John Bukuku
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
TANZANIA INA NAFASI YA KIPEKEE KATIKA MIOYO YA WAMSUMBIJI – RAIS CHAPO
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akihutubia kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) katika…
RAIS SAMIA: SABASABA IMEKUZA WAKULIMA, WAJASIRIAMALI NA WABUNIFU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo wakati…
DCEA: UCHEPUSHWAJI WA DAWA TIBA HUCHOCHEA URAIBU, UHALIFU NA MADHARA YA KIAFYA
Matumizi mabaya ya dawa tiba zenye asili ya kulevya yameelezwa kuwa miongoni mwa vyanzo vinavyochochea ongezeko la uraibu, uhalifu na athari mbalimbali za kiafya…
ETDCO YAONESHA MAFANIKIO YA MIRADI YA MIUNDOMBINU YA UMEME MAONESHO YA SABASABA
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), Mhandisi Richard Mwanja, amewakaribisha wananchi pamoja…
MHE BALOZI OMAR – SOKO LA HISA LIWE NGUZO YA UCHUMI SHINDANI NA KITOVU CHA UWEKEZAJI AFRIKA
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akipokea tuzo maalumu ya kutambua mchango wake katika Sekta ya Fedha, kutoka kwa Afisa…
TANZANIA IPO TAYARI KUELEKEA AFCON 2027
Na. Mwandishi Wetu – Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya…
TBL YAHITIMISHA MWAKA WA FAIDA, WANAHISA WAPITISHA HESABU ZA 2025
Kutoka kushoto ni Ami R. Mpungwe (Mwenyekiti wa Mpito wa Bodi ya Tanzania Breweries PLC), Michelle Kilpin, Mtendaji Mkuu wa TBL (Katikati) akizungumza na…
MAHUNDI AWASILI RUVUMA KUSHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb), leo Julai 3, 2026, amewasili katika Uwanja wa…
BENKI KUU YAONGEZA RIBA HADI ASILIMIA 6.25 KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Na John Bukuku Dar es Salaam Julai 3, 2026, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba, ametangaza kuongezeka kwa Riba ya Benki Kuu…