Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

POLISI KUENDELEA KUWABANA WANAVUNJA SHERIA,WANANCHI WANAOMBA OPERESHENI 3D IENDELE

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha. Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama Barabarani huku Jeshi hilo likiwapongeza wale wote waliotii agizo la serikali la kuondoa namba ambazo hazijasibitishwa na mamlaka ya viwango Tanzania (TBS). Akiwa katika Operesheni hiyo leo Machi 19, 2024 Mkoani Arusha

Alex Sonna By Alex Sonna

MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA GEITA PENEZA NI MCHUNGAJI MWEMA LAZIMA WAMFUATE WAFUASI WAKE.

Kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa mhasibu wa kanda ya ziwa wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ,Upendo Furaha Peneza na kurudi chama cha mapinduzi CCM , wanachama 481 wa vyama vya upinzani ambao walikuwa ni wafuasi wake wameamua kuungana naye pia na kujiunga na chama cha CCM. Wanachama hao wamepokelewa na mwenyekiti wa CCM wilaya ya GEITA, BARNABAS MAPANDE kwenye

John Bukuku By John Bukuku

RC MANYARA ATAKA WASIOREJESHA MIKOPO WACHUKULIWE HATUA

  Na Mwandishi wetu, Babati MKUU wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameziagiza Halmashauri za wilaya za mkoa huo kuhakikisha zinafuatilia madeni ya watu waliochukua mikopo ya asilimia 10 na kuzirejesha. Amewataka wakuu wa wilaya kushirikiana na viongozi hao kufuatilia madeni hayo ikiwemo kuwakamata na kuwakeka ndani wale wasiorejesha mikopo yao. Sendiga akizungumza mjini Babati kwenye kikao cha ushauri cha

Alex Sonna By Alex Sonna

WANANCHI RUVUMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA UJENZI WA BANDARI MPYA YA NDUMBI

Baadhi ya miundombinu iliyojengwa  kwenye mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Ndumbi ziwa Nyasa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma ambapo serikali imetoa shilingi bilion 12.2 kutekeleza mradi huo ambao umekamilka kwa asilimia 100 Jengo la kupumzikia abiria katika bandari ya Ndumbi,jengo hilo lina uwezo wa kuhudumia abiria 70,000 kwa mwaka Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mhandisi Stell Manyanya Na

Alex Sonna By Alex Sonna

WAGOMBEA 127 WA UDIWANI KUTOKA VYAMA 18 KUPIGIWA KURA KESHO

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Mhe. Jacobs Mwambegele akizungumza jijini Dar es Salaam leo tarehe 19 Machi, 2024 wakati akitoa Risala ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara. (Picha na NEC). ................ Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam. Wagombea Udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa Kura katika Uchaguzi Mdogo

John Bukuku By John Bukuku

MIAKA MITATU YA UONGOZI WA RAIS SAMIA NA KUIMARIKA KWA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Rushwa ni tatizo la kidunia lenye madhara makubwa kwa mtu, jamii, nchi na mataifa kwa ujumla. Rushwa imetumika kupoka haki za watu kwa kumnyanganya haki yeye aliyeistahili na kumpa yule asiyeistahili kwa sababu mwenye jukumu la kutoa haki amepokea hongo au kaahidiwa kupewa hongo ili apindishe sheria. Ni kwa sababu ya rushwa wapo vijana wanaokosa fursa za masomo au za

John Bukuku By John Bukuku

PAUL CHACHA ANZA KAZI TABORA, AHAIDI KUSIMAMIA  HAKI MAENDELEO NA USALAMA

Na Lucas Raphael,Tabora  Mkuu mpya wa mkoa wa Tabora Paul  Chacha amesema kwamba amekuja tabora kwa ajili ya  kusimamia haki, usalama na maendeleo ya wananchi wa mkoa wa  huo. Kauli hiyo alitoa jana alipokuwa akizungumza katika kikao cha  pamoja na watumishi wa kanda mbalimbali za mkoa huo wakati   kukaribishwa wake kwenye ukumbi wa mtemi Isike Mwanakiyungi   Chacha alisema kwamba

Alex Sonna By Alex Sonna

MSIZIFANYIE ‘’LAMINATION’’ HATI MILKI ZA ARDHI-MHANDISI SANGA

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga (Kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii wakati wa ziara ya Kamati hiyo mkoani Pwani. Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga (Kulia) mara baada ya kuwasili Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara