YANGA SC BINGWA LIGI KUU TANZANIA BARA 2025/26
Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT…
Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT…
……….. BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa mchango wake katika…
Mchumi kutoka Kitengo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPU), Wizara ya Fedha, Bi. Anastazia Amandi, akitoa ufafanuzi kwa wananchi…
▪️Waziri Mavunde akutana na Mwekezaji wa Kiwanda cha Kuzalisha Goroli za Chuma ▪️Ni kiwanda cha Oriental Casting and Forging Ltd cha China ▪️Kiwanda kikubwa…
Kila mtu katika familia yangu alijua kuna tatizo kubwa lakini hakuna aliyekuwa tayari kukubali. Kila siku ilianza na mabishano na ilimalizika kwa kelele. Baba…
Na. John Bukuku – Dar Es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uwekezaji wenye matokeo…
📌ATAKA FEDHA ZA BARABARA ZITUMIKE KWA KAZI HIYO TU 📌KUANZA KUPIMA MAMENEJA KWA UBORA WA VIWANGO VYA BARABARA Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa…
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu akizungumza katika hafla ya kupokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma iliyofanyika Ikulu, Dar es…
Tarehe 1 Julai Dkt Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatoa Ramsi Tuzo ya Mlipakodi bora kwa walipakodi waliokidhi…
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu akizungumza kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma, Ikulu Jijini Dar…
Nilipata kazi yangu ya ndoto baada ya kungoja kwa muda mrefu. Nilijua itakuwa nafasi ya kubadilisha maisha yangu na kusaidia familia yangu. Hata hivyo,…
Timu ya taifa ya Morocco imeandika historia kwa kuwa nchi ya kwanza kutoka Afrika kufuzu hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la…
Muonekano wa mbele wa jengo la zamani walilokuwa wakiishi Waalimu wa shule ya msingi Ngolela iliyopo Kyela Mkoani Mbeya kabla ya jengo hilo kuchakaa…
Na Victor Masangu, Kibaha Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Kibaha katika kupambana na changamoto ya wimbi la umasikini imejiwekea mikakati kabambe ya…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, akichangia hoja wakati wa Kikao cha Makatibu Wakuu wa Hazina na Maafisa Waandamizi wa…
VIJANA 5,746 WANUFAIKA NCHINI Na: Mwandishi Wetu – MwanzaSerikali imeendelea kudhihirisha dhamira thabiti ya kuwawezesha vijana kiujuzi kupitia Programu ya Taifa ya Ukuzaji Ujuzi.…
Na Jackline Minja WMJWM Dar Es Salaam Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema umefika wakati kwa Watanzania kuongeza ushiriki wao katika kuwahudumia makundi yenye…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewaelekeza maafisa uhifadhi nchini kuhakikisha maeneo yote ya hifadhi yanalindwa na kuhifadhiwa kwa manufaa…
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA, TANGA Suala la utunzaji mazingira ni la muhimu kutokana na umuhimu wake kijamii, kimazingira na kiuchumi. Mwanadamu ambaye ni sehemu…
Na Oscar Assenga, Tanga WAZIRI wa Nishati, Dkt. Deogratius Ndejembi, amesema ujenzi wa Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)…
Timu ya taifa ya Paraguay imefanikiwa kuitoa Ujerumani katika mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kushinda kwa mikwaju ya penalti 4-3, kufuatia sare…
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Dkt. Jim Yonazi ambaye pia…
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dar Es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, leo Juni…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…
Na Mwandishi Wetu- Dar es Salaam Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendelea kuimarisha uelewa wa wananchi kuhusu haki za binadamu…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha WATOTO waishio na kufanya kazi mitaani wapatao 4,200 wanatarajiwa kuokolewa kupitia mradi wa miaka mitatu utakaowarejesha kwenye familia zao, kuwapatia…
………… Mjasiriamali na Mwanzilishi wa Pedima Enterprises Limited, Peter Didas Mallya (PEDIMA), ameendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa baada ya kutwaa tuzo mbalimbali zinazotambua…
Na Mwandishi Wetu, Kampuni ya mawasiliano ya Halotel Tanzania imeingia kwa kishindo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amesema mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani, mkoani Tanga nchini Tanzania…
Na Mwamvua Mwinyi-Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limeendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka…
Mchumi Mwandamizi, Wizara ya Fedha, Bi. Consolata Komba, akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha, katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa…
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam SERIKALI imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha Watu Wenye Ulemavu wanapata nafasi sawa katika nyanja zote za…
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (Kulia), akisalimiana na Mkurugenzi Mpya wa Benki ya Afrexim…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC), Mhe. James Millya amesema Diplomasia ya Tanzania imeendelea kuimarika duniani katika Serikali…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha…