Top Stories
View all
MAVUNDE AFUNGUA NJIA MPYA KULINDA TANZANITE, AITAKA KAMPUNI YA FRANONE MINING KUONGEZA UBUNIFU WA TEKNOLOJIA
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akizungumza leo Agosti 24, 2026 kwenye ziara ya kikazi mkoani Manyara ……….. Na Happy Lazaro, Arusha. Waziri wa Madini,…
MCHENGERWA ATOA AGIZO AMBULANCE ISITUMIKE KWA SAFARI BINAFSI KIBAHA VIJIJINI
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha kuhakikisha inatumia ipasavyo gari la wagonjwa (ambulance) lililokabidhiwa na…
MKATABA WA UJENZI WA MELI TATU ZA UVUVI WA BAHARI KUU WASAINIWA
Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Serikali kupitia Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) imesaini mkataba wa ujenzi wa meli tatu za uvuvi wa…
SILLO AZINDUA PROGRAM MBILI ZA SHAHADA CHUO CHA UHASIBU BABATI.
Na John Walter -Babati Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Daniel Sillo, amezindua programu…
KADONYA: BONDE LA ZIWA VICTORIA NI NGUZO MUHIMU YA UCHUMI NA MTANGAMANO WA AFRIKA MASHARIKI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Bw. Charles Ngeleja Kadonya, amesema Bonde…
BALOZI ZENA AFANYA KIKAO NA MAWAKALA BINAFSI WA AJIRA ZA NJE YA NCHI
Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Mhe. Mha. Zena Ahmed Said amefanya kikao na wadau wa sekta ya ajira ili kuongeza fursa za ajira,…
YANGA SC YAVUNA POINTI TATU DHIDI YA JKT TANZANIA
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuvuna pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi…
SERIKALI KUPITIA MFUMO WA BIASHARA NA UCHIMBAJI WA MADINI YA TANZANITE
Mirerani, Manyara. Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanza kuchukua hatua za kuboresha mfumo wa biashara na uchimbaji wa madini ya Tanzanite nchini, kwa kufikia…
TANZANIA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHARIBIFU WA ARDHI, UKAME UNCCD COP17
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akishiriki Mkutano wa Kumi na Saba wa Nchi…
KUNENGE ATOA WITO KWA WAZAZI KUWAPELEKA WATOTO KUPATA CHANJO YA POLIO
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa wazazi na walezi mkoani humo kuhakikisha watoto walio chini ya…
WAZIRI MKUU ATAKA UBUNIFU UPELEKWE SOKONI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na Watanzania haziishii kuonyeshwa kwenye…
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA RAIS WA TAASISI YA MAENDELEO YA DIASPORA YA KIAFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa…
WAZIRI MKUU AWASILI TANGA, MGENI RASMI KILELE CHA WIKI YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi…
SERIKALI YAWEKA MAZINGIRA WEZESHI, WANAWAKE KUTUMIA TEKNOLOJIA NA FURSA ZA BIASHARA KUKUZA UCHUMI
Na Jackline Minja – WMJJWM, Arusha Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kupitia programu mbalimbali za uwezeshaji wanawake kiuchumi, ikiwemo kuwawezesha kupata mitaji na mikopo…
MISS UNIVERSE, SERIKALI WAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
*Mhe. Salome awapongeza waandaaji wa shindano kwa kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kitaifa na kimataifa. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba,…
WAZIRI SANGU ASHIRIKI HARAMBE UJENZI WA KANISA AICT
Na Mwandishi Wetu , Mkoani Geita Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu (Mb.), amemwakilisha…
JKCI YAFANYA UPASUAJI WA MOYO BILA KUSIMAMISHA MOYO KWA WAGONJWA 5
Wagonjwa watano wenye matatizo ya mishipa ya damu ya moyo iliyoziba (coronary artery disease) wamefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu ya moyo bila…
MICHEZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI ITUMIKE KUIMARISHA AFYA, MSHIKAMANO, TIJA KIUTENDAJI – PRO. SHEMDOE
Na: OWM – TAMISEMI, Mbeya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe,…
TAKUKURU ARUSHA YAMSHIKILIA RAIA WA ROMANIA KWA TUHUMA ZA KUTENGENEZA NA KUTUMIA KADI BANDIA ZA BENKI
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo akizungumza na waandishi wa habari. Raia wa Romania, Constantin Catalin Podoleanu (39) anayeshikiliwa kwa tuhuma. ………………
NM-AIST KUTEKELEZA DIRA 2050 KUPITIA UTAFITI, UBUNIFU NA UJASIRIAMALI
Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138…
AFRIKA KUWA NA SAUTI MOJA MABADILIKO YA MFUMO WA AFYA DUNIANI
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imesisitiza umuhimu wa Afrika kuwa na sauti moja, uongozi madhubuti na uwakilishi wenye nguvu katika maamuzi…
RABIA: CCM KUENDELEA KUBORESHA NA KUSTAWISHA MAISHA YA KILA MTANZANIA
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa- (SUKI) *Ndugu Rabia Abdalla Hamid(MCC)* amewasisitiza wananchi wa…
TAIKO KULUNJU AONGOZA HARAMBEE YA SHULE NA KUPATIKANA MILIONI 71
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MDAU wa maendeleo wa Mkoa wa Manyara, Taiko Ole Kulunju ameongoza harambee ya ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi…
NMB YAWEKA AFYA YA WATUMISHI MBELE SHIMISEMITA 2026
Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA…
TRUST ST. PATRICK SCHOOLS YAWEKA MKAZO KWENYE ELIMU, VIPAJI NA MALEZI.
Na Happy Lazaro, Arusha. Uongozi wa Trust St. Patrick Schools uliopo Sakina jijini Arusha umesema unaendelea kuweka mkazo katika utoaji wa elimu bora, malezi…
INNOIP YAFUNGUA FURSA MPYA KWA WABUNIFU
Na OSCAR ASSENGA, Tanga SERIKALI imezindua programu ya InnoIP Tanzania, inayolenga kuwasaidia zaidi ya wabunifu 5,000 nchini kulinda kazi zao kisheria, kuzigeuza kuwa…
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar es…
MANISPAA YA KAHAMA YATENGA SH. BILIONI 1.9 KWA ZABUNI ZA MAKUNDI MAALUM, YATOA SH. MILIONI 242.45
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama imetenga bajeti ya ununuzi ya shilingi bilioni 1.9 kwa ajili ya makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye…
USHETU YATOA ZABUNI ZA SH. MILIONI 90.48 KWA MAKUNDI MAALUM
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, mkoani Shinyanga, Bw. Mkali Kubebeka, amemweleza Kiongozi wa Mbio za Mwenge…
DKT. MWIGULU: TUENDELEE KULIOMBEA TAIFA NA KUDUMISHA AMANI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa…
DKT. MWIGULU ASHIRIKI IBADA KKKT KIJITONYAMA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa salamu baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili, leo, Agosti 23, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania…
WATER AID WATOA VIFAA VYA MILLION 4 KWA MABINGWA WA MAZINGIRA SANGARA
Na John Walter -Babati Shirika la WaterAid Tanzania limetoa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Shilingi milioni 4.29 kwa Kikundi cha Mabingwa cha Kijiji cha…
TAMASHA LA UTAMADUNI LATUMIKA KUFUNGAMANISHA UCHUMI, KUENDELEZA URITHI WA WATANZANIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu…