RAIS DKT. MWINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA MGENI WAKE RAIS WA SINGAPORE IKULU ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 10 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, amempokea mgeni wake…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 10 Juni 2026, Ikulu Zanzibar, amempokea mgeni wake…
Calgary, Canada Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, ameendelea kuitangaza Tanzania kimataifa kwa lengo la kuvutia…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Vikundi 51 vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani, vimenufaika na mikopo yenye thamani…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, leo Juni 10, 2026, amefungua rasmi Mafunzo kwa Maafisa…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Frederick Sumaye, walipokutana katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, leo Jumatano,…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NMB Bank PLC, David Nchimbi, (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo, Ruth…
Siku kaka yangu alipotoweka, maisha ya familia yetu yalibadilika kabisa. Hakukuwa na mtu aliyedhani kwamba angeondoka na kutoweka kwa muda mrefu kiasi hicho. Mwanzoni…
Arusha 9 Juni, 2026 Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Omary Mchengerwa, ameitaka Bodi mpya ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mt. Meru…
Na Beda Msimbe, TBN, aliyekuwa Urusi Kwa miaka mingi, mazungumzo kuhusu nishati nchini Tanzania yamekuwa yakitawaliwa na vyanzo vya maji, gesi asilia, na sasa…
Afisa wa Udhibiti wa Ubora na Usalama wa kampuni hiyo, Julius Ngeno akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Happy Lazaro,Arusha . Arusha .Wakati…
Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayotumika…
Hakuna maumivu makubwa kwa mzazi kama kuona mtoto wake akiwa karibu naye, lakini mioyo yenu ikiwa mbali sana. Hicho ndicho nilichokuwa napitia na mwanangu…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, amesema Bajeti ya Serikali ya mwaka 2026/27 ni ya kipekee kwani…
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, ametoa rai kwa nchi za Afrika kubadili changamoto za kimataifa kuwa fursa kwa kuwekeza katika elimu,…
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangye Bangu, ameshiriki Jukwaa la Tanzania na Misri la Utalii,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Tharman Shanmugaratnam wakishuhudia utiaji saini wa…
Dodoma. Bohari ya Dawa (MSD) imeihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI kuwa itaendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za…
Na Jackline Minja, New York, Marekani Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameieleza Jumuiya ya…
Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole,…
NA FAUZIA MUSSA MKURUGENZI wa Kampuni ya DeepSearch International Ltd, Yussuf Washokera, amesema kuanzishwa kwa mfumo rasmi wa kidijitali unaowaunganisha madereva na waajiri kutasaidia…
NA FAUZIA MUSSA SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imepongeza kurejea kwa Klabu ya Lions Zanzibar baada ya kusitisha shughuli zake kwa zaidi ya miaka…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari. …………. Na John Bukuku, Dar es Salaam Kwa miaka mingi, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali…
Na Mwandishi Wetu Weledi, maadili na uelewa wa sheria kwa waandishi wa habari vimetajwa kuwa nyenzo muhimu katika kulinda haki za wananchi na kuhakikisha…
Na Oscar Assenga,TANGA Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kuboresha…
Na Meleka Kulwa, Fullshangwe Blog – Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeipongeza Hospitali ya Rufaa ya Kanda…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira ilipofanya ziara mapema mwaka huu kukagua ujenzi na ukarabati wa mfereji wa skimu ya umwagiliaji…
Fundi Sanifu wa Bohari ya Dawa (MSD) Raiyah Said akifanya matengenezo Kinga ya mashine ya kusafisha damu na ile ya upasuaji byote vya Hospitali…
Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
DODOMA Juni 9, 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kuadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake kwa hafla maalum itakayofanyika Julai 1, 2026, sambamba…
Mtendaji wa safari na utalii,Lucia Mbwambo akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampuni hiyo jijini Arusha ……….. Na Happy Lazaro, Arusha Katika kipindi ambacho…
Kiwira Mgodini, Songwe Bodi ya pongeza Matumizi ya Teknolojia ya Akili Unde Mgodi Yaguswa na ujenzi wa madarasa Yapongeza Uwekezaji katika mgodi wa makaa…
* Awataka kutumia taaluma yao kuja na suluhu ya kuendeleza sekta ya madini * Utafiti wa madini ni kipaumbele cha kwanza chini ya uongozi…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imepokea Ujumbe na kufanya mazungumzo kutoka Ubalozi wa Japan nchini Tanzania. Ujumbe huo umetembelea Ofisi ya Mwanasheria Mkuu…
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akisalimiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof.…