KATIBU MKUU CCM AZUNGUMZA NA WABUNGE WA EALA TANZANIA
DODOMA | 24 Julai 2026 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya…
DODOMA | 24 Julai 2026 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Timu ya Maafa ya Wilaya ya Mafia imewaokoa manusura 22, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Burundi na…
Wafugaji na Wafanyabiashara wa Mifugo Katika Kijiji na Kata ya Mwimbi, Wilaya ya Kalembo Mkoani Rukwa wametakiwa kuungana na kuunda vikundi vya ulinzi shirikishi…
WAZIRI wa Kilimo na mlezi wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mwinyi.Ahmed Mwinyi alipofanya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mahadhi Juma Maalim kuwa Mwenyekiti wa Tume ya…
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Balozi…
Na Cletus Sanga, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Clinton Health Access Initiative (CHAI) imeendelea kuimarisha ubora…
…………… KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia 600 kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali wakimo mama lishe huku Mbunge wa Jimbo…
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amesema kilimo cha bangi katika Mkoa wa Mara kimepungua…
NA DENIS MLOWE, IRINGA. WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amezindua rasmi Shule ya Sekondari Ugwachanya iliyopo Kata ya Mseke, Wilaya ya Iringa, huku akiipongeza…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Nancy Nyalusi, amesema ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto ni hatua…
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Diwani wa Kata ya Ngarenaro jijini Arusha, Mheshimiwa Abdulaziz Abubakar Chende, maarufu…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…
Kagera. Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Lusahunga–Benako–Rusumo yenye urefu wa kilomita 92, akieleza kuwa…
MOSHI. WANAWAKE wa rika zote, wakiwemo wafanyakazi na wasio na ajira, wamehimizwa kujitokeza kushiriki katika mkutano maalumu wa mafunzo ya biashara na maendeleo binafsi…
Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Kambi ya Madaktari bingwa wa upasuaji inayoendelea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Arusha, Mount Meru, leo Julai 24, 2026…
Mbeya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imepongezwa kwa mchango wake mkubwa katika kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza fursa za ajira…
Naibu Waziri wa Fedha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akifuatilia mada zilizokuwa zikijadiliwa katika Mkutano wa…
Lusahunga, Biharamulo – Kagera Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kagera, Mhe. Devotha Daniel, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea…
Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating…
Mhe. Salehe Mbwana Mhando ameendelea na ziara yake katika Kata ya Kilindi, ambapo alipata fursa ya kukutana na wananchi, kusikiliza changamoto zao na kuzungumza…
Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa bwawa la Kidunda ametahadharishwa na uwezekano wa uwepo wa mvua za El Nino. Mwenyekiti Bodi ya Maji ya Taifa, Bwn.…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 23 Julai 2026, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Mkongwe wa tasnia ya habari nchini, Bi. Rose Haji Mwalimu, amesema mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari umeleta mabadiliko makubwa kwa kurejesha heshima…
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Maji safi na salama ni hitaji muhimu la wananchi waishio mijini na vijijini. Serikali inalo jukumu la kuhakikisha wananchi wake…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Familia, Waumini, Viongozi na Wananchi mbalimbali katika Misa…
Na Atley Kuni, WAF-Kigoma Wananchi zaidi 24,000 wa Manispaa ya Kigoma mjini wameendelea kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Ebola kupitia kampeni maalumu ya uhamasishaji…
Na. Fullshangwe Michezo, Updates Manchester, England – Manchester City imekamilisha usajili wa kiungo Elliot Anderson kwa dau linaloripotiwa kufikia pauni milioni 116, huku mchezaji…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika,…
Mbunge wa Arusha ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametangaza kuwa Tanzania itashiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa Mkutano wa Kimkakati wa Uwekezaji na Ushirikiano wa Tanzania (Tanzania Strategic Investment…
Na Baltazar Mashaka, Mwanza WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameelekeza usimamizi madhubuti wa Sheria ya Madini na kanuni zake ili kuhakikisha asilimia 90 ya bidhaa na huduma zinazotumika katika migodi nchini…
Na Mwandishi Wetu, Korea Tanzania imeendelea kuonesha uwezo wake katika jukwaa la kimataifa la UNESCO baada ya Bi. Rose Kinabo kuiwakilisha nchi katika Jukwaa…
Na Mwandishi wetu, Jeshi la Polisi Ndoto za vijana wanaoishi katika mazingira magumu mkoani Arusha zimeanza kupata mwanga baada ya Jeshi la Polisi Kikosi…