NAIBU WAZIRI CHANDE ARIDHISHWA NA HUDUMA ZA TADB KWA WAKULIMA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…
Mkurugenzi wa Vodacom Business Nguvu Kamando, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msimu mpya wa msafara wa Nyerere Cycling Tour (zamani Twende Butiama) utakaozinduliwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuimarisha nafasi ya Tanzania katika kuchochea mageuzi ya kiuchumi barani Afrika baada…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kumpangia kituo Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju, amesema…
DODOMA: Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali…
Kamishna wa Kamisheni ya Uchunguzi wa Sayansi ya Jinai CP Shabani Hiki, akipokea kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Miss World Tanzania 2026, Latricia Ian Sawe, ameagwa rasmi leo kuelekea nchini Vietnam kuiwakilisha Tanzania katika Tamasha la…
Mwamvua Mwinyi, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watuhumiwa 206 kwa makosa mbalimbali ya jinai katika operesheni na misako iliyofanyika kati ya…
Na Oscar Assenga, TANGA KATIBU Tawala wa Mkoa wa Tanga Rashid Mchatta amefungua kikao kazi cha Wakurugenzi na Mameneja wa Huduma kwa Wateja…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Malecela,…
Na Baltazar Mashaka, Ilemela HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imevuka lengo la ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2025/2026 baada ya…
Na Baltazar Mashaka, Mwanza Banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde, amewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika kulinda miundombinu ya barabara kwa…
Na WMA – DODOMA. Wajasiriamali wa kikundi cha Hapa Kazi kutoka Shehia ya Mtemani Wingwi, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba wametembelea banda…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni…
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wanawake CCM -UWT Taifa Mary Chatanda ametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba ya Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake…
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, akiwa ameambatana na wajumbe wengine wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, amepokelewa…
Tume ya Madini yasisitiza uchimbaji unaozingatia sheria, afya na maendeleo endelevu 📍Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni…
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Tafiti na Ushauri Elekezi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Razack Lokina, amewahimiza Watanzania wanaotembelea Maonesho ya…
Na WMA – DODOMA. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni baada…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kupitia usindikaji kunaweza kupunguza…
Na.Mwandishi Wetu. Serikali imewataka wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali nchini kutumia fursa zinazotolewa kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuwekeza katika ujenzi wa nyumba,…
Mbegu za wakulima zinazochangia zaidi ya asilimia 60 ya mbegu zinazotumiwa nchini bado hazina utaratibu rasmi wa kuhakikisha ubora wake, hali inayozuia kutambuliwa rasmi…
Wananchi wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa mita za maji za malipo kabla ya matumizi (prepaid meters) nchini, hatua inayolenga kuondoa malalamiko ya bili…
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa elimu kwa…
Waswahili husema nyumba njema haikosi wageni na hii imedhihirika leo tarehe 4 Agosti, 2026 baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar mhe Zubeir…
Na; Mwandishi Wetu Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuingiza zaidi ya Sh bilioni 10 kutokana na mauzo ya biashara ya kaboni baada ya Serikali…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Jukwaa la Miundombinu Afrika na Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 uliofanyika…
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tarehe 5-6 Agosti 2026, kufuatia…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Profesa William Palangyo, amewakaribisha wananchi kutembelea banda la taasisi hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…
Na John Walter-Babati Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), akiendelea na ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo katika mkoa…