PROF. SHEMDOE: SERIKALI ZA MITAA NI NGUZO YA DIRA YA TAIFA 2050
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka…
Na Victor Masangu, Bagamoyo Baraza la michezo la Taifa (BMT) limeipongeza kwa dhati Taasisi ya Shajar inayomiliki shule ya Baobab kwa kuweza mipango madhubutti…
Mhariri Mkuu wa maudhui mtandaoni wa Fullshangwe Blog, John Bukuku, ametwaa tuzo ya ushindi wa kwanza katika kundi la vyombo vya habari vya kidijitali…
* Ataka kazi ifanyike usiku na mchana inapowezekana; * Asisitiza mashindano hayo ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Tanzania; *Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya…
Mwanza.Wafanyabiashara tisa wa Soko la Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance,…
Serikali imesema inaendelea kuweka mkazo katika usimamizi na uendelezaji wa Sekta ya Uchumi wa Buluu ili iwe endelevu na yenye kuleta manufaa kwa wananchi…
NA DENIS MLOWE ,IRINGA WAKULIMA wameeleza namna matumizi ya mbegu bora yanavyoweza kubadili matokeo ya kilimo, wakisisitiza umuhimu wa kupata mbegu zinazofaa kwa mazingira…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Vodacom Tanzania…
Katika sekta ya usafiri wa anga, kuna wataalamu mbalimbali wanaoshiriki kuhakikisha ndege zinafanya safari kwa usalama na ufanisi. Miongoni mwa wataalamu ambao mara nyingi…
Rais wa Zambia Institute of Human Resource Management ,Kelvin Shamizhinga, akizungumza katika Mkutano wa Pili wa Maafisa Rasilimali watu barani Afrika unaofanyika jijini Arusha …
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira akizungumza na viongozi pamoja na wanachama wa CCM wilayani Iramba mkoani Singida, leo Agosti…
Na John Walter -Babati Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo uliopigwa…
Meneja wa TIRA Kanda ya Kaskazini, Dkt. Emmanuel Lupilya akizungumza kwenye kikao hicho jijini Arusha Afisa Bima wa TIRA Kanda ya Kaskazini, Goodluck Massawe…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Agosti 20,2026 MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP),…
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji mzuri wa…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKUU wa Wilaya ya Iringa, Benjamini Sitta, amewataka madiwani wa Manispaa ya Iringa kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato ya…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanyika Agosti…
MOROGORO: Shirika la Relief to Development Society (REDESO) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) limeendesha mafunzo maalumu ya…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz, na ujumbe wake kwa ajili…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Ukanda wa…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amekutana na kufanya mazungumzo…
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili kuongeza zaidi faida…
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania nchini…
Bunifu mbalimbali kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) zimeendelea kuwavutia wanafunzi na wananchi wanaotembelea banda la chuo hicho katika Maadhimisho…
Na Mwandishi wetu, Babati Mkoa wa Manyara umeweka mkakati wa kuhakikisha watoto 670,000 wenye umri chini ya miaka 10 wanafikiwa na kupata chanjo katika…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo (wa pili kushoto), Mkuu wa wilaya ya Handeni Salum Nyamwese (kushoto) wakioneshwa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MEYA wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, amefuta taarifa iliyokuwa imeeleza kuwa Halmashauri imekubaliana kuongeza ada katika shule za mchepuo…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bi. Queen Sendiga, ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuendelea kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Denis Simba, amesema matumizi ya…
Benki ya NMB imekamilisha uhamishaji wa shughuli zake kwenda katika Mfumo Mkuu mpya wa Benki, hatua inayolenga kuongeza uwezo wa kushughulikia miamala, kuimarisha usalama…
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 20 Agosti 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa…
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif,…