SERIKALI KUTUMIA WANAMICHEZO MAARUFU KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara itatumia watu maarufu na wenye ushawishi mkubwa…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara itatumia watu maarufu na wenye ushawishi mkubwa…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara imeandaa mkakati wa kuitangaza Tanzania kama kivutio…
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14…
Naibu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni, Elizabeth Mokiwa akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 15,…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali kupitia wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha vipaumbele tisa vya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Bungeni Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Serikali imeendelea kupata mafanikio makubwa katika Sekta ya Maliasili…
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema uzinduzi wa programu ya kidijitali ya PRIS App ni hatua muhimu katika kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji akiwa na mkoba wenye hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/27 inayotarajiwa…
Na Oscar Assenga Tanga Jukwaa la Wanawake na Kodi limefanyika leo Jijini Tanga huku ikielezwa ni hatua muhimu inayodhihirisha dhamira ya kuendeleza usawa wa…
Na Abduly Madenge, WAF – MOROGORO: Serikali imewahakikishia wananchi kuwa kifo kutokana na kuchelewa kupata huduma za dharura sasa kinakwenda kubaki kuwa historia, kufuatia…
Maisha yetu yalikuwa ya kawaida lakini yenye amani. Mimi na mume wangu tulikuwa tunajitahidi pamoja kujenga familia yetu. Haikuwa maisha ya utajiri mkubwa, lakini…
Kwa miaka mingi nilikuwa na ndoto ya kumiliki gari langu mwenyewe. Si kwa ajili ya kujionyesha, bali kwa sababu nilikuwa nimechoka na usumbufu wa…
MASVINGO – ZIMBABWE Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Sita (6)…
SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO CP Kavirondo anarejelea maelezo yake kwa msisitizo akisema Hatua hiyo imeendelea kuonesha namna serikali inavyowapa nafasi ya pili…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu amekutana na Ujumbe wa Wabunge kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (OR- MUUUB) imetoa mafunzo kwa viongozi na watumishi…
Balozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China, Mheshimiwa Dkt. Suleiman H. Suleiman amewasilisha hati ya uwakilishi kwa Mheshimiwa Bw. Hong Lei, Msaidizi Waziri…
Serikali imeendelea kuwasihi vijana nchini kujiepusha na ushawishi wa kujiingiza katika migogoro ya kimataifa, ikiwemo vita vinavyoendelea katika baadhi ya mataifa duniani na kusisitiza…
Dereva bodaboda aliyefahamika kwa jina la Ally Kambi (24), mkazi wa Kingolwira Manispaa ya Morogoro, anadaiwa kuuawa na watu wasiojulikana baada ya kukodi huduma…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Jamii mkoani Dodoma imetakiwa kuendelea kujenga mazingira ya usawa na haki kwa wanawake, watoto wa kike pamoja…
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Na Mwandishi Wetu – Masvingo, Zimbabwe. TANZANIA imekamilisha maandalizi ya Mfumo wa Taifa wa Kurejesha Hali Baada ya Maafa, hatua inayolenga kuimarisha uwezo wa…
Singida Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi imeendelea na vikao vyake kwa siku mbili katika Mgodi wa dhahabu wa Shanta uliopo mkoani Singida kwa…
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza jambo wakati akiongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika Mkutano wa 18 wa Baraza…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) akijibu swali la Mbunge wa Ilemela Mhe. Kafiti William Kafiti, aliyetaka kujua ni lini…
Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo akizungumza kwenye hafla hiyo jijini Arusha leo Happy Lazaro,Arusha . Arusha .Katibu Tawala wa Wilaya ya…
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, akizungumza kwa niaba ya Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya…
📍DODOMA MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Alimwoni Chaula ameeleza kuwa jiji linaendelea kuthamini mchango wa wadau wa maendeleo katika kuimarisha mifumo…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujipatia zaidi ya Shilingi 81,500,000 kwa njia ya udanganyifu kupitia mtandao wa…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi amekutana na kufanya mazungunmzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la CAN Tanzania, Dkt. Dk.Sixbert…
Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini kutowazuia wanafunzi kufanya…
Waandishi wa vyombo vya habari nchini wamehimizwa kuwa mstari wa mbele kutangaza mafanikio ya Tanzania kimataifa kupitia utekelezaji wa programu na miradi ya hifadhi…
• Prof. Shemdoe aahidi kutoa ushirikiano kwa UNICEF Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia…
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Fatma Abdallah akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani katika makao makuu wa shirika hilo jengo la International Dar…