NMB YAIMARISHA UBIA NA SMZ KUSUKUMA UKUAJI ENDELEVU ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja wa Biashara Zanzibar wa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja wa Biashara Zanzibar wa…
Na Mwamvua Mwinyi-Rufiji Mei 24,2026 Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo…
Na Benny Mwaipaja, Congo, Brazaville Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili nchini Congo, Brazzaville, amabako atashiriki Mkutano Mkuu wa 61…
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
Ā Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kushoto) akiongoza zoezi la Usafi wa Mazingira katika kituo cha daladala na bajaji (Stendi…
šRuvuma Uanzishwaji wa masoko rasmi ya madini pamoja na matumizi ya mfumo wa bei elekezi mkoani Ruvuma, umetajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa vitendo vya…
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Chacha Marigiri, akiwasilisha mada kuhusu āUtawala bora katika mashirika ya Umma na…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurahisisha usafirishaji wa…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mixx, Bi. Angelica Pesha, akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya āJimixx FIFA World Cup 2026 na Hisenseā iliyofanyika…
Na Mwandishi, Morogoro Serikali imeendelea kutekeleza mikakati iliyoanishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi chenye maadili,…
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Iringa. Amesema tangu…
Ndoto yangu kubwa tangu nikiwa mdogo ilikuwa kusoma nje ya nchi. Nilikuwa naamini elimu ingeweza kubadilisha maisha yangu na ya familia yangu. Kila mara…
Kuingia kwenye uongozi haikuwa jambo ambalo watu wengi walitarajia kutoka kwangu. Kwa miaka mingi nilikuwa mtu wa kawaida kwenye jamii yetu. Nilipenda kusaidia watu…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Florentino Kyombo, imetembelea na kukagua miradi ya…
šSAME. ZAIDI ya Wakulima 23184 katika skimu za umwagiliaji za Ndungu, Ndungu fidia, Kalemane na Vumba jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza kilogramu 504.36 za dawa za kulevya aina ya heroin katika kiwanda cha saruji…
Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA Anthony Kasore amefanya ziara katika chuo cha REDUEdu kilichopo Rovaniemi nchini Finland ili kujionea maendeleo ya wakufunzi 25 wanaopata…
*Aonya dhidi ya vitendo vya uchochezi, kujiteka na propaganda zinazolenga kuwagombanisha Watanzania *Asema Serikali imejikita kusikiliza wananchi na kutatua kero zao badala ya mijadala…
*Aagiza viongozi kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa wakati *Apiga marufuku kushikiliwa kwa vitendea kazi vya wananchi kwa makosa madogo *Asema Serikali itaendelea…
* Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao * Awapongeza kwa utendaji bora wenye kujenga taswira chanya ya Serikali na Shirika kwa wananchi…
Morogoro āWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imewahimiza Maafisa Ununuzi kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na taratibu za ununuzi ili kudhibiti upotevu wa…
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamenufaika na elimu kuhusiana na ugonjwa wa…
šAsema mradi huo utafungua fursa mpya za uchumi na kupunguza msongamano wa magari mjini Iringa šAagiza malipo ya vibarua yafanyike kwa wakatiĀ Waziri Mkuu,…
Balozi Togolani Edriss Mavura awasilisha Hati za Utambulisho kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aanza rasmi majukumu yake kama Mwakilishi wa Kudumu wa…
*Asema mradi huo utafungua fursa mpya za uchumi na kupunguza msongamano wa magari mjini Iringa *Aagiza wakandarasi kuwalipa kwa wakati wadaiwa wao WAZIRI MKUU,…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki imetoa msaada wa vifaa vya TEHAMA vyenye thamani…
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amemfuta kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja rasmi serikali yote kufuatia mvutano wa muda mrefu uliokuwa ukiendelea…
22 May 2026,Ā Ingawa Tanzania hakujatolewa taarifa yoyote ya ugonjwa huo ila ni vema jamii kwa ujumla kupata elimu ya namna ya kujikinga.Picha na…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Serikali inafikiria kuzifanya Mbio za Siku ya Afrika kuwa za Kimataifa ili kufanikisha…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ā Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, leo Mei 22, 2026 jijini Arusha…
Ruvuma Mkoa wa Ruvuma umeendelea kujizolea umaarufu katika sekta ya madini baada ya makaa ya mawe yanayochimbwa katika wilaya za Mbinga, Songea na Nyasa…
Na Aron Msigwa, Nairobi ā Kenya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na Majeshi ya Ulinzi ya nchi Wanachama wa Jumuiya…