RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu, kuanzia Julai 2 -4 , 2026.…
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo amewasili nchini kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu, kuanzia Julai 2 -4 , 2026.…
Dar es Salaam, Julai 2, 2026 Watanzania wanne wamejishindia tiketi za safari ya kwenda Mexico kushuhudia mechi za Kombe la Dunia kupitia kampeni ya…
WAZIRI wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda, ameitaka Tume ya Taifa ya sayansi na Teknolojia (COSTECH), kutafakari na kufanya tahmini ya…
NA DENIS MLOWE IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya barabara kwa kusimamia utekelezaji wa miradi yote…
Na. Saidina Msangi na Asia Singano, WF, Dodoma Wananchi hususan vijana, wanawake na wajasiriamali wanaochipukia, wamehimizwa kutembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho…
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza na baadhi ya watumishi wa kituo kipya cha afya Langiro baada ya kukagua…
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi…
Nibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb.), ameshiriki Mhadhara maalum wa kuadhimisha Miaka 51…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua Daraja la Mto Nyathorogo lililopo katika Kijiji cha Nyathorogo, Kata ya Nyathorogo, wilayani Rorya, mkoani Mara, ambalo limejengwa…
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewabana Mameneja wa RUWASA na TANROADS mkoani Mara kwa kuwahoji maswali huku akiwaonya wasizoee matatizo ya wananchi na kuyaona…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea maeneo ya kazi mara…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), akipokelewa na Mkuu wa Mtandao wa Matawi na Mauzo wa Benki ya NMB, Donatus Richard,…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Paramagamba Kabudi, amesema usafi…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe,Amesema elimu ni msingi wa maendeleo ya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Kampuni ya Barrick inayofanya shughuli zake kwa ubia na Serikali kupitia Twiga Minerals imeahidi kuwa kupitia programu…
Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas James Lyimo akizungumza katika. mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam Julai 02, 2026. Emmanuel Alphonce…
Dar es Salaam – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hakuna Bunge ambalo linaweza kuitwa dhaifu au…
Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…
Mkuu wa Idara ya Fedha na Uhasibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Deo Fazah akipokea zawadi alipotembelea banda la TET ndani ya Maonesho…
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano itakayotekelezwa kuanzia mwaka…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amekutana na…
Serikali imeanza ujenzi mpya wa barabara inayounganisha mikoa ya Njombe na Ruvuma baada ile ya awali kuanza kuchoka kutokana na kutumika kwa zaidi ya…
• Awataka wakuu wa mikoa kuendeleza kampeni za usafi Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MKUU wa Wilaya ya Iringa, Benjamin Sitta, ameutaka uongozi wa Manispaa ya Iringa kuhakikisha asilimia tano ya ongezeko la mikopo…
Na: OWM – KAM , Mara Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Dkt. Evaline Munisi, amewasisitiza waajiri sekta ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo ya Rais kwawalipakodi kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe akizunvumza kwenye mkutano huo jijini Arusha…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma za Next Generation Sequencing (NGS), hatua inayofungua enzi…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Julai 1, 2026 – Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuf Mwenda, amemshukuru Rais wa…
Timu ya Taifa ya DR Congo imeondolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na England katika mchezo wa hatua ya…
Na Jackline Minja, WMMJW Mtwara Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesisitiza umuhimu wa malezi…
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab A. Katimba (Mb) ametembelea Banda la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika Maonesho ya 50…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeelekeza halmashauri zote nchini kutenga asilimia tano ya mapato yao ya ndani kwa ajili ya ujenzi na…