OFISI YA WAZIRI MKUU NA OMDTZ ZAIMARISHA UTAYARI WA JAMII KUKABILIANA NA MAFURIKO DAR ES SALAAM
Na, mwandishi wetu – Dar es Salaam Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi OpenMap Development Tanzania (OMDTZ), kupitia mradi wa Ramani Zetu,…
Na, mwandishi wetu – Dar es Salaam Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi OpenMap Development Tanzania (OMDTZ), kupitia mradi wa Ramani Zetu,…
Mkurugenzi mwanzilishi wa kampuni ya Conserve Safari Camps & Lodges, Simon Mossi, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwenendo wa sekta ya utalii na…
Kaimu Kamishna wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma Bw. Omary Mhina, akizungumza wakati akifunga kikao kazi kukusanya maoni ya wadau kuhusu Rasimu…
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Pili Mnyema, akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya Usimamizi wa Mali za Umma kwa Maafisa Masuuli wa Taasisi…
Kwa miaka mingi, pumu ilikuwa sehemu ya maisha yangu ambayo sikuweza kuikwepa. Kila siku niliishi kwa tahadhari. Mabadiliko ya hali ya hewa, vumbi, moshi,…
Kwa zaidi ya mwaka mmoja, nilikuwa nikiishi kwa hasira na kuchanganyikiwa. Kila baada ya wiki chache, niligundua kuwa kuku wangu walikuwa wanapungua. Mwanzoni nilidhani…
Tuzo aliyokabidhiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kama kinara wa mabadiliko ya mifumo ya malipo nchini, si tu…
Chama cha Wafanyakazi wa Ukusanyaji wa Mapato Tanzania (TAREWU) kimeingia makubaliano na BodyMind Insight (BMI) yenye lengo la kuimarisha afya ya akili, ustawi wa…
Dodoma, Vijana wa Kikundi cha Kigamboni Vijana Unity wamepata fursa mpya ya kujiajiri baada ya Benki ya NMB kukabidhi bajaji tano zenye thamani ya…
Timu ya Taifa ya Marekani imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay…
Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia katika mchezo…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuthamini na kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi katika sekta ya elimu kutokana na mchango wake mkubwa…
Na Silivia Amandius Kagera. Shule ya Karume Day and Boarding Medium Primary School imefufua rasmi kituo chake cha ufundishaji wa michezo (Sports Academy) pamoja…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Magereza…
Na Atley Kuni, WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Waziri wake wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa imezindua rasmi Bodi ya Wadhamini ya Taasisi…
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas James Lyimo amesema dawa za kulevya zinaendelea kuwa tishio kubwa…
……. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia, ametoa wito kwa taasisi zote zinazokusanya au kuchakata taarifa binafsi…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anayeshughulikia Masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. James Millya akisaini kitabu cha maombolezo ya…
Wakulima wa zao la pamba kutoka vijiji vya Mbutu, Iyogelo, Ilambakuki, Imalanguzu na Mwamakoma vilivyopo katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wamehamasika kufungua…
Na, mwandishi wetu – Arusha SERIKALI imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuzingatia misingi ya uadilifu katika utumishi wa umma ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu na…
Serikali imeendelea kusisitiza ushiriki jumuishi wa wanawake, vijana na makundi yenye mahitaji maalum katika utafiti, sayansi, teknolojia na ubunifu ili kuongeza mchango wao katika…
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani mkoani Arusha limeendelea kuimarisha mikakati ya kuzuia ajali za barabarani kwa kukutana na mawakala wa mabasi wanaotoa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria uzinduzi wa Kitabu cha miaka 60 ya Benki Kuu…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Swala ya Ijumaa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Benki Kuu…
DOLA MIL 320 KUBORESHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA KWA MABADILIKO YA TABIANCHI Serikali imesema imepokea jumla ya dola za Marekani milioni 320 katika kipindi cha mwaka…
KATIKA kuhakikisha kuwa wananchi wa Jimbo la Vunjo wanakabiliana na tatizo la uhaba wa ajira kwa kujiajiri wenyewe, Mbunge wa jimbo hilo Enock Koola…
Na Victor Masangu,Kibaha Diwani wa kata ya Pangani Mhe. John Katele ameahidi kuchangia mifuko 10 ya simenti kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa…
Na WMJJWM Rome Italia Tanzania imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuimarisha usawa wa kijinsia, amani na usalama kwa kushiriki katika Mkutano wa Nane wa…
Na Mwandishi Wetu, New York, Marekani Serikali ya Tanzania imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza…
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia, amesema ushirikiano wa waajiri katika kuwasilisha taarifa za…
Kwa miezi 18 maisha yangu yalizunguka jambo moja tu kutafuta kazi. Kila asubuhi nilikuwa naamka mapema, kufungua simu au laptop yangu, na kutafuta matangazo…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilihisi biashara yangu ilikuwa karibu kuanguka kabisa. Nilikuwa nimeanzisha duka langu kwa juhudi nyingi sana. Nilijinyima mambo mengi…
TANGA – Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeomba kuendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland kupitia utekelezaji wa Awamu ya Pili…