Top Stories
View all
WIZARA YA MADINI YASHIRIKI ZOEZI LA UFUATILIAJI UTEKELEZAJI WA MIONGOZO YA UFUATILIAJI NA TATHMINI
Dodoma. Wizara ya Madini kupitia Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini imeshiriki kikamilifu katika zoezi la ufuatiliaji wa utekelezaji wa miongozo ya Ufuatiliaji na Tathmini,…
MASHINDANO YA UMISSETA MKOA WA ARUSHA YAANZA RASMI
Na Prisca Libaga RS Arusha Mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari (UMISSETA) Mkoa wa Arusha yameanza rasmi katika viwanja vya Shule ya Sekondari…
POLISI PWANI YACHUNGUZA UTATA KUBADILISHWA KICHANGA HOSPITAL BAGAMOYO
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto,…
AJALI WAMI YAUA WATU WAWILI
Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze WATU wawili wamefariki dunia na magari mawili kuharibika vibaya kufuatia ajali ya kugongana uso kwa uso iliyotokea katika Daraja la…
MADINI, NISHATI NA AFYA VYAVUTIA KAMPUNI KUBWA ZA URUSI KUWEKEZA TANZANIA
Serikali ya Tanzania imeendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa mafanikio makubwa baada ya kuvutia wawekezaji kutoka Urusi katika sekta mbalimbali za kimkakati, hatua inayotarajiwa…
RAIS SAMIA AIPELEKA TANZANIA KATIKA RAMANI YA DIPLOMASIA YA DUNIA
Na John Bukuku – Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa ziara…
PROFESA MKUMBO: ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI IMEIBUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA TISA
Na John Bukuku – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, ameeleza umuhimu wa ziara ya…
MASAILAND SAFARI LODGE ARUSHA YATUMIA MAONESHO YA KARIBU KILIFAIR KUNADI VIVUTIO VYA UTALII.
Mkurugenzi wa hoteli za kitalii za Masai Safari Lodge Arusha na Masailand Coffee Lodge Karatu, Dkt. Charles Becon akizungumza na waandishi wa habari kwenye…
DKT. MWIGULU AMALIZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI IRINGA, ASISITIZA HAKI NA UWAJIBIKAJI
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Iringa kwa kuwataka viongozi na watumishi wa umma kuendelea kusimamia haki, uwajibikaji na…
VETA FURAIKA NA WIZARA YA ELIMU WAUNGANA KUWAWEZESHA VIJANA WENYE MAHITAJI MAALUM
Na Sophia Kingimali. Chuo cha Ufundi cha Furaika Education College kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kimezindua mpango maalum wa kutoa…
CSP na VI AGROFORESTRY WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUPANDA MITI 1,200
Na Mwandishi wetu, Babati SHIRIKA lisilo la kiserikali la Civic Social Protection Foundation (CSP) na Vi Agroforestry wameadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kupanda…
HOUSE OF CANVAS LTD YAPONGEZA MAONESHO YA KARIBU- KILIFAIR ,YAJA NA UBUNIFU UNAOVUTIA MACHO YA WENGI
Mkurugenzi wa House of Canvas Ltd, Evans Ogiloh akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho hayo. ……….. Na Happy Lazaro, Arusha . Maonesho ya…
WATAALAMU WAONYA MATUMIZI HOLELA YA KEMIKALI ZA KILIMO
Farida Mangube, Morogoro Wataalamu wameonya kuwa kuongezeka kwa matumizi ya kemikali za kilimo bila kuzingatia kanuni za kitaalamu kunaweza kuongeza hatari ya magonjwa, kuathiri…
RAIS DKT. MWINYI: TEKNOLOJIA YA KIDIJITALI NI UFUNGUO WA KUHARAKISHA HAKI KWA WANANCHI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema matumizi ya teknolojia ya kidijitali katika sekta ya sheria…
SERIKALI YAENDELEA KUIBUA NA KUKUZA VIPAJI VYA MICHEZO NCHINI
OWM-TAMISEMI, Iringa Serikali imeendelea kuelekeza nguvu katika kuibua na kukuza vipaji vya michezo nchini kwa lengo la kuandaa kizazi cha wanamichezo kitakachoiwakilisha na kuiletea…
TCPM YAANZA RASMI USAMBAZAJI WA NGUZO ZA ZEGE KWA WATEJA
*Ni zile zinazozalishwa katika Kiwanda cha Nguzo za Zege Mkoani Tabora *Lengo ni kuboresha miundombinu ya usafirishaji na usambazaji wa umeme kwa wateja Kampuni…
NILIVYOMNASA MWIZI BAADA YA KULALA GHAFLA KATIKATI YA JARIBIO LÀ WIZI
Kwa miezi mingi, nilikuwa nikikabiliwa na tatizo ambalo lilikuwa linaninyima amani. Kila baada ya wiki chache, mali zangu zilikuwa zinapotea kwa njia ya ajabu.…
NILIVYOREJESHA BAHATI YANGU BAADA YA MIAKA YA KUISHI KILA MPANGO WANGU UNAHARIBIKA DAKIKA ZA MWISHO
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuamini kwamba bahati ilikuwa imenikimbia. Haikuwa kwamba sikujitahidi. Kinyume chake, nilikuwa nafanya kila niwezalo kufanikisha malengo yangu.…
HOTUBA YA RAIS SAMIA URUSI NI USHINDI WA KIUCHUMI, KIJAMII NA KIDIPLOMASIA!
Na Beda Msimbe, TBN, aliyekuwa Urusi IJUMAA, Juni 5, 2026, ilikuwa siku ya kihistoria na ya kipekee wakati Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu…
RIDHIWANI: NIDHAMU, UZALENDO VIWE MSINGI WA MAFANIKIO YA WANAFUNZI WA SHERIA
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wanafunzi…
DKT. MWIGULU: MAFINGA KUNUFAIKA NA BARABARA YA LAMI, UMEME WA UHAKIKA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imejipanga kuanza ujenzi wa barabara ya Mafinga–Mgololo kwa kiwango cha lami katika mwaka wa fedha 2026/2027 huku…
WALIMU FUNDISHENI VIZURI TUPATE TAIFA IMARA – PROF. SHEMDOE
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof.…
WAJASIRIAMALI IRINGA WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU NA UTAMBULISHO WA BIDHAA ZAO
NA DENIS MLOWE IRINGA WAJASIRIAMALI wa Mkoa wa Iringa wametakiwa kuzingatia ubunifu katika biashara zao kwa kutambua kwa kina mahitaji ya soko na kuimarisha…
KAMPUNI YA ZARA ADVENTURES TOURS TANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA MAONESHO YA KARIBU -KILI FAIR 2026
Na Happy Lazaro,Arusha . Kampuni ya Zara Adventures Tours Tanzania imeendelea kung’ara katika maonesho ya utalii ya Karibu -Kilifair yanayoendelea jijini Arusha huku ikipongeza…
WAHITIMU 450 WA KLABU YA KUPINGA RUSHWA TEMEKE WATUNUKIWA VYETI.
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Kigamboni Bibiana Bundala, (kushoto) akitoa vyeti kwa wahitimu ya mafunzo ya kupinga…
WASHAURI WA WANAFUNZI WATAKIWA KUENDANA NA MABADILIKO YA KIDIJITALI
Na Oscar Assenga,TANGA SERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma…
VETA YAAGIZWA KUHARAKISHA UTIAJI SAINI HATI YA MAKUBALIANO NA SUPERDOLL
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) yaagizwa kuharakisha zoezi la utiaji saini makubaliano baina yake na kampuni ya Superdoll Trailer Manufacture…
WASIRA:UJAMAA BADO NI MSINGI WA MAENDELEO NCHINI.
Elimu bila malipo, Bima ya Afya kwa Wote ni ushindi MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, Stephen Wasira, amesema ujamaa bado ni…
DKT. MWIGULU AAGIZA UCHUNGUZI WA MAPATO YA MAEGESHO IFUNDA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo…
MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO
Vongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu. Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala la Shirika la…
PROF. SHEMDOE AWATAKA WALIMU KUONGEZA UBUNIFU KATIKA UFUNDISHAJI
Walimu 35 walioshinda tuzo za ufundishaji kupatiwa viwanja WALIMU nchini wamehimizwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii, kujituma na kutumia mbinu bunifu za ufundishaji ili…
NAIBU WAZIRI WANU ASISITIZA ELIMU YA UJUZI KUENDANA NA MAHITAJI YA SOKO LA AJIRA
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na taasisi za elimu…
PUTIN AIKUBALI TANZANIA, AELEZA JINSI ILIVYO MUHIMU KIMKAKATI
Na Beda Msimbe, TBN, Petersburg Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema Tanzania ni lango kuu la kimkakati linalounganisha soko la Afrika Mashariki na masoko…
OLE MILLYA AKEMEA UUZWAJI ARDHI SIMANJIRO
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, akiwa kwenye…