WAZIRI WA ULINZI NA JKT ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA UWANJA WA KIMATAIFA WA GOFU WA JWTZ DODOMA
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb.) tarehe 15 Julai, 2026 ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb.) tarehe 15 Julai, 2026 ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa…
Na John Walter -BABATI Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Michael Mwang’onda, amesisitiza umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kuhusu maambukizi ya…
* Mhandisi Samaje azindua Ukumbi wa Mikutano wa Prof. Abdulkarim Mruma * Watumishi GST watakiwa kuzingatia maadili, ubunifu na utoaji wa huduma bora Dodoma…
Na Eleuteri Mangi, Dodoma Tanzania inaendelea kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya ardhi kwa kuimarisha mifumo ya kidijiti na matumizi ya teknolojia za kisasa…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho amesema umoja na mshikamano miongoni mwa Watanzania ni msingi muhimu wa kujenga Taifa…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefungua mafunzo ya tatu ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali, yalioandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya…
Mwanasheria Mkuu wa serikali,Hamza Johari akifungua mafunzo kwa mawakili wa serikali yanayofanyika kwa muda wa siku tatu jijini Arusha . Mkurugenzi wa Uratibu na…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amesisitiza Mawakili wa Serikali kuendeleza nidhamu, uwajibikaji na uadilifu katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.…
NA DENIS MLOWE ,IRINGA WANANCHI wa Kata za Itunundu na Mboliboli, Tarafa ya Pawaga mkoani Iringa, wameeleza kufurahishwa na mafanikio ya Mradi wa Umwagiliaji…
▪️Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha huduma bora za Maabara ya madini kusini mwa Jangwa la Sahara ■ Waziri Mavunde amshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia…
Wajumbe wa Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Tunduru (TAMCU LTD) wakifuatilia mwendendo wa mnada wa nane na wa mwisho wa zao la ufuta kwa…
Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Gas Tanzania Benoite Araman(kulia) Meneja miradi nishati safi ya kupikia Jennifer Mosha, Skauti Mkuu Tanzania Rashid Mchata(wa pili kushoto) pamoja…
New York, Marekani Spika wa Bunge Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu (Mb) amesema Bunge la Tanzania limechukua hatua madhubuti za kuhimiza matumizi ya magari ya…
Benki ya NMB imetwaa tuzo ya Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 kutoka World Economic Magazine. Tuzo hiyo, iliyotangazwa…
Na Atley Kuni, WAF – Dodoma Wizara ya Afya imeendelea kuwekeza uimarishaji wa rasilimali watu kwa kuwajengea uwezo wakufunzi wa vyuo vya kati na…
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema kuna watu wamejipanga kuhakikisha makubaliano yaliyofikiwa kati ya chama chake na Chama Cha…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kumaliza tatizo la…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb), akisalimiana na Kamishna Msaidizi, Idara ya Fedha za Nje, Wizara ya Fedha, Bw. Melckzedek Mbise,…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Mahmoud Thabit Kombo leo Julai 14, 2026 amekabidhiwa rasmi kombe kutoka kwa Naibu…
📌Atishia kumweka kwenye orodha ya wakandarasi watakaowekewa zuio la kupata miradi mingine nchini. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amemtaka mkandarasi anayejenga barabara mkoani Morogoro…
Jackline Minja, WMJJWM – Kigoma Ushirikiano wa jamii, viongozi wa dini, taasisi mbalimbali na vyombo vya dola umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kutokomeza vitendo…
New York, Marekani Spika wa Bunge Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu (Mb) amesema Bunge la Tanzania limechukua hatua madhubuti za kuhimiza matumizi ya magari ya…
Mkurugenzi wa Ukuzaji wa Biashara wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) Jonathan Nkwabi akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na uongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Benki…
Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining & Gem LTD imenufaisha jamii mbalimbali Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kupitia miradi tofauti ya maendeleo ikiwemo…
Na Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Serikali itafuatilia kwa karibu changamoto zinazokwamisha…
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu…
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, *Mhe. Godfrey Mnzava*, amezindua rasmi mitambo miwili ya ukarabati wa barabara yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600,…
1. Shilingi ya Tanzania, ni vema iheshimiwe, Jinsi tunavyotumia, kwa uzuri itumiwe, Sifa kuiharibia, ni vema kulaaniwe, Kuzitupatupa noti, wala siyo jambo jema. 2.…
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi Gwakisa Bapala wakati akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika…
Na Jackline Minja, Kigoma Serikali imeendelea kuweka mazingira bora ya kuishi kwa wazee nchini kupitia uboreshaji wa Sera, huduma za afya na ukarabati wa…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, amekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya elimu kwa watoto wenye maisha duni…