Top Stories
View all
WIZARA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI YAENDELEA KUWAWEZESHA WATAALAMU WA TEHAMA KUPITIA TANZANIA YA KIDIJITALI
Dodoma. Muhandisi Mwandamizi wa Mawasiliano kutoka Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Brian Kaduma, amesema elimu ya Robotics aliyoipata kupitia Mradi wa Tanzania ya…
PPAA YAHIMIZA WAZABUNI KUTUMIA MODULI YA MALALAMIKO NA RUFAA KATIKA MFUMO WA NeST
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewahimiza wazabuni na wadau wa ununuzi wa umma kutumia Moduli ya Kupokea…
MAMBAMIAMBA YAINGIA RASMI KATIKA SAFARI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wananchi wa Kata ya Mambamiamba, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, leo Julai 30, 2026, wamejengewa uelewa kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia wakati…
SERIKALI YAWAAGA VIJANA 531 WANAOKWENDA KUFANYA KAZI NJE YA NCHI
Na OWM-KAM – Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Zuhura Yunus, amewaaga rasmi vijana 531 wanaotarajiwa…
RAIS SAMIA AKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA IKULU, DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, Ikulu Dar es…
BARAZA LA MADIWANI IRINGA LASISITIZA ULIPAJI MADENI YA WATUMISHI, WAZABUNI
NA DENIS MLOWE, IRINGA BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Iringa limesisitiza umuhimu wa halmashauri kuendelea kulipa madeni ya watumishi na wazabuni…
MAAFISA WA POLISI WA UTALII WAIMARISHWA KITAALUMA KUPITIA MAFUNZO YALIYOANDALIWA NA ZARA TANZANIA ADVENTURES.
Na Happy Lazaro, Arusha Katika jitihada za kuendelea kuboresha huduma zinazotolewa kwa watalii wanaotembelea Tanzania, Zara Tanzania Adventures imeendesha mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo…
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA HUDUMA KWA WATEJA NA MAHUSIANO
Na.Mwandishi Wetu-Babati, Manyara Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imeendesha semina ya kuwajengea uwezo Maafisa wa Huduma…
SERIKALI KUZALISHA MAELF YA AJIRA KWA VIJANA KUPITIA MRADI WA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA UMWAGILIAJI
NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea na mpango wa kuchimba…
KINGOBA: UHURU WA KUTOA MAONI UENDE SAMBAMBA NA UWAJIBIKAJI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mjumbe wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na Kaimu Meneja wa Huduma za Kiswahili wa…
KWANINI MICHANGO YA CHADEMA IMEZUA MJADALA?
Ili kuelewa mjadala kuhusu michango ya CHADEMA, ni muhimu kurejea historia ya chama hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1992, wakati Tanzania ilipoanza mfumo wa vyama…
SADC YASISITIZA USHIRIKIANO WA KIKANDA KUONGEZA THAMANI YA MADINI NA BIDHAA KATIKA UKANDA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo (TIB), Bw. Deogratius Kwiyukwa (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 9…
MAWAKILI WA SERIKALI WANOLEWA KUHUSU SHERIA YA FEDHA
Mwandishi Mkuu wa Sheria, Bw. Onorius Njole amefungua mafunzo maalum kwa Mawakili wa Serikali nchini, yanayohusu Sheria ya Fedha (Finance Act). Mafunzo hayo yamefanyika…
SERIKALI NA WAWEKEZAJI & WATOA HUDUMA MIGODINI WAJADILI CHANGAMOTO NA MAFANIKIO KWENYE SEKTA YA MADINI
▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka Watanzania kuanza ujenzi wa…
WAZIRI MKENDA AZINDUA MAANDALIZI YA WIKI YA TAIFA YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU 2026
DAR ES SALAAM, Julai 30, 2026 – Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ametangaza kuwa Maadhimisho ya Wiki ya Taifa ya…
WATANZANIA WATAKIWA KUTUMIA NEST KUFANYA UNUNUZI WA UMMA
Watanzania wametakiwa kuhakikisha wanatumia ipasavyo Mfumo wa NeST kukamilisha michakato ya ununuzi wa umma ili kuinua jamii kiuchumi na kuhakikisha fedha zote zinazotengwa zinasimamiwa…
NYABUNDEGE: MIKOPO YA KILIMO YAFIKIA TRILIONI 5.8 KUPITIA “KILIMO KINABENKIKA”
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB), Frank Nyabundege, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 30, 2026, katika…
MORCASE- BINTI MIAKA 16 AUAWA MAMA YAKE KWA KUKATAZWA KWENDA BIRTHDAY
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Julai 30,2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa…
KUNENGE: MAOFISA MAENDELEO WAFUATE DIRA YA TAIFA 2050 KUACHA TABASAMU KWA WANANCHI
Mwamvua Mwinyi,Kibaha Julai 30,2026 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa maofisa maendeleo ya Jamii kuhakikisha wanazingatia Dira ya Taifa ya…
KUNENGE: KONGANI YA VIWANDA MISUGUSUGU KUCHOCHEA UCHUMI PWANI
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Julai 30,2026 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amesema Kongani Mpya ya Viwanda ya Misugusugu katika Manispaa ya Kibaha…
TARURA MKOA WA TANGA YANG’ARA KITAIFA, YANYAKUA TUZO MBILI ZA PPRA
*PPRA Yatambua Ubora na Usimamizi . Arusha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Tanga imeibuka miongoni mwa taasisi zilizofanya vizuri…
MSD YAIBUKA KINARA KATIKA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST
Bohari ya Dawa (MSD) imeibuka kinara katika matumizi ya Mfumo wa Kitaifa wa Ununuzi wa Umma kwa Njia ya Kielektroniki (NeST) baada ya kutunukiwa…
RC KUNENGE: ATEMBELEA KONGANI MPYA YA VIWANDA MISUGUSUGU
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakari Kunenge, Julai 28, 2026, amefanya ziara ya ukaguzi wa eneo la Kongani Mpya ya Viwanda la Misugusugu,…
MKUTANO WA TUME YA PAMOJA YA KUDUMU KATI YABTANZANIA NA ANGOLA WAANZA JIJINI LUANDA
ibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa ameshiriki Mkutano wa Tatu wa Tume ya…
ZAIDI YA WATU 500 KUSHIRIKI MBIO ZA REDCROSS MARATHON ARUSHA AGOSTI 2 ,2026.
Mwenyekiti wa mashindano hayo ya Redcross Marathon Arusha 2026,Dora Mushi akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya…
PSSSF YAFIKIA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM TANGA
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSI) chini ya kampeni yake ya #PSSSFKaribuNaJamii, Mfuko wa…
MATUMIZI YA MFUMO WA NeST YAONGEZEKA
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila (kushoto), akipata maelezo kuhusu Sera ya Ununuzi wa Umma, kutoka kwa Afisa Ugavi Mwandamizi Idara ya…
TAMISEMI, WORLD VISION, WAJADILI MKAKATI WA KUBORESHA USTAWI WA WATOTO
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Bw. Sospeter Mtwale,…
SERIKALI YAWEKA MKAZO UENDELEVU WA HUDUMA ZA VVU, KIFUA KIKUU, MALARIA
Serikali imeweka mkazo katika kuhakikisha huduma za VVU/UKIMWI, Kifua Kikuu (TB) na Malaria zinaendelea kutolewa kwa ufanisi, bila kuathiriwa na mabadiliko ya ufadhili wa…
PPAA YASHIRIKI KONGAMANO LA 10 LA UNUNUZI, YAWAITA WADAU KUPATA ELIMU MATUMIZI YA MODULI
Na Mwandishi wetu, Arusha Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki Kongamano la 10 la Ununuzi wa Umma mwaka 2026 linaloendelea jijini…
MKUU WA MKOA WA MWANZA ATUNUKIWA TUZO KWA KUIMARISHA HUDUMA ZA KISHERIA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametunukiwa tuzo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kutambua mchango wake katika kuimarisha upatikanaji…
JAB YAANZA NA BONGO FM MAFUNZO RASMI YA WAANDISHI WA HABARI
Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Julai 29, 2026 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza rasmi kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari…
RC MAKALLA ATAKA WALIOLIPWA FIDIA KUONDOKA KUPISHA UJENZI WA BARABARA ZA AFCON
Na Happy Lazaro, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amewataka wananchi wote waliolipwa fidia kwenye maeneo zinapojengwa barabara zote…