada ya Yas…
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Malezi bora ya watoto yanapaswa kutiliwa mkazo ili kujenga jamii yenye watu wenye maadili, nidhamu, uzalendo na uwajibikaji katika maisha…
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatambulika kimataifa katika nyanja mbalimbali kutokana na utendajikazi wake uliotukuka. Miongoni mwa maeneo yanayomtambulisha kwa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu…
Nilipoanzisha biashara yangu, nilikuwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa. Nilichagua eneo zuri, nikahakikisha bidhaa zangu zina ubora, na nilihudumia kila mteja kwa heshima. Mwanzoni…
Na Mwandishi Wetu, Mbinga MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas,ameipongeza Halmashauri ya Wilaya Mbinga kwa kupata hati safi kwa muda wa…
Kwa zaidi ya miaka sita, niliishi nikipigania ardhi ambayo nilijua ilikuwa yangu halali. Nilikuwa nimeinunua kwa fedha nilizozitafuta kwa jasho, lakini muda mfupi baadaye…