Top Stories
View all
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUPITIA UPYA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA SURA YA 410
Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma, Wizara ya Fedha, Bi. Emma Komba, akizungumza wakati wa kufunga kwa niaba ya Kaimu…
NILIVYOOKOA HARUSI YANGU BAADA YA MCHUMBA WANGU KUBADILIKA GHAFLA WIKI CHACHE KABLA YA SIKU KUBWA
Nilidhani nilikuwa nimefika mwisho wa safari yangu ya mapenzi. Maandalizi ya harusi yalikuwa yameanza vizuri, familia zote zilikuwa tayari, na kila kitu kilionekana kwenda…
NILIVYOPATA BAHATI YA SAFARI YA NNE YA NCHI BAADA YA KUKOSA MARA NNE KARIBU KUKATA TAMAA
Kwa miaka mingi nilikuwa na ndoto ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi ili nibadilishe maisha yangu na kusaidia familia yangu. Kila nilipoona watu…
TANZANIA NA KENYA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUUNGANISHA NJIA ZA UMEME
*Mhandisi Mramba afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Mafuta Kenya Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya…
MASHUJAA KUISIMAMISHA SIMBA SC LEO ?
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo minne yenye ushindani mkubwa, huku vita ya kusaka pointi tatu…
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray akizungumza na Wauguzi kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania…
SERIKALI KUJENGA UWANJA WA KIMATAIFA MWANZA
▪︎ Dkt. Mwigulu asema Serikali imejipanga kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa ▪︎ Asema Mwanza itaendelea kuwa kitovu muhimu cha shughuli za kiuchumi Kanda…
MKUTANO WA 28 WA KAMATI YA VIWANGO EAC WAFANYIKA MKOANI ARUSHA
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .MKUTANO wa 28 wa Kamati ya Viwango ya Jumuiya ya Afrika Mashariki umefanyika mkoani Arusha, ukilenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda…
DED MBEYA DC AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA AJIRA 259
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica E. Yegella amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa…
DODOMA JIJI YAVURUGA HESABU ZA YANGA MBIO UBINGWA
Kikosi cha Dodoma Jiji FC kimeibuka na ushindi mkubwa wa mabao 3-2 dhidi ya mabingwa watetezi Young Africans SC katika mchezo wa Ligi Kuu…
BASI LAGONGANA NA LORI BIHARAMULO: MMOJA AFARIKI, SITA WAJERUHIWA
Na Silivia Amandius Biharamulo, Kagera. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera limethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na lori,…
TANZANIA YATOA SOMO KWA NCHI ZA SADC KUHUSU USIMAMIZI WA MAAFA
Na Mwandishi Wetu, Zimbabwe Tanzania imeendelea kung’ara katika ukanda wa Kusini mwa Afrika baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mifumo madhubuti…
RC CHALAMILA MGUU KWA MGUU KUKAGUA MIRADI YA DMDP II NA AFCON
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara wilayani Ilala ya kutembelea ujenzi wa barabara ya kivule hadi msongola pamoja…
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUIMARISHA UCHUMI, YAKUBALI KUTOA ZAIDI YA DOLA MILIONI 375
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (Kushoto), akizungumza na Kiongozi wa Timu ya Wataalamu ya Shirika la Fedha la Kimataifa…
WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WATAHADHARISHWA UPOTOSHAJI WA ELIMU YA LISHE
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter…
SERIKALI YAITAKA MANTRA IANZE UZALISHAJI WA URANIUM KWA WAKATI
*Ajira zaidi ya 4,000 zanukia Namtumbo, kaya 21,000 kunufaika Dodoma Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ametoa wito kwa Kampuni ya Mantra Tanzania…
BAADA YA NUSU KARNE, LIGANGA NA MCHUCHUMA SASA KUANZA
*Mazungumzo na Mwekezaji Yamefikia Zaidi ya Asilimia 90 *Kuzalisha Tani Milioni 2.9 za Chuma Ghafi kwa Mwaka *Kuzalisha Ajira Rasmi 6,500, Zisizo Rasmi 26,000…
SGR KWENYE BAJETI YA UCHUKUZI BUNGENI
Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma kwa mwaliko maalum…
RAIS SAMIA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA AFRICA CDC IKULU, DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Afrika cha Kudhibiti…
TMA YAIMARISHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA, SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA MIUNDOMBINU YAKE NCHINI
Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendelea kuimarisha huduma za hali ya hewa nchini…
SERIKALI KUPITIA TRC YAONGEZA KASI UJENZI WA RELI YA SGR – PROF. MBARAWA
Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa amesema Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) inaendelea kwa kasi na utekelezaji wa mradi wa reli ya kisasa…
IDADI YA ABIRIA WA SGR YAONGEZEKA KWA ASILIMIA 22.4- WAZIRI PROF. MBARAWA
Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa amesema Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania imeendelea kuimarisha huduma za usafiri wa reli ya kisasa ya Standard Gauge…
MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA MHE. JOHN MALECELA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza…
DK.MWINYI : AZITAKA KAMATI ZA MAADILI ZA CCM KUFANYA KAZI KWA UFANISI.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,akiwahutubia wanachama…
MKURANGA YAJENGA SHULE YA GHOROFA MWANDEGE KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WANAFUNZI
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani HALMASHAURI ya Wilaya ya Mkuranga imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Mwandege kwa mfumo wa ghorofa…
HATUA YA NEMC KUWA MAMLAKA YAKARIBIA KUIVA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa akijibu maswali katika kikao cha 28 cha Mkutano wa Tatu wa…
MANISPAA YA KIBAHA YAWEKA MIKAKATI KABAMBE YA KULETA MAENDELEO KUPITIA MAPATO YA NDANI
Na Victor Masangu, Kibaha Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha katika kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta chachu ya maendeleo imeamua kutumia…
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA
Na. Antonia Mbwambo, Arusha. Watumishi wa Umma nchini wamehakikishiwa kuboreshewa mazingira ya kazi kadri uchumi utakavyoruhusu ili kuleta tija katika utendaji kazi kwa maslahi…
TANZANIA YAWEKA KIPAUMBELE UWEKEZAJI WA VIWANDA VYA DAWA – DKT. MWIGULU
Asema Serikali inalenga kupunguza utegemezi wa kuagiza dawa kutoka nje. Aisisitiza Afrika kuongeza thamani ya malighafi na kuimarisha uhamishaji wa teknolojia WAZIRI MKUU, Dkt.…
LITA 66,048 ZA KEMIKALI BASHIRIFU ZAKAMATWA DAR ES SALAAM
Na John Bukuku, Dar es Salaam Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Serikali…
KAA TAYARI KWA KUSOMA MAKALA NZITO YA RAIS DKT. SAMIA KUHUSU MABORESHO YA MFUMO WA MAGEREZA
KAA TAYARI KWA KUSOMA MAKALA NZITO YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN SEHEMU 2 NA YA MWISHO KESHO…
AFRIKA YAHIMIZWA KUJENGA MUSTAKABALI SALAMA KWA WATOTO
Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Neema Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa viongozi na wadau wa Afrika kuweka kipaumbele…
SERIKALI KUONGEZA KASI YA UANDAAJI MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI VIJIJINI
Na Munir Shemweta, WANMM MOROGORO Katika kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta ya ardhi nchini, Serikali imelenga kutekeleza mikakati ya kuongeza kasi ya uandaaji…
NILIVYOREJESHA UKARIBU NA MAMA MKWE WANGU BAADA YA MIAKA KUTOPISHANA BILA MABISHANO
Nilipoolewa, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningekuwa na uhusiano mzuri na familia ya mume wangu hasa mama yake. Mwanzoni kila kitu kilionekana sawa. Tuliongea…