Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

MKUTANO WA KUIMARISHA CCM MKOA WA KUSINI UNGUJA 

Makamo Mwenyekiti wa CCM Taifa pia Rais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akivalishwa Skafu na Ndg.Abdalla Adam UVCCM wakati alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein, Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja leo akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi CCM. 04/06/2023. Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar  pia Rais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza

John Bukuku By John Bukuku

MTENDAJI MKUU MAHAKAMA AMWAKILISHA JAJI MKUU MAPOKEZI NDEGE MPYA YA MIZIGO

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (kulia) pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (wa pili kushoto), Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus

John Bukuku By John Bukuku

RAIS DKT. SAMIA AWAALIKA YANGA CHAKULA CHA JIONI IKULU

Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 05 Juni, 2023 ameialika timu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga) kwa chakula cha jioni Ikulu, Jijini Dar es Salaam kwa lengo kuipongeza kwa kufanya vizuri katika michuano ya soka ya kugombea Kombe la Shirikisho Barani Afrika iliyohitishwa jana Jijini Algers, Algeria.

John Bukuku By John Bukuku

WAKAZI MATEPWENDWE WAIOMBA TARURA KUKAMILISHA UJENZI WA DARAJA NA KUFUNGUA BARABARA

Waendesha Pikipiki wakipita kwa tabu kwenye daraja la miti  katika mto Kotoko kaya ya Rwinga wilayani Namtumbo. Sehemu ya barabara inayounganisha kijiji cha Matepwende na kitongoji cha Zanzibar wilayani Namtumbo ikiwa imeharibika vibaya na mvua za masika na hivyo kuhitaji kufanyiwa matengenezo makubwa ili kurahisisha shughuli za usafi na usafirishaji wa mazao. Baadhi ya mafundi wakianza ujenzi  wa daraja katika

John Bukuku By John Bukuku

WANANCHI PERAMIHO WAHIMIZWA KURASIMISHA SHUGHULI ZAO ZA KIUCHUMI BRELA

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiteta jambo na Msajili Msaidizi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bi Fatma Jumanne mara baada ya kukabidhiwa shajala pamoja na vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea hatua za uramishaji wa biashara, katika mafunzo ya siku moja kwa wananchi zaidi ya 600 yalifanyika Peramiho, Songea

Alex Sonna By Alex Sonna

BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA WANAFUNZI CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

Ofisa Rasilimali Watu wa Barrick North Mara ,Gloria Jimmy akizungumza katika kongamano la kuwajengea uwezo wanafunzi wa Vyuo vikuu vilivyopo mikoa ya Arusha na Kilimanjaro lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA), jijini Arusha kwa udhamini wa kampuni ya Barrick.Wengine pichani ni wafanyakazi wa kampuni hiyo.

Alex Sonna By Alex Sonna

KAMPENI ZA USAFI ZATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU KUONDOSHA TAKA MAENEO YA JIJI LA DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri,akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wananchi mara baada ya kufanya  usafi wa mazingira katika kata ya Ipagala leo Juni 4,2023 jijini Dodoma  ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimishi ya  siku ya mazingira duniani yatakayofanyika kesho Juni 5, mwaka huu. MKUU wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri akifanya usafi wa mazingira katika kata ya

Alex Sonna By Alex Sonna

WAZIRI GWAJIMA AWATAKA WAZAZI KULINDA WATOTO

Wazazi na walezi wametakiwa kuwalinda watoto wao kama wanavyolinda mali nyingine ili kuwaepusha dhidi ya kufanyiwa vitendo vya kikatili ikiwemo ubakaji na ulawiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalum Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima Leo Juni 3, 2023 wakati akizindua Kampeni ijulikanayo kwa jina la ‘‘Sema Nao’’ iliyoandaliwa na Jeshi la Polisi kwa lengo

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Biashara

WAFANYAKAZI ATCL WAKO TAYARI KUPOKEA NDEGE

Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Tanzania ATCL wakiwa tayari kabisa kupokea ndege katika  hafla ya mapokezi ya ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 767 yenye uwezo wa kubeba

John Bukuku By John Bukuku

WASHIRIKI WA MAONESHO YA BIASHARA YA 47 SABASABA WAZUNGUMZIA MAANDALIZI

Profesa Dorcas E. kibona Mwazilishi na Mtendaji wa kampuni ya Dorkin Organic Akizungumzia maandalizi ya Maonesho ya Biashara  ya sabasaba mwaka 2023. Msanii wa filamu Gabo Zigamba akizungumza na waandishi

John Bukuku By John Bukuku