WMA YAVUKA LENGO LA UKAGUZI KWA ASILIMIA 25
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) umefanya ukaguzi wa vipimo 5,015 katika mwaka wa fedha 2025/2026, sawa na kuvuka lengo lililowekwa…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) umefanya ukaguzi wa vipimo 5,015 katika mwaka wa fedha 2025/2026, sawa na kuvuka lengo lililowekwa…
Wilaya ya Ngorongoro ipo katika hatua za mwisho ya mapitio na kupitisha mkakati mpya wa miaka mitano unaodhamiria kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi, kijamii…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi ameungana na wananchi mbalimbali kufanya mazoezi ya asubuhi katika barabara ya fukwe…
Na Mwandishi wetu, Nzega MWENGE wa uhuru unatarajiwa kuzindua, kukagua, kutembelea na kuweka jiwe la msingi, kwenye miradi ya thamani ya shilingi bilioni 4.1…
Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 18, 2026 WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo (Mb), amewaagiza Makamishna wa Ardhi wa mikoa…
Na Victor Masangu, Kibaha Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Dkt. Nicas Mawazo amewahimiza wazazi na walezi kuachana na tabia ya kuwatelekeza…
Dodoma, Septemba 18, 2026 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, ametoa wito kwa Taasisi za Serikali Mkoani Dodoma kuhakikisha zinawawezesha watu wenye…
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Septemba 18, 2026, ametoa maagizo kwa uongozi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhusu…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu katika Dua Maalum…
*Lindi Yatajwa Kuwa na Fursa Kubwa za Uwekezaji wa Madini *Wachimbaji Wahimizwa Kuongeza Thamani ya Madini Nchini Ruangwa, Lindi. Serikali yawahimiza wachimbaji wa Madini…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Mussa, Septemba 18, 2026 ameungana na Balozi wa…
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Dk. Kusirye Ukio. Kaimu Meneja wa TMDA Kanda ya Mashariki, Keddy Manga. Mawakilishi wa DCEA, Mfamasia Upendo Chenya.…
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Ufaulu wa mitihani ya kitaaluma ya Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) umeongezeka kutoka wastani…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam na Halmashauri zake…
Kampala, Uganda Serikali za Tanzania na Uganda zimekutana kujadili utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya mafuta na gesi kati ya nchi hizo mbili. Hayo…
*Abiria wa treni ya kisasa kunufaika na uchunguzi wa moyo bila malipo- *TRC yapanga kuanzisha mabehewa maalumu ya wagonjwa- Dar es Salaam Shirika la…
CPA. Daniel Warungu, Mkurugenzi Mtendaji wa TOL PLC (kushoto), akiwa pamoja na Bw. Leonard Kitoka, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TOL PLC (kulia),…
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Baran Sillo (wa pili kutoka kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Alban Mark Kihula, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Septemba 18, 2026, kuhusu utekelezaji…
Na Farida Said Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mhe. Shaka Hamdu Shaka, leo ameongoza kikao cha Kamati ya Ushauri ya Kodi ya Wilaya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhajj Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu baada ya…
Na Mwandishi Wetu, Tanga. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imewezesha ziara ya mafunzo kwa Viongozi wa Mila (Malaigwanani), Wazee Mashuhuri na kinamama 33…
Kaimu Meneja wa Tanroads mkoa wa Ruvuma Mhandisi Ferdinand Mdoe,akimuonyesha Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera kulia, mchoro wa daraja la Luegu…
Na Victor Masangu, Kibaha Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Pwani kupitia chama cha mapoinduzi (CCM) Mariamu Ulega katika kuunga mkono juhudi za seriklai…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA). Kikao hicho kimefanyika Ofisi ndogo ya Waziri…
Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya…
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeonya wananchi kuhusu uwepo wa chanjo bandia ya mifugo aina ya TMEVAC NDV Strain 1-2 inayosambazwa nchini.…
Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki…
Na Sixmund Begashe, Dodoma TIMU za Kamba Wanaume (ME) na Wanawake (KE), Wizara ya Maliasili na Utalii zimewapa somo timu za Wizara ya Kilimo…
Mkuu wa wilaya ya Arusha Joseph Mkude akizungumza wakati akitembelea mabanda katika kliniki hiyo inayoendelea mkoani Arusha. ………… Happy Lazaro,Arusha. Arusha , Serikali imeendelea…
………….. KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi ya gesi 600 na vifaa vyake kwa wananchi wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma ikiwa ni sehemu…
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kairuki Health and Education Network Bi. Kokushubira Kairuki katika maadhimisho ya Mwezi…
Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema TANESCO imejipanga vizuri kukabiliana na dharura zinazoweza kujitokeza katika kipindi cha mvua za El Nino ili…