MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA ZIWEKEZE KATIKA MIRADI YENYE TIJA KWA WANANCHI – DKT. SEIF
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif,…
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif,…
* Viwanda vya KEDA, GoodWill Vyachochea Kasi * Wilaya yatenga Hekari 15 ujenzi wa Bandari Kavu * Dkt.Kiruswa Ahimiza uzingatiaji Bei Elekezi za Madini…
Katika jitihada za kukuza ushirikiano kati ya taasisi za mafunzo na wenye viwanda na waajiri, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,…
Na Ashrack Miraji Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Mhe. Hassan Bomboko, ameendelea na ziara zake katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo…
Na Mwandishi Wetu – Singida Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania uliopigwa…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bw. Nsubili Joshua, akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Tathmini ya Uandaaji na Utekelezaji wa Bajeti kwa watalaam…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali…
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inaendelea kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya…
Kiasi hicho kimewasilishwa kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira katika kikao chake, Bungeni jijini Dodoma. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya), Mhe. Dkt.…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali imewekeza katika miradi mbalimbali yenye thamani ya takribani Shilingi bilioni 66.7 katika Taasisi ya Saratani Ocean…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametangaza kufunguliwa rasmi kwa dirisha la kupokea miswada ya tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere…
Na. Mwandishi Wetu – Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya…
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao…
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Maguha Stephano akitoa elimu ya magonjwa ya saratani na yasiyo ya…
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akizungumza kwenye mkutano huo jijini Arusha leo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti…
Bwana Keddy Abubakari Mgumia na Bi. Sabrina Haji Mmanga wamefunga ndoa katika hafla iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2026 jijini Dar es Salaam. Sherehe hiyo…
Ujumbe wa Baraza la Biashara la Saudi Arabia na Tanzania (Saudi-Tanzania Business Council), Agosti 18, 2026, umetembelea Ofisi za Shirika la Madini la Taifa…
Mkurugenzi Mtendaji wa BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) , Bw. Asangye Bangu, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika…
Na John Walter -Babati Wasanii maarufu nchini Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue wanatarajiwa kutumbuiza kwenye mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026, baada…
Na. Leah Mabalwe, MBEYA Timu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ya Mpira wa Pete Wanawake imeishushia kipigo kizito Timu ya Halmashauri ya Mji…
Na: OWM-KAM, Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bw. Rasheed Maftah, amesema…
Dkt.Kiruswa Ataka Ujenzi Kuharakishwa, Asisitiza Uongezaji Thamani Nchini Tayari WanaKigamboni 278 Wameajiriwa, Zaidi ya Asilimia 90 ni Watanzania *Mwezi Julai Pekee Mkoa wa Kimadini…
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wakulima kujiandaa mapema na msimu wa mvua za Vuli 2026, huku ikitabiri mvua za wastani hadi…
Kamati tendaji ya Baraza la Wafugaji tarafa ya Ngorongoro imekutana leo tarehe 18 Agosti, 2026 ambapo pamoja na mambo mengine imechambua na kupitisha orodha…
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Sekta ya Afya, Profesa Tumaini Nagu akizungumza na leo, Agosti 18, 2026, jijini Dar es…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, ameondoka nchini Tanzania baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi ya…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewasilisha majibu ya Serikali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala, Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza azma ya kuendelea kushirikiana…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Uwanja wa AFCON unaojengwa Fumba utakuwa uwanja wa kisasa wenye…
Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii katika maeneo ya kimkakati ikiwemo biashara na uwekezaji, kilimo,…