Friday, July 17, 2026

Top Stories

View all
UFUFUAJI WA TAZARA WAPIGA HATUA KUBWA MBELE

UFUFUAJI WA TAZARA WAPIGA HATUA KUBWA MBELE

Dar es Salaam Mradi wa ufufuaji wa Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) umefikia hatua muhimu baada ya Shirika la China Civil Engineering Construction…

WANANCHI WAASWA KULINDA MAZINGIRA NA KUTUNZA MIRADI

WANANCHI WAASWA KULINDA MAZINGIRA NA KUTUNZA MIRADI

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 ambao utachagiza uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa kizimba cha ufugaji wa samaki kilichopo katika Kijiji cha Hinga wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026, mradi utakaosaidia kupanua wigo wa uvuvi hivyo kuchochea sekta ya uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akizungumza na wananchi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za usimamizi wa mazingira. ……… Dkt Muyungi awataka wananchi kuitunza miradi ya maendeleo Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi ametoa…

WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA OKOA MAISHA GALA

WAZIRI MKUU AONGOZA HAFLA YA OKOA MAISHA GALA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji  wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Profesa Abel Makubi  (wa pili kulia) alipowasili kwenye ukumbi wa…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽

Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe!  Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026*  Tunayo…