MHE. KOOLA AITAKA SERIKALI IWEKE DHAMANA KWA KNCU KULIPA DENI LA MILIONI 800 VUNJO NA MOSHI VIJIJINI
23 Juni 2026 Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Enock Koola, ameishauri Serikali kuweka dhamana kwa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU)…
23 Juni 2026 Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Enock Koola, ameishauri Serikali kuweka dhamana kwa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU)…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeongeza makusanyo ya mapato kutoka Sh bilioni 27 mwaka 2015/2016 hadi Sh…
Na Oscar Assenga, Muheza WANANCHI 6,258 wa Kijiji cha Muungano, Wilaya ya Muheza, wamenufaika na huduma bora za afya kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), baada…
Mratibu wa Uchumi Parachichi Marathon Respicius Mtabingwa DENIS MLOWE ,NJOMBE JUMLA ya shilingi milioni 32.96 zinatarajiwa kutolewa kwa washindi wa mashindano ya Uchumi Parachichi…
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonesha ubora wa huduma zake kwa wananchi kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema Serikali imebadili mtazamo katika kusimamia sekta ya viwanda na biashara kwa kuweka mkazo kwenye uwezeshaji…
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni amesema kuwa Tanzania inaendelea kujivunia…
Na: OWM-KAM, Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha usimamizi wa ajira za wageni nchini kwa lengo la kuhakikisha ajira hizo zinatolewa kwa kuzingatia sheria na wageni…
Jacob Lekumbere,Afisa Utalii kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hatosahau siku alipotumia mbinu za kimedani kumkwepa simba aliyetazamana naye uso kwa uso. Jacob akiwa…
Na Oscar Tarimo WMJWM Dodoma Serikali imezitaka familia, viongozi wa dini, viongozi wa kimila na wananchi kwa ujumla kuhakikisha wajane wanalindwa, wanaheshimiwa na kuwezeshwa…
Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/2027 itatekeleza miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo kuunganisha mikoa ya Lindi, Mtwara, Kagera na Rukwa kwenye gridi ya…
Kwa miaka miwili nilikuwa naishi maisha ya kukataliwa. Kila wiki nilikuwa natuma CV, nikajaza applications, na kwenda interviews nikiwa na matumaini makubwa. Wakati mwingine…
Nilipoolewa, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningekuwa na uhusiano mzuri na familia ya mume wangu hasa mama yake. Mwanzoni kila kitu kilionekana sawa. Tuliongea…
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la Tiba Mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda KCMC mkoani Kilimanjaro lenye thamani ya Bilioni…
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray, leo tarehe 22 Juni, 2026 ametembelea banda la…
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Austria katika mchezo wake wa pili wa hatua ya makundi…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, akizungumza wakati wa kikao chake na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Firas…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
▪️Aipongeza Wizara ya Habari Maandalizi AFCON 2027. Na Adelina Johnbosco – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, ameipongeza Ofisi ya…
Serikali imesema maboresho yanayoendelea kufanyika katika usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka nchini yanakusudia kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi katika sekta mbalimbali.…
Na Mwandishi wetu, Rufiji – Pwani Madiwani wa Halmashauri za Wilaya za Mpanda na Nsimbo mkoani Katavi, wakiongozana na baadhi ya wabunge na viongozi…
Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa…
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza utayari wake wa kuendelea kuunga mkono juhudi za kikanda za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa SADC…
Tangu nikiwa mwanafunzi wa shule ya sekondari, nilikuwa na ndoto ya kuendelea na masomo yangu nje ya nchi. Nilijua kwamba kupata elimu ya kiwango…
Mtoto wangu alikuwa mmoja wa watoto waliokuwa wakinifanya nijivunie kuwa mzazi. Alikuwa mtiifu, mwenye bidii shuleni, na aliyeheshimu watu wote waliokuwa karibu naye. Kwa…
Na Oscar Assenga,TANGA. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Michael Mwang’onda, amepongeza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya…
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla akizungumza katika ziara hiyo jijini Arusha leo. ……….. Na Happy Lazaro, Arusha Mkuu wa…
📍DODOMA Banda la Tume ya Madini limeendelea kuwa kivutio kikubwa kwa mamia ya wananchi wanaotembelea Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Miaka iliyopita, Mkoa wa Pwani ulionekana zaidi kama eneo linalozunguka Jiji la Dar es Salaam, lakini leo unaanza kujijenga upya…
Same, Kilimanjaro — Huku wakisubiri kuwasili kwa Mwenge wa Uhuru Juni 28 mwaka huu, wananchi wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wamesema ujio huo…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini wa makubaliano ya ushirikiano kati ya Shirika la Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA),…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameondoka nchini baada ya kukamilisha Ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini iliyofanyika kuanzia tarehe…