Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Harusi Said Suleiman, amezitaka taasisi zenye uwezo kutafuta miradi ya kuwawezesha makundi maalum ili yawajibike kiuchumi na kuepukana na utegemezi. Waziri Suleiman alitoa wito huo wakati wa hafla ya kukabidhi futari kwa familia 800 za watu wenye ulemavu, hafla iliyoandaliwa na Taasisi ya Nour Al-Yaqin Foundation katika Ukumbi wa Dk.…
Tanzania Tanzania inatarajia kushirikia mkutano Mkuu wa mwaka 2025 wa jumuiya ya Watafiti na Wawekezaji wa Sekta ya Madini nchini Kanada (PDAC) unaotarajiwa kufanyika jijini Toronto kuanzia Machi 2 hadi 5 , 2025. Katika Mkutano huu, Tanzania itawakilishwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) , ambalo litakuwa miongoni mwa washiriki kupitia MineAfrica Inc kwenye maonesho ya PDAC. STAMICO itakuwa…
VICTOR MASANGU, BAGAMOYO Zaidi ya wananchi elfu 14 kutoka kata nane zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani kutoka katika makundi mbali mbali waliokuwa wanakabiliwa na changamoto mbali mbali katika masuala ya ndoa, mirathi, migogoro ya ardhi, pamoja na ukatili wa kijinsia wamepata mkombozi baada ya kupatiwa msaada wa kisheria bure wa Mama Samia kwa…
Na WMJJWM – Geita. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewahimiza wanawake kushiriki kwa wingi katika sekta ya madini kama njia ya kuwawezesha kiuchumi na kuchochea maendeleo ya Taifa. Akizungumza katika Kongamano la Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani la Kanda ya Ziwa lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Ushirombo, Wilaya ya…
*Asema Wizara ya Nishati inalo la kujivunia kutokana na uwepo wanawake katika nafasi za uongozi. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Neema Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambania katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ya Kimataifa ili kuwa na haki, usawa na uwezeshaji kwa wanawake matunda yake yanaonekana hivi sasa. Mbuja ameyasema hayo alipokuwa akieleza safari ya mwanamke katika…
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amewatembelea majeruhi wa ajali iliyohusisha basi la CRN na Gari la miundombinu ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya iliyosababisha vifo vya watu wanne na majeruhi watano. Miongoni mwa majeruhi waliotembelewa katika hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya ni pamoja na Katibu wa UWT Mkoa wa Mbeya Lucia…
Mratibu wa Programu ya Lipa kwa Matokeo (PforR) kutoka Wizara ya Maji, Mhandisi Mashaka Sita, pamoja na timu ya Benki ya Dunia, wamekagua hali ya huduma ya maji katika Wilaya ya Chamwino. Ukaguzi huo ulifanyika katika Chombo cha Watoa Huduma ya Maji Ngazi ya Jamii Mvumi Mission, ambacho kimepiga hatua kubwa katika utoaji wa huduma na kupanua mtandao wa maji…
Na WAF - Kilimanjaro Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema Hospitali Maalum ya Tiba ya Magonjwa Ambukizi kibong'oto inatarajiwa kuwa Taasisi ya Magonjwa Ambukizi ambayo itakwenda sambamba na uimarishaji wa mifumo ya huduma za tiba ya magonjwa hayo. Waziri Mhagama amesema hayo Machi 1, 2025 alipofanya ziara katika Hospitali ya Kibong'oto kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali…
Confirmed
0
Death
0
NA MWANDISHI WETU WASHINDI wa fainali ya msimu wa sita wa kampeni ya kuhamasisha matumizi na malipo kwa njia ya kadi iliyoendeshwa na Benki ya NMB, ‘NMB MastaBata - La…
Februari 12. 2025, Zanzibar – Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii…
Sign in to your account