HISPANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…
Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Argentina katika mchezo…
Sheikh Hassan Kabeke, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kambi ya uchunguzi wa macho bure. Dr. Elia Francis (kulia), akimpma Ramadhan Mshindo,…
Na. Ssgt. Mawazo Mtondo – DODOMA Kamishna wa Huduma za Urekebu wa Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, alishiriki katika ujumbe wa Tanzania uliohudhuria…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia…
Na.Mwandishi Wetu Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ( NM- AIST) inatumia mbio za marathon kama moja ya mikakati ya…
Mhandisi wa mradi kipande cha pili kutoka Morogoro mpaka Makutupora, Christina Samuel akizungumza na Waandishi wa Habari Julai 18, 2026 Bahi, mkoani Dodoma wakati…
Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Kamati ya Urithi wa Dunia wa UNESCO unaofanyika jijini Busan, Jamhuri ya Korea, ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi mbalimbali…
•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi Na. OWM–TAMISEMI, Mvomero Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), Mhe. Moussa Saleh Batraki, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku…
Mkuu wa wilaya ya Kigoma, Dkt. Rashid Chuachua, amewaasa na kuwahamasisha wanufaika wa mafunzo ya ufundi kupitia Mradi wa Dumisha Amani chini ya ufadhili…
Zanzibar, Julai 18, 2026 Mamia ya wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vya kati na vya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2026/2027, wanaendelea…
Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa SACP Shadrack Masija wakati akizungumza na wananchi wa Korongwe Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa. Baadhi ya wananchi walioshiriki katika…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande…
NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (katikati), akishiriki matembezi yaliyolenga kuhamashisha jamii katika Uhifadhi…
Bendi ya muziki ya Tongolanga iliwahi kuimba “kila munu ave na kwao ”ikimaanisha kila mtu awe na kwao, ujumbe kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya…
NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa uhifadhi anayesimamia huduma za Utalii na Masoko, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mariam Chuma Kobelo, ametunukiwa tuzo ya _Iconic Woman…
Tanzania imetumia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela 2026 kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza amani, umoja wa kitaifa, maridhiano na maendeleo jumuishi,…
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akiwa katika katika Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Shirika la…
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (kulia), na Mkurugenzi wa Biashara na Uendeshaji wa Mantrac Kanda ya Afrika Mashariki,…
Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameongoza Kikao Kazi na Viongozi wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa…
DAR ES SALAAM – Wakati wakongwe wa Redio Tanzania wakiadhimisha miaka 75 ya utangazaji Tanzania Bara na miaka 61 ya Redio Tanzania wamewataka waandishi…
Asema umoja, ushirikiano, upendo na uelewa wa pamoja utatimiza adhma ya Serikali na maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Na Mwandishi Maalumu Arusha Katibu…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WADAU wa soka mkoani Iringa wameanza kuweka mikakati ya pamoja ya kuhakikisha mkoa unapata tena timu ya Ligi Kuu Tanzania…
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili Segerea Jijini Dar es salaam, nyumbani…
CHENNAI, INDIA, Julai 18, 2026 – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewatembelea wagonjwa kutoka Zanzibar wanaopatiwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya…
Tanzania imeendelea kuthibitisha nafasi yake ya uongozi katika ajenda ya matumizi ya nishati safi ya kupikia barani Afrika, huku nchi wanachama wa Jumuiya ya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo, tarehe 18 Julai 2026, ameendelea na ziara yake ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri,…
Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya ameitaka Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidigitali…
Na Victor Masangu, Pwani Hatimaye Chama cha wafanyakazi wa serikali na afya (TUGHE) Mkoa wa Pwani kimefanya uchaguzi wake mkuu na kuweza kumchangua kwa…