Friday, September 4, 2026

Top Stories

View all
SERIKALI INAWAJALI WATUMISHI SANA

SERIKALI INAWAJALI WATUMISHI SANA

Serikali inaendelea kuhakikisha maeneo ya kazi kwa watumishi wa umma ni salama ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya kiwango. Waziri wa Maji Mhe.…

MAGEUZI YA ELIMU NI FURSA KUBWA KWA VIJANA

MAGEUZI YA ELIMU NI FURSA KUBWA KWA VIJANA

Serikali imeweka mkazo katika kutafuta suluhisho la changamoto ya wanafunzi kuacha shule, hususan wavulana, baada ya kubainika kuwa ongezeko la utoro linaweza kuwa kikwazo…

NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA

NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali inaendelea kuongeza matumizi ya nishati jadidifu, hususan nishati ya jua, katika uzalishaji wa umeme nchini,…

MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, UTOAJI WA TUZO ZA PYMA

MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, UTOAJI WA TUZO ZA PYMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akikabidhiwa tuzo iliyotolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kuboresha mazingira ya uwekezaji na viwanda nchini wakati wa hafla ya utoaji tuzo za 19 za Rais za Wazalishaji Bora Viwandani (PYMA), zilizofanyika katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam. (anayekabidhi ni Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga, kushoto ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Hussein Suphian Ally) ………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.…

WASIRA AZUNGUMZA NA WABUNGE WA CCM

WASIRA AZUNGUMZA NA WABUNGE WA CCM

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) amezungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM (CAUCUS), Leo September 2,2025 White House Jijini Dodoma Aidha Katika Kikao hicho…