Ad imageAd image

Latest news

MKUU WA MISHENI YA UANGALIZI UCHAGUZI YA SADC AKUTANA NA UONGOZI WA JESHI LA POLISI BOTSWANA

Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda, amekutana na kuzungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi nchini Botswana alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Gaborone tarehe 21 Oktoba 2024.. Mhe. Pinda alikwenda katika ofisi hizo kwa ajili ya kujitambulisha pamoja na ujumbe wake ambako alikutana na kuzungumza

John Bukuku By John Bukuku

MATUNDA YA UWEKEZAJI WA BANDARI YAANZA KULIPA

Na Ashrack Miraji Full shagwe media MATUNDA ya Uwekezaji wa Bandari ya Tanga wa Sh.Bilioni 429 uliofanywa na Serikali umeanza kulipa kutokana na maboresho makubwa na hivyo kuwezesha ongezeko kubwa la idadi ya meli zinazopitisha shehena kutoka meli 197 kwa mwaka 2022/2023 hadi kufikia meli 307 kwa mwaka 2023/2024 Hayo yalisemwa leo na Meneja wa Bandari ya Tanga Mrisha Masoud

John Bukuku By John Bukuku

MACHIFU WA MBEYA WATEMBELEA BANDA YA BoT WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA

Machifu wa jiji la Mbeya wakiongozwa na Chifu Lyoto wakipokea zawadi  kutoka kwa Dkt. Dominick Chalu Mwakilishi wa Mkurugenzi Utumishi na Uendeshaji Tawi  BoT Mbeya Mara baada ya kutembelea katika banda ma BoT katika Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi”, yanayoendelea katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe, jijini

John Bukuku By John Bukuku

GEITA YAUPOKEA MRADI WA BILIONI 17 KWA AJILI YA KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 105

Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, leo jioni, tarehe 22 Oktoba, 2024 akiongea na Wanahabari mara baada ya kumpokea rasmi mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industrial & Commercial Ltd; kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa wa Geita; Mradi utakaotekelezwa katika kipindi cha miaka miwili, kuanzia

Alex Sonna By Alex Sonna

DIB WATOA ELIMU YA FEDHA KWA SACCOS YA WALIMU NA MACHIFU JIJINI MBEYA

Akizungumza katika Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yenye kaulimbiu "Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi," yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-Nzovwe jijini Mbeya, Thwaiba Juma, Afisa kutoka Bodi ya Bima ya Amana (DIB), amesema kuwa wamekutana na machifu wa Mbeya pamoja na SACCOS ya waalimu jijini Mbeya na kubadilishana mawazo kuhusu jinsi wanavyoweza kusaidia

John Bukuku By John Bukuku

BENKI KUU YATOA SOMO LA FEDHA KWA WANAFUNZI WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA MBEYA

Wanafunzi wakiwa darasani wakipata mafunzo ya masuala  ya fedha katika wiki ya huduma za kifedha inayoedelea kwenye viwanja vya Luanda Nzovwe jijini Mbeya Bw. Alphonce Bishanga kutoka Kurugenzi ya Usimamizi wa Fedha Ndogo BoT akiwapa maelezo waalimu kutoka katika Saccos Yao jijini Mbeya waliofika katika banda Hilo kupata elimu. ..................  NA JOHN BUKUKU, MBEYA Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewajengea

John Bukuku By John Bukuku

BODI YA BIMA YA AMANA YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA MBEYA 

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imetoa fursa maalum wiki hii ya kutoa mafunzo kuhusu masuala ya fedha, ikiwemo nafasi ya kueleza majukumu yake kwa wanafunzi wa vyuo vya VETA na Chuo cha IFM mkoani Mbeya . Lengo kuu ni kuwafanya wanafunzi hao kuwa mabalozi wa kuelimisha wenzao kuhusu masuala ya bima na benki. Akizungumza katika Viwanja vya Luanda Nzovwe

John Bukuku By John Bukuku

BARAZA MA MITIHANI LATANGAZA KUANZA KWA MITIHANI YA UPIMAJI DARASA LA NNE

Na Sophia Kingimali,Dar es salaam. Baraza la Taifa la mitihani (NECTA) limetangaza rasmi kuanza kwa mtihani Wa upimaji kitaifa wa darasa la nne na mtuhani wa kidato cha pili huku likitoa rai kwa wanafunzi kutojigusisha na udanganyifu kwani atakaebainika atafutiwa mitihani yake. Akizungumza na waandishi wa habari leo octoba 22,2024 katibu mtendaji wa NECTA Dkt.Said Mohamed amesema mitihani hiyo inatarajiwa

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Biashara

MACHIFU WA MBEYA WATEMBELEA BANDA YA BoT WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA

Machifu wa jiji la Mbeya wakiongozwa na Chifu Lyoto wakipokea zawadi  kutoka kwa Dkt. Dominick Chalu Mwakilishi wa Mkurugenzi Utumishi na Uendeshaji Tawi  BoT Mbeya Mara baada ya kutembelea katika

John Bukuku By John Bukuku

SACCOS TUMIENI MIFUMO YA KIDIGITALI – NAIBU WAZIRI SILINDE

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, amevitaka Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) kutumia mifumo ya kidigitali inayoendana na uwezo wa kifedha wa vyama hivyo, ikiwemo mfumo unaosimamiwa

John Bukuku By John Bukuku