NM-AIST KUTEKELEZA DIRA 2050 KUPITIA UTAFITI, UBUNIFU NA UJASIRIAMALI
Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138…
Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138…
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imesisitiza umuhimu wa Afrika kuwa na sauti moja, uongozi madhubuti na uwakilishi wenye nguvu katika maamuzi…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa- (SUKI) *Ndugu Rabia Abdalla Hamid(MCC)* amewasisitiza wananchi wa…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MDAU wa maendeleo wa Mkoa wa Manyara, Taiko Ole Kulunju ameongoza harambee ya ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi…
Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA…
Na Happy Lazaro, Arusha. Uongozi wa Trust St. Patrick Schools uliopo Sakina jijini Arusha umesema unaendelea kuweka mkazo katika utoaji wa elimu bora, malezi…
Na OSCAR ASSENGA, Tanga SERIKALI imezindua programu ya InnoIP Tanzania, inayolenga kuwasaidia zaidi ya wabunifu 5,000 nchini kulinda kazi zao kisheria, kuzigeuza kuwa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar es…
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama imetenga bajeti ya ununuzi ya shilingi bilioni 1.9 kwa ajili ya makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye…
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, mkoani Shinyanga, Bw. Mkali Kubebeka, amemweleza Kiongozi wa Mbio za Mwenge…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa salamu baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili, leo, Agosti 23, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania…
Na John Walter -Babati Shirika la WaterAid Tanzania limetoa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Shilingi milioni 4.29 kwa Kikundi cha Mabingwa cha Kijiji cha…
Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2,…
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda (katikati), akimaliza kwa kishindo mbio za kilomita 21, akiiongoza…
Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya uwezo wa nchi kukopesheka katika masoko ya fedha…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Na. Meleka Kulwa– Fullshangwe Blog, Dodoma Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Mhe. Anne Makinda, amesema matumizi ya…
Wizara ya Afya kupitia Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara, imetoa elimu…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM mkoani Singida katika Viwanja Vya…
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali,…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewashukuru wadau mbalimbali walioshiriki na kuchangia kufanikisha Manyara Tanzanite Marathon 2026, akisema ushirikiano wao umewezesha kufanikisha mbio…
Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua kubwa zilizopigwa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali yameendelea kuwa nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, yakishirikiana na…
Na Fullshangwe, Rufiji RUFJI, PWANI: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kukamilika na kuzinduliwa kwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) ni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kifaa Maalum pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili…
Na. Mwandishi Wetu – Kazuramimba Kigoma Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi,…
Na John Walter -Mbulu MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara wameiomba Serikali kuharakisha utoaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo ili waweze…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (Kulia), akiagana na Mwakilishi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bi.…
WATAALAMU wa kada ya ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi wametakiwa kuzingatia uadilifu, weledi na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao, huku wakiweka usalama, afya…