Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt Festo Dugange amesema mikopo ya Halmashauri ya asilimia 10 itikanayo na mapato ya ndani ya Halmashauri kwaajili ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu inatarajiwa kuanza kutolewa kabla au ifikapo Novemba 30, 2024 ili kuweza kuwanufaisha walengwa wa mikopo hiyo. Mhe. Dkt Dugange amesema…
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – GWPSA – Africa) uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2024, jijini Pretoria, Afrika Kusini. Rais Mtaafu Dkt. Kikwete ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi hiyo inayotoa msaada wa kitaalamu kwa nchi…
Na. Jacob Kasiri - Katavi. Furaha imetamalaki katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Hifadhi ya Taifa Katavi leo tarehe 29 Oktoba, 2024 wakati wa sherehe hizo baada ya mradi wa kuhifadhi ikolojia ya Hifadhi za Taifa Katavi, Milima Mahale na Ushoroba unaounganisha hifadhi hizi almaarufu KAMACO kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba 12 za watumishi zinazotarajiwa…
Mwanza. Serikali ya Tanzania imewekeza Sh60 bilioni kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto Lugenge aliwaambia wandishi wa habari waliotembelea bandari za Bukoba na Kemondo kuwa uwekezaji huu mkubwa katika bandari za Kemondo, Bukoba na Mwanza Kaskazini unatarajiwa kuboresha ufanisi na uwezo wa huduma za usafiri katika eneo hilo. Bw. Lugenge, ambaye anasimamia…
VICTOR MASANGU, MLOGANZILA Hospitali ya Taifa ya Muhimbili tawi la Mloganzila katika kukabiliana na changamoto ya wimbi la kuwepo kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa ubongo,mishipa ya fahamu na kiharusi imeamua kutoa elimu maalumu kwa wananchi kwa lengo kujikinga na magonjwa hayo. Hospitali hiyo mbali na kutoa elimu hiyo pia imeweza kutoa huduma mbali mbali za upimaji wa afya wa…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la, Mhe. Maida Hamadi Abdallah, Mbunge wa Viti Maalum, aliyetaka kujua kuhusu mkakati wa Serikali kumaliza tatizo la wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi nchini. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma) ......... Na. Asia Singano, WF - Dodoma. Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali dhidi ya mambo yanayokwamisha makusanyo…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mha. Cyprian Luhemeja akifungua kikao cha Makatibu Wakuu cha Maandalizi ya Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP 29), uliofanyika Oktoba 29,2024 mkoani Dodoma. Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Hassan Mitawi akizungumza katika kikao cha Makatibu Wakuu cha Maandalizi…
Confirmed
0
Death
0
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Chuo cha Benki Kuu na Naibu Gavana, Utawala na Udhibiti wa Ndani, Bw. Julian Banzi Raphael akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya uongozi wa…
Kamishna wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Dkt. Charles Mwamwaja akimkabidhi zawadi ya ushindi wa pili katika uandishi wa Insha kuhusu masuala ya fedha mwanafunzi Vivian Amwile Kalyoto…
Sign in to your account