KATIKA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Ilinenwa “KATIKA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA”, ndivyo walivyofanya waumini wa Parokia ya Mt. Petro Masanza Kona mkoani Simiyu ambapo baada…
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Ilinenwa “KATIKA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA”, ndivyo walivyofanya waumini wa Parokia ya Mt. Petro Masanza Kona mkoani Simiyu ambapo baada…
Geneva: 15 Septemba, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), na Makamu wa Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. James Millya (Mb.), amekutana na ujumbe wa ujumbe wa Serikali na wafanyabiashara…
Kamati ya Makatibu Wakuu na Wataalamu kutoka Wizara na Taasisi za Serikali imehimizwa kuandaa mwelekeo wa kisera na kitaasisi ili kuhakikisha msimamo wa Tanzania…
Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) umetakiwa kubadili fikra na kujiendesha kibiashara ili kuwa mfano wa kuigwa na makampuni ya uzalishaji wa mbegu nchini. Amesema…
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk. Jim Yonazi, amesema uratibu wa kisera na utekelezaji wa mipango kwa…
Na. Meleka Kulwa-FullshangweBlog, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Rosemary Senyamule, amemtaka mkandarasi wa mradi wa Soko la Majengo kuongeza kasi ya utekelezaji…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mixx Tanzania, Angelica Pesha (wa pili kulia), na Mratibu wa Jukwaa la Asasi za Kiraia Zanzibar (ZANGOF), Dkt. Mahfoudh Hassan…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili mkoani Arusha leo Jumatano, Septemba 16, 2026, ambapo amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Arusha na Mkuu wa…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesema mkoa umeziagiza wilaya na halmashauri kuandaa na kutenga maeneo maalumu yatakayotumika kuwahifadhi…
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo Jumatano, Septemba 16, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya Barrick kuhusu namna bora…
Chamwino, Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya Chamwino imefungua barabara ya Manda–Mafurungu yenye urefu wa kilomita 25 hatua ambayo…
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepokea mwaliko wa kushiriki katika dua maalum iliyoandaliwa kwa ajili…
Na: OWM – TAMISEMI, Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe,…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua watoto walio chini…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya mikutano miwili ya pande mbili (bilateral meetings) pembezoni mwa Mkutano Mkuu…
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera kulia,akikabidhi fedha Kiasi cha Shilingi milioni 5 kwa ajili ya…
…….. NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa Kata ya Mkwawa katika Jimbo la Iringa Mjini wamemweleza Mbunge wao, Fadhili Ngajilo, changamoto mbalimbali zinazowakabili katika…
Na. Zawadi Msalla Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ipo mbioni kuzindua mwongozo wa tathmini ya misingi ya utawala nchini. Mwongozo…
Picha,Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Dkt Juma Homera akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Likuyumandela akiwa katika ziara ya kusikikiza kero ya Wananchi wa…
Kigoma, Septemba 16, 2026 Wadau mbalimbali wa sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji wamekutana mjini Kigoma katika kikao cha siku moja kilichoandaliwa na Mamlaka ya…
Meneja wa Huduma Jumuishi za Fedha wa BoT, Bi. Nangi Massawe, akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika Benki Kuu ya Tanzania Septemba…
Na Farida Said KATESHI, MANYARA . Mamia ya watalii wa ndani walijitokeza Septemba 12–13, 2026 kushiriki Mount Hanang’ Nyama Choma Festival, lililofanyika kwa mara…
Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha, Mhandisi Kenneth Nindie, akizungumza wakati wa kufungua Mafunzo ya Uelewa na Ugawaji wa Mwongozo…
* Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mhe.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.) aipongeza TANESCO kwa kutekeleza Mradi kwa kutumia wataalamu wa…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ndani ya wiki moja, Serikali itachukua hatua ya kuhakikisha bei ya saruji inakuwa himilivu kwa wananchi, baada ya…
Dodoma, Septemba 15, 2026 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amepokea vifaa vya uchunguzi wa wanawake wajawazito kwa kutumia teknolojia ya Akili…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu…
*Ukosefu wa mawasiliano chanzo cha mgogoro wa wabia katika leseni 33 *Wachimbaji watakiwa kuweka mifumo ya wazi ya ushirikiano na mawasiliano *Serikali yaonya leseni…
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi John Ulanga, amekutana na…
Zaidi ya wagonjwa 500 hutibiwa magonjwa ya saratani katika hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya. Hayo yamebainishwa na Dkt Tibera Rugambwa Kaimu kitengo cha…
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuzingatia maadili ya utumishi…