MBUNGE LUTEVELE APIGA KAMBI RUNGEMBA, ASIKILIZA KERO NA KUTOA SULUHU
NA DENIS MLOWE IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Mafinga Mjini, Dickson Lutevelle, ameendelea na ziara yake ya kikazi katika Kata ya Rungemba ambako amekutana…
NA DENIS MLOWE IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Mafinga Mjini, Dickson Lutevelle, ameendelea na ziara yake ya kikazi katika Kata ya Rungemba ambako amekutana…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma DODOMA — Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Kati kwa kushirikiana na viongozi wa Mkoa wa Dodoma,…
Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mhe. Hamdu Shaka, amesema kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la kisheria pekee bali…
NA FAUZIA MUSSA MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (PSSSF) umesisitiza umuhimu wa…
NA FAUZIA MUSSA WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dk. Riziki Pembe Juma, amewataka wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea…
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof.…
📍 DODOMA MAADHIMISHO ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yameambatana na wito wa kutunza miti iliyopandwa pamoja na kulinda miundombinu ya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Muungano baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya…
Na Mwandishi wetu, Monduli MDAU wa maendeleo Taiko Kulunju amejitolea kutoa fedha za ujenzi wa uzio wa bweni la wasichana wanaosoma shule ya sekondari…
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Alhaj Hemed Suleiman Abdulla, ameongoza zoezi la upandaji miti katika Hospitali ya…
MA, Aprili 26, 2026 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametumia mamlaka yake ya kikatiba kutoa msamaha wa…
Paris, Ufaransa – 25 Aprili 2026 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa umeshiriki kikamilifu katika maonesho ya kitamaduni yaliyojulikana kama “Culture…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Kongamano la…
Na Happy Lazaro, Arusha Katibu Mkuu mpya wa jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Stephen Patrick Mbundi amesema kuwa katika nafasi yake hiyo ataanza na vipaumbele…
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dar es Salaam, Ndg. Mwajabu Rajabu Mbwambo, amezindua rasmi Jukwaa la Wanawake katika Kata ya…
*Mkutano wa Kikanda Wajadili Usalama na Biashara Haramu ya Silaha Na Mwandishi Wetu,DAR ES SALAAM Makamu Mwenyekiti wa RECSA na Waziri wa Mambo ya…
Na Hellen Mtereko,Mwanza Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mabatini, mkoani Mwanza, Mrakibu wa Polisi (SP) Daktari Steven Kisaka, amewashauri wakazi wanaoishi karibu na zahanati…
*Asema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mbunifu na wa vitendo WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni…
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji Mwenge wa Uhuru umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi saba wilayani Rufiji mkoani Pwani, ukiwemo mradi wa barabara ya Chumbi–Kiegele…
Mwamvua Mwinyi, Rufiji Aprili 26, 2026 Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko…
Na Mwandishi Wetu PWANI, Aprili 26, 2026 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewahimiza wananchi wa mkoa huo pamoja na Watanzania kwa ujumla…
OFISI ya Makamu wa Rais imebuka mshindi wa nafasi ya tatu kupitia mchezo wa karata upande wa wanawake katika Mashindano ya Michezo ya Mei…
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Zacharia Kafulila, amesema kuwa Muungano wa Tanzania…
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi akiwa na viongozi mbalimbali wakishuhudia mechi ya nusu fainali kati ya Timu ya Yanga…
ASISITIZA MALEZI BORA KWA WATOTO KWA MANUFAA YA TAIFA APONGEZA JUKWAA LA TUZO ZA MALKIA WA NGUVU Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, Aprili 26, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki…
Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imekagua utekelezaji wa ujenzi wa barabara za zenye urefu…
Pembezoni mwa Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 40 ya Utawala wa Mfalme Mswati III, mjini Ezulwini, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…
📍 Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, ametunukiwa Tuzo ya Utumishi wa Umma katika kilele cha utoaji wa Tuzo za…
*Yasifiwa kwa mafanikio ya upandaji miti, yaungwa mkono vita ya tabianchi Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam DAR ES SALAAM: Magereza ya Ukonga yamepongezwa…
Na OWM TAMISEMI, Longido-Arusha Kilio cha muda mrefu cha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Longido cha kutokuwa na bwalo la kisasa kimepata ufumbuzi baada…
Wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga wanaofanyia shughuli zao katika Soko la Machinga Complex jijini Dodoma wamepatiwa elimu ya matumizi sahihi ya nishati safi ya…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameongoza kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri…