Top Stories
View all
SIMBA SC YAANZA LIGI KUU KWA USHINDI WA 2-0 DHIDI YA KAGERA SUGAR
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
MKENDA: MICHEZO NI DARAJA LA AMANI NA UMOJA
Na OWM-TAMISEMI,Morogoro Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema michezo ni nyenzo muhimu ya kujenga amani, umoja na mshikamano, kwa kuwa…
TIB YAUNGA MKONO AJENDA YA NISHATI SAFI KUELEKEA DIRA 2050
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo TIB,…
CCM, SWAPO ZWIMARISHA USHIRIKIANO WA KIHISTORIA
KISIWANDUI, ZANZIBAR | 16 AGOSTI 2026 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amempokea Katibu Mkuu SWAPO, kutoka Namibia, Ndugu Sophia Shaningwa, na kufanya…
MAHUNDI AWASHTUA VIJANA IWAMBI KUTUMIA MICHEZO KUPATA AJIRA, KUJENGA IWAMBI BILA UHALIFU
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka amewataka vijana kutumia michezo kama fursa ya kujipatia ajira…
ULEGA: BARABARA YA KIBAONI–SITALIKE KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI KATAVI NA MAENEO JIRANI
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa ujenzi wa Barabara ya Kibaoni–Sitalike (km 70) ni muhimu katika kuchochea shughuli za kiuchumi na kufungua fursa…
NI DHAMBI KUBWA KWA MWANAUME WA KIHADZABE KUTAHIRIWA
Wahadzabe ni kabila linalopatikana mkabala na ziwa Eyasi pembezoni mwa hifadhi ya Ngorongoro na habari za maisha yao zimehifadhiwa katika makumbusho ya Urithi Jiopaki…
KUNDEMBA FC MABINGWA PBZ YAMLE YAMLE CUP, MASAUNI AWAPA 10M
Na; Mwandishi Wetu Unguja TIMU ya Kundemba FC imetawazwa mabingwa wapya wa Mashindano ya PBZ Yamle Yamye kwa kuichapa bao 1-0 timu ya Ubinadam…
RIDHIWANI: KARAKANA ZIWE CHEMCHEM ZA UBUNIFU, KAZI ZA VIJANA ZISAJILIWE
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Ridhiwani Kikwete, amezitaka shule za msingi…
YANGA SC YAICHAPA NAMUNGO 3-1 MTWARA
Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA VETA, YATAKA KUONGEZWA FANI ZA KILIMO NA UFUGAJI BAHI
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mhe. Husna Sekiboko, akizungumza wakati wa ziara ya Kamati katika Chuo cha…
MKUTANO MKUU WA TOA WALENGA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Mkutano Mkuu wa 16 wa Mwaka wa Taasisi ya Maboresho katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) unatarajiwa kujadili…
DG CHALAMILA: HATUTAMUANGUSHA RAIS DKT .SAMIA SULUHU VITA DHIDI YA RUSHWA
Na Oscar Assenga, Kilindi MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispian Chalamila amemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa taasisi…
SEKTA YA MADINI YAVUTIA UWEKEZAJI WA TRILIONI 9 NDANI YA MIAKA MINNE
*Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa *Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro…
UJENZI WA BARABARA YA LUMECHA-KITANDA-LONDO-MALINYI KUANZA MWAKA HUU
Na Muhidin Amri, Namtumbo SERIKALI imesema,ujenzi wa Barabara ya Lumecha-Kitanda-Londo-Malinyi inayounganisha Mkoa wa Ruvuma na Morogoro kwa kiwango cha lami utaanza mwaka huu wa…
TET YASHIRIKI WIKI YA KITAIFA YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU 2026
Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) inashiriki kwenye maadhimisho ya wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026 katika viwanja vya Shule ya…
HISTRORIA YAANDIKWA MANYARA, UJENZI WA KITUO CHA MICHEZO KITAIFA WAANZA BABATI
Na John Walter-Babati Historia mpya imeanza kuandikwa mkoani Manyara baada ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kufanya makabidhiano ya eneo la ujenzi wa…
AFRIKA KUSINI YAIPONGEZA TANZANIA KWA JUHUDI ZA KUPUNGUZA UHABA WA CHAKULA
Jamhuri ya Afrika Kusini imeipongeza Tanzania kwa mchango na juhudi zake katika kupunguza tatizo la njaa na kuimarisha usalama wa chakula katika ukanda wa…
DC SIMANJIRO AONGOZA KUPASHA MANYARA TANZANITE MARATHON
Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandala ameongoza mamia ya wakazi wa eneo hilo kwenye mazoezi…
NMB YATIA NGUVU TAMASHA LA KIZIMKAZI, YAPELEKA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki…
RAIS SAMIA KUZINDUA RASMI JNHPP AGOSTI 22, 2026
DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere…
DKT. MIGULU NCHEMBA ATATUA MGOGORO MWINGINE WA ARDHI
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 15, 2026 ameendelea kutatua kwa njia ya maridhiano migogoro sugu inayowakabili wananchi na mara hii ametatua mgogoro…
TIMU YAJIJI YAAGWA RASMI KUELEKEA MKOANI MBEYA KUSHIRIKI SHIMISEMITA
Happy Lazaro,Arusha. Arusha.Timu ya Jiji la Arusha imeagwa rasmi kuelekea mkoani Mbeya kushiriki Michuano ya Shirikisho la Michezo na Sanaa za Watumishi wa Serikali…
MJI WA SERIKALI MTUMBA WAIPA TANZANIA FURSA YA KUIMARISHA DIPLOMASIA
Balozi wa Serbia nchini, Mhe. Jovica Topalović, amesema, maendeleo ya Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, yanaipa Tanzania fursa ya kuimarisha mazingira ya shughuli…
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YAPITIA MKAKATI WA KUIMARISHA HUDUMA ZA MAJI, LISHE, UPANDAJI MITI
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Agosti 14, 2026 imepitia na…
KAMATI YA USHAURI WA KISHERIA KILIMANJARO YAKETI KUTATUA KERO ZA WANANCHI
Wakili wa Serikali wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Tamari Z. Mndeme, ameongoza kikao cha Kamati ya Ushauri wa Kisheria cha Mkoa kilichofanyika tarehe 13…
MAZINGIRA MAZURI YA KUFUNDISHIA TIJA KWA WANAFUNZI
Na Hellen Mtereko,Mwanza Uwepo wa mazingira sahihi ya shule za kusomeshea watoto ni hitaji muhimu katika kufanikisha safari ya kimasomo kwa wanafunzi wanao hitimu…
BAHI YATUMIA MAPATO YA NDANI KUWAWEZESHA VIJANA KUPITIA VETA
Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imeonyesha mfano wa namna halmashauri zinavyoweza kutumia mapato ya ndani kuwekeza katika elimu ya Amali (ufundi na ufundi stadi)…
VETA YAJA NA MTAALA MAALUM WA RECYCLING KWA VIJANA
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi…
VETA YAAHIDI KUENDELEZA USHIRKIANO NA VTA KUTOA MAFUNZO BORA BARA NA VISIWANI
Mamalaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeahidi kuendeleza mashirkiano na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar katika kutoa elimu na mafunzo…
GEHESE YAGEUZA TAKA ZA MASOKONI KUWA FURSA ZA KIUCHUMI
******* Taka zinazozalishwa katika masoko zimeelezwa kuwa zinaweza kubadilishwa kuwa bidhaa zenye thamani na kuwa chanzo cha kipato. Mwanzilishi na Mwenyekiti wa GEHESE, Liliani…
TTCL YAUNGANISHA AMANI RESIDENCY NA FURSA ZA UCHUMI WA KIDIJITALI
Na Mwandishi Wetu – Zanzibar Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchumi wa kidijitali…
ZAIDI YA WAGENI 2,000 NA KAMPUNI ZA KIMATAIFA 50 KUSHIRIKI MKUTANO WA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI TANZANIA
*Kuelekea Mkutano wa TMIC 2026. *Kushiriki mkutano tembelea tovuti ya conference.madini.go.tz au piga simu namba 0714278620. Dar es Salaam Zaidi ya washiriki 2,000 kutoka…