Nilikuwa mwanamke mwenye furaha, nikiamini ndoa yangu ilikuwa thabiti. Mume wangu, Joseph, alionekana kuwa mwaminifu na mwenye mapenzi ya dhati........ SOMA ZAIDI
Team March wakimkabidhi Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Dkt. John Luzila vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (‘pre-mature’) pamoja na vifaa vya mradi wa ushonaji kofia, masweta, na soksi kwa akina mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali hiyo Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Kikundi cha watu waliozaliwa mwezi wa tatu, ‘Team March’,…
Na Prisca Libaga, Arumeru Mkuu wa wilaya ya Arumeru Amir Mkalipa amewataka wananchi wa wilaya hiyo kutumia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katatua migogoro na malalamiko yao yanayosababishwa na kukosekana elimu ya msaada wa kisheria ili haki iweze kupatikana. Mkalipa ameyasema hayo leo tarehe 31 Machi, 2025 wakati alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Katiba na…
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma(Mbifacu)Micheal Kanduyu kulia na Kaimu Meneja wa Chama hicho Faraja Komba wakiangalia uzalishaji wa zao la kahawa katika kijiji cha Malindindo Wilayani humo. Miongoni mwa mashamba bora ya kahawa katika Mkoa wa Ruvuma. Shamba la Kahawa katika kijiji cha Malindindo Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma likiwa linaendelea vizuri baada…
Masatu Wanjara (kushoto) na mkewe, Sherida Musibha, kulia muda mfupi baada ya kupokea msaada wa vifaa saidizi kutoka The Desk &Chair Foundation, ili kuwawezesha kutembewa.Picha na Baltazar Mashaka. ............... NA BALTAZAR MASHAKA, BUNDA Wakazi wa Kijiji cha Guta, wilayani Bunda, Masatu Wanjara na mkewe, Sherida Musibha, wamepokea vifaa saidizi vya kuwasaidia kutembea, baada ya kukumbwa na changamoto ya maradhi ya…
. Reubeni Lumbagala Katika haya maisha, binafsi yangu nimeamua kujifunza kwa yeyote bila kujali dini, itikadi ya kisiasa, kabila, umri, jinsi ili mradi analo funzo la kunisaidia. Ndiyo, nimeamua hivyo kwani nimegundua kujifunza ni suala endelevu na kila siku kunahitajika kujifunza mambo mapya kutoka kwa watu mbalimbali. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, ni moja ya…
Uraibu wa dawa za kulevya ni suala ambalo huwa changamoto sana hasa kwa kizazi cha siku hizi, watu wengi hupoteza kazi, hufa, huwa na afya mbaya kwa ajili tu ya uraibu wa dawa za kulevya. Nilikuwa na ndungu yangu mdogo ambaye hapo awali alikuwa ni...... SOMA ZAIDI
Confirmed
0
Death
0
Meneja wa Kitengo cha Kadi kutoka Benki ya Stanbic, Irene Mutahibirwa (katikati) akizungumza wakati wa kutangaza washindi wa droo ya pili ya kampeni ya "Tap Kibingwa" inayohamasisha wateja kutumia kadi…
Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa wananchi kuepuka wakopeshaji binafsi maarufu kama kausha damu ambao hutoza riba…
Sign in to your account