TANZANIA NA SERBIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KISEKTA NA DIPLOMASIA
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18…
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, tarehe 18…
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian,…
Na.Sophia kingimali. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafanyabiashara kuacha tabia ya kutumia vipimo batili akisema wanaowaibia wananchi kupitia mizani…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe (Mb) amemwakilisha Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb),…
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera amesema kuwa Serikali inaendelea kufanya maboresho mbalimbali ili kuleta mageuzi katika Sekta ya Sheria…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia…
Jeshi Polisi mkoani Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali kwa makosa ulawiti, ubakaji, wizi,…
Na, Mwandishi wetu – Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amekutana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala…
Dodoma, Jumatatu, Mei 18, 2026 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), zimezindua rasmi utekelezaji…
Na John Mapepele Geneva, Uswisi — Mei 18, 2026 Tanzania imethibitisha tena dhamira yake ya kuimarisha huduma za kinga, uchunguzi, tiba na uangalizi wa…
Ruvuma Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umetoa elimu kwa zaidi ya vijana 300 wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba mkoani Ruvuma kuhusu…
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti na kubuni teknolojia mpya zitakazorahisisha utoaji wa huduma kwa wateja nchini. Amesema…
Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Waziri wa Afya Nchini, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika ufunguzi rasmi wa Mkutano Mkuu…
…… NA DENIS MLOWE IRINGA MWENYEKITI wa UVCCM Iringa Mjini, Isack Kikoti, ametoa wito kwa vijana kuongeza uwajibikaji na nidhamu kama nguzo ya mafanikio…
Na OWM (KAM), Songea Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwekeza katika ukuzaji wa ujuzi kwa vijana…
Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya vyama sita rafiki vya ukombozi kutoka kusini mwa Afrika imefanyika leo katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius…
Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Mbunge wa Hanang, Asia Halamga ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa hatua na mikakati inayoendelea kuchochea maendeleo ya sekta…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Raisa Abdallah, amewataka viongozi wa majimbo kuendelea kuimarisha mapambano ya kisiasa kwa lengo la…
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili…
MELEKA KULWA PICHANI JUU NDIYE MWAKILISHI WA FULLSHANGWEBLOG KANDA YA KATI DODOMA WADAU WETU WOTE WAWASILIANE NA MELEKA KULWA MOJA KWA MOJA AU MKURUGENZI…
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Bw. Eliakim Maswi, amewataka …
Na John Bukuku Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa, amekutana na Afisa wa Marekani wa Shirika la Global Health, Brad Smith, mjini Geneva na…
Waziri wa Afya na Mbunge wa Rufiji Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameshiriki matembezi ya mshikamano ya “Walk the Talk” yalioandaliwa na Shirika la Afya Duniani …
Siku hiyo nilikuwa nimejiandaa kwa meeting ya kawaida tu ya kazi kupitia Zoom. Nilivaa vizuri juu lakini chini nilikuwa nimevaa kawaida, nikidhani hakuna mtu…
Kufungua biashara ilikuwa ndoto yangu ya muda mrefu. Nilikuwa nimeweka akiba kwa miaka kadhaa ili siku moja niweze kujiajiri na kusaidia familia yangu kwa…
Na Kassim Nyaki, Dodoma. Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa iliyopita na…
*Apongeza mchango wake katika maendeleo nchini. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 17, 2026 ameshiriki katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna (kushoto), na Makamu wa Rais wa IFC Kanda ya Afrika, Ethiopis Tafara,…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
Serikali imejipanga kuondosha adha ya huduma ya maji kwa wakazi wa Chemba. Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itahakikisha Mradi wa Maji…
Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Serikali imeeleza hazma yake ya kuendelea kutekeleza miradi ya mashirikiano katika sekta za kilimo na Uvuvi kwa…
* Asema utekelezaji wa Bwawa la Farkwa kuanza baada ya kukamilika kwa taratibu za manunuzi * Aagiza kukomeshwa kwa ukamataji usio na msingi wa…
Siku hiyo nilikuwa nimeenda kwa building moja ya kifahari kwa meeting ya kawaida ya kazi. Nilikuwa focused kabisa, nikiwa na plan ya kumaliza shughuli…