Na Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imetoa Jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya fedha Sh1.4 bilioni zilizokwishakutolewa na benki hiyo kwa ajili ya ALAT katika kipindi cha miaka 9 tangu NMB ilipoanza kuwadhamini. Mkutano huo unafanyika Jijini…
Na Mwandishi wetu, Cologne Ujerumani. Tanzania inashiriki katika msafara wa kunadi vivutio vya utalii katika nchi za Ulaya Magharibi ulioanza tarehe 10- 15 machi 2025 ambapo wauzaji na wanunuzi katika sekta ya utalii wanakutana katika msafara huo wenye mawakala zaidi ya 50. Msafara huo unaojulikana kwa jina la _"My Tanzania Roadshow 2025_ " na kuratibiwa na kampuni ya Kili Fair…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja leo tarehe 10 Machi, 2025 amewatembelea na kuzungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Ziwa jijini Mwanza wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati) akiwa katika picha ya pamoja…
Na. Elimu ya Afya kwa Umma. Timu ya Wataalamu wa Afya kutoka Programu ya Mafunzo ya Epidemiolojia (TFELTP) imejivunia na hatua za Serikali kwa kuimarisha suala la Ufuatiliaji wa Magonjwa ya mlipuko Wilayani Biharamulo hasa katika mapambano ya ugonjwa wa Marburg. Akizungumza Wilayani Biharamulo, Msimamizi wa Timu ya Wataalamu Programu hiyo ya Mafunzo ya Epidemiolojia (TFELTP) Bw. Solomon Werema kutoka…
Mwamvua Mwinyi, Pwani Machi 11, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, asisitiza Viongozi na Watendaji wa Halmashauri Kuzingatia Misingi ya Haki, Kanuni, na Sheria za Utawala Bora ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi Rai hiyo aliitoa wakati akifungua mafunzo ya siku moja kuhusu Elimu ya Uraia, Utawala Bora, na Haki za Binadamu kwa viongozi wa…
Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Anuai za Jamii, Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo akichangia mada wakati wa Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani lililolenga kujadili kuhusu Wanawake na Uongozi katika Elimu lililofanyika Ukumbi wa Mikutano Hoteli ya WhiteSands jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Anuai za Jamii, Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeshiriki kikamilifu katika kutoa maoni katika utengenezaji na uandaaji wa *Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050* ili kuhakikisha kuwa Dira hiyo inaakisi masuala yote ya Sekta ya Sheria. Mwanasheria Mkuu wa Serikali amezungumza hayo katika mahojiano maalumu na Vyombo vya Habari yaliyofanyika Ofisini…
TANZANIA itaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya haki ya mtumiaji duniani ifikapo Machi 15 mwaka huu ambapo kitaifa yanatarajiwa kufanyika mjini Morogoro. Akizungumza leo Machi, 10 2025 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la watumiaji Tanzania (TCF) Daud Daudi amesema maadhimisho hayo yanakusudia kuhamasisha matumizi salama na endelevu ya rasilimali na yatatoa jukwaa la majadiliano kati ya…
Confirmed
0
Death
0
Arusha. Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua, kuyatamia, na kuendeleza vipaji vya…
Kufuatia kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa Watuhumiwa wawili wanaodaiwa kufanya udanganyifu kuwa wao ni maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwa wanao uwezo wa kusamehe Madeni ya…
Sign in to your account