Top Stories
View all
NYANYA GEITA ZAFUNGUA FURSA ZA AJIRA NA BIASHARA, AGITF YATOA MIKOPO KWA WAKULIMA
Soko la nyanya mkoani Geita limeendelea kuwa na fursa kubwa, huku wafanyabiashara kutoka Rwanda wakifika katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo kununua zao hilo,…
TRA YAVUKA LENGO LA MAKUSANYO YA KODI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.
Na Happy Lazaro, Arusha MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha imevuka lengo la makusanyo ya kodi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 baada…
MADIWANI MBINGA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA KUONGEZA UFAULU WA WANAFUNZI
Katibu Tawala wa wilaya ya Mbinga Pendo Daniel Ndumbaro,akitoa salamu za Serikali kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga,katikati Mkurugenzi…
SERIKALI SAME YAWATAKA WAZAZI KUCHANJA WATOTO DHIDI YA POLIO
Na Ashrack Miraji Fullshangwe Media Serikali wilayani Same imesisitiza wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao wenye umri chini ya miaka 10 wanapatiwa chanjo ya…
WADAU MADALE SACCOS KUPATA VIONGOZI, WANACHAMA WATAKIWA KUWA NA MAONO
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WANACHAMA wa Wadau Madale SACCOS wameanza mchakato wa kupata viongozi wa taasisi hiyo, huku wakitakiwa kuzingatia vigezo mbalimbali…
TTCL, ZFF KUIPA SOKA ZANZIBAR SURA YA KIDIJITALI
NA FAUZIA MUSSA SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) zimeingia katika ushirikiano unaolenga kubadilisha namna soka la…
RAIS DKT. MWINYI AWASILI SERBIA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA MKUTANO WA NAM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasili leo, tarehe 30 Agosti 2026, jijini Belgrade, Jamhuri ya…
SERIKALI YATAKIWA KUONGEZA NGUVU KUBORESHA CHUO CHA ARDHI MOROGORO
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikipata maelezo ya kifaa cha upimaji kutoka kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa…
WALIMU 328 WAPIGWA MSASA KUINUA UFAULU KWA SHULE ZA SEKONDARI TANGA
WALIMU 328 kutoka shule 10 za Sekondari katika Jiji la Tanga wanapigwa msasa kupitia semina maalumu inayolenga kuwaongezea ujuzi na mbinu za ufundishaji, hatua…
MBINGA YATENGA MILIONI 358 KUBORESHA KM 45 ZA BARABARA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza kwenye kikao cha Boro ya nne cha Baraza la Madiwani. ……………. Na Mwandishi Wetu,…
HUDUMA BORA TRA NI CHACHU YA ULIPAJI KODI KWA HIARI-DC MKUDE
MKUU wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye hafla hiyo. ……. Na Happy Lazaro, Arusha Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modestin…
KAMPENI YA TUMAINI KUWAFIKIA WAJAWAZITO, YAS YAANZA NA HOSPITALI YA UBUNGO
Afisa Mkuu wa Rasilimali Watu wa Yas Tanzania, Caroline Kavishe (kushoto), akikabidhi vifaa tiba kwa Mkuu wa Kitengo cha Wodi ya Wazazi katika Hospitali…
NMB YAHIMIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KUKUZA BIASHARA
Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko mapya na…
DKT. MWIGULU AWASILI KATAVI KUSHIRIKI JUBILEI YA MIAKA 25 YA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Agosti 30, 2026, amewasili Mpanda mkoani Katavi kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 25 ya…
MAKAMU WA RAIS MHE. NDEJEMBI ASHIRIKI MISA TAKATIFU KANISA KATOLIKI DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika kushiriki Ibada ya…
CHAMA CHA WAZEE KISIWE CHA HARAKATI, NI HAZINA YA HEKIMA NA MSHIKAMANO KATIKA JAMII – PROF. SHEMDOE
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe,…
DIWANI SARAH PONELA ATOA WITO WA WAZAZI NA WALIMU KUSHIRIKIANA KULEA WATOTO
NA DENIS MLOWE, IRINGA DIWANI wa Viti Maalum Kanda ya Kihesa, Sarah John Ponela, amewataka wazazi na walimu kushirikiana kwa karibu katika malezi na…
DKT. MWIGULU AONGOZA HARAMBEE YA MAOMBI YA KITAIFA, ACHANGISHA MILIONI 700
*Asisitiza maadili na uwajibikaji kama mhimili wa Dira 2050 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania, taasisi za umma, sekta binafsi, na…
JKCI-ALMC NA GSM FOUNDATION WAPONGEZWA KUENDESHA KAMBI YA MATIBABU MKOANI ARUSHA
Na. Mwandishi Maalumu – Arusha Wananchi wa mkoa wa Arusha wameipongeza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete – Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Centre (JKCI-ALMC)…
KWA MARA YA KWANZA JKCI YAFANYA UPASUAJI WA MYO KWA MTOTO WA SIKU MBILI
Kwa mara ya kwanza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefanikiwa kumfanyia upasuaji wa moyo mtoto wa siku mbili aliyezaliwa akiwa na tatizo la…
UDANGANYIFU, DAWA ZISIZOSAJILIWA KIKWAZO UDHIBITI WA DAWA TMDA KANDA YA KASKAZINI
Na Mwandishi Wetu, ARUSHA: Udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu, pamoja na uuzaji wa dawa zisizosajiliwa, umetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa…
WANANCHI WAFURAHISHWA NA ELIMU YA PBPA KATIKA MAONESHO YA UTAMADUNI
MOROGORO WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya…
IRINGA MANISPAA YANG’ARA, YABABE MCHEZO WA WAVU WANAUME SHIMISEMITA 2026
NA DENIS MLOWE , MBEYA HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa imeibuka bingwa katika mchezo wa mpira wa wavu kwa wanaume katika Mashindano ya Shirikisho…
CHAMA CHA WAZEE NGUZO YA MALEZI, UPATANISHI, UTUNZAJI MAADILI YA KIJAMII
Na WMJJWM – DODOMA Serikali imewataka viongozi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kuhakikisha chama hicho kinakuwa chombo muhimu cha malezi, upatanishi na…
NMB, BUNGE WACHOCHEA HAMASA YA AFCON 2027
Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa kauli hiyo wakati…
MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA JIMBO LA CHAMWINO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius John Ndejembi akizungumza na Wananchi wa Chamwino, wakati aliposimama kuwasilimu mara baada ya…
WANAFUNZI MWANZA: TUNATAMANI KUWA MABALOZI WA VIPIMO
Mwanafunzi Ibrahim Omary, kutoka Shule ya Msingi Ghana iliyopo jijini Mwanza, akitoa elimu ya vipimo kwa wanafunzi wenzake waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo…
ALUMNI TOSAMAGANGA WAWEKA LENGO LA KUCHANGISHA SH MILIONI 250 KUNUNUA BASI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 100 YA SHULE
NA DENIS MLOWE IRINGA WANAFUNZI wa zamani (Alumni) wa Shule ya Sekondari Tosa Maganga wameungana kuchangisha Shilingi milioni 250 kwa ajili ya ununuzi wa…
MEYA NGWADA AITAKA IRINGA KUTUMIA UTALII KUZALISHA AJIRA KWA VIJANA
NA DENIS MLOWE IRINGA MEYA wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, amesema utalii ni biashara yenye uwezo mkubwa wa kuchochea uchumi na kuunda ajira…
RAIS DKT. SAMIA AMTAKA MHE. NDEJEMBI KUITUMIKIA NCHI KWA UAMINIFU NA UZALENDO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kuapishwa kwa Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu…
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA MAJARIBIO YA NYUKLIA: TAEC YASISITIZA MATUMIZI SALAMA NA YA AMANI YA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA
Na TAEC Dodoma Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Tests), ikiwa…
MAXI NA TOURE WAIPELEKA YANGA KILELENI LIGI KUU
YANGA SC imeendelea kukusanya pointi ikishinda mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu Bara, baada ya leo Agosti 28, 2026 kuichapa Pamba Jiji mabao…
WACHACHE HAWATAZUIA MAENDELEO YA WENGI – DC MKUDE
Mkuu wa wilaya ya Arusha ,Joseph Mkude akizungumza kwenye baraza hilo jijini Arusha leo . ………… Na Happy Lazaro, Arusha . Mkuu wa Wilaya…