Ad imageAd image

Latest news

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AKAGUA BARABARA USIKU MNENE

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Godfrey Mnzava amelazimika kukagua Mradi wa Barabara ya Tabora B Nyakati za Usiku unaogharimu kiasi cha shilingi Milioni 253,769,071.75 wilayani Serengeti Mkoani mara ikiwa nijambo la nadra kufanyika katika mbio hizo za Mwenge wa Uhuru Ujenzi wa Daraja la Tabora B ulianza mwezi mei 2022 na kukamilika mei 4 ikiwa nimpango WA

John Bukuku By John Bukuku

TMA CHACHU KATIKA KUSAIDIA KUPUNGUZA ATHARI ZA KUZAMA MAJI NCHINI.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetajwa kuwa chachu ya kupunguza athari za kuzama maji nchini kwenye mkutano na waandishi wa habari uliyoandaliwa na Shirika la Usimamizi wa Mazingira na Maendeleo (EMEDO) katika ukumbi wa hoteli ya Mbezi Garden, tarehe 24 Julai 2024. Mkutano huo ni moja ya maandalizi ya kuadhimisha Siku ya Kuzama Maji Duniani (World Drowning Day)

John Bukuku By John Bukuku

DIVISHENI YA URATIBU NA USHAURI WA KISHERIA YAWAPIGA MSASA MAWAKILI WA SERIKALI

Divisheni ya Uratibu na Ushauri wa Kisheria imeratibu na kuendesha mafunzo ya kitaaluma kwa Mawakili wa Serikali, mafunzo hayo yamefanyika tarehe 26 Julai 2024, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu zilizoko Mtumba Jijini Dodoma. Mada kuu katika mafunzo hayo ilihusu Uandishi wa Ushauri wa Kisheria, ambapo mada hiyo iliwasilishwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Bw. Ladislaus Komanya

John Bukuku By John Bukuku

WAZIRI NDEJEMBI ATAKA UADILIFU NA KUTENDA HAKI KWA WATUMISHI WA SEKTA YA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na viongozi pamoja na watumishi wa wizara ya Ardhi mkoa wa Dar es Salaam tarehe 26 Julai 2024 jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda akizungumza mara baada ya kuwasili kwa waziri wa wizara hiyo Mhe. Deogratoius Ndejembi kwenye

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA NA KOREA ZATILIANA SAINI MAKUBALIANO UENDELEZAJI SEKTA YA NYUMBA NCHINI TANZANIA

Balozi Togolani Mavura kutoka kushoto, Anayefuata Lee Eun Jae , Katibu Mkuu wa Ardhi  Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Lucy Kabyemera baada ya utiaji saini leo Julai 26,2024. ......................  Na Mwandishi Wetu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini na Kampuni inayojihusisha na

John Bukuku By John Bukuku

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA K- FINCO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Fedha ya Korea kwa ajili ya Ujenzi (K-Finco) Bibi , Eun Jae Lee Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Julai, 2024.

John Bukuku By John Bukuku

RAIS SAMIA AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU DAR ES SALAAM

Mhe. Jerry William Silaa kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.  ................  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaapisha Mawaziri kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 26 Julai, 2024. Mawaziri hao walioapa ni: Mhe. Jerry William Silaa kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Deogratius John

John Bukuku By John Bukuku

BODI YA WAKURUGENZI TASAC YAVUTIWA NA UTENDAJI WA BANDARI TANGA

Bodi ya Wakurugenzi  Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania -TASAC imevutiwa na utaratibu wa usalama wa bandari ua Tanga wenye kiwango cha usalama.daraja la kwanza ambavyo ni vigezo vya bandari inayotoa huduma kwa viwango vya kimataifa.  Mazingira safi ya bandari na shughuli zinaendeshwa kwa mpangilio mzuri. Hii inatupa sababu ya kujivunia utendaji wa kazi na uwekezaji wa Serikali awamu ya

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

TIC: RAIS SAMIA NI SHUJAA NAMBA MOJA WA UWEKEZAJI

Na Sophia Kingimali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa Shujaa namba moja wa uwekezaji ambaye amejipambanua kuufanya uwekezaji kuwa ni moja ya nyenzo

John Bukuku By John Bukuku

BENKI YA MAENDELEO YATENGENEZA FAIDA MFURULIZO KWA MIAKA 9

Benki ya maendeleo Plc imeweka historia ya kuwa benki yenye faida kwa miaka 9 mfululizo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2015 ambapo kwa mwaka 2023 imepata faida ya shilingi Bilioni 2.35

John Bukuku By John Bukuku