WAZIRI MCHENGERWA: HADI SASA TANZANIA HAINA MGONJWA WA EBOLA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa Ebola na hali ya usalama…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa hadi sasa Tanzania haina mgonjwa wa Ebola na hali ya usalama…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah akisalimiana na Bi. Salama Salehe Ghulum (Mama Salehe) na Bi. Rafran Ismail Khan ambao walikuwa…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mheshimiwa Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 19 Juni, 2026 kwa ziara ya kitaifa. Ziara hiyo, ambayo ni…
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mwenza wake Bi. Neema Nchemba, wamemtembelea na kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela nyumbani kwake…
Nirc: Dodoma Serikali imeendelea kusisitiza uwajibikaji, ufanisi na thamani ya fedha katika utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji na kuimarisha usimamizi wa miradi kwa mfumo…
📍Dodoma Tume ya Madini imesema kuanzishwa kwa masoko ya madini na vituo vya ununuzi wa madini nchini kumeongeza uwazi katika biashara ya madini na…
“Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua sukari au hata ninaponunua gesi ya kupikia.” Ni kauli ya Bw. Bilson Vedastus, mmoja wa…
Afisa Mwandamizi wa Idara ya Usimamizi wa Sera za Ununuzi wa Umma, Wizara ya Fedha, Bi. Anne Swila, akitoa elimu kwa wananchi kuhusu Sera…
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha za kununua bidhaa za afya ikiwemo afya ya uzazi, mama na…
Na Jackline Minja, WMJWM- Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha mfumo wa usimamizi wa mikopo yenye masharti nafuu inayotolewa kwa wafanyabiashara ndogondogo ili kuhakikisha fedha hizo…
*Awataka watendaji kuacha mazoea katika utekelezaji wa majukumu. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Wakuu wa Mikoa…
Maisha yetu yalibadilika ghafla pale ndugu yangu alipoanza kubadilika tabia. Alikuwa mtu mchangamfu, mwenye ndoto na malengo, lakini polepole akaanza kujitenga, kupoteza mwelekeo, na…
Kulikuwa na kipindi nilikata tamaa kabisa na masomo. Nilikuwa nimeanza vizuri, lakini kadri muda ulivyopita, nikapoteza mwelekeo. Alama zilianza kushuka, motisha ikaisha, na hatimaye…
Na Silivia Amandius, Bukoba. Bukoba: Walimu walioko kazini pamoja na vijana ambao hawakupata fursa ya kuendelea na elimu ya juu wametakiwa kutumia vyuo vinavyotoa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Mheshimiwa Deus Sangu, akihutubia Viongozi na Wajumbe wa Baraza la…
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi, akiwa katika mazungumzo na Bw. Lorenzo Guadagno wa Sekretarieti ya Santiago Network pamoja…
Na Mwandishi wetu, Babati NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray amegawa viti…
Serikali inaendelea na hatua za awali za ujenzi wa bwawa la Farkwa ambapo Wizara ya Maji kupitia programu ya Uhimilivu dhidi ya Mabadiliko ya…
Na John Bukuku, Dar es Salaam, Juni 18, 2026 – Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake,…
Na, Mwandishi wetu – Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo England imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Croatia katika mchezo uliomalizika kwa dakika 90 (FT), ukiwa…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Timu ya taifa ya Ureno imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya…
Na Jeremia Mwakyoma- BMH DODOMA – JUNI 17, 2026 Wananchi mbalimbali wameendelea kutembelea banda la Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) lililopo katika Viwanja vya…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya…
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma DODOMA: Wizara ya Viwanda na Biashara imewahimiza wananchi, hususan vijana na wajasiriamali, kutumia kikamilifu fursa zinazotolewa na taasisi zake ili…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Usimamizi wa Maadili na Ushughulikiaji wa Malalamiko (Mrejesho) wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna…
Na Mwandishi Wetu, WMJJWM Dar Es Salaam. Waandishi wa habari na waandaaji wa vipindi vya watoto nchini wametakiwa kutumia vyombo vyao vya habari kuelimisha…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Mambo ya Ndani (INAD), leo Juni 17, 2026 imeandaa Kongamano la Maadili lililowakutanisha viongozi wa dini…
NA MWANAMICHEZO WETU, NOEL RUKANUGA Simba SC imeendeleza ubabe wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya leo, Jumatano, Juni 17, 2026, kuichapa Mbeya…
📍DODOMA Wadau wa Sekta ya Madini wamehimizwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia shughuli za madini ili kuhakikisha rasilimali hizo zinaendelea kuchangia maendeleo ya…
Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo ya uzingatiaji wa haki za binadamu katika ufikiaji, upatikanaji…
Katika picha ni Waziri wa Ofisi ya Raisi- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kiwete wapili kutoka kulia akipata…
Mkuu wa Wilaya ya Misungwi johari samizi (kulia) akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wazamini wa jukwaa la wataalam wa ununuzi na ugavi lililozinduliiwa…