Na. Mwandishi Wetu. Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora SACP. Ibrahim Mahumi amesema matokeo ya jumla ya Zoezi la Tathmini ya Mahitaji ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma kupitia Mfumo wa Human Resources Assessment System (HRA) yanaonesha kuwa kuna upungufu wa Watumishi katika Utumishi wa Umma, ingawa katika upungufu huo bado kuna…
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba amewataka wakazi wa jimbo hilo kuendeleza kasi ya kujiandikisha ili kufikia au kupita lengo lilojiwekea la uandikishaji. Mbunge huyo ambaye amepiga kambi jimboni kwa ajili ya kuhamasisha uandikishaji amewapongeza wakazi wa jimbo hilo kwa kujitokeza kwa wingi na kuwezesha halmashauri ya Bumbuli kuwa miongoni mwa halmashauri zinazofanya vizuri kati ya halmahauri zote 11…
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Oktoba 17, 2024 amekutana na Uongozi wa Chama cha Wauguzi na Ukunga Tanzania (TANNA) na kujadili mpango kazi wa utekelezaji wa hoja za wauguzi zilizo jitokeza wakati wa mkutano wa mwaka uliofanyika 12 Mei, 2024 ili kuongeza ubora wa Huduma kwa wananchi. Mhe. Mhagama amesema kuwa anatambua mchango na kazi…
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM (UVCCM) kwa kufanya matembezi ya pamoja ya vijana zaidi ya 2000 waliotoka Butiama na kutembea hadi jijini Mwanza katika kuenzi kuadhimishamiaka 25 ya kumbukizi ya Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere. Safari hiyo ya vijana zaidi ya 2000 ilianza Oktoba 09, 2024 kijiji cha Mwitongo wilayani…
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema kuanzia January mwakani itakuja na mpango wa kuwekeza katika mfumo wa kodi za ndani (IDRAS) ambao utasaidia kuondoa changamoto za migogoro ya kikodi na kurahisisha ukusanyaji wake. Kamishna aliyasema hayo jana katika kikao maalumu kilichoandaliwa na mamlaka hiyo kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kilicholengea kujadili namna…
Na Grace Semfuko, Maelezo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali inatambua umuhimu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kijamii, na ndio maana inawekeza kwa kiasi kikubwa katika sekta hiyo muhimu. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2024 Jijini Dar es Salaam, katika kilele cha kongamano…
Kaimu Katibu Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Uvccm,Bulugu Magege, amewataka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuacha kulinajisi zoezi la uandikishaji wa wapiga kura linaloendelea nchini. Akizungumza leo, Septemba 16, Jijini Dodoma, alipojiandikisha katika shule ya Dodoma Mlimani, Burugu aliwasihi vijana kujitokeza kwa wingi katika mchakato huu muhimu wa kujiandikisha na kupiga kura. Amesema kitendo cha viongozi…
Confirmed
0
Death
0
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema kuanzia January mwakani itakuja na mpango wa kuwekeza katika mfumo wa kodi za ndani (IDRAS) ambao utasaidia kuondoa changamoto…
Dar es Salaam, Oktoba 17, 2024. Ikiwa ni matunda ya sera nzuri za uwekezaji Tanzania chini ya Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, serikali imeongeza umilika wa hisa katika kampuni…
Sign in to your account