Mchanganyiko
6 hours ago
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa ujenzi wa bandari ya Mbamba Bay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 ambao utachagiza uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akikagua mradi wa kizimba cha ufugaji wa samaki kilichopo katika Kijiji cha Hinga wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026, mradi utakaosaidia kupanua wigo wa uvuvi hivyo kuchochea sekta ya uchumi wa buluu. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akizungumza na wananchi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma Julai 16, 2026 wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za usimamizi wa mazingira. ……… Dkt Muyungi awataka wananchi kuitunza miradi ya maendeleo Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi ametoa…