Top Stories
View all
MANISPAA YA ILEMELA YAJIFUNZA UTEKELEZAJI MIRADI YA KIMKAKATI JIJINI DODOMA
DODOMA Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela imefanya ziara katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa lengo la kujifunza namna ya utekelezaji wa miradi ya…
TANZANIA YAPOKEA TANI 25 ZA TENDE KUTOKA SAUDI ARABIA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea tani 25 za tende kutoka kwa Ufalme wa Saudi Arabia ikiwa ni utamaduni endelevu unaoonesha mshikamano…
MCHENGERWA: MAGEUZI YA KIDIJITALI KATIKA SEKTA YA AFYA TANZANIA YASHIKA KASI
Na John Mapepele Geneva – Uswisi Wakati dunia ikiendelea kuharakisha matumizi ya mifumo ya afya inayotegemea teknolojia ya kidijitali, Tanzania inaendelea kujijengea nafasi kama…
RAIS SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI KIGALI BAADA YA KUSHIRIKI MKUTANO WA NISHATI YA NYUKLIA AFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali mara baada ya…
MFUMO WA TAARIFA ZA MAAFA ZANZIBAR KUIMARISHA ULINZI WA JAMII
NA FAUZIA MUSSA MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Moh’d Ali Abdalla amesema mfumo wa taarifa za maafa wa Zanzibar (ZDMIS) utakuwa mkombozi mkubwa…
TET KUSHIRIKIANA NA DUCE KUIMARISHA ELIMU KUPITIA TAFITI
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba akizungumza leo Mei 19, 2026 wakati akifungua maonesho ya Wiki ya Utafiti na…
YAS YAONGEZA MINARA MIWILI YA 5G ARUSHA, YAAHIDI HUDUMA ZA VIWANGO
Robert Sanyagi – Mkuu wa Yas – Kanda ya Kaskazini akizungumza na vyombo vy habari wakati wa hafla hiyo …………. Arusha – Wakazi wa…
DKT. YONAZI ATOA WITO KWA WANANCHI KUTUMIA VITUO VYA MAARIFA KUJUA HALI ZAO ZA AFYA
Na Mwandishi Wetu -Morogoro Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa wananchi…
NEEMA YANUKIA KWA WANANCHI WA KALEMAWE , MKURUGENZI SAME AAGIZWA KUPELEKA MCHANGANUO WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA
📍Bungeni Dodoma MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Anna Kilango Malecela ameendelea na jitihada zake za kuhakikisha wananchi wa jimbo hilo wanapata…
TANZANIA KUJIFUNZA KUTOKA CHINA KUHUSU MAGEUZI YA MASHIRIKA YA UMMA
Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Tanzania imeonesha nia ya kutumia uzoefu wa China katika mageuzi ya mashirika ya umma, ikiwa ni sehemu ya…
SERIKALI YAAHIDI KUIMARISHA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani…
CMSA YAHIMIZA BIDHAA BUNIFU MASOKO YA MITAJI, iTRUST YAZINDUA HATIFUNGANI YA SHILINGI BILIONI 100
Na John Bukuku, Dar es Salaam Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezitaka kampuni zinazotoa huduma katika masoko ya mitaji nchini kuendelea…
SERIKALI YAFICHUA MIKAKATI YA KULIPA MADENI YA WAKANDARASI NA WAZABUNI.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Mhe. Lucy Edward Mwakyembe, aliyetaka kujua mpango…
CGP KATUNGU: MAFUNZO YA MFUMO WA ‘GAMIS’ NI UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA RAIS DKT SAMIA
Na. Sgt. Geofrey Jacka – DODOMA Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, CP. Nicodemus Tenga, kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Magereza…
RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA NISHATI YA NYUKLIA AFRIKA, KIGALI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa…
UWEKEZAJI WA MIFUMO YA TEHAMA SERIKALINI KUONGEZA UFANISI NA UWAZI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray akizungumza na viongozi, na Watumishi wa Kituo cha…
SPIKA ZUNGU ATOA SIFA ZA KIPEKEE, BUNGE LIKIPITISHA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, ametoa sifa za kipekee baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara…
MAAFISA WA TRA KAGERA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA TANCIS KUONGEZA UFANISI WA HUDUMA ZA FORODHA
Na Silivia Amandius. Bukoba,Kagera. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kagera imeanza kutoa mafunzo kuhusu matumizi ya mfumo wa TANCIS kwa maafisa wa…
ARIFU ABRI AMWOMBEA KURA MTATIFIKOLO JIMBO LA ISMANI
NA DENIS MLOWE IRINGA KADA wa Chama Cha Mapinduzi, ambaye ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa ,kutokea Iringa Vijijini, Arif Abri, ameendelea…
KINGU:TUMEONA UTULIVU NA NIDHAMU YA JESHI LETU
Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Elbariki Kingu amesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania linaendelea kuonesha utulivu, nidhamu na uzalendo wa hali ya…
DKT. NYASAHO AAINISHA VIPAUMBELE 8 VYA WIZARA YA ULINZI 2026/27
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, amesema Wizara hiyo imepanga kutekeleza vipaumbele vinane muhimu katika mwaka wa fedha 2026/2027…
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA YAOMBA KUIDHINISHIWA TRILIONI 4.286 BAJETI YA 2026/27
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, ameliomba Bunge kuidhinisha jumla ya Shilingi trilioni 4.286 kwa ajili ya utekelezaji wa…
RAIS DKT. SAMIA AWASILI KIGALI NCHINI RWANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali ambapo atashiriki Mkutano…
JENERALI MKUNDA AKIWASILI BUNGENI KUSHUHUDIA UWASILISHAJI BAJETI YA WIZARA YA ULINZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda, akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Jumanne Mei 19, 2026, kwa ajili ya kushuhudia uwasilishaji wa bajeti…
WAZIRI DKT. NYASAHO AWASILI BUNGENI TAYARI KWA UWASILISHAJI BAJETI YA WIZARA YA ULINZI
Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Ulinzi wakiongozwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb) walipokuwa wakiwasili Bungeni…
NILIVYOPATA SIMU YA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MWANAUME ANIYENIACHA MIAKA MIWILI ILIYOPITA AKIOMBA NISIMUACHE TENA
Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningesikia tena sauti yake baada ya namna tulivyoachana. Tulikuwa tumepitia mengi pamoja. Nilimpenda kwa moyo wangu wote na nilikuwa…
TMA NA BRAC MAENDELEO TANZANIA WAJADILI MIKAKATI YA KUIMARISHA USAMBAZAJI NA MATUMIZI YA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
Dodoma, Mei 15, 2026 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania walifanya kikao Makao Makuu ya TMA jijini Dodoma, wakijadili…
DKT. MWIGULU: SERIKALI KUANGALIA UPYA SHERIA ZA UHIFADHI NA MIPAKA YA HIFADHI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Serikali inayowajibika kwa wananchi na…
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA VITUO VYA MAARIFA NCHINI
Na, Mwandishi wetu – Pwani SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuboresha Vituo…
NILIVYOMFANYA MWANAUME ALIYENIKATAA NA KUNIAMBIA SINA FUTURE YAKE KUANZA KILUNISAKA MWENYEWE BAADA YA MIEZI KADHAA
Sikuwahi kufikiria kwamba mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote angefika mahali pa kuniambia wazi kuwa hakuniona kwenye maisha yake ya baadaye. Tulikutana kipindi…
DODOMA KUPATA BARABARA YA NJIA SITA KWA ZAIDI YA BILIONI 241
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali Kupitia Wizara ya ujenzi imesaini mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini hadi Chamwino Ikulu…
TANZANIA NA SERBIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KISEKTA NA DIPLOMASIA
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18…
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YAFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian,…