WANAFUNZI WA UKUNGA, UUGUZI NA UTABIBU CHUO CHA AFYA LITEMBO WAIOMBA SERIKALI MIKOPO KUTIMIZA NDOTO ZAO
Na Mwandishi Wetu,Mbinga WANAFUNZI wa fani ya utabibu,uuguzi na ukunga wanaosoma katika chuo cha afya Litembo wilayani Mbinga,wameiomba Serikali kuhakikisha inatoa mikopo kwa wanafunzi…