DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA OFISI ZA HALMASHAURI YA BAHI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Jumamosi, Septemba 5, 2026, amekagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Utawala la Halmashauri ya Wilaya…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Jumamosi, Septemba 5, 2026, amekagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Utawala la Halmashauri ya Wilaya…
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, *Mhe. Samwel M. Maneno* amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mwanasheria…
Mbunge wa Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Salvio Kapinga, akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe. Kisare Makori,…
NESTORY Mbilinyi na Joyce Oscar wamefunga ndoa takatifu, katika ibada iliyofanyika jana, Septemba 4, 2026, katika Kanisa la St. Maria De Mathias, Mivumoni, jijini…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Ngorongoro, Mhe. Yannick Ndoinyo, aliyetaka kujua mpango wa Serikali…
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuwa ni rafiki wa muuzaji na mnunuzi na kwamba sheria ya vipimo haikuundwa kuwakomoa wafanyabiashara…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa fidia ya wananchi 23 waliopisha ujenzi…
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwajengea…
Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi wa Programu za Afrika wa Bridge for Billions, Liliosa Mbirimi (kulia), muda mfupi baada…
Na John Mapepele – WAF, Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb)(kulia), Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Juma Homera (Mb) (kushoto) na Naibu Gavana na Makamu…
Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 4, 2026 KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi…
Dodoma Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, akiongoza kikao cha utatuzi wa mgogoro wa haki madini na haki ardhi baina ya Kampuni ya Barrick…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeendelea kuwaalika wamiliki wa viwanda na waajiri nchini Tanzania kwa ajili ya kushirikiana katika kuendeleza…
………….. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi pamoja na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali…
📍DODOMA SERIKALI imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme kwa ajili ya kuchochea uwekezaji na kuongeza uzalishaji nchini, baada ya kusainiwa kwa mkataba wa utekelezaji wa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameiagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Uchukuzi, kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), wakandarasi na taasisi…
Na Mwandishi Maalumu , Dar es Salaam. Watoto wenye umri chini ya miaka mitano uathirika zaidi na ugonjwa wa misuli ya moyo unaojulikana kitaalamu…
Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) umetakiwa kutumia ubunifu kupata vyanzo mbadala vya fedha kufanikisha utekelezaji wa miradi ya maji nchini. Waziri wa Maji…
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha wananchi wananufaika na Biashara ya Kaboni kupitia misitu ikiwemo mikoko wanayopanda katika maeneo ya pwani. Naibu…
Wafanyakazi wa Puma Energy Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja huku wakipeperusha bendera, ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ziara ya PumaGas katika mikoa…
Aliyekuwa muuguzi na mtunza dawa katika Zahanati ya Bunyambo wilayani Kibondo, Leonard Alfonsi Mosha (31), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibondo akikabiliwa na…
Ruangwa, Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.8…
* Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. *…
Hatimaye mji wa Mangaka unaenda kunufaika na mradi wa maji wa mji 28 uliofanikishwa na Serikali ambapo hali ya upatikanaji wa maji kwa wananchi…
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amesema VETA imeweka…
Na Ssgt Mawazo Mtondo – DODOMA Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya…
Serikali imesisitiza umuhimu wa kujenga uelewa wa pamoja kuhusu dhana ya ugatuzi wa madaraka kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa, ili kuongeza ufanisi katika…
Rwanda imekuwa nchi Mwenyeji wa Mikutano ya Mwaka ya Umoja wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Kupambana na Utakasishaji Fedha Haramu…
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki,…
Serikali inaendelea kuhakikisha maeneo ya kazi kwa watumishi wa umma ni salama ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya kiwango. Waziri wa Maji Mhe.…
DODOMA, Septemba 3, 2026 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb.) imepatiwa mafunzo kuhusu…
Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi wamehimiza kuharakishwa kwa utekelezaji wa programu na miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC),…