NEMC KUWA NEMA NI MAPINDUZI MAPYA YA USIMAMIZI WA MAZINGIRA TANZANIA
Dkt Immaculate Aware Semesi Mkurugenzi Mkuu Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). ……….. Na John Bukuku Uamuzi wa Serikali wa…
Dkt Immaculate Aware Semesi Mkurugenzi Mkuu Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). ……….. Na John Bukuku Uamuzi wa Serikali wa…
Na Prisca Libaga RS Arusha Lengo ni kuendelezwa kabla ya michuano ya AFCON- 2027 RC Makalla aomba kuongezewa Wataalamu wa ardhi Mkoani Arusha Waziri…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo kila simu iliyonipigia ilinifanya niwe na wasiwasi. Sababu ilikuwa moja tu madeni. Mwanzoni nilikopa kwa sababu nilihitaji kuendesha…
Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amekutana na wawakilishi wa Benki ya Dunia…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka Shada la maua katika Kaburi la Askari Asiyejulikana (Tomb of the…
Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu wa macho, Mzee Paulo…
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar, Bw. Saleh Haji Pandu, amesema kuwa Mfumo wa Pamoja wa Uondoshaji wa Shehena Maeneo ya…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za uendeshaji wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo kutoka Idara ya Mafunzo ya Kilimo…
Na John Walter -Kondoa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Wazo Michael Mwang’onda amewataka vijana nchini kuwa wazalendo, wenye nidhamu na…
Kwa zaidi ya miaka miwili, maisha yangu yalizunguka maumivu ya tumbo. Mwanzoni nilidhani ilikuwa hali ya kawaida ambayo ingeisha yenyewe baada ya siku chache.…
Waaswa kuwa Mabalozi wazuri na kuzingatia maadili Naibu Karibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Zuhura Yunus, amewaasa vijana 756…
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Australia zimedhamiria kuendelea kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali yakiwemo kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na hifadhi ya mazingira…
Bohari ya Dawa (MSD) inatarajia kuokoa zaidi ya Sh bilioni 2.3 kwa mwaka, ambazo kwa sasa hutumika kugharamia ukodishaji wa maghala binafsi kwa ajili…
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Muhandisi Hamad Yusuf Masauni akizungumza na vijana katika Chuo Kikuu cha Dar es…
Kaimu Meneja wa Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Aisha Malima, ameshiriki katika kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano wa…
Ushirikiano wa muda mrefu wa miaka 65 kati ya Tanzania na Italia umeendelea kuwa mfano wa mahusiano ya kidiplomasia yaliyojengwa katika misingi ya urafiki,…
Dodoma, Juni 1, 2026 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Nhamanilo Kwagilwa, ameitaka Mamlaka ya Hali…
Na Beda Msimbe, TBN, Moscow Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye yupo hapa Shirikisho la Urusi kwa ziara ya kitaifa, anatarajiwa kutunukiwa Shahada ya…
Tanzania inashiriki katika Mkutano wa Wataalam wa Kamati ya Mawaziri wa Sheria na Wanasheria Wakuu wa Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika…
Katika kipindi ambacho mataifa duniani yanaingia katika ushindani mkubwa wa kiuchumi, teknolojia na ushawishi wa kidiplomasia, Tanzania nayo inaonekana kuanza kufanya Diplomasia yake kimkakati…
Timu ya Taifa U17 ya Senegal imetwaa ubingwa wa mashindano ya AFCON U17 ikiitandika Serengeti Boys kwa mikwaju ya penalti 4-2. Mchezo huo ulienda…
Watumiaji wa petroli wamepata afueni mwezi Juni 2026 baada ya bei ya mafuta hayo kushuka ikilinganishwa na mwezi uliopita. Kwa Dar es Salaam, petroli…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Vnukovo, uliopo Jijini Moscow…
Na Bupe Mwaiseje- MAELEZO Serikali imeendelea kuimarisha usimamizi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kupitia uwekezaji mkubwa katika mifumo ya kidijitali, hatua…
Na Timothy – Mwakyenda – MAELEZO. Serikali imeahidi kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara kwa kutenga fedha za…
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza mageuzi mbalimbali ya kodi yanayolenga kuongeza mapato ya ndani, kupanua wigo wa walipakodi na…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imesema uchumi wa Tanzania umeendelea kuimarika kutokana na utekelezaji wa sera madhubuti za kiuchumi, uwekezaji katika miradi ya…
Utaratibu wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa njia ya mazungumzo na maridhiano umewezesha kupatikana kwa suluhu…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika usimamizi wa fedha za umma na ukusanyaji wa mapato kwa…
Na. Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeweka mkazo katika utekelezaji wa vipaumbele mbalimbali vya kimkakati kwa mwaka wa fedha 2026/27,…
NA DENIS MLOWE, IRINGA Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii inayofanyika kuanzia Juni…
Na Victor Masangu, Kibaha Jumuiya ya Umoja wa wanawake (UWT) Wilaya ya Kibaha katika kuimarisha kasi ya Uhai wa jumuiya yao pamoja na kuongeza…