SIMBA SC YAVUNA POINTI 3 MBELE YA SINGIDA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Na. Meleka Kulwa– Fullshangwe Blog, Dodoma Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Mhe. Anne Makinda, amesema matumizi ya…
Wizara ya Afya kupitia Sehemu ya Elimu ya Afya kwa Umma, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara, imetoa elimu…
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM mkoani Singida katika Viwanja Vya…
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali,…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewashukuru wadau mbalimbali walioshiriki na kuchangia kufanikisha Manyara Tanzanite Marathon 2026, akisema ushirikiano wao umewezesha kufanikisha mbio…
Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua kubwa zilizopigwa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali yameendelea kuwa nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, yakishirikiana na…
Na Fullshangwe, Rufiji RUFJI, PWANI: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kukamilika na kuzinduliwa kwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) ni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kifaa Maalum pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili…
Na. Mwandishi Wetu – Kazuramimba Kigoma Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi,…
Na John Walter -Mbulu MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara wameiomba Serikali kuharakisha utoaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo ili waweze…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (Kulia), akiagana na Mwakilishi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bi.…
WATAALAMU wa kada ya ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi wametakiwa kuzingatia uadilifu, weledi na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao, huku wakiweka usalama, afya…
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe,…
Na Oscar Assenga, TANGA Programu ya Tanga Yetu imeendelea kuwa chachu ya maendeleo kwa vijana na watoto wa Jiji la Tanga, kupitia miradi inayolenga…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa…
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI, watumishi na baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashiriki kwa wingi mbio za…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka…
Na Victor Masangu, Bagamoyo Baraza la michezo la Taifa (BMT) limeipongeza kwa dhati Taasisi ya Shajar inayomiliki shule ya Baobab kwa kuweza mipango madhubutti…
Mhariri Mkuu wa maudhui mtandaoni wa Fullshangwe Blog, John Bukuku, ametwaa tuzo ya ushindi wa kwanza katika kundi la vyombo vya habari vya kidijitali…
* Ataka kazi ifanyike usiku na mchana inapowezekana; * Asisitiza mashindano hayo ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Tanzania; *Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya…
Mwanza.Wafanyabiashara tisa wa Soko la Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance,…
Serikali imesema inaendelea kuweka mkazo katika usimamizi na uendelezaji wa Sekta ya Uchumi wa Buluu ili iwe endelevu na yenye kuleta manufaa kwa wananchi…
NA DENIS MLOWE ,IRINGA WAKULIMA wameeleza namna matumizi ya mbegu bora yanavyoweza kubadili matokeo ya kilimo, wakisisitiza umuhimu wa kupata mbegu zinazofaa kwa mazingira…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Vodacom Tanzania…
Katika sekta ya usafiri wa anga, kuna wataalamu mbalimbali wanaoshiriki kuhakikisha ndege zinafanya safari kwa usalama na ufanisi. Miongoni mwa wataalamu ambao mara nyingi…
Rais wa Zambia Institute of Human Resource Management ,Kelvin Shamizhinga, akizungumza katika Mkutano wa Pili wa Maafisa Rasilimali watu barani Afrika unaofanyika jijini Arusha …
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM wilayani Iramba mkoani Singida, leo Agosti…