KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YAPITIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MIUNDOMBINU NA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI
Na: OWM – TAMISEMI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeanza rasmi vikao vyake jijini Dodoma…
Na: OWM – TAMISEMI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeanza rasmi vikao vyake jijini Dodoma…
Zanzibar Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema juhudi za usambazaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia zinapaswa kwenda sambamba na kuweka mkazo…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa Wizara kupitia Balozi zake duniani imekuwa kiungo…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali *Mhe. Hamza S. Johari amewasilisha Maelezo ya Serikali kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2) wa Mwaka…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Zanzibar, leo tarehe 11 Agosti 2026. Makamu wa Rais…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mama Fatma Karume, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar…
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wanachama wa Maskani Kaka ya Kisonge, Mjini Magharibi,…
Mkuu wa kitengo cha biashara Incubator benki ya Stanbic,Kai Mollel akizungumza katika hafla hiyo jijini Arusha. Happy Lazaro,Arusha . Arusha . Benki ya Stanbic…
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida, akiongoza kikao kwa niaba ya…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akifungua mkutano na wataalamu wa Kampuni ya Kimataifa ya Tathmini ya Madeni ya (Fitch Ratings),…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini (VETA) imetakiwa kushirikiana na Kiwanda cha kutengeneza samani za ndani cha EDOSAMA cha Kinyerezi jijini…
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha Zawadi Ngailo akizungumza katika warsha hiyo jijini Arusha leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla akizungumza…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeanza kuweka mfumo wa kamera za usalama barabarani…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wananchi Mji Mkongwe (Stone Town) katika eneo la Jaws Corner, Zanzibar,…
Agosti 10, 2026. Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeshinda tuzo mbili katika Tuzo za TEHAMA 2026, ikiwemo ya Mtandao Bora wa…
10 Agosti 2026, Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za kifedha kidijitali, Mixx, imeshinda tuzo tatu katika Tuzo za TEHAMA 2026, ikiwemo nafasi ya…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Manispaa ya Iringa, Zaina Mlawa, amezionya kampuni zinazofanya shughuli za usafi katika Manispaa za Bejom na Suma JKT,…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MANISPAA ya Iringa imepokea rasmi magari mawili yenye thamani ya Sh milioni 240.6 kwa ajili ya kurahisisha usimamizi wa utekelezaji…
*TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata…
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bw. Chotto Sendo, akizungumza katika zoezi la utoaji wa elimu kuhusu saratani…
Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) imeshinda tuzo ya TEHAMA AWARD 2026, katika kipengele cha Mabadiliko ya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne…
Na Ssgt Mawazo Mtondo – DODOMA Jeshi la Magereza linaendelea kutoa Programu mbalimbali za Urekebishaji kwa Wafungwa ili kuwapa ujuzi utakaowasaidia kujitegemea kwa kujiajiri…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiagana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Usawa wa Kijinsia na…
* Ahimiza wananchi kuunganishiwa huduma ya umeme na kuitumia kuongeza tija *Shule, zahanati na maeneo mengine ya huduma za kijamii kupewa kipaumbele SHINYANGA Waziri…
DODOMA Mwenyekiti wa Tume ya Madini, *Dkt. Janet R. Lekashingo*, amewataka watendaji wa Tume kuongeza kasi katika kuweka mazingira wezeshi, shindani na yenye kuvutia…
Ofisa Ubora kutoka TIRA Kanda ya Ziwa Halfani Isango akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Na Hellen Mtereko,Mwanza Mamlaka ya Usimamizi wa Bima…
Tanzania kupata dola milioni 41 za kuhifadhi wa bioanuwai, kuhimili mabadiliko ya tabianchi Tanzania inatarajiwa kunufaika na takribani Dola za Marekani milioni 41 kupitia…
Kikosi cha Yanga SC kimepata matokeo yasiyoridhisha baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Aigles du Congo katika mchezo wa kirafiki uliochezwa…
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeibuka kinara miongoni mwa Taasisi za Elimu katika Maonesho ya 33 ya Kilimo,…