Top Stories
View all
TAREWU YAWEKA MSUKUMO ELIMU YA FEDHA, UWEKEZAJI KWA WANACHAMA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam CHAMA cha Wafanyakazi Wakusanya Mapato Tanzania (TAREWU) kimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na TIB Rasilimali Limited, ikiwa ni…
DIGITAL TANZANIA YABADILI MFUMO WA HUDUMA ZA SERIKALI
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam MRADI wa Digital Tanzania umewezesha kuboresha mawasiliano ya kimtandao na upatikanaji wa huduma za Serikali kwa njia ya…
BALOZI MBAROUK AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA SERBIA
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Serbia, mwenye makazi yake Roma, Italia, Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk, amewasilisha Hati za Utambulisho…
MASAUNI AWATAKA WATANZANIA KUEPUKA GESI ZINAZOHARIBU TABAKA LA OZONI
Serikali imewataka Watanzania kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni, ikiwemo majokofu na viyoyozi vilivyotumika, ili kulinda…
JESHI LA POLISI MKOA WA KILIMANJARO LACHUNGUZA TUKIO LA MAUAJI NA VURUGU MOSHI
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza tukio la mauaji ya kijana aitwaye Steven Karakira Kaaya, (24), Mkazi wa Mtaa wa Boma Mbuzi, Wilaya…
MAKAMU WA RAIS AWASILI VIENNA AUSTRIA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA MKUTANO WA NGUVU ZA ATOMU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi akiongoza kikao cha Maandalizi cha Viongozi na Wataalamu mbalimbali wanaoshiriki Jukwaa la…
DKT. MWIGULU: MFUMO MPYA WA UNUNUZI PAMBA UJULIKANE NDANI YA MWEZI MMOJA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya…
VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUJENGA MAADILI, AMANI NA UMOJA WA KITAIFA
DODOMA RS Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amewataka viongozi wa dini kutumia ushawishi na imani kubwa waliyonayo katika jamii kuimarisha maadili…
TUME YA UTUMISHI WA UMMA YAIPA KONGOLE WIZARA YA NISHATI KWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI
Tume ya Utumishi wa Umma imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni na taratibu zinazoongoza Utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu…
TANZANIA NA JAPAN KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA MAENEO YA KIMKAKATI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimedhamiria kuendelea kuimarisha na kupanua wigo wa ushirikiano wa muda mrefu uliopo kati yao, kwa…
SEKTA BINAFSI YATAKIWA KUONGEZA NGUVU KUTEKELEZA DIRA 2050 KUPITIA ELIMU-SHILINGI
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha USHIRIKIANO kati ya Serikali na sekta binafsi umetajwa kuwa chachu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan…
NMB YAINGIA 10 BORA DUNIANI KWA BENKI ZENYE MALI YA DOLA BILIONI 3–10
Benki ya NMB imeorodheshwa katika nafasi ya tisa duniani ndani ya Daraja la Sita la benki zenye mali ya kati ya Dola za Marekani…
MZUMBE KAMPASI YA TANGA: CHACHU YA MAPINDUZI YA ELIMU, AFYA NA UCHUMI MKINGA
Na Farida Said Mkinga, Tanga Uwekezaji mkubwa unaotekelezwa na Chuo Kikuu Mzumbe kupitia ujenzi wa Kampasi ya Tanga, iliyopo Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga,…
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAFUGAJI TANZANIA AMFARIJI RAIS SAMIA
Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Bw. Mlida Mshota, Septemba 13,2026 amefika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, nyumbani kwa Rais wa Jamhuri ya…
KADA WA CCM MARY NCHIMBI AFARIKI DUNIA
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya Jumuiya ya Vijana, Chama pamoja na Ofisi…
WAZAZI, WADAU WATAKIWA KUONGEZA MCHANGO KATIKA ELIMU
Na Happy Lazaro, Arusha. Wazazi na wadau wa elimu wametakiwa kuendelea kushirikiana na shule pamoja na kuongeza mchango wao katika kuboresha mazingira ya elimu,…
MKURUGENZI MKUU REA AMFARIJI RAIS DKT. SAMIA KIZIMKAZI
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy , amefika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar – nyumbani kwa Rais wa…
MHE. SALOME ASHIRIKI UFUNGUZI WA GASTECH 2026 BANGKOK
Bangkok, Thailand Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, leo ameshiriki katika ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati wa Gastech 2026, unaofanyika…
MAMENEJA TARURA WATAKIWA KUKAGUA MADARAJA, MAKALAVATI KABLA YA MVUA
*Magari ya shule yakumbushwa kubadili muda wa kuwachukua wanafunzi Arusha Mameneja wa mikoa na wilaya wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)…
PSPTB YATOA SIKU 30 KWA WATAALAMU WENYE MALIMBIKIZO YA ADA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imewapa siku 30 wataalamu wenye malimbikizo ya ada kukamilisha malipo yao,…
RAIS DKT. MWINYI AZINDUA KAMATI YA MAJADILIANO YA PAMOJA KATI YA CCM NA ACT
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kamati ya Pamoja ya Majadiliano ya CCM na ACT Wazalendo,…
RAIS MWINYI: KAMATI YA CCM NA ACT WAZALENDO KUIMARISHA MARIDHIANO ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe…
KIWANDA KIKUBWA CHA KUCHAKATA MCHANGA MZITO WA BAHARINI(HMS) BARANI AFRIKA KUJENGWA PANGANI,TANGA
*Ni cha Kampuni ya Madini ya Shenghe ambacho ujenzi wake umeanza Chengdu,China Kampuni ya Shenghe Resources ya China imeanza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha…
PROF. SHEMDOE AZITAKA WILAYA, HALMASHAURI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA ZA EL NIÑO
Na: OWM – TAMISEMI, Kilwa – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof.…
NAIBU WAZIRI MWANA FA AZITAKA KLABU KUBWA NCHINI KUFUATILIA MICHUANO YA AWESO CUP KUSAKA VIPAJI
Na Oscar Assenga, PANGANI Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’, amezindua rasmi Mashindano ya Aweso Cup katika…
WAPANDA JUU YA MTI KITETO KUMUONA OLE LEKAITA
Na Mwandishi wetu, Kiteto BAADHI ya wakazi wa kijiji cha Loltepes kata ya Sunya Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wamempokea mbunge wao Edward Ole Lekaita…
MANTRA YATOA ZAIDI YA MILIONI 50 KUGHARIMIA BIMA KWA WANAFUNZI 1,000 NAMTUMBO
Meneja wa mfuko WA Taifa wa BIMA ya Afya(NHIF)Mkoani Ruvuma Hance John wa pili kulia,akiwa katika Picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya…
SIMBA SC YAICHAPA MIGHTY WANDERERS 6 -1, YASONGA MBELE LIGI YA MABIGWA AFRIKA
Wekundu wa Msimbazi, , wameibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa…
WATUHUMIWA 07 WA MAKOSA UNYANG’ANYI, MAUAJI NA WIZI WA PIKIPIKI WAKAMATWA ARUSHA
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limesema kwa nyakati tofauti, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa saba wanaodaiwa kujihusisha na mtandao wa uhalifu unaohusisha matukio ya unyang’anyi wa…
BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA
*Ujenzi wafikia zaidi ya 60% Arusha Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imefanya ziara ya kukagua ujenzi wa…
YAS YABORESHA MAZINGIRA YA ELIMU BUIGIRI, DODOMA
Mkuu wa Yas – Kanda ya Kati, Said Idd (katikati), akikabidhi kofia maalum kwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi Buigiri, Yona Robert (wa pili…
DKT KIKWETE AANZA ZIARA YA MIRADI YA JAMII SALAMA WILAYA YA SIKONGE TABORA
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea na uongozi wa Tabora baada ya kuwasili mkoani humo jana Septemba 12, 2026…
PROF. SHEMDOE AONGOZA VIONGOZI OWM–TAMISEMI KUMFARIJI RAIS SAMIA KUFUATIA KIFO CHA MUMEWE, MAALIM HAFIDH AMEIR HASSAN
Viongozi wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), wakiongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu…