Top Stories
View all
MAKAMU WA RAIS AMJULIA HALI MAMA FATMA KARUME
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemjulia hali, Mama Fatma Karume,Mjane wa Rais wa Kwanza wa…
RAIS DKT. MWINYI: KIZIMKAZI INAENDELEA KUFUNGUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisikiliza maelezo ya Mradi wa Makaazi wa Amani Residency kutoka…
PROF. MKENDA: TACs ZIWE DARAJA KATI YA ELIMU NA AJIRA
Na Meleka Kulwa — Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda , ameitaka Kamati za Ushauri wa Stadi (Training…
SERIKALI KUENDESHA OPARESHENI MAALUM YA UKAGUZI WA UTEKELEZAJI WA MIKATABA YA MSAADA WA KIUFUNDI
*Lengo ni kuchukua hatua kwa wanaoitumia vibaya *Waziri Mavunde aelekeza RMOs kufanya ukaguzi wa mara kwa mara *Mchango wa wachimbaji wadogo kwenye uzalishaji madini…
WIZARA YA MAMBO YA NJE YAANDAA MPANGO WA KUENDELEZA MILIKI NJE YA NCHI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeandaa mpango wa miaka mitano (2025/2026 hadi 2029/2030) wa kuendeleza miliki za Serikali (majengo/viwanja)…
DKT. MWIGULU NCHEMBA AREJESHA TABASAMU KWA WANANCHI WATANO, MGOGORO WA ARDHI MTONI KIZINGA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo tarehe 11 Agosti 2026, amerejesha tabasamu kwa wananchi watano baada ya kufanikisha maridhiano ya mgogoro wa umiliki wa…
MKURUGENZI MKUU RUWASA AKAGUA MRADI WA MAJI USHETU
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Wolta Kirita amefanya ziara ya kukagua mradi wa maji wa Ushetu…
WANAFUNZI CHALINZE MODERN ISLAMIC WAFANYA UPASUAJI, ICT NA KUTENGENEZA MASHINE YA SABUNI YA MAJI
Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Agosti 13, 2026 Shule ya Chalinze Modern Islamic ,Mkoani Pwani, inawajengea wanafunzi ujuzi wa vitendo katika fani mbalimbali ikiwemo udaktari,…
NAIBU WAZIRI NISHATI AHAMASISHA UMMA KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU SEKTA NDOGO YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba,akipata maelezo mara baada ya kutembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) katika Maonesho…
KLINIKI YA WATUMISHI IRINGA YAIBUA MATUMAINI KWA WATUMISHI NA WASTAAFU
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amezindua Kliniki ya Watumishi wa Umma inayolenga kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili watumishi…
DKT. MWIGULU NCHEMBA AWEZESHA KUTALIWA MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU MIAKA 17
Mfanyabiashara Hersi Warsame Mohamed (kushoto) akizungumza kwa furaha na wananchi waliohusika katika mgogoro wa madai ya kudhulumiwa ardhi na mfanyabiashara huyo uliodumu kwa miaka…
MHE. SALOME APONGEZA UTOAJI ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA KIZIMKAZI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea…
RUWASA , MFUKO WA MAJI WAPITIA MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA KANUNI KUWEZESHA CBWSOs KUPATA MIKOPO
Menejimenti ya Wakala ya Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA) pamoja na Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) Kwa pamoja zimekutana na kujadiliana njia…
TANZANIA NA UJERUMANI KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA KIMKAKATI
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani zimekubaliana kuendelea na kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za kimkakati, ikiwemo biashara na…
RAIS DKT. SAMIA AZINDUA MRADI WA MAJI, UJENZI WA SKULI NA KITUO CHA AFYA KIZIMKAZI UNGUJA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa ufunguo wa gari la wagonjwa kutoka kwa Mwakilishi wa…
TASWA KUZINDUA KAMPENI YA ‘AFCON KITAA 2027’ KUELEKEA FAINALI ZA AFRIKA
Dar es Salaam, Agosti 13, 2026 CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa…
STANBIC YAWA BENKI YA KWANZA TANZANIA KUZINDUA MALIPO YA MOJA KWA MOJA KWA YUAN
Kuanzia wa pili kushoto, Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Sauda Msemo; Mkurugenzi Mtendaji wa Stanbic Bank Tanzania, Manzi Rwegasira; na Naibu…
DKT. DOTO BITEKO ANOGESHA MASHINDANO YA NGALAWA TAMASHA LA KIZIMKAZI
Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa…
KAPINGA: SERIKALI YASOGEZA HUDUMA ZA AFYA KARIBU NA WANANCHI
Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri…
NGORONGORO KIVUTIO CHA UTALII KILICHOTEMBELEWA ZAIDI MWAKA 2025
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limetajwa kuwa ndio kivutio namba moja kilichotembelewa zaidi na watalii kwa mwaka 2025 ambapo watalii 859,933 walitembelea hifadhi hiyo…
VETA YAPONGEZWA KWA KUENDELEA KUBORESHA HALI YA UTOAJI MAFUNZO
Kizimkazi- Zanzibar Mamlaka ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi imepongezwa kwa kuendelea kuboresha hali ya utoaji mafunzo katika vyuo vyake kote nchini. Pongezi…
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YATATUA MGOGORO WA ARDHI ULIODUMU MIAKA 12
Wakili wa Serikali Mkoa wa Morogoro kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. Iddi Mgeni ameongoza kikao cha majadiliano na maridhiano ya kumaliza…
RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA KATIKA UCHUMI WA KIDIJITALI LA TTCL KIZIMKAZI, AELEZWA MCHANGO WA MKONGO WA TAIFA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea Banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakati wa…
YANGA SC YATWAA NGAO YA JAMII KWA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA SIMBA
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika…
RAIS SAMIA ATAMBUA MCHANGO WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KATIKA KUFANIKISHA MDAHALO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
KIZIMKAZI, ZANZIBAR Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika…
VETA YAMWELEZA RAIS SAMIA JINSI MAFUNZO YA UFUNDI STADI YANAVYOINUA JAMII
Katika picha wa kwanza kulia ni Meneja wa VETA Kanda ya Kaskazini Monica Mbella, akitoa maelezo kuhusu mafunzo ya ufundi stadi kwa Mhe. Rais…
GEREZA KWAMNGUMI LAKABIDHI ALIYEKUWA MFUNGWA VIFAA VYA UJENZI
Na Ssgt Mawazo Mtondo Mkuu wa Gereza la Kwamngumi mkoani Tanga, Mrakibu wa Magereza (SP) Francis Makelemo, Agosti 11, 2026, aliongoza zoezi la kumkabidhi…
NGASONGWA: FCC YAONGEZA KASI VITA DHIDI YA BIDHAA BANDIA
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa…
MMUYA: WANAWAKE WAPEWE HAKI SAWA KATIKA UMILIKI WA ARDHI
Na Meleka Kulwa — Fullshangwe Blog, Dodoma Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amesema ardhi si tu rasilimali…
RAIS SAMIA AZINDUA VIWANJA VYA KUFURAHISHA WATOTO KIZIMKAZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Viwanja vya Kufurahisha Watoto vya Kizimkazi, Mkoa…
MSAJILI WA HAZINA, FITCH RATINGS WATATHMINI MAGEUZI YA TAASISI ZA UMMA
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings…
KITUO KIPYA CHA MIKUTANO ARUSHA KUHUDUMIA WATU 5000 KWA WAKATI MMOJA-WAZIRI KOMBO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amesema kuwa, ujenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano…
UWT KIBAHA MJI USO KWA USO NA AZANIA BANK KUWAPAMBANIA WANAWAKE KUONDOKANA NA WIMBI LA KUWA TEGEMEZI
Na Victor Masangu, Kibaha Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Wilaya ya Kibaha mjini kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo wakiwemo Azania bank …
MHE. BALOZI OMAR: MBEYA INA FURSA KUBWA YA KUONGEZA MCHANGO WAKE KATIKA UCHUMI WA TAIFA
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya,…