Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Sera mpya ya Mambo ya Nje ya mwaka 2001 (Toleo la mwaka 2024) inalenga kuiimarisha Tanzania kimataifa kwa kutumia diplomasia makini na shirikishi ili kulinda na kutetea maslahi ya taifa. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 19, 2025, katika uzinduzi wa sera hiyo uliofanyika kwenye…
Na Sophia Kingimali,Dar es salaam. BODI ya Ithibati ya Waandishi wa habari(JAB)imetoa rai kwa waandishi wa habari waliokidhi vigezo vya kihabari kuanza kujisajili rasmi kwenye mfumo kwani imeanza rasmi kutoa vitambulisho vya waandishi wa habari(Press Card) vitakavyowawezesha kufanya kazi zao kwa heshima na uadilifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo May 16,2025 jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Bodi hiyo,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Wizara ya Mambo ya Ndani, pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za haraka dhidi ya watu wanaotumia mitandao na teknolojia vibaya. Aidha, amekemea vikali wingi wa wanaharakati kutoka nje ya nchi wanaojaribu kuingilia masuala ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Sera ya Mambo ya Nje ya mwaka 2001 Toleo la Mwaka 2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Mei, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda ya maonesho kabla…
“Tutatoa huduma hii bure na kwa weledi mkubwa” – Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida imezindua rasmi Kamati ya Ushauri wa Kisheria ngazi ya Mkoa na Wilaya na Kliniki ya Sheria bila malipo kwa Wananchi wa Mkoa wa Singida. Uzinduzi huo umefanyika tarehe 19 Mei, 2025…
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akiwa katika kituo cha Uborreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wakati alipotembelea kituo cha Mtendaji wa Kijiji cha Magila Gereza Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga leo Mei 19,2025. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mwananchi kwenye wanja wa CCM akita katika tiara ya kikazi moa wa Mwanza,, Mei 19, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi kwenye uwanja wa CCM Sengerema akiwa katika ziara ya kikazi mkoa wa Mwanza, Mei 19, 2025. Kulia ni Mbunge wa Sengerema, Hamisi Tabasamu.(Picha na Ofisi…
Confirmed
0
Death
0
NA MWANDISHI WETU, KYELA SERIKALI imeipongeza Taasisi za NMB Foundation kwa kuendesha Mafunzo kwa Wakulima wa Zao la Kakao kutoka Vyama vya Msingi vya Ushirika wa Kilimo na Masoko (AMCOS)…
Tume ya Rais ya kukusanya maboresho ya Kodi ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Balozi Maimuna Tarishi leo tarehe 16.05.2025 imekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya…
Sign in to your account