- Advertisement -



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Alhaj Mustafa Rajabu Shaban alipowasili kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Baraza la Maulid kitaifa, Septemba 28, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Baraza la Maulid…
................ Na Sixmund Begashe Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna Benedict Wakulyamba amewataka askari wa Jeshi la Uhifadhi kufanya kazi kwa kufuata Miongozo, Kanuni na kuzingatia sheria zilizopo ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Uhifadhi. CP. Wakulyamba ametoa kauli hiyo Jijini Arusha kwenye Warsha maalum aliyoianda kwa Maafisa wa Jeshi la Uhifadhi chini ya Wizara…
Teresia Mhagama na Godfrey Lulinga Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali nchini kwenda kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya kutoa huduma, kusikiliza kero zao na kuzitatua. Amesema hayo tarehe 28 Septemba, 2023 katika Kijiji cha Nyakanazi Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera akiwa njiani kuelekea wilayani Ngara kuwasha umeme vijijini pamoja…
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi Dkt Yose Mlyambina akihutubia wakati wa uapisho wa Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) katika ukumbi wa Mahakama ya kazi Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Mhe. Usekelege Mpulla akila kiapo mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi Dkt Yose…
KAIMU Katibu Mkuu OfisAi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Bw.Arbogast Warioba,akiangalia Mbwa wakipata chanjo ya Kichaa cha Mbwa wakati wa maadhimisho ya siku ya kichaa cha Mbwa yaliyofanyika leo Septemba 28,2023 wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma. Na.James Nestory -MPWAPWA Dunia ikiwa inaadhimisha siku ya kichaa cha mbwa,zaidi ya watu 20,000 wameripotiwa kung’atwa na mbwa kwa kipindi…
K-VIS BLOG/KHALFAN SAID WAAJIRI kote nchini wamehimizwa kutumia TEHAMA kuwasilisha taarifa kuhusu mfanyakazi aliyepata Ajali, Ugonjwa au Kifo kilichotokana na kazi aliyoajiriwa kwa mujibu wa mkataba wa ajira yake, ili kurahisisha mchakato wa malipo ya fidia. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidida kwa Wafanyakazi, (WCF), Dkt. John Mduma, wakati akifungua semina kwa maafisa…
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile (mwenye shati ya mikobo mifupi) akiwasikiliza wataalam kuhusu shughuli zinazofanywa kituo cha kuratibu shughuli za Utafutaji na Uokoaji (MRCC), wakati alipotembelea kituo hicho kinachoendeshwa na Shirika la Uwakala wa Meli Nchini (TASAC), Jijini Dar es Salaam. ..... Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile amelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Balozi Seif Ali Iddi alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kuhudhuria Maadhimisho ya kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyofanyika jana usiku 27-9-2023 na (kushoto kwake) Kadhi Mkuu wa Zanzibar…
Confirmed
0
Death
0
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akisaini kitabu cha wageni wakati alipofika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kabla ya kuanza ziara yake ya siku…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza na mfanyabiashara wa Arusha mjini, alipotembelea kusikiliza changamoto wanazokutana nazo, wakati wa ziara yake katika jiji hilo, iliyolenga kutatua changamoto…
Sign in to your account