- Advertisement -
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Machi 18 Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amekabidhi pikipiki 6 kwa Maafisa Ugani wa Halmashauri wa Halmashauri ya Chalinze ikiwa ni sehemu ya kuendelea kuwapatia Vitendea kazi Watumishi kwenye sekta ya Kilimo na Mifugo . Akikabidhi Pikipiki hizo , Ridhiwani ameeleza, zimetolewa na Serikali Kuu kupitia Wizara ya Kilimo na zinalenga kuwawezesha maafisa Ugani kuweza…
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika miaka mitatu ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kinajivunia mafanikio kadha wa kadha ikiwemo ongezeko la udahili wa wanafunzi ziadi ya 3800, kutoka wanafunzi 13,0199 mwaka 2021 hadi wanafunafu 17, 084. Katika ongezeko hilo wanafunzi 105 kutoka nje ya mipaka ya Tanzania, 22 kati yao wanasoma Shahada za Awali na…
Na Sophia Kingimali Miaka mitatu ya RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Sh. trilioni 6.720 kwa ajili ya uboreshaji wa sekta ya afya kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma za afya, kuimarisha na upatikanaji wa dawa na ununuzi wa vifaa tiba. Hayo yamesemwa leo march 18,2024 jijini Dar es salaam na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi (kushoto) kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO (Namibia) Komredi Sophia Shaningwa (katikati) na Katibu Mkuu wa Chama cha ANC (Afrika Kusini), Komredi Fikile Mbalula (kulia), wakionesha alama ya salaam za CCM, Chama cha ANC na Chama cha SWAPO, leo Jumatatu, Machi 18, 2024,…
OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kufikia mwezi Oktoba 2024 iwe imempata mwekezaji binafsi ambaye ni mtoa huduma wa mabasi hayo ili kuleta ufanisi. Mhe. Mchengerwa ametoa maelekezo hayo wakati akiwasilisha Randama ya Bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Fungu namba…
Na Mwandishi Wetu CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga Sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita, leo Machi 17 L, 2024 kwenye mapokezi ya kumpongeza kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu Taifa yaliyofanyika katika Ofisi ya Mkoa wa Lindi iliyopo Lindi…
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju ,akizungumza leo Machi 18,2024 jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha uwasilishaji wa viashiria vya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kwa mwaka 2030. Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi.Subisya Kabuje,akizungumza wakati wa kikao kazi cha uwasilishaji wa viashiria…
Confirmed
0
Death
0
Kukosekana kwa elimu sahihi ya kulipa kodi ya ongezeko la thamani VAT kwa baadhi ya wafanyabiashara kwenye Halmashauri ya Wiaya ya Same imetajwa kuwa sababu mojawapo inayochangia baadhi yao kukwepa…
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa huo Kamishina Jumanne Murilo, akizungumza katika uzinduzi wa Aplikesheni ya usafirishaji abiria inayoitwa Suka App iliyobuniwa na kampuni ya Taksol Limited ya jijini…
Sign in to your account