Top Stories
View all
TPHPA YADHIBITI VIUATILIFU HATARISHI KULINDA AFYA ZA WANANCHI
Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha viuatilifu vinavyotumika nchini vinakuwa salama kwa wakulima, walaji na mazingira, ikiwemo…
DC NICKSON- WAZAZI WASHIRIKIANE NA SERIKALI KUFANIKISHA CHANJO YA POLIO
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha WAZAZI na walezi katika Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kutumia fursa ya kampeni ya chanjo ya Polio kuwakinga…
ZIARA YA RAIS WA TAASISI YA DIASPORA KUFUNGUA MILANGO YA UTALII MAKUMBUSHO YA TAIFA
………………… Makumbusho ya Taifa la Tanzania imeendelea kupongezwa kwa kuwa eneo muhimu la kivutio lililosheheni historia ya Taifa na Tamaduni mbalimbali za Afrika ambazo…
RC MAKALLA AKAGUA UJENZI WA UPANUZI UWANJA WA NDEGE MANYARA
Amtaka mkandarasi kuongeza kasi na kukamilisha kabla ya AFCON 2027 Amshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia kwa kutoa fedha Bilioni 88 za ujenzi huo ………….…
WAZIRI KIKWETE: SOMALIA IMEKUJA KUJIFUNZA MAFANIKIO YA MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIJITARI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NCHINI TANZANIA
Na Lusungu Helela, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhwani Kikwete, amesema uamuzi wa…
SIMBA SC YAIPIGA COASTAL UNION, YASHIKA USUKANI LIGI KUU
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
RAS ARUSHA AZINDUA ZOEZI LA UTOAJI CHANJO YA POLIO MKOA WA ARUSHA
Awahimiza wazazi, walezi na wananchi kutoa ushirikiano wakati wote wa zoezi la utoaji chanjo Awataka Wakuu wa Wilaya kuchukua hatua za kisheria kwa watakaokwamisha…
WANANCHI WATAKIWA KUTHAMINI UTAMADUNI KWA KUIMARISHA UMOJA NA UZALENDO
Wananchi wametakiwa kuthamini na kuendeleza utamaduni wao kwa kuwa ni msingi wa kuwaunganisha Watanzania, kuimarisha umoja na kujenga uzalendo kwa nchi yao. Wito huo…
MASHINDANO YA NGOMA ZA ASILI YAINGIA KUMI BORA TAMASHA LA UTAMADUNI KITAIFA
NA FARIDA MANGUBE, MOROGORO Mashindano ya Ngoma za Asili yameendelea kwa hamasa katika Tamasha la Nne la Utamaduni linalofanyika katika Uwanja wa Jamhuri, mkoani…
OTHMAN: UTEKELEZAJI WA MARIDHIANO SI HISANI WALA ZAWADI
Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema utekelezaji wa makubaliano ya maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya chama hicho…
NAIBU WAZIRI KWAGILWA ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza na Mbunge wa Mlalo Mhe. Rashid Shangazi wakati wa Kikao…
DKT. AKWILAPO ATOLEA UFAFANUZI MALALAMIKO YA WANANCHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akizungumza na waandishi wa Habari kutoa ufafanuzi wa malalamiko ya wananchi juu…
MKUU WA WILAYA YA ILALA ALIPONGEZA JESHI LA MAGEREZA KWA MABADILIKO CHANYA
Na S’SGT. Ponsiano Lindi – DSM Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu,…
SERIKALI KUJENGA VITUO VYA AFYA MWIBARA, HUDUMA ZA DHARURA NA UPASUAJI KUSOGEZWA KARIBU NA WANANCHI
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe,…
WAZIRI MAVUNDE AITAKA TAASISI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI(GST) KUTOKA OFISINI NA KUWAFUATA WACHIMBAJI MIGODINI
*Ampongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu kwa kuiwezesha Sekta ya Madini katika Utafiti DODOMA Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imetakiwa…
WAKULIMA TUNDURU WAPATA SH. BILIONI 3.6 KWA MAUZO YA MBAAZI
Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Wilayani Tunduru(Tamcu Ltd)Marcelino Mrope akizungumza na wakulima wa Mbaazi wa Kijiji cha Namiungo. ……………. Na Mwandishi wetu. Tunduru…
MEYA IRINGA: MITAMBO YA KISASA YA MACHINJIO YA NGELEWALA YAWASILI YAANZA KUFUNGWA
NA DENIS MLOWE IRINGA MEYA wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, amesema Serikali imefanikisha hatua kubwa ya kukamilisha ujenzi wa Machinjio ya Kisasa ya…
RC CHALAMILA ATEMBELEA BANDARI KAVU YA KILIMANJARO-DSM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila, amefanya ziara ya kutembelea na kukagua bandari kavu ya kilimanjaro iliyopo Kurasini Wilaya Temeke…
BENKI YA STANBIC YAANDAA JUKWAA LA BIASHARA TANZANIA NA CHINA, MALIPO YA MOJA KWA MOJA YA SHILINGI NA YUAN YAPEWA KIPAUMBELE
Mkuu wa Idara ya Biashara na Wateja wa Kibiashara wa Stanbic Bank Tanzania, Fredrick Max, akizungumza na wafanyabiashara wa Tanzania na China pamoja na…
TANZANIA YAUNGA MKONO TEKNOLOJIA BUNIFU ZA NYUKLIA KUPITIA MPANGO WA ATLAS
Washington Dc, Waziri wa Nishati na Makamu wa Rais Mteule, Mhe. Deogratius Ndejembi, amelipongeza Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa juhudi…
YAS YAMWEZESHA MTANGAZAJI KURIPOTI AKIWA KATIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
Kilimanjaro. Miaka tisa baada ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa mara ya kwanza, mtangazaji wa redio Willy Nkya amepanda tena mlima huo, safari hii akiwa…
WADAU YA FORODHA WAPATIWA ELIMU YA MABADILIKO YA SHERIA NA KUWATAKA WAZALISHAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA UNAFUU WA USHURU
………. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa imetoa elimu kwa wadau wa Forodha mkoa wa Pwani wakiwemo…
RC MAKALLA AAGIIZA KAMATI ZA MAAFA ARUSHA KUJIANDAA NA MVUA ZA ELNINO
Azitaka TANROAD, TARURA, kushughulikia na kuboresha miundombinu ya barabara, madaraja, vivuko, makaravati na kuzibua mitaro Amezitaka Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro na TANAPA kushirikiana na…
DKT. MWIGULU AKIJIBU MASWALI YA PAPO KWA PAPO BUNGENI
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge Bungeni jijini Dodoma. Agosti, 27 2026. (Picha na Ofisi ya…
TUME YA UMWAGILIAJI NA TUME YA TAIFA YA MIPANGO ZAUNGANISHA NGUVU KUIMARISHA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
Dodoma, Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekutana na Tume ya Taifa ya Mipango,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji; kwa lengo la kujadili namna…
TPHPA YAOKOA TANI MILIONI 1.3 ZA MAZAO, YAFUNGUA MASOKO YA KIMATAIFA
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeeleza kuwa hatua mbalimbali za kudhibiti visumbufu na magonjwa ya mimea…
WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAWASILI NCHINI
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari yao. Serikali ya Jamhuri ya…
DKT. NCHIMBI AFUKUZWA UANACHAMA WA CCM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel…
CCM YAMPENDEKEZA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, ametangaza kuwa vikao vya Chama hicho vilivyokutana jana na leo jijini Dar es…
WANAWAKE KATA YA PANGANI WAMPA KONGOLE MWENYEKITI WA UWT KIBAHA MJI KUWANOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
Na Victor Masangu, Kibaha Baadhi ya wanawake wa (UWT) Kata ya Pangani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wamempongeza kwa dhati Mwenyekiti wa…
POLISI SONGWE YATENDA MATENDO YA HURUMA KUSHEREHEKEA MIAKA 20 YA POLISI JAMII
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, akiwa na maofisa, wakaguzi na askari, aliwaongoza askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe katika kusherehekea miaka…
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI WASHINGTON DC KUSHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI JUU YA NISHATI YA NYUKLIA
Washington Dc, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasili katika Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C., Marekani, leo Agosti 26, 2026, na kupokelewa na…
TANZANIA, COMORO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Waziri wa Fedha, Bajeti na Sekta ya Benki wa Comoro, Mheshimiwa Moussa…