Top Stories
View all
MHE BALOZI OMAR AIPONGEZA NMB KWA MCHANGO WAKE KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI
Waziri wa Fedha, Mhe. Khamis Mussa Omar (Mb), akiipongeza Benki ya NMB katika kuisaidia Serikali kupitia ukusanyaji wa mapato pamoja na utoaji wa huduma…
WAZIRI MKUU AKUTANA NA MZEE JOSEPH BUTIKU
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku, wakati wa mazungumzo yaliyofanyika katika…
RAIS SAMIA: KIGOMA KUWA KITOVU CHA FURSA ZA BIASHARA BAADA YA UJENZI WA SGR TABORA–KIGOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Kigoma baada ya kuzindua meli 4 za mizigo na…
MIXX, ELECTRONICS HUB WAKUSANYA MAELFU YA WAZANZIBARI FAINALI YA KOMBE LA DUNIA
Zanzibar, Julai 19, 2026 – Meya wa Manispaa ya Mjini, Ibrahim Mohamed (Raza Lee), amemshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,…
MASAUNI: UWEKEZAJI UZINGATIE SHERIA ZA MAZINGIRA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.…
NGORONGORO NI ZAIDI YA KRETA
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro inaendelea kuvitangaza vivutio vya utalii vilivyopo ndani na nje ya Ngorongoro ili kuidhihirishia dunia kuwa eneo hilo…
BAKWATA NA CSSC WAWAGUSA WANANCHI 2,000 KWA UCHUNGUZI WA MACHO NA MIWANI BURE
Na Baltazar Mashaka, Mwanza ZAIDI ya wananchi 2,000 mkoani Mwanza wamefaidika na huduma za uchunguzi wa afya ya macho, matibabu na ugawaji wa miwani…
RAIS SAMIA AWASILI MKOANI KIGOMA NA KUZINDUA MELI NNE ZA MIZIGO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Meli 4 za mizigo zitakazo hudumu katika…
HABARI PICHA: MAHUNDI AHUDHURIA UZINDUZI WA UJENZI WA MELI NNE KIGOMA
#Matukiokatikapicha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, leo Julai 20, 2016 amehudhuria hafla ya uzinduzi…
HISPANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…
BAKWATA NA CSSC WAWAGUSA WANANCHI 2,000 KWA UCHUNGUZI WA MACHO NA MIWANI BURE
Sheikh Hassan Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kambi ya uchunguzi wa macho bure. Dr. Elia Francis (kulia), akimpma Ramadhan Mshindo,…
CP. KAVIRONDO ASHIRIKI MKUTANO WA 28 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA SADC KUHUSU SIASA, ULINZI NA USALAMA
Na. Ssgt. Mawazo Mtondo – DODOMA Kamishna wa Huduma za Urekebu wa Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, alishiriki katika ujumbe wa Tanzania uliohudhuria…
RAIS DKT. SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI WA DRC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia…
DIRA YA TAIFA 2050 YATOA MWELEKEO WA KUJENGA UCHUMI UNAOTEGEMEA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Na.Mwandishi Wetu Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ( NM- AIST) inatumia mbio za marathon kama moja ya mikakati ya…
TRC YATOA RAI KWA WASAFIRISHAJI WA MIZIGO KUTUMIA SGR
Mhandisi wa mradi kipande cha pili kutoka Morogoro mpaka Makutupora, Christina Samuel akizungumza na Waandishi wa Habari Julai 18, 2026 Bahi, mkoani Dodoma wakati…
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 48 WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA WA UNESCO
Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Kamati ya Urithi wa Dunia wa UNESCO unaofanyika jijini Busan, Jamhuri ya Korea, ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi mbalimbali…
MVOMERO WAPOKEA BILIONI 1.1 ZA KUJENGA SHULE MBILI
•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi Na. OWM–TAMISEMI, Mvomero Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
KATIBU MKUU WA OACPS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), Mhe. Moussa Saleh Batraki, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku…
WANUFAIKA WA MRADI WA DUMISHA AMANI WAHAMASISHWA KUOMBA ZABUNI ZA SERIKALI
Mkuu wa wilaya ya Kigoma, Dkt. Rashid Chuachua, amewaasa na kuwahamasisha wanufaika wa mafunzo ya ufundi kupitia Mradi wa Dumisha Amani chini ya ufadhili…
WANAFUNZI WAFRIKA BANDA LA HESLB KUPATA ELIMU YA MIKOPO
Zanzibar, Julai 18, 2026 Mamia ya wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vya kati na vya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2026/2027, wanaendelea…
RPC RUKWA AOMBA USHIRIKIANO WA WANANCHI KATIKA UJENZI WA KITUO CHA POLISI KORONGWE
Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa SACP Shadrack Masija wakati akizungumza na wananchi wa Korongwe Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa. Baadhi ya wananchi walioshiriki katika…
RAIS SAMIA KUWEKA JIWE LA MSINGI SGR TABORA–KIGOMA, KUFUNGUA ENZI MPYA YA USAFIRI NA BIASHARA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande…
RAIS DKT. MWINYI: INDIA NI MSHIRIKA MUHIMU WA MAENDELEO YA ZANZIBAR
NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria…
MASAUNI: AFYA YA UDONGO NI MSINGI WA USALAMA WA CHAKULA NA MAENDELEO ENDELEVU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati), akishiriki matembezi yaliyolenga kuhamashisha jamii katika Uhifadhi…
MSEMO WA WAMAKONDE, KILA MUNU AVE NA KWAO WATUA SWEDEN
Bendi ya muziki ya Tongolanga iliwahi kuimba “kila munu ave na kwao ”ikimaanisha kila mtu awe na kwao, ujumbe kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya…
RAIS DKT. MWINYI: ZANZIBAR NA INDIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA ELIMU, BIASHARA NA TEKNOLOJIA
NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…
CHUMA CHIKOLI MOTO NGORONGORO, CHABEBA TUZO KATIKA UTALII
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa uhifadhi anayesimamia huduma za Utalii na Masoko, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mariam Chuma Kobelo, ametunukiwa tuzo ya _Iconic Woman…
TANZANIA YAENZI URITHI WA NELSON MANDELA, YAWEKA MISITIZO KWA VIJANA UTEKELEZAJI WA DIRA YA MAENDELEO 2050.
Tanzania imetumia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela 2026 kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza amani, umoja wa kitaifa, maridhiano na maendeleo jumuishi,…
TANZANIA YATAJA VIPAUMBELE VITATU KUTEKELEZA AJENDA MPYA YA MIJI HADI 2036
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akiwa katika katika Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Shirika la…
NMB, MANTRAC WAFUNGUA UFADHILI WA MITAMBO KWA WACHIMBAJI, WAKANDARASI
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (kulia), na Mkurugenzi wa Biashara na Uendeshaji wa Mantrac Kanda ya Afrika Mashariki,…
ENGLAND YAIBUKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2026, YICHAPA UFARANSA 6-4
Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…
KITAMBI AONGOZA KIKAO CHA KUPAMBANA NA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameongoza Kikao Kazi na Viongozi wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa…