SERIKALI KUONGEZA NGUVU MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI
Na. Mwandishi Wetu – Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya…
Na. Mwandishi Wetu – Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya…
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao…
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Maguha Stephano akitoa elimu ya magonjwa ya saratani na yasiyo ya…
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akizungumza kwenye mkutano huo jijini Arusha leo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti…
Bwana Keddy Abubakari Mgumia na Bi. Sabrina Haji Mmanga wamefunga ndoa katika hafla iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2026 jijini Dar es Salaam. Sherehe hiyo…
Ujumbe wa Baraza la Biashara la Saudi Arabia na Tanzania (Saudi-Tanzania Business Council), Agosti 18, 2026, umetembelea Ofisi za Shirika la Madini la Taifa…
Mkurugenzi Mtendaji wa BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) , Bw. Asangye Bangu, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika…
Na John Walter -Babati Wasanii maarufu nchini Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue wanatarajiwa kutumbuiza kwenye mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026, baada…
Na. Leah Mabalwe, MBEYA Timu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ya Mpira wa Pete Wanawake imeishushia kipigo kizito Timu ya Halmashauri ya Mji…
Na: OWM-KAM, Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bw. Rasheed Maftah, amesema…
Dkt.Kiruswa Ataka Ujenzi Kuharakishwa, Asisitiza Uongezaji Thamani Nchini Tayari WanaKigamboni 278 Wameajiriwa, Zaidi ya Asilimia 90 ni Watanzania *Mwezi Julai Pekee Mkoa wa Kimadini…
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wakulima kujiandaa mapema na msimu wa mvua za Vuli 2026, huku ikitabiri mvua za wastani hadi…
Kamati tendaji ya Baraza la Wafugaji tarafa ya Ngorongoro imekutana leo tarehe 18 Agosti, 2026 ambapo pamoja na mambo mengine imechambua na kupitisha orodha…
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Sekta ya Afya, Profesa Tumaini Nagu akizungumza na leo, Agosti 18, 2026, jijini Dar es…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, ameondoka nchini Tanzania baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi ya…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewasilisha majibu ya Serikali kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala, Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza azma ya kuendelea kushirikiana…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Uwanja wa AFCON unaojengwa Fumba utakuwa uwanja wa kisasa wenye…
Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii katika maeneo ya kimkakati ikiwemo biashara na uwekezaji, kilimo,…
Dar es Salaam: Kundi la kusaidiana na wadau wa Madale Group limeungana na familia, ndugu, jamaa na marafiki katika ibada ya kumuaga marehemu Mzee…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya akiongoza kikao cha bodi hiyo kilichofanyika hivi karibuni jijini…
Na Muhidin Amri Namtumbo WAKATI Serikali kupitia Bodi ya Tumbaku Tanzania imetangaza kuongeza bei elekezi ya zao la tumbaku kwa msimu wa kilimo wa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Jamhuri ya…
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema ukarabati wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika Desemba 5, 2026, hatua…
Harambee ya kuchangisha fedha na vifaa kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini, Jimbo la…
Sekta binafsi nchini inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Kigeri Estates Ltd ,Paul Lyimo akizungumza katika mahafali hayo jijini Arusha .Mkuu wa shule hiyo ,Sr.Beatrice Macha akizungumza kwenye…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo, akipokelewa na mwenyeji wake Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa…
Na Muhidin Amri,Songea KATIBU Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Wakili Mary Makondo, amezindua mradi wa MsingiTek unaolenga kujenga stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu…
Na. MWANDISHI WETU, MWANZA Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza…
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akikabidhi cheti cha tuzo ya utafiti kwa mmoja wa washindi wakati wa…
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinashiriki katika Wiki ya Maadhimisho Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa kuonyesha bunifu zalishi…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Antoine Tshisekedi Tshilombo, amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, kuanzia tarehe…