KIONGOZI MKUU WA BOHORA DUNIANI ASAFIRI KWA SGR, AIPAISHA HADHI TANZANIA KIMATAIFA
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia…
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia…
Katika jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa…
Na OWM – TAMISEMI, Azerbaijan Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim…
Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Nassirya Ally amesisitiza umuhimu wa jamii kujifunza na kutumia lugha ya alama ili kujenga…
Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Young Africans S.C. wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe hilo baada ya kuichapa JKT Tanzania…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akizungumza na mtoto mwenye ulemavu wa viungo, Raudhwat Abeid katika viwanja vya Puma Kondoa, mkoani Dodoma leo tarehe 16…
Diwani wa Kata ya Makangarawe, Fadhili Mboga (kushoto) akikabidhi madawati katika Shule za Msingi Yombo Dovya na Jitihada leo Mei 16, 2026, Dar es…
Na Sophia Kingimali. Mwenyekiti wa Chama cha mawakili wa Serikali, Addo Novemba amesema mbio za Wakili Marathon zitakazofanyika Mei 31 mwaka huu mjini Dodoma…
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamefundwa masuala mbalimbali yahusuyo elimu, maadili, ukatili wa kijinsia…
Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Glory Mtui akichukua sampuli ya damu ya Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Boniface Makene…
Na Prisca Libaga, Arusha RC Makalla akaribisha watalii na wawekezaji kutoka Urusi kuwekeza katika sekta ya utalii – Wapendekeza ushirikiano wa Mkoa wa Arusha…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha sementi cha Dangote cha…
Na MWANDISHI, WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…
Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…
GABORONE, BOTSWANA 16 Mei 2026 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo tarehe 16…
GABORONE, BOTSWANA 15 Mei 2026 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasili nchini…
▪︎ Dkt. Mwigulu asema maghala yawafuate wakulima badala ya wakulima kufuata maghala ▪︎ Serikali kuitisha kikao maalumu cha mikoa inayozalisha mazao ya biashara WAZIRI…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao katika…
Maisha ya mtaani hayana huruma, na hakuna kitu kinachoumiza kama kuamka kila siku ukiwa na shahada yako kabatini huku mifuko ikiwa haina hata shilingi…
Naitwa Agatha, mkazi wa mkoa wa Kagera. Licha ya kuwa na heshima kubwa kazini kama Mwalimu Mkuu, nyumbani kwangu nilikuwa sina thamani yoyote. Kwa…
Jumla ya miradi 99 ya biashara ya kaboni imesajiliwa nchini tangu kuanzishwa kwa Kituo cha Taifa cha Kuratibu Biashara ya Kaboni (NCMC) Machi 2025,…
Vituo vya kutolea huduma za afya vimetakiwa kuboresha maoteo ya uagizaji wa dawa na kuzingatia mwenendo wa magonjwa katika maeneo yao ili kuhakikisha bidhaa…
Na Happy Lazaro, Arusha Tanzania imejipanga kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi kutoka Urusi na mataifa mengine duniani kwa lengo la…
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wahitimu wa Taasisi ya Uongozi nchini…
Dodoma, Mei 15, 2026 Waziri wa Maliasili na Utalii, Ashatu Kijaji ametembelea banda la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika maonesho ya…
Wajadili mipango endelevu ya ujenzi wa miundombinu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya kikao kazi na wabunge wa mikoa ya Mwanza, Mara…
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege…
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye…
Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha Bw. Kenneth Nindie, akizungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo wakati wa mafunzo ya Mwongozo…
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa vyombo…