Ad imageAd image

Latest news

NMB YAUBEBA MKUTANO WA 39 WA ALAT UTAKAOFANYIKA JIJINI DODOMA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imetoa Jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT). Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya fedha Sh1.4 bilioni zilizokwishakutolewa na benki hiyo kwa ajili ya ALAT katika kipindi cha miaka 9 tangu NMB ilipoanza kuwadhamini. Mkutano huo unafanyika Jijini

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA YATANGAZA UTALII NCHI ZA ULAYA MAGHARIBI

Na Mwandishi wetu, Cologne Ujerumani. Tanzania inashiriki katika msafara wa kunadi vivutio vya utalii katika nchi za Ulaya Magharibi ulioanza tarehe 10- 15 machi 2025 ambapo wauzaji na wanunuzi katika sekta ya utalii wanakutana katika msafara huo wenye mawakala zaidi ya 50. Msafara huo unaojulikana kwa jina la _"My Tanzania Roadshow 2025_ " na kuratibiwa na kampuni ya Kili Fair

John Bukuku By John Bukuku

KATIBU MKUU ATETA NA WATUMISHI NEMC KANDA YA ZIWA

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja leo tarehe 10 Machi, 2025 amewatembelea na kuzungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Ziwa jijini Mwanza wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Semesi. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati) akiwa katika picha ya pamoja

Alex Sonna By Alex Sonna

PROGRAMU YA MAFUNZO YA EPIDEMIOLOJIA (TFELTP) YAJIVUNIA UIMARISHAJI WA UFUATILIAJI WA MAGONJWA KWA KUFANYA” ACTIVE CASE SEARCH” 

Na. Elimu ya Afya kwa Umma. Timu ya Wataalamu wa Afya kutoka Programu ya Mafunzo ya Epidemiolojia (TFELTP) imejivunia na hatua za Serikali kwa kuimarisha suala la Ufuatiliaji wa Magonjwa ya mlipuko Wilayani Biharamulo hasa katika mapambano ya ugonjwa wa Marburg. Akizungumza Wilayani Biharamulo, Msimamizi wa Timu ya Wataalamu Programu hiyo ya Mafunzo ya Epidemiolojia (TFELTP) Bw. Solomon Werema kutoka

John Bukuku By John Bukuku

KUNENGE ASISITIZA VIONGOZI MKOANI PWANI KUFUATA SHERIA NA KANUNI ZA UTAWALA BORA

Mwamvua Mwinyi, Pwani Machi 11, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, asisitiza Viongozi na Watendaji wa Halmashauri Kuzingatia Misingi ya Haki, Kanuni, na Sheria za Utawala Bora ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi Rai hiyo aliitoa wakati akifungua mafunzo ya siku moja kuhusu Elimu ya Uraia, Utawala Bora, na Haki za Binadamu kwa viongozi wa

John Bukuku By John Bukuku

SERIKALI IMEFANYA JITIHADA KUBWA KUWEZESHA WANAWAKE KUPIGA HATUA KIMAENDELEO

Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Anuai za Jamii, Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo akichangia mada wakati wa Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani lililolenga kujadili kuhusu Wanawake na Uongozi katika Elimu lililofanyika Ukumbi wa Mikutano Hoteli ya WhiteSands jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Anuai za Jamii, Idara ya Uendelezaji Sera, Ofisi ya

Alex Sonna By Alex Sonna

MWANASHERIA MKUU: “TUNATAKA KUWA CHAMPION WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO YA 2050”

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeshiriki kikamilifu katika kutoa maoni katika utengenezaji na uandaaji wa *Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050* ili kuhakikisha kuwa Dira hiyo inaakisi masuala yote ya Sekta ya Sheria. Mwanasheria Mkuu wa Serikali amezungumza hayo katika mahojiano maalumu na Vyombo vya Habari yaliyofanyika Ofisini

John Bukuku By John Bukuku

TANZANIA KUUNGANA NA DUNIA KUADHIMISHA SIKU YA HAKI YA MTUMIAJI

TANZANIA itaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya haki ya mtumiaji duniani ifikapo Machi 15 mwaka huu ambapo kitaifa yanatarajiwa kufanyika mjini Morogoro. Akizungumza leo Machi, 10 2025 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la watumiaji Tanzania (TCF) Daud Daudi amesema maadhimisho hayo yanakusudia kuhamasisha matumizi salama na endelevu ya rasilimali na yatatoa jukwaa la majadiliano kati ya

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

NMB WATIA SAINI MAKUBALIANO NA NM- AIST KUKUZA NAMKUEMDELEZA TEKNOLOJIA

Arusha. Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua, kuyatamia, na kuendeleza vipaji vya

John Bukuku By John Bukuku

“HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUSAMEHE MADENI YA KODI” – CG MWENDA

Kufuatia kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa Watuhumiwa wawili wanaodaiwa kufanya udanganyifu kuwa wao ni maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwa wanao uwezo wa kusamehe Madeni ya

John Bukuku By John Bukuku