RATIBA HATUA YA 32 KOMBE LA DUNIA 2026
šššš šššš Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…
šššš šššš Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…
*Wizara ya Maliasili na Utalii yajipanga kunadi Malikale kama fursa ujio wa AFCON *Maboresho maeneo ya Malikale kuvutia utalii wa ndani na nje ya…
* Taarifa ya Kamati itaiwezesha Serikali kuchukua hatua ili tatizo hilo lisijitokeze tena. Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu…
Mwandishi Mwendesha Ofisi Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha, Bi. Masia Msuya, akiwasainisha kitabu cha wageni wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha,…
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, akizungumza na Mwandishi wa Habari wa Azam TV, Kissa Daniel, wakati wa mahojiano maalum yaliyofanyika Ijumaa iliyopita katika…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu…
Newala, Mtwara āKukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Kanyunye na ufunguaji wa barabara yenye urefu wa kilomita 2.6 katika kijiji…
Na Mwandishi wetu, MireraniĀ TIMU za soka za mikoa mitatu ya kanda ya kaskazini ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro, za vijana wa chini ya…
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi kutoka Zanzibar wametembelea hifadhi ya Ngorongoro na kustaajabishwa na historia ya…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waendelee kuhimizana kuhusu ulinzi wa Taifa na kamwe wasipuuze viashiria vya uvunjifu wa amani. “Tuendelee kuhimizana kuhusu…
Na Happy Lazaro, ArushaĀ WATANZANIA wa dini zote wawehamasisha kuendelea kuilinda Tanzania kwa kudumisha amani na mshikamano hukuĀ akisema mafundisho ya Imam Hussein yanabaki…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni…
* Aomba radhi kwa wateja wananchi na kuwahakikishia upatikanaji endelevu wa huduma ya umemeĀ * Asema uzalishaji wa umeme umefikia megawati 4400 na juhudi…
Na Farida Mangube, Morogoro Wataalamu wa saikolojia nchini wameeleza kuwa ukosefu wa tafiti zinazoakisi uhalisia wa jamii za Kitanzania, pamoja na kuendelea kutegemea nadharia…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuongoza orodha ya wafungaji bora katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufikisha…
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imepiga marufuku matumizi ya dawa za mifugo zenye kiambata hai cha Levamisole nchini Tanzania baada ya kufanya…
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Argentina imeendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa…
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara, Filbert Mponzi (katikati), Mkurugenzi wa Mastercard anayesimamia biashara Afrika Mashariki, Imelda Ngunzu, na Meneja wa NMB Kanda…
Waziri wa Kazi na Uwekezaji Mhe, Shariff Ali Shariff (kushoto) akimkabidhi Kaimu Meneja Mkuu Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu va Usafirishaiina Usambazaii…
Na Farida Mangube, Morogoro Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka walimu nchini kuchangamkia fursa ya matumizi ya teknolojia ya Akili Unde (AI) katika…
Na Ashrack MirajiĀ Lushoto. Mkuu wa Wilaya ya Zephania Sumaye leo Juni 27, 2026 amemkabidhi Mwenge wa Uhuru 2026 Mkuu wa Wilaya ya William…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 27 Juni, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo ya mwaka mmoja ya Kozi…
Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro imeanza utekelezaji wa mpango maalum wa kuboresha eneo la Endoro ili litumike kama sehemu ya utalii tiba…
*Lengo ni kuvikagua, kuviboresha na kuvitangaza kuelekea AFCON 2027 *Mkurugenzi wa Malikale azitaka taasisi chini ya Wizara kunadi kwa pamoja vivutio hivyo Na Neema…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo iliyoahidiwa katika Mkoa wa Singida, ikiwemo barabara, reli ya kisasa (SGR), uwanja…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika elimu ya juu kwa kuboresha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia ili kuandaa rasilimali watu…
Mwanza, Tanzania, 26 Juni 2026 PigaBet imemkabidhi Samwel Emmanuel, mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza, gari aina ya Toyota…
DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Viongozi wa Serikali na wananchi mbali mbali kwa niaba ya Rais…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Julai 6, 2026 katika hafla…
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, akizungumzaĀ leo Juni 27, 2026 jijini Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi waĀ Mkutano wa Saba wa Madini na…
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa TAMISEMI Mhe Profesa Riziki Shemdoe amewataka madiwani wa Halmashauri za…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda amani, usalama wa wananchi na rasilimali za Taifa na haitamvumilia mtu yeyote atakayejihusisha na vitendo…