BINGWA WA MASUMBWI CRAWFORD KUTOKA NCHINI MAREKANI ATINGA HIFADHI YA TAIFA TARANGIRE
Na. Calvin Katera – Babati. Bondia maarufu duniani toka nchini Marekani Terence “Bud” Crawford amejikuta katika bashasha kubwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire…
Na. Calvin Katera – Babati. Bondia maarufu duniani toka nchini Marekani Terence “Bud” Crawford amejikuta katika bashasha kubwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro WANAFUNZI wanamichezo 60 wa shule za msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro wamechaguliwa kuiwakilisha Wilaya hiyo kwenye Umoja wa…
NA DENIS MLOWE IRINGA DIWANI wa Kata ya Ilole, Erick Kikoti ameongoza mkutano mkubwa wa hadhara katika Kijiji cha Lundamatwe kwa lengo la kusikiliza…
*Wadau wa Sekta ya Madini Waendelea Kununua Crucibles za GST Dodoma – Mbwanga Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeendelea kushuhudia…
Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Bw. Tido Mhando, amewataka Waandishi wa Habari nchini kutafakari upya wajibu wao katika kuijenga…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah kando ya Mkutano wa…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mheshimiwa Deus Sangu. Mwenyekiti wa Bodi mpya Makwaia Makani. Mheshimiwa Deus Clement Sangu…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu, akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa…
*Asema changamoto ya upatikanaji mafuta duniani imeathiri uchumi wa mataifa mengi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi…
* Lengo ni kusikiliza maoni na kutatua changamoto zao kwa wakati. * Ni katika muendelezo wa kuboresha na kuimarisha uhusiano na wateja. Shirika la…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga leo Mei 26, 2026 amempongeza kwa kumpaKAMANDA KUZAGA AMPONGEZA ASKARI…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Imani Daud Aboud kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani kwenye…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (OR-MUUUB), Bw. Juma Mkomi, amewataka Wakurugenzi…
Na Shaban Juma, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kimkakati za kuimarisha afya za mama wajawazito…
Tabora Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff, amewataka wafanyakazi wa Wakala huo kuendelea kuongeza juhudi, weledi…
Na, mwandishi wetu – Msumbiji Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi…
*Deni la Bilioni 1.52 la Waliokuwa Wafanyakazi wa Kiwira Kulipwa Baada ya Uhakiki wa Mwisho Dodoma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na ushiriki…
Hassan Jaber – Afisa Mtendaji Mkuu – AXIAN, Telecom …………. Dar es Salaam, 25.05.2026. Kampuni ya mawasiliano ya Yas inayomilikiwa na AXIAN Telecom, imeendelea…
Bagamoyo, Pwani HISTORIA ya ustaarabu wa pwani ya Afrika Mashariki imeendelea kuvutia wageni na watalii wa ndani baada ya ujumbe kutoka Halmashauri ya Wilaya…
Tabora Timu ya wataalamu kutoka Makao Makuu ya Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) kutoka Roma, Italia pamoja na Harare, Zimbabwe, imevutiwa na…
Ununuzi wa magari ya Ford Ranger na Mercedes Benz Unimog yanayotimia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuogopa hata kutoka nje ya nyumba yangu. Nilikuwa nimehamia eneo lile kwa matumaini ya kuanza maisha mapya…
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa amezitaka halmashauri, taasisi binafsi, mashirika mbalimbali pamoja na wananchi kuendelea kushirikiana…
Kukua kwenye nyumba yenye ugomvi wa kila mara si jambo rahisi. Kwa miaka mingi nilikuwa nikiona wazazi wangu wakibishana karibu kila wiki. Mwanzoni nilidhani…
Na Mwandishi Wetu,Tunduru Wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vya Halmashauri ya wilaya Tunduru Mkoani Ruvuma,wameilalamikia ofisi ya biashara ya Halmashauri hiyo kuwaongezea kodi za pango…
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mheshimiwa Swahiba H. Mndeme, amewasilisha rasmi Hati za Utambulisho kwa Mtukufu Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden katika hafla…
Mkuu wa wilaya ya Arusha ,Joseph Mkude akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo kuhusu mgomo wa daladala. Happy Lazaro,Arusha . Arusha .Mkuu…
Mkurugenzi wa Makumbusho ya Kumbukumbu ya Chifu Ndaskoi akizungumza kwenye hafla hiyo jijini Arusha leo. Mkurugenzi wa Makumbusho ya Kumbukumbu ya Chifu Ndaskoi akitoa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maya Maya jijini Brazzaville, nchini Jamhuri ya Kongo kwa ajili ya…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
Kwa miaka mingi nilikuwa nikihangaika kutafuta breakthrough kwenye biashara yangu. Nilikuwa nimeanza kampuni yangu kwa matumaini makubwa sana. Nilikuwa na ndoto ya siku moja…
Hakuna maumivu makubwa kama kumuona mtoto wako akiwa mgonjwa mara kwa mara bila kuelewa nini hasa kinaendelea. Mtoto wangu alikuwa mchangamfu sana alipokuwa mdogo.…
Na.Sophia Kingimali. Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka wanahabari nchini kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kujenga umoja,…