WANAHABARI WATAKIWA KUJIUNGA VYAMA VYA WAFANYAKAZI KULINDA HAKI ZAO
Na.Sophia Kingimali. Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka wanahabari nchini kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kujenga umoja,…
Na.Sophia Kingimali. Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka wanahabari nchini kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kujenga umoja,…
Na Mwandishi wetu – Msumbiji TANZANIA inaandaa Mpango wa Kitaifa wa Hatua za Mapema za kujiandaa, kukabiliana na ukame kwa maeneo yanayokabiliwa na janga…
Na Oscar Assenga, Tanga ZAIDI ya asilimia 60 ya wagonjwa wanaopatiwa huduma katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) wanatoka katika…
Mwamvua Mwinyi, Pwani Mei 25, 2026 MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewasisitiza watendaji wa kata mkoani humo kuwa chachu ya kuchochea maendeleo…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKOA wa Iringa unajiandaa kwa shamrashamra za maadhimisho ya 29 ya Wiki ya Maziwa nchini, yatakayofanyika kuanzia Mei 25 hadi…
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa leo Mei 25, 2026 akiongoza zoezi la usafi wa mazingira lililohusisha…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameondoka nchini leo (Jumatatu, Mei 25, 2026) kwenda Brazzaville, Jamhuri ya Kongo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye…
Katibu wa chemba ya wafanyabiashara wilayani Tunduru mkoa wa Ruvuma Mohamed Kiyonjo,akizungumza jana kwenye kikao cha kusikiliza kero za wafanyabiashara kilichohitishwa na Mwenyekiti wa…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amelieleza Bunge kuwa Marekani na Uingereza zilifunga Ofisi Ndogo…
Na Jackline Minja, Dodoma Serikali imeendelea kuweka utaratibu madhubuti wa kuhakikisha watoto wanaoishi katika vituo vya kulelea watoto wanakuwa katika mazingira bora, salama na…
Washiriki zaidi ya 300 wameshiriki mbio fupi za kilomita 5 katika bonde la Olduvai Ngorongoro kwa lengo la kutangaza vivutio vya asili vya Olduvai…
Kumekuwa na mwitikio mkubwa wa watalii wa ndani kutembelea hifadhi ya Ngorongoro hii ikimaanisha wanarudi nyumbani eneo ambalo ndilo pekee lenye ushahidi wa kisayansi…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuongezeka kwa viwango vya joto la bahari…
Na. OWM TAMISEMI, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ( OWM – TAMISEMI) Bw.…
Bondia wa kimataifa wa Marekani Terence “Bud” Crawford amesifu ukarimu wa Watanzania tangu alipowasili nchini Mei 24, 2026, kwa ziara ya kitalii. Bondia huyo…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja wa Biashara Zanzibar wa…
Na Mwamvua Mwinyi-Rufiji Mei 24,2026 Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo…
Na Benny Mwaipaja, Congo, Brazaville Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili nchini Congo, Brazzaville, amabako atashiriki Mkutano Mkuu wa 61…
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kushoto) akiongoza zoezi la Usafi wa Mazingira katika kituo cha daladala na bajaji (Stendi…
📍Ruvuma Uanzishwaji wa masoko rasmi ya madini pamoja na matumizi ya mfumo wa bei elekezi mkoani Ruvuma, umetajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa vitendo vya…
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Chacha Marigiri, akiwasilisha mada kuhusu ‘Utawala bora katika mashirika ya Umma na…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurahisisha usafirishaji wa…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mixx, Bi. Angelica Pesha, akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Jimixx FIFA World Cup 2026 na Hisense” iliyofanyika…
Na Mwandishi, Morogoro Serikali imeendelea kutekeleza mikakati iliyoanishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi chenye maadili,…
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Iringa. Amesema tangu…
Ndoto yangu kubwa tangu nikiwa mdogo ilikuwa kusoma nje ya nchi. Nilikuwa naamini elimu ingeweza kubadilisha maisha yangu na ya familia yangu. Kila mara…
Kuingia kwenye uongozi haikuwa jambo ambalo watu wengi walitarajia kutoka kwangu. Kwa miaka mingi nilikuwa mtu wa kawaida kwenye jamii yetu. Nilipenda kusaidia watu…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Florentino Kyombo, imetembelea na kukagua miradi ya…
📍SAME. ZAIDI ya Wakulima 23184 katika skimu za umwagiliaji za Ndungu, Ndungu fidia, Kalemane na Vumba jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza kilogramu 504.36 za dawa za kulevya aina ya heroin katika kiwanda cha saruji…