Top Stories
View all
KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA URUSI LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
Na Happy Lazaro, Arusha Tanzania imejipanga kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi kutoka Urusi na mataifa mengine duniani kwa lengo la…
WAZIRI MKUU AKUTANA NA WABUNGE WA MIKOA YA MWANZA, MARA NA SIMIYU
Wajadili mipango endelevu ya ujenzi wa miundombinu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya kikao kazi na wabunge wa mikoa ya Mwanza, Mara…
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2026
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege…
FUNGUNI SEKONDARI YAZIDI KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI KUJIAJIRI BAADA YA KUHITIMU MASOMO YAO
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye…
WIZARA YA FEDHA YAKAMILISHA MAFUNZO YA UDHIBITI WA NDANI
Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha Bw. Kenneth Nindie, akizungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo wakati wa mafunzo ya Mwongozo…
NAIBU WAZIRI KWAGILWA AHIMIZA WANAHABARI KUELIMISHA JAMII FURSA BIASHARA YA KABONI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa vyombo…
MAKAMU WA RAIS AWASILI MKOANI MARA KWA SHUGHULI ZA KIKAZI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 15 Mei 2026 amewasili mkoani Mara kwa shughuli…
ZAIDI YA WAONESHAJI 550 KUTOKA NCHI 14 KUSHIRIKI MAONESHO YA KARIBU -KILIFAIR 2026 JIJINI ARUSHA .
………. Na Happy Lazaro, Arusha . Zaidi ya Waoneshaji 550 kutoka nchi 14 pamoja na mawakala na waendeshaji wa safari zaidi ya 1,000 kutoka…
MAFUNZO YA UANAGENZI NA MKAKATI WA UZALISHAJI AJIRA NCHINI
Jesca Albeto Mtonya (21), mwanagenzi wa fani ya ufundi bomba, alieleza namna mfumo wa umwagiliaji maji kwenye mashamba unavyofanyika kwa njia ya mabomba na…
MAHUNDI: MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI NI NGUZO YA MAENDELEO YA JAMII
Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema Serikali itaendelea kuthamini mchango…
WAZIRI WA FEDHA AZIHIMIZA TAASISI ZA FEDHA KUPUNGUZA RIBA NA GHARAMA ZA MIKOPO
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati akifungua Semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika Mkutano Mkuu wa 31…
KAMPUNI YA HAGATI COFFEE SULUHISHO LA WAKULIMA WA KAHAWA MKOANI RUVUMA
Abubakari Ali,akionyesha bidhaa za kahawa zinazochakatwa katika kiwanda cha Hagati coffee kilichopo Mbinga Mkoani Ruvuma. Picha no 007 na 014,Mkurugenzi wa kampuni ya Hagati…
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAOMBA BILIONI 334 BAJETI YA 2026/2027
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi bilioni 334.3 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ili…
WAONGOZA WATALII 2,228 WAPATIWA MAFUNZO KUELEKEA AFCON 2027
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara ilizindua programu ya maandalizi ya kuwanoa watoa…
SERIKALI KUTUMIA WANAMICHEZO MAARUFU KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara itatumia watu maarufu na wenye ushawishi mkubwa…
TANZANIA KUTUMIA FIFA WORLD CUP 2026 KUTANGAZA UTALII WA AFCON 2027
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara imeandaa mkakati wa kuitangaza Tanzania kama kivutio…
POLISI PWANI WAWASHIKILIA WANNE KWA TUHUMA ZA MAUAJI VIKAWE
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14…
TAKUKURU KINONDONI YADHIBITI UPOTEVU WA MAPATO ZAIDI YA MILIONI 563
Naibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni, Elizabeth Mokiwa akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15,…
VIPAUMBELE TISA BAJETI YA MALIASILI NA UTALII 2026/2027
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali kupitia wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha vipaumbele tisa vya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka…
WATALII WAFIKIA MILIONI 5.9, MAPATO YAONGEZEKA SEKTA YA UTALII NCHINI
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Serikali imeendelea kupata mafanikio makubwa katika Sekta ya Maliasili…
PRIS APP YAZINDULIWA, YATAJWA KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIJITALI
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema uzinduzi wa programu ya kidijitali ya PRIS App ni hatua muhimu katika kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea…
DKT. KIJAJI KUWASILISHA BAJETI YA MALIASILI NA UTALII
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji akiwa na mkoba wenye hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/27 inayotarajiwa…
WANAWAKE NI NGUZO MUHIMU YA UCHUMI WA TAIFA -CPA CASTRO
Na Oscar Assenga Tanga Jukwaa la Wanawake na Kodi limefanyika leo Jijini Tanga huku ikielezwa ni hatua muhimu inayodhihirisha dhamira ya kuendeleza usawa wa…
DKT. ERASTO: SERIKALI YAZIDISHA KASI YA KUOKOA MAISHA, YATANDAZA HUDUMA ZA DHARURA NA ICU NCHI NZIMA
Na Abduly Madenge, WAF – MOROGORO: Serikali imewahakikishia wananchi kuwa kifo kutokana na kuchelewa kupata huduma za dharura sasa kinakwenda kubaki kuwa historia, kufuatia…
NILIVYOREJESHA FURAHA BAADA YA MUME WANGU KUPOTEZA KAZI NA MSONGO WA MAWAZO KUANZA KUTUVUNJA NYUMBANI
Maisha yetu yalikuwa ya kawaida lakini yenye amani. Mimi na mume wangu tulikuwa tunajitahidi pamoja kujenga familia yetu. Haikuwa maisha ya utajiri mkubwa, lakini…
NILIVYOFANIKIWA KUNUNUA GARI LANGU LA KWANZA BAADA YA MIAKA YA MISHAHARA KUISHIA NJIANI BILA MAENDELEO
Kwa miaka mingi nilikuwa na ndoto ya kumiliki gari langu mwenyewe. Si kwa ajili ya kujionyesha, bali kwa sababu nilikuwa nimechoka na usumbufu wa…
MHE. MMUYA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAAFA SADC ZIMBABWE
MASVINGO – ZIMBABWE Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Sita (6)…
TUZO YA RAIS SAMIA NA FALSAFA YA HURUMA INAYOBADILI MFUMO WA MAGEREZA TANZANIA SEHEMU YÀ PILI
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO CP Kavirondo anarejelea maelezo yake kwa msisitizo akisema Hatua hiyo imeendelea kuonesha namna serikali inavyowapa nafasi ya pili…
WABUNGE WA DRC WAKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu amekutana na Ujumbe wa Wabunge kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo…
WATUMISHI TAMISEMI WAJENGEWA UWEZO ENEO LA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI ILI KUWAHUDUMIA WANANCHI
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (OR- MUUUB) imetoa mafunzo kwa viongozi na watumishi…
BALOZI SULEIMAN AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA
Balozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China, Mheshimiwa Dkt. Suleiman H. Suleiman amewasilisha hati ya uwakilishi kwa Mheshimiwa Bw. Hong Lei, Msaidizi Waziri…
SERIKALI YAWASIHI VIJANA KUEPUKA KUSHIRIKI MIGOGORO YA KIMATAIFA
Serikali imeendelea kuwasihi vijana nchini kujiepusha na ushawishi wa kujiingiza katika migogoro ya kimataifa, ikiwemo vita vinavyoendelea katika baadhi ya mataifa duniani na kusisitiza…
DEREVA WA BODABODA AUWAWA MKOANI MOROGORO
Dereva bodaboda aliyefahamika kwa jina la Ally Kambi (24), mkazi wa Kingolwira Manispaa ya Morogoro, anadaiwa kuuawa na watu wasiojulikana baada ya kukodi huduma…