- Advertisement -
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha. Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama Barabarani huku Jeshi hilo likiwapongeza wale wote waliotii agizo la serikali la kuondoa namba ambazo hazijasibitishwa na mamlaka ya viwango Tanzania (TBS). Akiwa katika Operesheni hiyo leo Machi 19, 2024 Mkoani Arusha…
Kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa mhasibu wa kanda ya ziwa wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ,Upendo Furaha Peneza na kurudi chama cha mapinduzi CCM , wanachama 481 wa vyama vya upinzani ambao walikuwa ni wafuasi wake wameamua kuungana naye pia na kujiunga na chama cha CCM. Wanachama hao wamepokelewa na mwenyekiti wa CCM wilaya ya GEITA, BARNABAS MAPANDE kwenye…
Na Mwandishi wetu, Babati MKUU wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameziagiza Halmashauri za wilaya za mkoa huo kuhakikisha zinafuatilia madeni ya watu waliochukua mikopo ya asilimia 10 na kuzirejesha. Amewataka wakuu wa wilaya kushirikiana na viongozi hao kufuatilia madeni hayo ikiwemo kuwakamata na kuwakeka ndani wale wasiorejesha mikopo yao. Sendiga akizungumza mjini Babati kwenye kikao cha ushauri cha…
Baadhi ya miundombinu iliyojengwa kwenye mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Ndumbi ziwa Nyasa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma ambapo serikali imetoa shilingi bilion 12.2 kutekeleza mradi huo ambao umekamilka kwa asilimia 100 Jengo la kupumzikia abiria katika bandari ya Ndumbi,jengo hilo lina uwezo wa kuhudumia abiria 70,000 kwa mwaka Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mhandisi Stell Manyanya Na…
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Mhe. Jacobs Mwambegele akizungumza jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2024 wakati akitoa Risala ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara. (Picha na NEC). ................ Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam. Wagombea Udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa Kura katika Uchaguzi Mdogo…
Rushwa ni tatizo la kidunia lenye madhara makubwa kwa mtu, jamii, nchi na mataifa kwa ujumla. Rushwa imetumika kupoka haki za watu kwa kumnyanganya haki yeye aliyeistahili na kumpa yule asiyeistahili kwa sababu mwenye jukumu la kutoa haki amepokea hongo au kaahidiwa kupewa hongo ili apindishe sheria. Ni kwa sababu ya rushwa wapo vijana wanaokosa fursa za masomo au za…
Na Lucas Raphael,Tabora Mkuu mpya wa mkoa wa Tabora Paul Chacha amesema kwamba amekuja tabora kwa ajili ya kusimamia haki, usalama na maendeleo ya wananchi wa mkoa wa huo. Kauli hiyo alitoa jana alipokuwa akizungumza katika kikao cha pamoja na watumishi wa kanda mbalimbali za mkoa huo wakati kukaribishwa wake kwenye ukumbi wa mtemi Isike Mwanakiyungi Chacha alisema kwamba…
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga (Kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii wakati wa ziara ya Kamati hiyo mkoani Pwani. Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga (Kulia) mara baada ya kuwasili Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa…
Confirmed
0
Death
0
Kukosekana kwa elimu sahihi ya kulipa kodi ya ongezeko la thamani VAT kwa baadhi ya wafanyabiashara kwenye Halmashauri ya Wiaya ya Same imetajwa kuwa sababu mojawapo inayochangia baadhi yao kukwepa…
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa huo Kamishina Jumanne Murilo, akizungumza katika uzinduzi wa Aplikesheni ya usafirishaji abiria inayoitwa Suka App iliyobuniwa na kampuni ya Taksol Limited ya jijini…
Sign in to your account