SERIKALI INAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA TUME YA HAKI JINAI
Serikali imeandaa mkakati maalum wa utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai ambao umeainisha shughuli mbalimbali zitakazotekelezwa kwa muda mfupi, wa kati na…
Serikali imeandaa mkakati maalum wa utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai ambao umeainisha shughuli mbalimbali zitakazotekelezwa kwa muda mfupi, wa kati na…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumatatu Juni 1, 2026 ameshiriki ibada ya mazishi ya Diwani wa Kata ya Shelui, Mhe. Agnes Nasania, iliyofanyika…
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof.…
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umeendelea kuandika historia katika kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kwa kutekeleza miradi mbalimbali…
Paris, Ufaransa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasili leo nchini Ufaransa kwa ziara…
Na Atley Kuni, WAF-Dar es Salaam Washiriki wa Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kinywa na Meno Tanzania kutoka Mataifa mbalimbali duniani wameisifu Tanzania…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewataka Wakuu…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini…
…………… NA DENIS MLOWE, IRINGA MRATIBU wa Mradi wa Climate-Smart Dairy Transformation Project (C-SDTP), Razalo Kapera, amesema mradi huo unaendelea kuleta mageuzi makubwa katika…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ametoa wito kwa wadau wa sekta ya mifugo kuongeza juhudi…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Kwa miaka mingi Tanzania imekuwa ikishuhudia ukuaji wa uchumi unaoonekana kwenye takwimu za kitaifa, ongezeko la miundombinu, huduma…
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna, akitoa hotuba kuu katika Cambridge Africa Business Conference 2026 katika Chuo Kikuu…
Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Nyakia Ally Chirukile alipomwakilisha mkuu wa mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere nchini (DRC) ……….. Kinshasa, DRC…
Na Atley Kuni, WAF-Dar es Salaam Serikali imeahidi kuendelea kuimarisha huduma za afya ya kinywa na meno nchini kupitia uwekezaji wa miundombinu, mafunzo ya…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Jumuiya ya Diaspora ya Tanzania wanaoishi katika…
Mpwapwa, Mei 31, 2026 Mkoa wa Dodoma umepokea Mwenge wa Uhuru 2026 katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mtera iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab Katimba , amesema Wakili Marathon iliyoandaliwa na Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) itakuwa chachu ya…
Na Hassan Kimweri, WAF – Kagera Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amewataka watumishi wa afya nchini kuwa makini zaidi katika kipindi hiki…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kukamatwa kwa mtumishi mwingine wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kulinda na kutetea…
NA DENIS MLOWE , MIGOLI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha rasmi kampeni zake za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Isimani kwa mkutano mkubwa wa…
NA DENIS MLOWE, IRINGA WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa na kamati ya kudumu ya Viwanda, Biashara, Kilimo na…
Na Mwandishi wetu, Ruvuma Wapiga Kura 222,218 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki kwenye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Profesa Kitila Alexander Mkumbo akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuanza Utekelezaji wa Dira…
Na Mwandishi Wetu Waandishi wa Habari watakaoshiriki Tuzo za Uandishi wa Habari na Makala za Maendeleo (Samia Kalamu Awards – SKA) 2026 wamelazimika kukidhi…
Tanzania inaanza rasmi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 tarehe 1 Julai 2026 ikiwa na msingi imara wa kisera, kitaasisi na kiutekelezaji…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na wanafamili, ndugu na jamaa katika swala ya kumswalia marehemu Bi. ARAFA…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumapili Mei 31, 2026 amekagua ujenzi wa Barabara ya Noranga (Doroto)–Itigi (Mlongojii) yenye urefu wa kilomita 25 inayojengwa…
Meneja mahusiano wa Benki ya ushirika Tanzania kanda ya kusini Raphia Mgongolwa,akizungumza jana na watendaji wa vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) na Chama…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilihisi biashara yangu ilikuwa karibu kuanguka kabisa. Nilikuwa nimeanzisha duka langu kwa juhudi nyingi sana. Nilijinyima mambo mengi…
Kwa miaka mingi nilikuwa naishi na maumivu ambayo ni vigumu kuelezea. Baada ya kuolewa, mimi na mume wangu tulikuwa na ndoto ya kuwa wazazi.…
Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amewataka…
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Uongozi wa Shule kwa kushirikiana na Idara ya Michezo katika Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga, umeratibu…
*Wahifadhi wa Sao Hill wavutiwa na mafanikio ya utalii ikolojia, watakiwa kuhamasisha kura za Tuzo za Kimataifa za Utalii Na Mwandishi Wetu, Pwani Hifadhi…
Na Jackline Minja- WMJWM Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema Serikali itaendelea kuweka…