Ad imageAd image

Latest news

MAJALIWA AFANYA ZIARA NANSIO UKEREWE,MWANZA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Meneja Maradi wa Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Ukerewe Mhandisi Lupakisyo George wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali hiyo, Aprili 25, 2025, Ukerewe mkoani Mwanza. Mheshimiwa Majaliwa amefanya ziara ya siku moja wilayani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akifungua kitambaa kuashiria

John Bukuku By John Bukuku

KATIBU WA CHADEMA NYASA MKOANI RUVUMA AHAMIA CCM

Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Wilaya ya Nyasa Bw. Jacob Benworth Kunani tarehe 25.04.2025 amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Hafla fupi ya kumpokea iliyofanyika katika Ofisi za Umoja wa Vijana UV-CCM Wilaya ya Nyasa. Akikabidhi Kadi ya CHADEMA Na kupokea Kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Kunani amesema anayofuraha kubwa kujiunga na Chama

John Bukuku By John Bukuku

USHINDANI WA YANGA NA SIMBA HAUPO CCM ,JIEPUSHENI NA MAKUNDI NDANI YA CHAMA– DKT. TULIA

Mwamvua Mwinyi, Kibaha Aprili 25, 2025 SPIKA wa Bunge na Rais wa 31 wa Muungano wa Mabunge Duniani IPU ,Dkt. Tulia Ackson, amewataka wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani Pwani, kuacha ushindani na makundi ndani ya chama, ambao unaweza kusababisha madhara kwa kutoa upenyo kwa upinzani wakati wa Uchaguzi. Aidha Dkt. Tulia aliwaambia wanachama wakati wa Uchaguzi

John Bukuku By John Bukuku

SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA AFYA – DKT. BITEKO

* Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania. Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akiwa ziarani Mkoani Arusha ambapo amesema

John Bukuku By John Bukuku

DKT. MWINYI: BARABARA YA KIBADA – KIMBIJI KUWA NGUZO YA MAENDELEO KIGAMBONI

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ally Mwinyi, ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41, hatua muhimu inayolenga kukuza uchumi na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji jijini Dar es Salaam.

John Bukuku By John Bukuku

WIZARA YA SHERIA YAISHUKURU NMB KUJIJENGEA UWEZO KITUO CHA HUDUMA CHA WIZARA

NA MWANDISHI WETU WIZARA ya Katiba na Sheria (MoCLA), imeishukuru Benki ya NMB kwa kukubali kuendesha mafunzo ya kukijengea uwezo Kituo cha Huduma kwa wateja cha wizara hiyo, kilichotembelea Kituo cha Huduma kwa Wateja NMB ‘NMB Contact Center,’ kujifunza mifumo ya kupokea taarifa, malalamiko, kero na changamoto za wateja na kuzitatua. Shukrani hizo zimetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ufuatiliaji Haki

John Bukuku By John Bukuku

WACHUNGAJI TANZANIA NA KENYA WAUNGANA KUOMBEA YA CHAGUZI MKUU.

Mchungaji Patrick Muthee kutoka nchini Kenya akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kushiriki Wiki ya Uamsho na Kuliombea Taifa mara baada ya kupokea mualiko na kwaya ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) kutoka Kanisa la Wadventista Wasabato Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA HAIWEZI KUWEPO BILA YA MUUNGANO, TUULINDE KWA WIVU- DKT.TULIA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kuhakikisha anailinda kwa wivu wote tunu ya Muungano iliyoanzishwa na waasisi wa taifa hilo. Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 25 Aprili 2025 wakati akizungumza na wananchi wa wa Mkoa wa Pwani

Alex Sonna By Alex Sonna
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

Discord’dan bir kod aldım: STARTSPINS — 100 spin kullanıldı, para yatırma yok. Casino girişi anında yapıldı. Mobil kumar seçenekleri çok büyük ve vivi casino uygulama masaüstüyle gerçek zamanlı çevrimiçi oyun senkronizasyonunu destekliyor.