Ad imageAd image

Latest news

KIONGOZI CHADEMA AINANGA KAULI MBIU YA KUPINGA UCHAGUZI, AKISEMA CHAMA CHA HARAKATI KINAJIANDAA KUFA KISIASA

Kiongozi mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokea Tarime, mkoani Mara, Mohania Joseph Peter, amekianga chama hicho, akisema ni cha kiharakati na hakiwezi kufanya siasa. Ndugu Mohania, ambaye amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ngazi ya mkoa, katika Baraza la Vijana wa Chama hicho (Bavicha), kabla ya kuwa msaidizi katika ofisi ya chama hicho Mkoa wa Mara,

John Bukuku By John Bukuku

WASOMI NCHINI MSIWE NA UPANDE WAKATI WA UCHAGUZI – DKT. NDUMBARO

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewataka wasomi nchini kutokuwa na Upande katika uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kupata nafasi ya kuieleza jamii ukweli bila kuwa na Unazi. Dkt. Ndumbaro ametoa kauli hiyo leo Aprili 25,2025 jijini Dodoma wakati akihitimisha maadhimisho ya Kilele cha Siku ya sheria 2025 ya shule kuu ya Sheria

Alex Sonna By Alex Sonna

SERIKALI YADHAMIRIA KUSAIDIA UBUNIFU MUHAS KWA MAENDELEO YA SEKTA YA AFYA

Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msofe, akitembelea mabanda ya wabunifu wakati wa maonesho ya Wiki ya Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), yaliyofanyika leo Aprili 25, 2025, katika ukumbi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam (PICHA NA NOEL RUKANUGA) Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka

John Bukuku By John Bukuku

RAIS SAMIA: TUILINDE NA KUIDUMISHA TUNU YA MUUNGANO KWA NGUVU ZETU ZOTE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kuulinda na kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa nguvu zao zote, akisisitiza kuwa ni tunu ya kipekee inayopaswa kuenziwa kwa vitendo, umoja na mshikamano wa kitaifa. Akihutubia taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano, Rais Samia amesema mwaka huu wa maadhimisho unaangukia katika

John Bukuku By John Bukuku

NAIBU KATIBU MKUU AIPONGEZA TEA KWA KUINUA UJUZI NA MAARIFA KWA VIJANA

   Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Methusela Ntonda akisikiliza Maelezo kutoka kwa Bi. Eliafile Solla alipotembelea banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye ufunguzi wa maonesho ya Kazi za Utamaduni na Sanaa. :::::::::: Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imepongezwa kwa utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo ya elimu kupitia Mfuko wa Elimu wa Taifa

John Bukuku By John Bukuku

ULINZI BINGWA MPYA WA KIKAPU WANAWAKE MICHEZO YA MEI MOSI TAIFA 2025

Na Mwandishi wetu - Singida Timu ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inayocheza Mpira wa Kikapu ya wanawake imeichezesha kwata timu ya mpira wa Kikapu ya Ikulu baada ya kuichapa bila huruma seti 73 kwa 42 katika mchezo mkali uliopigwa katika uwanja wa Shule ya Msingi Mwaja nje kidogo ya mji wa Singida. Michezo ulianza kwa timu

John Bukuku By John Bukuku

WAZIRI MAVUNDE ATOA SIKU 21 TUME YA MADINI KUPITIA MFUMO WA BIASHARA YA MADINI NDANI YA UKUTA MIRERANI

*Aelekeza Leseni mpya kwa masonara kuanza rasmi Julai 2025 *Asisitiza uongezaji thamani madini ya vito nchini *Serikali yaja na mfumo mzuri wa kuwawezesha Wafanyabiashara madini kimtaji  *Dodoma Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, ameielekeza Tume ya Madini kupitia upya mfumo wa biashara ya madini ndani ya ukuta wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro, ili kuja na pendekezo bora zaidi la namna

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
How to Make Money with Online Casinos: Tips and Tricks Online casinos have revolutionized the gambling industry, providing players with easy access to exciting games and the potential to earn real money. From slots to table games, the opportunities are endless. But how can you maximize your chances of success? First, it's essential to understand the games you’re playing. Games like blackjack and poker require skill and strategy, while slots and Plinko rely more on luck. If you're new to online gambling, start with simpler games and gradually move to more complex ones. A key factor in maximizing your profits is taking advantage of promotions. For instance, raging bull casino $150 no deposit bonus codes can provide extra funds to play with, giving you more chances to win without risking your own money. No-deposit bonuses are particularly useful for beginners who want to get a feel for the games without committing funds upfront. Lastly, remember the importance of responsible gambling. Set a budget, stick to it, and avoid chasing losses. Online gambling can be both fun and rewarding when approached with a clear strategy and self-discipline. With the right mindset, you can enjoy the thrill of the casino while boosting your potential earnings.
The Rise of Online Casinos: How to Earn Money While Having Fun Online casinos have gained immense popularity over the past decade, providing players with the opportunity to enjoy their favorite games while potentially earning extra cash. From classic table games like blackjack and roulette to modern, engaging options like Plinko and live dealer games, the possibilities are endless. But how can you improve your odds and maximize your winnings? The first step is to choose the right platform. A secure and reliable casino ensures fair play and timely payouts. One emerging option is gamemania.co.ke, which offers a wide selection of games and attractive bonuses for new and returning players alike. Taking advantage of these bonuses can significantly extend your playtime and increase your chances of winning. Next, familiarize yourself with the games you play. Games like poker and blackjack require skill and strategy, while slots are more luck-based but often come with high jackpot potential. Don’t forget to practice responsible bankroll management—set a budget and stick to it to avoid overspending. Finally, remember that online gambling is entertainment first. With the right strategy and a bit of luck, online casinos can provide not just fun but also real opportunities to earn money.
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

Discord’dan bir kod aldım: STARTSPINS — 100 spin kullanıldı, para yatırma yok. Casino girişi anında yapıldı. Mobil kumar seçenekleri çok büyük ve vivi casino uygulama masaüstüyle gerçek zamanlı çevrimiçi oyun senkronizasyonunu destekliyor.