Top Stories
View all
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA YA KIKAZI IDARA YA UHAMIAJI TANZANIA
Konstebo Josephat Mtema,Dsm Leo September 01,2026 katika Ofisi ya Uhamiaji kurasini, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi (Mb) amefanya ziara…
BEI ZA MAFUTA SEPTEMBA ZASHUKA NCHINI
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za bidhaa za mafuta kwa mwezi Septemba 2026. Bei ya…
TANZANIA NA UINGEREZA ZAKUBALI KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI
Leo jijini Dodoma, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mh. Marianne Young amekutana na Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde, kwa ajili ya mazungumzo kuhusu…
YATAMBULISHA UZI MPYA KUELEKEA YAS ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Dar es Salaam, Septemba 1, 2026 – Kampuni ya Mawasiliano Yas Tanzania, imetambulisha rasmi uzi/jezi mpya zitakazovaliwa na washiriki wa mbio za Yas Zanzibar…
MHE. SALOME: WIZARA YA NISHATI INA WAJIBU WA KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema jukumu kuu la Wizara ya Nishati ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika na wanapatiwa taarifa…
MSAJILI WA HAZINA ATETA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA BARRICK
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa Barrick Corporation, mwanahisa mwenza…
WATUMISHI WA ELIMU WATAKIWA KUONGEZA TIJA KAZINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya…
UBUNIFU WA WANAFUNZI IFM WAWAVUTIA WANANCHI MAONESHO MEATF 2026
Mkuu wa Utawala wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kampasi ya Mwanza, Dkt. Laurent Sunda Joseph (kulia), Mhadhiri Msaidizi na Mkuu wa Taaluma…
RAIS DKT. SAMIA AUDHURIA UAPISHO WA HAKAINDE HICHILEMA, LUSAKA
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda Jijini Lusaka…
NGOs ZISITEGEMEE WAFADHILI, ZITUMIE RASILIMALI ZA NDANI – ELISANTE
Katibu wa Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiraia Mkoa wa Arusha, Elisante Ephrhim akizungumza kwenye jukwaa hilo jijini Arusha Na Happy Lazaro, Arusha. Katibu…
MOI YAFANYA ZIARA ORCL KUJIFUNZA TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA SARATANI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akiwakaribisha wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo…
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira wezeshi ya utekelezaji wa…
BALOZI OMAR: UWEZO WA KITAALUMA UAMBATANE NA MAADILI
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa kikao chake na Uongozi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri…
SERIKALI, KPMG KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MABORESHO YA MFUMO WA KODI
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa kikao chake na Uongozi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri…
MAFUTA NA GESI ASILIA HUSIMAMIWA NA KILA UPANDE WA MUUNGANO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zimekubaliana kuondoa jambo la 15 la Maliasili ya mafuta,…
HABARI PICHA : WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 1, 2026. (Picha na Ofisi…
NGAJILO AIBANA SERIKALI KUHUSU UHAMISHWAJI WA GEREZA KUU LA IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Fabian Ngajilo, ameiomba Serikali kuharakisha uhamishaji wa Gereza Kuu la Iringa kutoka eneo…
MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA MBUYUNI – MOSHI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi…
MWINYI AZITAKA NCHI ZA NAM KUUNGANISHA SAUTI, KUWA NA UZITO KATIKA MAAMUZI YA KIMATAIFA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Harakati za Nchi Zisizofungamana…
LOIBORSIRET SIMANJIRO KUJENGWA CHUO KIKUU – LOURE
CHUO kikuu kinatarajiwa kujengwa kwenye Kata ya Loiborsiret Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanaoishi kwa wingi jamii ya wafugaji na wakulima. Mratibu wa shirika lisilo…
JKCI YAFANYA UPASUAJI WA NIKAIDOH KWA MTOTO WA MIAKA MIWILI
Wataalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimfanyia upasuaji wa moyo mtoto wa miaka miwili (Nikaidoh Operation) kwa kushirikiana…
SERIKALI YAONGEZA FURSA ZA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WANAWAKE
Na Jackline Minja, WMJJWMM Dodoma Serikali imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuwapatia wanawake mafunzo ya ufundi stadi kwa lengo la kuwawezesha kuibua…
MOI YAWEKA MFUMO WA QR CODE KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITALINI
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya, amesema taasisi…
PROF. SHEMDOE AELEKEZA WAFANYABIASHA 30 SOKO LA NDIZI MABIBO KUREJESHWA SOKONI
Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof.…
MAVUNDE AITAKA MANTRA KUHARAKISHA MRADI WA URANI MKUJU
Leo 01 September 2026, Waziri wa Madini Mhe. Anthony Peter Mavunde (MB) amekutana na wakurugeni wa Kampuni ya Mantra Tanzania Limited mjini Dodoma kujadili…
PROF. SHEMDOE APONGEZA MPANGO WA MUFTI BIMA FOUNDATION KUWASAIDIA WANANCHI WASIO NA UWEZO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti…
ICD ZA ZAIDI YA SITA ZASIMAMISHWA DAR ES SALAAM
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imesimamisha shughuli za zaidi ya Bandari Kavu (ICD) sita jijini Dar…
WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA
Na WMA – MWANZA Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita, Bi. Eva Ikula amesema usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo unaofanywa…
SIMBA, YANGA ZAVUNA POINTI 3 LIGI KUU
Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo, Agosti 31,…
TAEC YAWEKA MIKAKATI YA USALAMA WA NYUKLIA KWA AFCON 2027
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), kwa kushirikiana na Wakala wa Kimataifa wa Nguvu za Atomu (IAEA), imeanza kuimarisha maandalizi ya usalama wa…
MASHINE MPYA YA AL KULETA MAPINDUZI KATIKA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo na viongozi wengine wa taasisi hiyo wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa mashine…
WATU 1,005 WAPIMWA MOYO NA MACHO ARUSHA
Na. Mwandishi Maalumu – Arusha 31/08/2026 Jumla ya watu 1,005 wamepatiwa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa ya moyo na…
WANANCHI WAHIMIZWA KUSALIMISHA SILAHA HARAMU KWA HIARI
Na. Jeshi la Polisi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobas, amezindua rasmi Kampeni ya Kitaifa ya Msamaha wa Usalimishaji…