MHE BALOZI KHAMIS ATETA NA UJUMBE WA WATERAID UK NCHINI KONGO
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), (kulia) akiwa katika picha na Mkurugenzi Mtendaji wa WaterAid UK-Kanda ya Kusini mwa Afrika, Bw.…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), (kulia) akiwa katika picha na Mkurugenzi Mtendaji wa WaterAid UK-Kanda ya Kusini mwa Afrika, Bw.…
Na Silivia Amandius Bukoba. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera imewaomba madiwani kushiriki katika mpango wa “TAKUKURU Rafiki” unaolenga…
Sera imara na usimamizi thabiti wa Mhe. Rais Samia kuchochea uzalishaji Serikali yasaini mkataba wa ubia wa uchimbaji wa madini kinywe na Kampuni ya…
Ataka kila mmoja mmoja aone ni suala lake Asisitiza matumizi ya teknolojia rafiki kwa mazingira WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania wabadili mtazamo…
……….. Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuonesha dhamira ya kuimarisha sekta ya makazi na biashara nchini kupitia utekelezaji…
Uongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali (TAGCO) ukiongozwa na Mwenyekiti wake Bw. Karimu Meshack umewasili jijini Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya…
Na Albano Midelo Baada ya kushika nafasi ya 25 kati ya mikoa 26 katika mashindano ya UMITASHUMTA mwaka uliopita, Mkoa wa Ruvuma sasa umeanza…
Na John Walter -Dodoma Sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara leo Mei 27, 2026 imemtembelea nyumbani kwake Jijini Dodoma Mbunge wa…
Na Mwandishi Maalum,Mbinga BAADHI ya wakulima wa zao la kahawa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma,wamewaomba wawekezaji na wadau kujitokeza kufunga mitambo ya kisasa ya…
Mkurugenzi wa Kampuni ya HAIPPA akizungumza kwenye uzinduzi wa jukwaa la TanzaniaTuwekeze Na Hellen Mtereko,Mwanza Jukwaa la Tanzania Tuwekeze lililoandaliwa na Kampuni ya Umma…
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), wakati akifungua rasmi…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Chuo cha Taaluma ya…
NA DENIS MLOWE,IRINGA MSAJILI wa Bodi ya Maziwa Tanzania Profesa George Msalya, ameendelea kutoa elimu kwa wananchi na wanafunzi kuhusu umuhimu wa kuongeza matumizi…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania. Akizungumza na waandishi…
Na Oscar Assenga, Tanga MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA) imesema kuanzishwa kwa tozo mpya ya maendeleo ya miundombinu ya bandari kutasaidia kuongeza uwezo wa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 28, 2026 amewasili kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Mazingira pamoja na maadhimisho…
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema Wizara imejipanga kuanzisha Mabaraza ya Ardhi…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema Serikali kupitia Shirika la Nyumba la…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi bilioni 210.2 kwa ajili ya…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema kuwa Serikali imeendelea kutekeleza maamuzi ya…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema kuwa Wizara imepanga kuhakiki, kuhuisha na…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza Programu Maalum…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amesema kuwa Wizara yake itaendelea kuimarisha uratibu…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amerejea nchini Tanzania akitokea jijini Brazzaville, Jamhuri ya Kongo alikomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 61…
Na Mwandishi wetu, Mirerani TAASISI ya Ahsante Foundation Tanzania imechinja ng’ombe 723, mbuzi na kondoo 2,500 na kutoa sadaka kwa watoto yatima, wajane, wahitaji…
Na Mwandishi Wetu, Pwani WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimilivu wa Bioanuwai ya…
Na OWM – TAMISEMI, Kahama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…
Na Mwandishi Wetu, TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi ,Dkt Batilda Burian, amewaasa wananchi wa mkoa huo kuendelea kudumisha amani na utulivu wakati…
Makandarasi wazawa wanufaika Tabora Serikali imeiwezesha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupata dola milioni 65 kwa ajili ya utekelezaji wa matengenezo ya…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Alhajj Hemed Suleiman Abdulla, amerejea Unguja akitokea Kisiwani Pemba, ambako alishiriki Swala na Baraza la Eid al-Adha.…
Wakubaliana kuimarisha masuala ya kilimo, nishati na usalama WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo, Anatole Collinet Makosso…
Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi Utambuzi watolewa katika hafla maalum ya kuwapongeza wadau wa maendeleo wa UDSM Na…
Na Mwandishi Wetu,Mbinga MRAJISI Msaidizi wa vyama vya ushirika mkoani Ruvuma Venance Msafiri,amezindua matumizi ya mizani za kidijitali zilizounganishwa na mfumo wa usimamizi wa…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika (WHO AFRO), Profesa Mohamed Janabi ambapo walijadili…