Ad imageAd image

Latest news

WAZIRI KOMBO: SERA MPYA YA MAMBO YA NJE KUIMARISHA DIPLOMASIA NA MASLAHI YA TANZANIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Sera mpya ya Mambo ya Nje ya mwaka 2001 (Toleo la mwaka 2024) inalenga kuiimarisha Tanzania kimataifa kwa kutumia diplomasia makini na shirikishi ili kulinda na kutetea maslahi ya taifa. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 19, 2025, katika uzinduzi wa sera hiyo uliofanyika kwenye

John Bukuku By John Bukuku

BODI YA ITHIBATI YAWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO ILI KUPATA VITAMBULISHO

Na Sophia Kingimali,Dar es salaam. BODI ya Ithibati ya Waandishi wa habari(JAB)imetoa rai kwa waandishi wa habari waliokidhi vigezo vya kihabari kuanza kujisajili rasmi kwenye mfumo kwani imeanza rasmi kutoa vitambulisho vya waandishi wa habari(Press Card) vitakavyowawezesha kufanya kazi zao kwa heshima na uadilifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo May 16,2025 jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Bodi hiyo,

John Bukuku By John Bukuku

RAIS SAMIA AAGIZA HATUA KALI KWA WANAHARAKATI WA NJE KUINGILIA MAMBO YA NDANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Wizara ya Mambo ya Ndani, pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za haraka dhidi ya watu wanaotumia mitandao na teknolojia vibaya. Aidha, amekemea vikali wingi wa wanaharakati kutoka nje ya nchi wanaojaribu kuingilia masuala ya

John Bukuku By John Bukuku

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA SERA YA MAMBO YA NJE YA MWAKA 2001 TOLEO 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Sera ya Mambo ya Nje ya mwaka 2001 Toleo la Mwaka 2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Mei, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda ya maonesho kabla

John Bukuku By John Bukuku

KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA NGAZI YA MKOA NA WILAYA NA KLINIKI YA SHERIA BILA MALIPO YAZINDULIWA SINGIDA

 “Tutatoa huduma hii bure na kwa weledi mkubwa” – Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida imezindua rasmi Kamati ya Ushauri wa Kisheria ngazi ya Mkoa na Wilaya na Kliniki ya Sheria bila malipo kwa Wananchi wa Mkoa wa Singida. Uzinduzi huo umefanyika tarehe 19 Mei, 2025

John Bukuku By John Bukuku

JAJI MWAMBEGELE ATEMBELEA KITUO CHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMA LA WAPIGA KURA TANGA

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akiwa katika kituo cha Uborreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wakati alipotembelea kituo cha Mtendaji wa Kijiji cha Magila Gereza Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga leo Mei 19,2025. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani

John Bukuku By John Bukuku

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA SENGEREMA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mwananchi kwenye wanja wa CCM  akita katika tiara ya kikazi moa wa Mwanza,, Mei 19, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi kwenye uwanja wa CCM  Sengerema akiwa katika ziara ya kikazi mkoa wa Mwanza, Mei 19, 2025. Kulia ni Mbunge wa Sengerema, Hamisi Tabasamu.(Picha na Ofisi

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

Discord’dan bir kod aldım: STARTSPINS — 100 spin kullanıldı, para yatırma yok. Casino girişi anında yapıldı. Mobil kumar seçenekleri çok büyük ve vivi casino uygulama masaüstüyle gerçek zamanlı çevrimiçi oyun senkronizasyonunu destekliyor.