- Advertisement -



Makamo Mwenyekiti wa CCM Taifa pia Rais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akivalishwa Skafu na Ndg.Abdalla Adam UVCCM wakati alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein, Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja leo akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi CCM. 04/06/2023. Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia Rais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (kulia) pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (wa pili kushoto), Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus…
Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 05 Juni, 2023 ameialika timu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga) kwa chakula cha jioni Ikulu, Jijini Dar es Salaam kwa lengo kuipongeza kwa kufanya vizuri katika michuano ya soka ya kugombea Kombe la Shirikisho Barani Afrika iliyohitishwa jana Jijini Algers, Algeria.…
Waendesha Pikipiki wakipita kwa tabu kwenye daraja la miti katika mto Kotoko kaya ya Rwinga wilayani Namtumbo. Sehemu ya barabara inayounganisha kijiji cha Matepwende na kitongoji cha Zanzibar wilayani Namtumbo ikiwa imeharibika vibaya na mvua za masika na hivyo kuhitaji kufanyiwa matengenezo makubwa ili kurahisisha shughuli za usafi na usafirishaji wa mazao. Baadhi ya mafundi wakianza ujenzi wa daraja katika…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiteta jambo na Msajili Msaidizi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bi Fatma Jumanne mara baada ya kukabidhiwa shajala pamoja na vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea hatua za uramishaji wa biashara, katika mafunzo ya siku moja kwa wananchi zaidi ya 600 yalifanyika Peramiho, Songea…
Ofisa Rasilimali Watu wa Barrick North Mara ,Gloria Jimmy akizungumza katika kongamano la kuwajengea uwezo wanafunzi wa Vyuo vikuu vilivyopo mikoa ya Arusha na Kilimanjaro lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA), jijini Arusha kwa udhamini wa kampuni ya Barrick.Wengine pichani ni wafanyakazi wa kampuni hiyo.
MKUU wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri,akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wananchi mara baada ya kufanya usafi wa mazingira katika kata ya Ipagala leo Juni 4,2023 jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimishi ya siku ya mazingira duniani yatakayofanyika kesho Juni 5, mwaka huu. MKUU wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri akifanya usafi wa mazingira katika kata ya…
Wazazi na walezi wametakiwa kuwalinda watoto wao kama wanavyolinda mali nyingine ili kuwaepusha dhidi ya kufanyiwa vitendo vya kikatili ikiwemo ubakaji na ulawiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalum Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima Leo Juni 3, 2023 wakati akizindua Kampeni ijulikanayo kwa jina la ‘‘Sema Nao’’ iliyoandaliwa na Jeshi la Polisi kwa lengo…
Confirmed
0
Death
0
Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Tanzania ATCL wakiwa tayari kabisa kupokea ndege katika hafla ya mapokezi ya ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 767 yenye uwezo wa kubeba…
Profesa Dorcas E. kibona Mwazilishi na Mtendaji wa kampuni ya Dorkin Organic Akizungumzia maandalizi ya Maonesho ya Biashara ya sabasaba mwaka 2023. Msanii wa filamu Gabo Zigamba akizungumza na waandishi…
Sign in to your account