Top Stories
View all
BODI YA NHC: HATUTAKI TENA MIRADI ICHELEWE, NYUMBA ZETU ZISHINDANE NA ZA PRIVATE DEVELOPERS
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) imesisitiza kasi, ubora na ujenzi unaokwenda sambamba na mahitaji ya soko, ikieleza kuwa…
FCC YAWATAKA WAFANYABIASHARA KURIPOTI BIDHAA BANDIA
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amewataka wadau wa sekta ya umma na binafsi kuongeza ushirikiano katika mapambano dhidi…
TANESCO UBUNGO YAWABAINI WATEJA WALIOCHEPUSHA UMEME KUPITIA VISHOKA
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao…
MHE. BALOZI OMAR: SEKTA BINAFSI NI INJINI YA TANZANIA KUFIKIA MALENGO YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa halfa ya Mjadala wa Bodi ya Wakurugenzi na Wajumbe wa Jukwaa la…
WASIRA AZUNGUMZA NA WABUNGE WA CCM
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) amezungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM (CAUCUS), Leo September 2,2025 White House Jijini Dodoma Aidha Katika Kikao hicho…
WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA KUKABILIANA NA UKAME
Ofisa Masoko wa Kijani Consultant, Franswer Lawrence, leo akitoa elimu kwa wananchi kwenye Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki (MEATF 2026), yanayofanyika…
WATAALAMU WA MOI WATEMBELEA JKCL KUBADILISHANA UJUZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya…
MHITIMU IFM AWEKA KANDO SHAHADA YA UHASIBU NA FEDHA, AGEUZA NGOZI KUWA AJIRA
Mhitimu wa Chuo cha IFM Kampasi ya Mwanza, Gladness Michael Silayo (kushoto), akiwaonesha wateja viatu vinavyotengenezwa katka kiwanda chake cha Pacha Shoes Company, leo…
RAIS DKT. MWINYI AMEKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERBIA, MHE MACUT.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tanzania iko tayari kuimarisha zaidi ushirikiano na Serbia katika…
BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA SHERIA NA 2 WA MWAKA 2026
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 2) wa Mwaka 2026 (The Written Laws…
SERIKALI YAFIKISHA UMEME KATIKA MAENEO 582 YA WACHIMBAJI WADOGO, KILIMO NA VIWANDA TANZANIA BARA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetekeleza Mradi wa Usambazaji Umeme katika maeneo 582 ya…
WATUMISHI NGORONGORO WAPIGWA MSASA UTEKELEZAJI WA MASUALA YA HAKI JINAI
Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) kupitia Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu inaendesha mafunzo ya siku 5 kwa Askari wa…
MILIONI 6 WANUFAIKA NA UCHUMI WA BULUU
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akijibu maswali bungeni jijini Dodoma leo Septemba 02, 2026. Waziri wa…
TAMASHA LA WATUMISHI KUFANYIKA JUMAMOSI VIWANJA VYA MKWAWA
NA DENIS MLOWE, IRINGA TAMASHA Kubwa la watumishi kutoka taasisi mbalimbali za serikali linatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii katika viwanja vya Mkwawa mkoani Iringa,…
VIJANA WATAKIWA KUTUMIA MAJUKWAA YA MAFUNZO KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika lisilo la kiserikali la Smarticents , Klein August akizungumza kwenye jukwaa hilo jijini Arusha …………… Na Happy Lazaro, Arusha Vijana …
RAIS DKT. SAMIA AWAAPISHA WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA IKULU
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Ndugu Richard Marcellino Kayombo kuwa Katibu Tawala, Mkoa wa Pwani kwenye…
STANBIC BANK YATOA MILIONI 200 KUDHAMINI FAHARI YA ZANZIBAR 2026
Tahir Mussa, Kaimu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade; Juma Burhan, Mkurugenzi Mtendaji wa ZEEA; na Fatma Ahmed, Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa Wafanyabiashara,…
MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMMED SHEIN
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu wa Rais…
MIKOA 14 YATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA EL NIÑO
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amezitaka mamlaka katika…
SERIKALI YAIMARISHA UHIMILIVU BEI ZA MAFUTA NCHINI
Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha bei za mafuta nchini zinakuwa himilivu na zinalinda maslahi ya wananchi, ikiwa ni pamoja na kuimarisha usimamizi…
ACHENI MATUMIZI YA POMBE YALIYOKITHIRI ILI KUEPUKA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali imewataka wananchi hususan vijana, kupunguza matumizi ya pombe yaliyokithiri na kuacha matumizi ya dawa za kulevya ili…
TANZANIA AngloGOLD ASHANTI KUIMARISHA USHIRIKIANO
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za…
SIMBA MARATHON KUWA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 90 YA SIMBA SC
Klabu ya Simba imeandaa mashindano ya mbio za Simba Marathon yatakayofanyika Oktoba 4, 2026, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 90 tangu kuanzishwa…
JWTZ LAADHIMISHA MIAKA 62, LAIMARISHA USHIRIKIANO WA JESHI NA RAIA
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Jacob John Mkunda Akizungumza katika hafla ya maadhimisho ya miaka 62 tangu kuanzishwa kwa (JWTZ) iliyofanyika…
VODACOM YAANGAZIA JINSI MTANDAO UNAVYOCHOCHEA USHIRIKI WA KIDIJITALI KUELEKEA DIRA YA MAENDELEO 2050
Mkuu wa Idara ya Chapa na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Yvonne Maruma akizungumza katika Wiki ya Ubunifu Tanzania 2026 ambapo alizungumzia namna ya Vodacom…
FURAHIKA (VETA) YATOA NAFASI 250 KWA VIJANA WA KIISLAMU, FURSA YA UJUZI NA KUJIAJIRI
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam Chuo cha Ufundi FURAHIKA (VETA) Education College kimetangaza nafasi 250 za mafunzo kwa vijana wa Kiislamu, huku kikieleza…
MADEREVA 56 WAFIKISHWA MAHAKAMANI PWANI, 12 WAFUNGIWA LESENI, FAINI MIL. 590
Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 1, 2026 MADEREVA 56 wamefikishwa mahakamani mkoani Pwani kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani, huku madereva wengine 12 wakifungiwa leseni…
TANESCO YABAINI MATUKIO YA WIZI WA UMEME KINONDONI KASKAZINI
* Operesheni ya ukaguzi wa mita yabaini matumizi yasiyo halali ya umeme eneo la Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni * TANESCO yawataka wananchi kutoa taarifa…
MADEREVA 56 WAFIKISHWA MAHAKAMANI PWANI, 12 WAFUNGIWA LESENI, FAINI MIL. 590
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MADEREVA 56 wamefikishwa mahakamani mkoani Pwani kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani, huku madereva wengine 12 wakifungiwa leseni kwa kukiuka…
CRISS MJ AANZA KUTIKISA AFRIKA MASHARIKI KUPITIA WIMBO “MON BÉBÉ”
NA MWANDISHI WETU Msanii huru wa muziki wa Kompa/Zouk, Criss MJ, ameanza kupata umaarufu katika ukanda wa Afrika Mashariki kupitia wimbo wake mpya unaoitwa…
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA YA KIKAZI IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA
Konstebo Josephat Mtema,Dsm Leo September 01,2026 katika Ofisi ya Uhamiaji kurasini, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi (Mb) amefanya ziara…
BEI ZA MAFUTA SEPTEMBA ZASHUKA NCHINI
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za bidhaa za mafuta kwa mwezi Septemba 2026. Bei ya…
TANZANIA NA UINGEREZA ZAKUBALI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI
Leo jijini Dodoma, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mh. Marianne Young amekutana na Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde, kwa ajili ya mazungumzo kuhusu…
YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Dar es Salaam, Septemba 1, 2026 – Kampuni ya Mawasiliano Yas Tanzania, imetambulisha rasmi uzi/jezi mpya zitakazovaliwa na washiriki wa mbio za Yas Zanzibar…