WAZIRI SANGU AWATAKA WAAJIRI NCHINI KUTEKELEZA DIRA 2050
✅Asisitiza Waajiri kutekeleza amri ya kima cha chini cha mishahara Na: OWM – KAM, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu…
✅Asisitiza Waajiri kutekeleza amri ya kima cha chini cha mishahara Na: OWM – KAM, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) tangu kuanzishwa kwake, Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Kupitia Mwenyekiti…
Na. Sixmund Begashe, MNRT WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Mfuko wa Kuhifadhi Wanyamapori Tanzania (TWPF), imekabidhi pikipiki kwa Halmashauri 22 na Jumuiya za…
*Zaidi ya Wataalamu 30 Wanufaika na mafunzo kupitia Mradi wa Kizuna Dodoma Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Shirika la Ushirikiano wa…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amewataka madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kuchangamkia fursa ya miradi ya…
*Unalenga kurahisisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia kwa wananchi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua mfumo wa kidijitali wa kuagiza gesi…
Kwa zaidi ya miezi minane, familia yetu ilikuwa ikiishi kwa hofu. Kulikuwa na mwizi ambaye alikuwa akiingia nyumbani kwetu na wakati mwingine kwa majirani…
Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningesikia mke wangu akinitajia neno talaka kwa uzito mkubwa. Tulikuwa tumefunga ndoa kwa miaka kadhaa na tulikuwa tumepitia mengi…
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Tathmini ya Mwaka 2025/26…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WATENDAJI wa vijiji, viongozi wa serikali za mitaa na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani Iringa wamepatiwa mafunzo na uelewa kuhusu…
Na, Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali ambayo yamekuwa…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha walipakodi wote nchini kushiriki matembezi na mbio za Shukrani kwa Mlipakodi kuelekea Tuzo ya Rais kwa Mlipakodi bora…
Tanzania imeendelea kujijengea heshima katika jukwaa la kimataifa baada ya kutambuliwa kama mfano wa kuigwa katika kuimarisha haki za wanawake wakiwemo wafanyakazi wa majumbani,…
Na Antonia Mbwambo 24 Juni, 2026 Timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Rais–UTUMISHI kwa kushirikiana na Watumishi Housing Investment imefanya ziara ya ukaguzi wa…
*Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma *Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato *Awapongeza kwa kazi…
Paris, Ufaransa Chuo cha Dhow Countries Music Academy (DCMA) cha Zanzibar kimeandika historia baada ya kutangazwa mshindi wa Tuzo ya 21 ya UNESCO-Sharjah Prize…
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Dkt. Evaline Munisi (katikati), akiwa katika picha ya pamoja Maafisa na Watumishi…
Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Tanzania, Machano Ali Machano Na Happy Lazaro, Arusha Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa viwanda, sekta binafsi pamoja na…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mzunguko…
📌 Kamera Kufungwa Kudhibiti Uharibifu Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Kigoma imetoa rai kwa wananchi wanaoishi pembezoni mwa…
Na Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema imejipanga kikamilifu kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na hali ya El Niño kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimsikiliza Afisa wa Tiba Bi. Rehema Ramadhan akielezea utendaji kazi wa mashine…
Na Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema imejipanga kikamilifu kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na hali ya El Niño kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga amezindua basi jipya la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, ukumbi wa mikutano…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Rosemary Senyamule, amezindua rasmi ofisi na kampuni ya Landmax Real Estate Company Limited…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti aina ya stafeli kama kumbukumbu ya uzinduzi wa Jengo la…
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha…
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki nchini Tanzania (EALA),James Ole Millya akizungumza kwenye bunge hilo jijini Arusha ……….. Na Happy Lazaro, Arusha Mbunge wa…
NA DENIS MLOWE ,IRINGA SHIRIKA la Hand in Hand Eastern Africa Tanzania (HIHEA) limezindua rasmi utekelezaji wa mradi wa Inua 2 mkoani Iringa, likitarajia…
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi sawa na Hospitali ya…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa viwanda, sekta binafsi pamoja na…
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Picha ya Mshtakiwa Amani Elifatio Mlay, aliyekuwa Mratibu…
Brigedia Jenerali Said Hamis Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya CDF CUP 2026 pamoja na Nuru Mbura mwakilishi wa Azam Media wakionesha…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi wa Hospitali ya Rufaa ya…