Top Stories
View all
YANGA SC YASONGA MBELE LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kusonga mbele katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2-1…
DC RUKIA AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI ZA MVUA ZA EL NIÑO
Wananchi wa Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya uwezekano wa kunyesha kwa mvua kubwa katika kipindi kijacho kufuatia taarifa ya…
MFUMO WA e-Ardhi WATUA KIGOMA:HUDUMA ZA ARDHI KIGOMA KUFANYIKA KIDIJITALI
Na Mwandishi wetu, Kigoma Hatua ya Serikali ya kuendelea kuboresha utoaji huduma za ardhi kwa njia za kidijitali imezidi kuimarika baada ya mfumo wa…
TANZANIA YAJIPANGA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA CHUO CHA HANYANG ERICA CHA KOREA KUSINI
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (wa pili kulia),…
NAIBU KATIBU MKUU ACT WAZALENDO ZANZIBAR AANZA ZIARA YA SIKU NNE PEMBA
Pemba: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Ndg. Omar Ali Shehe, ameanza leo ziara ya siku nne kisiwani Pemba, inayolenga kuimarisha…
TANZANIA YAJIPANGA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA CHUO CHA HANYANG ERICA CHA KOREA KUSINI
*Seoul, Korea Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza Ujumbe wa Tanzania kutembelea Chuo Kikuu cha Hanyang ERICA, jijini Seoul nchini…
TANZANIA YAZIDI KUIMARISHA NAFASI YAKE KATIKA BIASHARA YA UMEME KIKANDA
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia…
TANZANIA NA DRC CONGO WAFUNGUA UKURASA MPYA WA USHIRIKIANO KWENYE MADINI
▪️Waziri Mavunde na Waziri Kabamba wakubaliana msingi wa ushirikiano, ▪️Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais Samia na Rais Tshisekedi ya ushirikiano baina ya nchi…
RAIS DKT. MWINYI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA TAIFA LA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza kikao cha Baraza la Taifa la Kudhibiti na Kupambana…
LUSWETULA: SERIKALI YAWEKA MKAZO PPP KUGHARIMIA SEKTA YA AFYA
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akieleza umuhimu wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) kama moja ya njia muhimu…
DODOMA YAKOPESHA SHILINGI BILIONI 5.9 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU
DODOMA RS Mkoa wa Dodoma umekopesha jumla ya shilingi bilioni 5.9 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupitia mikopo ya asilimia…
KAMATI YA MTAKUWWA MKOA WA DODOMA YAPATIWA MAFUNZO
DODOMA RS Katika kuadhimisha na kutekeleza shughuli za Mwezi wa Maendeleo ya Jamii, Septemba 2026, Kitengo cha Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Mkuu wa…
TARURA YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA DODOMA
Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja katika jiji la Dodoma hatua inayolenga kuwa na…
KAYOMBO: WATAALAMU WA MAAFA PWANI WAONGEZE KASI YA ELIMU YA ATHARI ZA EL NINO
Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 12, 2026 SERIKALI Mkoa wa Pwani imetoa wito kwa wataalamu wa maafa kuongeza kasi ya kutoa elimu kwa jamii, hususan…
TBL NA VODACOM TANZANIA WAINGIA MAKUBALIANO (MoU) KUWAWEZESHA WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 26,000 NCHINI
Mkurugenzi wa Vodacom Business, Nguvu Kamando (kushoto) akimkabidhi zawadi ya ukumbusho Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Breweries Limited (TBL) Bi. Michelle Kilpin (kulia) mara baada…
KAMATI YA KITAIFA YA UFUNGAJI MIGODI YAPITIA MPANGO WA UFUNGAJI MGODI WA GGM
📍GEITA Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi imeupitia na kuujadili Mpango wa Ufungaji wa Mgodi uliohuishwa wa AngloGold Ashanti Geita Gold Mine (GGM), ikiwa…
RUWASA WAKABIDHIWA CHETI CHA ITHIBATI ISO 9001:2015
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi RUWASA Mhandisi Ruth Koya. Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA Mha.Wolta Kirita. Waziri wa Maji Mhe.Aweso …………. Shirika la Viwango Tanzania…
WIZARA , TAASISI ZATAKIWA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA MVUA ZA EL NIÑO
OWM –TAMISEMI, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Septemba 11, 2026 amezitaka Wizara, Mamlaka…
VIONGOZI WA DINI, WAKUU WA MIKOA WAMFARIJI RAIS DKT. SAMIA
Viongozi wa Dini, wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa…
MAWAZIRI KUTOKA OMAN NA BALOZI WA UTURUKI WAMFARIJI RAIS DKT. SAMIA
Ujumbe wa Mawaziri kutoka Oman wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi,…
WANAFUNZI 150 KUSOMA ALGERIA KUPITIA SAMIA SCHOLARSHIP
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam SERIKALI imetangaza nafasi 150 za wanafunzi wa Kitanzania waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi kupata ufadhili wa masomo…
BODI YA MAJI BONDE LA RUFIJI YATOA SULUHISHO KWA WAFUGAJI PAWAGA KWA KUWACHIMBIA KISIMA CHA MAJI
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Bodi ya Maji Bonde la Rufiji, David Munkyala, amesema Serikali imeanza kuchukua hatua za kudumu katika kukabiliana na…
MRADI WA KUSAFIRISHA UMEME KV 220 IGANJO–SAZA KUCHOCHEA UCHIMBAJI MADINI – MHE. SALOME
* Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe * Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya…
TANZANIA-CHINA KUIMARISHA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MADINI
*Waziri Mavunde na Waziri Dkt. Dachun waongoza majadiliano ya ushirikiano TIANJIN, CHINA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya…
WAZIRI BASHIRU NA WAZIRI CHONGOLO WAZINDUA USHIRIKIANO WA KILIMO NA MIFUGO PAWAGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Bashiru Ally Kakulwa, amesema utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
TANZANIA NA KOREA ZATAFUTA USHIRIKIANO IMARA WA KIUCHUM
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwa katika picha na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim ya Korea Kusini Bw. Jeong-hwa…
SALOME ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA SH. BILIONI 198 KUIMARISHA UMEME SONGWE NA CHUNYA
*Ataka kasi ya utekelezaji wa mradi na wazawa kupewa kipaumbele *Wachimbaji wapongeza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba…
WADAU GAWANENI MAENEO, URATIBU MABARAZA YA WATOTO – MPANJU
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii na Makundi…
MHE. SALOME AWASILI SONGWE KWA UZINDUZI WA MRADI WA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewasili wilayani Songwe, mkoani Songwe, kwa ajili ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha…
RAIS DKT. MWINYI AITAKA SERIKALI, WANANCHI KUJIANDAA KUKABILIANA NA MVUA KUBWA ZA EL NIÑO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka viongozi na taasisi za Serikali kuongeza utoaji wa elimu…
DKT. DUGANGE ATAKA JITIHADA ZAIDI KUIMARISHA HUDUMA YA AFYA MSINGI BARANI AFRIKA
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange kwaniaha ya Waziri wa TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema jitihada zinazofanywa na Rais…
MAKAMU WA RAIS AAGIZA HATUA ZA HARAKA KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MVUA ZA EL NIÑO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia…
MHE. LUSWETULA ABAINISHA FURSA AKIWAKARIBISHA WAWEKEZAJI TANZANIA
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akichangia hoja kuhusu uwekezaji katika sekta ya afya wakati wa Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za…
YAS YAZINDUA MINARA MIWILI YA 4G KILIMANJARO, YAONGEZA KASI YA UWEKEZAJI WA MTANDAO
Kilimanjaro, Septemba 10, 2026 – Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imezindua minara miwili mipya ya 4G mkoani Kilimanjaro, ikiwa ni mwendelezo wa uwekezaji…