RASHAL YAHARAKISHA UJENZI WA BOMBA LA GESI KISMVULE- MBAGALA
*Mradi wa kilomita 22 walenga kukamilika Januari 2027, kuunganisha viwanda na kuimarisha mtandao wa CNG Dar es Salaam ………… Na Mwandishi Wetu UJENZI wa…
*Mradi wa kilomita 22 walenga kukamilika Januari 2027, kuunganisha viwanda na kuimarisha mtandao wa CNG Dar es Salaam ………… Na Mwandishi Wetu UJENZI wa…
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Jumla ya wanafunzi 50, 481 wanatarajiwa kufanya mitihani ya kuhitimu darasa la saba mkoa wa Arusha, kwa mujibu wa…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye,…
Ridhiwani Kikwete, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze,…
Mwamvua Mwinyi, Kibaha Septemba 9, 2026 MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Nicas Mawazo, amekabidhi mashine ya photocopy kwa Shule ya Sekondari Mwambisi, hatua…
Na Happy Lazaro, Arusha Wafanyabiashara nchini wameiomba Serikali kuangalia upya mfumo wa ukusanyaji wa service levy unaotozwa na Serikali za Mitaa, wakieleza kuwa utaratibu…
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye amemfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili…
………….. Watoto 16 wenye magonjwa ya moyo wamefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu inayoendeshwa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaaam WAKULIMA wakubwa, wa kati na wadogo nchini wanatarajiwa kupata fursa zaidi ya kutumia teknolojia ya ndege nyuki katika…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesisitiza ushirikiano na viongozi na watendaji katika kutatua changamoto mbalimbali, ikiwemo migogoro ya…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam Vijana nchini wameelezwa kuwa wanaweza kutumia taka kama chanzo cha ajira na kipato, huku Chuo cha VETA Dar…
Mheshimiwa Felix Antoine Tshisekedi Tshilombo, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limewaonya watahiniwa wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) dhidi ya kujihusisha…
Rais wa.chemba ya Taifa ya biashara ,Vicent Minja wakati akizungumza katika ufunguzi wa jukwaa la kushughulikia malalamiko ya walipa kodi (ombudsman) jijini Arusha. ………..…
Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi Tiba na Uhakiki Ubora wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Hemed Myanza akiwaeleza wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi…
Na John Walter -Babati Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limewakamata watu watatu kutoka Kitongoji cha…
Dar es Salaam Katika kile kinachoelezwa kuwa ni hatua madhubuti ya kupanua wigo wa utoaji wa elimu kwa umma, timu ya maofisa wa juu…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kwa kusimamia Uchaguzi…
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amesema mazungumzo yaliyofanywa na wadau kuhusu hali ya kisiasa nchini yameonyesha mwanga…
*Bilioni 2 zatumika uwekezaji mtambo wa kisasa *Maabara ya TARURA yatumika kuongeza ujuzi kwa wanachuo Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)…
Mkurugenzi wa Kitengo cha Mtandao wa Vodacom Tanzania Plc Andrew Lupembe (kushoto) na Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo Zuweina Farah wakizungumza…
Waziri wa fedha Zanzibar, Dkt. Juma Malik Akil akizungumza wakati wa ufunguzi wa jukwaa la kushughulikia malalamiko ya walipa kodi (ombudsman) jijini Arusha .…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kuhakikisha kuwa sera na sheria zinazosimamia utajiri wa asili, maliasili na…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam Serikali imesema sayansi, teknolojia na ubunifu ni nyenzo muhimu katika kuongeza mchango wa uchumi wa bluu nchini, ikisisitiza…
Na.Sophia Kingimali HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam imeunga mkono maamuzi ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa yaliyofanyika…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa heshima za mwisho kwa Marehemu Hafidh Ameir Hassan, mume…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri…
Mhandisi Nuru Said (kushoto), akitoa maelezo ya mradi ya tenki la maj Sahwa kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso (kulia aliyekunja mikono), leo. Mafundi…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi imeanza kuimarisha mbinu za kudhibiti…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi ameshiriki maziko ya marehemu Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mwenza wa Rais…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo, Septemba 07, 2026, ameungana na viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na wananchi katika maziko ya Marehemu Hafidh Ameir…