NAIBU WAZIRI WA MADINI AONYA DHIDI YA UTOROSHAJI WA MADINI KAGERA
Na Silivia Amandius Kagera. Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesema Serikali haitavumilia vitendo vya utoroshaji wa madini na kwamba hatua kali za…
Na Silivia Amandius Kagera. Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesema Serikali haitavumilia vitendo vya utoroshaji wa madini na kwamba hatua kali za…
Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu Tamisemi Prof Riziki Shemdoe wakati akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika Sumbawanga Mkoani…
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mha. Wolta Kirita, amesisitiza umuhimu wa kushirikisha Vyombo vya Utoaji wa Huduma…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Simeone Nyansaho, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza misingi ya uadilifu, haki na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi, amesema Bodi hiyo imepata mafanikio…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mlezi wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Chama cha Mawakili wa…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetambulisha rasmi mfumo mpya wa kufunga nyaya za umeme majumbani utakaowezesha wateja kufuatilia matumizi ya umeme kupitia simu ya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam,…
Na Happy Lazaro, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa Mwaka wa…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Daudi Yassin, amesema Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa imeanza ziara…
Mkutano wa 28 wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ngazi ya wataalamu umefunguliwa…
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Lazaro Twange, akitoa ufafanuzi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, kuhusu majukumu…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Kitabu cha Falsafa ya Sheria ya Mama Samia (Mama…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mhandisi Felchesmi Mramba (wa kwanza kulia) akisaini kitabu Cha wageni leo, Julai 13, 2026,…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira…
Watumishi Housing Investments (WHI) imeendelea kuthibitisha ubora wake katika sekta ya makazi baada ya kutwaa Tuzo ya Tatu ya Banda Bora kwenye Maonesho ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea Mabanda ya maonesho ya masuala mbalimbali ya Sheria kabla ya kufungua…
Na. Fullshangwe Blog Katibu Mkuu wa wizara ya Elimu, sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa ni wakati muafaka wa kutafakari upya namna…
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Abdallah Mwaipaya amezitaka taasisi binafsi, za kifedha na Wadau wa Maendeleo nchini kuaendelea kuwaunga mkono wanufaika wa mafunzo…
Happy Lazaro,Arumeru. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndugu Wazo Michael Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa…
NA DENIS MLOWE,IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ameendelea kuunga mkono jitihada za maendeleo katika jimbo lake baada ya kukabidhi mifuko 100…
Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umeanza mbio zake mkoani Manyara huku ukitarajiwa kupitia, kukagua, kuweka jiwe la msingi na kuzindua miradi 49…
Katibu Mkuu wa Taasisi ya Twariqa, Sheikh Haruna Husein akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya taasisi hiyo jijini Arusha Julai 13,…
Na Mwandishi Wetu Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu…
Na Jackline Minja, WMJJWM Mafinga – Iringa Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake,…
Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…
Na. Mwandishi Wetu, Dar. MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mitaala…
* Apokelewa na Mkuu wa Mkoa, Mhe. Makongoro Nyerere pamoja na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jacqueline Mzindakaya Na OWM–TAMISEMI, Sumbawanga Waziri wa Nchi,…
Mwenge wa Uhuru wakagua miradi 48 ya Bilioni 27.4 Mkoa wasajili vikundi 1,400 kwenye mfumo wa NeST sawa na 133% kwa zidio la vikundi…
Na. OWM (KAM), Dar es Salaam Kamishna wa Uhamiaji wa Divisheni ya Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka, CI Fakih Nyakunga, ameiomba Ofisi ya Waziri…
Katibu wa Chama cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Ruvuma Mohamed Khalifan kushoto na Mwekezaji Omari Msigwa (Superfeo) wakitiliana saini makubaliano ya ujenzi wa mradi wa fremu…
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 kwa…
📍Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SabaSaba) wanaendelea…