SIMBA SC YAVUNA POINTI 3 MBELE YA SINGIDA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wameibuka na ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara…
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali,…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amewashukuru wadau mbalimbali walioshiriki na kuchangia kufanikisha Manyara Tanzanite Marathon 2026, akisema ushirikiano wao umewezesha kufanikisha mbio…
Na Victor Masangu, Bagamoyo Baraza la michezo la Taifa (BMT) limeipongeza kwa dhati Taasisi ya Shajar inayomiliki shule ya Baobab kwa kuweza mipango madhubutti…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania uliopigwa…
Na. Leah Mabalwe, MBEYA Timu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ya Mpira wa Pete Wanawake imeishushia kipigo kizito Timu ya Halmashauri ya Mji…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
Mabigwa Watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa…
Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Agosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema…
Dar es Salaam, Agosti 13, 2026 CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa…