Top Stories
View all
WAJASIRIAMALI IRINGA WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU NA UTAMBULISHO WA BIDHAA ZAO
NA DENIS MLOWE IRINGA WAJASIRIAMALI wa Mkoa wa Iringa wametakiwa kuzingatia ubunifu katika biashara zao kwa kutambua kwa kina mahitaji ya soko na kuimarisha…
KAMPUNI YA ZARA ADVENTURES TOURS TANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA MAONESHO YA KARIBU -KILI FAIR 2026
Na Happy Lazaro,Arusha . Kampuni ya Zara Adventures Tours Tanzania imeendelea kung’ara katika maonesho ya utalii ya Karibu -Kilifair yanayoendelea jijini Arusha huku ikipongeza…
WAHITIMU 450 WA KLABU YA KUPINGA RUSHWA TEMEKE WATUNUKIWA VYETI.
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Kigamboni Bibiana Bundala, (kushoto) akitoa vyeti kwa wahitimu ya mafunzo ya kupinga…
WASHAURI WA WANAFUNZI WATAKIWA KUENDANA NA MABADILIKO YA KIDIJITALI
Na Oscar Assenga,TANGA SERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayolenga kuimarisha uwezo wa kitaaluma…
VETA YAAGIZWA KUHARAKISHA UTIAJI SAINI HATI YA MAKUBALIANO NA SUPERDOLL
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) yaagizwa kuharakisha zoezi la utiaji saini makubaliano baina yake na kampuni ya Superdoll Trailer Manufacture…
WASIRA:UJAMAA BADO NI MSINGI WA MAENDELEO NCHINI.
Elimu bila malipo, Bima ya Afya kwa Wote ni ushindi MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, Stephen Wasira, amesema ujamaa bado ni…
DKT. MWIGULU AAGIZA UCHUNGUZI WA MAPATO YA MAEGESHO IFUNDA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo…
MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO
Vongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu. Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala la Shirika la…
PROF. SHEMDOE AWATAKA WALIMU KUONGEZA UBUNIFU KATIKA UFUNDISHAJI
Walimu 35 walioshinda tuzo za ufundishaji kupatiwa viwanja WALIMU nchini wamehimizwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii, kujituma na kutumia mbinu bunifu za ufundishaji ili…
NAIBU WAZIRI WANU ASISITIZA ELIMU YA UJUZI KUENDANA NA MAHITAJI YA SOKO LA AJIRA
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na taasisi za elimu…
PUTIN AIKUBALI TANZANIA, AELEZA JINSI ILIVYO MUHIMU KIMKAKATI
Na Beda Msimbe, TBN, Petersburg Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema Tanzania ni lango kuu la kimkakati linalounganisha soko la Afrika Mashariki na masoko…
OLE MILLYA AKEMEA UUZWAJI ARDHI SIMANJIRO
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, akiwa kwenye…
KUNENGE AJIVUNIA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA ILANI YALIYOCHAGIZWA NA ONGEZEKO LA MAPATO
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Juni 6, 2026 Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo…
NILIVYOPANDISHWA CHEO KAZINI BAADA YA MIAKA YA KUFANYA KAZI KWA BIDII HUKU WENGINE WAKIMTANGULIA
Kwa muda mrefu, nilikuwa mfanyakazi ambaye kila mtu alijua kuwa mwenye Bidii. Nilifika kazini mapema, nilitimiza majukumu yangu kwa umakini, na nilijitahidi kuhakikisha kila…
NILIVYOMFANYA MUME WANGU KUWA NA MACHO YANGU PEKEE BADALA YA KUVUTIWA NA WANAWAKE WENGINE
Ndoa yangu ilikuwa imefika mahali ambapo nilianza kupoteza matumaini. Nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote, lakini kadri miaka ilivyopita, nilianza kugundua kuwa alikuwa…
MBUNGE KISWAGA ATOA OMBI LA MAJI, MABWENI NA VITUO VYA AFYA KWA WAZIRI MKUU
NA DENIS MLOWE IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ametoa pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia…
TANZANIA YAJIPANGA KUWA LANGO LA AFRIKA KWA BIASHARA, UWEKEZAJI NA UCHUMI WA KIMATAIFA
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 29 wa Kimataifa wa Uchumi wa St. Petersburg…
RAIS DKT. SAMIA AWASILI NCHINI AKITOKEA ZIARANI MOSCOW URUSI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi pamoja…
WAKULIMA WA KAHAWA WILAYANI MBINGA WAISHUKURU SERIKALI KUWAPA MICHE YA KISASA AINA YA ARABIKA COMPACT BURE ILI KUONGEZA UZALISHAJI MASHAMBANI
mzalishaji wa miche ya kisasa ya kahawa aina ya Arabika kompacti wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Mussa Mdaka kulia na mkulima wa kahawa Frank…
WABUNGE IRINGA WAIPONGEZA SERIKALI KWA MIKOPO YA ASILIMIA 10, WAOMBA BORESHO ZAIDI
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Rose Tweve, ameipongeza Serikali kwa kuendelea kuboresha utoaji wa mikopo ya asilimia 10…
MAONESHO YA KARIBU -KILI FAIR YAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Dk. Theresa Mugobi akizungumza kwrnye maonrsho hayo jijini Arusha leoMkurugenzi Mwenza wa Karibu-Kili Fair, Dominic Shoo akizungumza katika maonesho…
TPDC YAKABIDHI KARAKANA YA KISASA YA CNG KWA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Dar es Salaam, Juni 5, 2026 Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekabidhi rasmi Karakana ya kuongeza mfumo wa matumizi ya gesi asilia…
DKT. MWIGULU NCHEMBA ATATUA MGOGORO WA ARDHI ULIDUMU MIAKA 41 NYOLOLO MUFINDI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 41 kati ya Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Yohana Mtume Nyololo wilayani…
BARAZA LA TIBA ASILI NCHINI LAFUTA USAJILI DAWA POWAFUL BANANA NA VITAMAX ,LAPIGA MARUFUKU ‘JOY’ KUINGIZWA SOKONI
.Na ABDU MADENGE, WAF – DODOMA Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini limefuta usajili wa dawa ya Powaful Banana Medicine, kupiga marufuku…
RAIS SAMIA, RAIS PUTIN WASHIRIKI KONGAMANO LA KIMATAÍFA LA BIASHARA ST. PETERSBURG (SPIET’26)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Kongamano…
ZIARA YA RAIS WA SINGAPORE KUIMARISHA DIPLOMASIA, UWEKEZAJI NA UCHUMI
Na John Bukuku, Dar es Salaam Ziara ya kitaifa ya Rais wa Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, nchini Tanzania kuanzia tarehe 8 hadi 10 Juni…
RC SENDIGA – MANYARA YANUFAIKA NA BILIONI 790 TANGU RAIS DKT SAMIA AINGIE MADARAKANI
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, amesema Mkoa huo umenufaika kwa miradi mbalimbali ya maendeleo ya kiasi cha…
KIPANGULA AWATAKA WAANDISHI KUIPA HADHI TAALUMA YA HABARI
Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi wa Habari nchini kuipa…
TAKUKURU MOROGORO YAOKOA MILIONI 69
Farida Mangube, Morogoro Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imebaini dosari katika mfumo wa ukusanyaji wa mapato na kufanikisha…
JWTZ NA JESHI LA INDIA KUENDELEZA MAFUNZO YA PAMOJA YA KIJESHI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa washiriki wa kozi kutoka Chuo cha Ulinzi cha…
RAIS SAMIA AINADI TANZANIA KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA LA BIASHARA
Na Beda Msimbe, TBN, St. Petersburg Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anahitimisha ziara yake nchini Urusi kwa…
WASIRA AWASILI KILIMANJARO, KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI
Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndugu Stephen Wasira, amewasili leo mkoani Kilimanjaro kwa ziara rasmi ya kikazi ya siku 5 Mkoani humo. Ndg Wasira…
VODACOM NA TCDC WAUNGANA KUHARAKISHA MAGEUZI YA KIDIJITALI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA
Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom Tanzania Bw. Nguvu Kamando (wa pili kulia), akikabidhi moja ya kompyuta mpakato kati ya 35 zilizokabidhiwa kwa Mrajisi wa…