Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Meneja Maradi wa Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Ukerewe Mhandisi Lupakisyo George wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali hiyo, Aprili 25, 2025, Ukerewe mkoani Mwanza. Mheshimiwa Majaliwa amefanya ziara ya siku moja wilayani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifungua kitambaa kuashiria…
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Nyasa Bw. Jacob Benworth Kunani tarehe 25.04.2025 amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Hafla fupi ya kumpokea iliyofanyika katika Ofisi za Umoja wa Vijana UV-CCM Wilaya ya Nyasa. Akikabidhi Kadi ya CHADEMA Na kupokea Kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Kunani amesema anayofuraha kubwa kujiunga na Chama…
Mwamvua Mwinyi, Kibaha Aprili 25, 2025 SPIKA wa Bunge na Rais wa 31 wa Muungano wa Mabunge Duniani IPU ,Dkt. Tulia Ackson, amewataka wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani Pwani, kuacha ushindani na makundi ndani ya chama, ambao unaweza kusababisha madhara kwa kutoa upenyo kwa upinzani wakati wa Uchaguzi. Aidha Dkt. Tulia aliwaambia wanachama wakati wa Uchaguzi…
* Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania. Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa ziarani Mkoani Arusha ambapo amesema…
Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi, ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41, hatua muhimu inayolenga kukuza uchumi na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji jijini Dar es Salaam.…
NA MWANDISHI WETU WIZARA ya Katiba na Sheria (MoCLA), imeishukuru Benki ya NMB kwa kukubali kuendesha mafunzo ya kukijengea uwezo Kituo cha Huduma kwa wateja cha wizara hiyo, kilichotembelea Kituo cha Huduma kwa Wateja NMB ‘NMB Contact Center,’ kujifunza mifumo ya kupokea taarifa, malalamiko, kero na changamoto za wateja na kuzitatua. Shukrani hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ufuatiliaji Haki…
Mchungaji Patrick Muthee kutoka nchini Kenya akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kushiriki Wiki ya Uamsho na Kuliombea Taifa mara baada ya kupokea mualiko na kwaya ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) kutoka Kanisa la Wadventista Wasabato Kinondoni Jijini Dar es Salaam.…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kuhakikisha anailinda kwa wivu wote tunu ya Muungano iliyoanzishwa na waasisi wa taifa hilo. Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 25 Aprili 2025 wakati akizungumza na wananchi wa wa Mkoa wa Pwani…
Confirmed
0
Death
0
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza wakati wa Mkutano wa Magavana wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika Nchi za Afrika Kundi la Kwanza (Africa…
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Taasisi ya Fedha ya Kimataifa ya Benki ya Dunia (IFC), Bw. John…
Sign in to your account