SIMBA SC YAANZA LIGI KUU KWA USHINDI WA 2-0 DHIDI YA KAGERA SUGAR
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
Na OWM-TAMISEMI,Morogoro Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema michezo ni nyenzo muhimu ya kujenga amani, umoja na mshikamano, kwa kuwa…
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo TIB,…
KISIWANDUI, ZANZIBAR | 16 AGOSTI 2026 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amempokea Katibu Mkuu SWAPO, kutoka Namibia, Ndugu Sophia Shaningwa, na kufanya…
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka amewataka vijana kutumia michezo kama fursa ya kujipatia ajira…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa ujenzi wa Barabara ya Kibaoni–Sitalike (km 70) ni muhimu katika kuchochea shughuli za kiuchumi na kufungua fursa…
Wahadzabe ni kabila linalopatikana mkabala na ziwa Eyasi pembezoni mwa hifadhi ya Ngorongoro na habari za maisha yao zimehifadhiwa katika makumbusho ya Urithi Jiopaki…
Na; Mwandishi Wetu Unguja TIMU ya Kundemba FC imetawazwa mabingwa wapya wa Mashindano ya PBZ Yamle Yamye kwa kuichapa bao 1-0 timu ya Ubinadam…
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Ridhiwani Kikwete, amezitaka shule za msingi…
Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mhe. Husna Sekiboko, akizungumza wakati wa ziara ya Kamati katika Chuo cha…
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Mkutano Mkuu wa 16 wa Mwaka wa Taasisi ya Maboresho katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) unatarajiwa kujadili…
Na Oscar Assenga, Kilindi MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispian Chalamila amemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi…
*Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa *Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro…
Na Muhidin Amri, Namtumbo SERIKALI imesema,ujenzi wa Barabara ya Lumecha-Kitanda-Londo-Malinyi inayounganisha Mkoa wa Ruvuma na Morogoro kwa kiwango cha lami utaanza mwaka huu wa…
Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) inashiriki kwenye maadhimisho ya wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026 katika viwanja vya Shule ya…
Na John Walter-Babati Historia mpya imeanza kuandikwa mkoani Manyara baada ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kufanya makabidhiano ya eneo la ujenzi wa…
Jamhuri ya Afrika Kusini imeipongeza Tanzania kwa mchango na juhudi zake katika kupunguza tatizo la njaa na kuimarisha usalama wa chakula katika ukanda wa…
Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandala ameongoza mamia ya wakazi wa eneo hilo kwenye mazoezi…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki…
DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 15, 2026 ameendelea kutatua kwa njia ya maridhiano migogoro sugu inayowakabili wananchi na mara hii ametatua mgogoro…
Happy Lazaro,Arusha. Arusha.Timu ya Jiji la Arusha imeagwa rasmi kuelekea mkoani Mbeya kushiriki Michuano ya Shirikisho la Michezo na Sanaa za Watumishi wa Serikali…
Balozi wa Serbia nchini, Mhe. Jovica Topalović, amesema, maendeleo ya Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, yanaipa Tanzania fursa ya kuimarisha mazingira ya shughuli…
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Agosti 14, 2026 imepitia na…
Wakili wa Serikali wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Tamari Z. Mndeme, ameongoza kikao cha Kamati ya Ushauri wa Kisheria cha Mkoa kilichofanyika tarehe 13…
Na Hellen Mtereko,Mwanza Uwepo wa mazingira sahihi ya shule za kusomeshea watoto ni hitaji muhimu katika kufanikisha safari ya kimasomo kwa wanafunzi wanao hitimu…
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imeonyesha mfano wa namna halmashauri zinavyoweza kutumia mapato ya ndani kuwekeza katika elimu ya Amali (ufundi na ufundi stadi)…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi…
Mamalaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeahidi kuendeleza mashirkiano na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar katika kutoa elimu na mafunzo…
******* Taka zinazozalishwa katika masoko zimeelezwa kuwa zinaweza kubadilishwa kuwa bidhaa zenye thamani na kuwa chanzo cha kipato. Mwanzilishi na Mwenyekiti wa GEHESE, Liliani…
Na Mwandishi Wetu – Zanzibar Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchumi wa kidijitali…
*Kuelekea Mkutano wa TMIC 2026. *Kushiriki mkutano tembelea tovuti ya conference.madini.go.tz au piga simu namba 0714278620. Dar es Salaam Zaidi ya washiriki 2,000 kutoka…
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Kamati yake…