Ad imageAd image

Latest news

WAZIRI HARUSI SULEIMAN AZIOMBA TAASISI KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUEPUKA UTEGEMEZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Harusi Said Suleiman, amezitaka taasisi zenye uwezo kutafuta miradi ya kuwawezesha makundi maalum ili yawajibike kiuchumi na kuepukana na utegemezi. Waziri Suleiman alitoa wito huo wakati wa hafla ya kukabidhi futari kwa familia 800 za watu wenye ulemavu, hafla iliyoandaliwa na Taasisi ya Nour Al-Yaqin Foundation katika Ukumbi wa Dk.

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA PDAC 2025 NCHINI KANADA

Tanzania Tanzania inatarajia kushirikia mkutano Mkuu wa mwaka 2025 wa jumuiya ya Watafiti na Wawekezaji wa Sekta ya Madini nchini Kanada (PDAC) unaotarajiwa kufanyika jijini Toronto kuanzia Machi 2 hadi 5 , 2025. Katika Mkutano huu, Tanzania itawakilishwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) , ambalo litakuwa miongoni mwa washiriki kupitia MineAfrica Inc kwenye maonesho ya PDAC. STAMICO itakuwa

John Bukuku By John Bukuku

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YATOA ELIMU KWA WANANCHI ZAIDI YA ELFU 14 BAGAMOYO

VICTOR MASANGU, BAGAMOYO   Zaidi ya wananchi elfu 14 kutoka kata nane zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani kutoka katika makundi mbali mbali waliokuwa wanakabiliwa na changamoto mbali mbali katika masuala  ya ndoa, mirathi, migogoro ya ardhi, pamoja na ukatili wa kijinsia  wamepata mkombozi baada ya kupatiwa   msaada  wa kisheria  bure wa Mama Samia  kwa

Alex Sonna By Alex Sonna

DKT. GWAJIMA: WANAWAKE WANA NAFASI KUBWA KUINUKA KIUCHUMI KUPITIA SEKTA YA MADINI.

Na WMJJWM – Geita. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewahimiza wanawake kushiriki kwa wingi katika sekta ya madini kama njia ya kuwawezesha kiuchumi na kuchochea maendeleo ya Taifa. Akizungumza katika Kongamano la Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani la Kanda ya Ziwa lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Ushirombo, Wilaya ya

Alex Sonna By Alex Sonna

WALIYOYAPAMBANIA WANAWAKE WENZETU MATUNDA YAKE TUNAYAONA – MBUJA

*Asema Wizara ya Nishati inalo la kujivunia kutokana na uwepo wanawake katika nafasi za uongozi. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Neema Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambania katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ya Kimataifa ili kuwa na haki, usawa na uwezeshaji kwa wanawake matunda yake yanaonekana hivi sasa. Mbuja ameyasema hayo alipokuwa akieleza safari ya mwanamke katika

John Bukuku By John Bukuku

MH MHANDISI MARYPRISCA MAHUNDI AWATEMBELEA MAJERUHI WA AJALI MBEYA

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amewatembelea majeruhi wa ajali iliyohusisha basi la CRN na Gari la miundombinu ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya iliyosababisha vifo vya watu wanne na majeruhi watano. Miongoni mwa majeruhi waliotembelewa katika hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya ni pamoja na Katibu wa UWT Mkoa wa Mbeya Lucia

John Bukuku By John Bukuku

PFORR YAONGEZA UTULIVU NA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI KWA JAMII YA MVUMI

Mratibu wa Programu ya Lipa kwa Matokeo (PforR) kutoka Wizara ya Maji, Mhandisi Mashaka Sita, pamoja na timu ya Benki ya Dunia, wamekagua hali ya huduma ya maji katika Wilaya ya Chamwino. Ukaguzi huo ulifanyika katika Chombo cha Watoa Huduma ya Maji Ngazi ya Jamii Mvumi Mission, ambacho kimepiga hatua kubwa katika utoaji wa huduma na kupanua mtandao wa maji

John Bukuku By John Bukuku

HOSPITALI YA KIBONG’OTO KUWA TAASISI YA MAGONJWA AMBUKIZI

Na WAF - Kilimanjaro Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema Hospitali Maalum ya Tiba ya Magonjwa Ambukizi kibong'oto inatarajiwa kuwa Taasisi ya Magonjwa Ambukizi ambayo itakwenda sambamba na uimarishaji wa mifumo ya huduma za tiba ya magonjwa hayo.  Waziri Mhagama amesema hayo Machi 1, 2025 alipofanya ziara katika Hospitali ya Kibong'oto kwa lengo la kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara