TARIQA YAIOMBA SERIKALI KUWAPA USHIRIKIANO WA KUTOSHA.
Na Ashura Mohamed, Arusha Taasisi kongwe ya dini ya kiislamu ya Twariqa Tulqadirya Arazakia Jailania Tanzania yenye makao yake makuu mkoani Arusha,imegoma serikali kuwapa…
Na Ashura Mohamed, Arusha Taasisi kongwe ya dini ya kiislamu ya Twariqa Tulqadirya Arazakia Jailania Tanzania yenye makao yake makuu mkoani Arusha,imegoma serikali kuwapa…
Na Hellen Mtereko,Mwanza Viongozi wa Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza wamewataka wanafunzi wanaoshiriki Mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya wilaya,…
Wamiliki wa ardhi wametakiwa kulinda ardhi wanayoimiliki ili kuepuka migogoro ya ardhi na kuongeza usalama wa umiliki. Akizungumza mjini Njombe Aprili 27 katika viwanja…
Na, Mwandishi Wetu, Muleba – Kagera KAIMU Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Bw. Salum Kimbau amesema maandalizi ya Mpango wa Afya Moja kwa…
NA FAUZIA MUSSA WAZIRI wa Kazi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kwa mwaka…
Na John Bukuku , Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Tukai Mavere, amesema taasisi hiyo imeendelea kuboresha mfumo wa ununuzi wa dawa…
Na Mwandishi Wetu, Tunduru CHAMA cha walimu Tanzania(CWT)kupitia kitengo cha walimu wanawake wilayani Tunduru Mkaoni Ruvuma,kimeipongeza Serikali kuboresha mazingira ya kazi ikiwemo ujenzi wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili 28…
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari akizungumza kwenye mkutano huo jijini Arusha leo Happy Lazaro,Arusha . Arusha .MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amesema…
Na Atley Kuni, WAF-Morogoro Serikali imeendelea na jitihada za kuimarisha afya ya jamii na kukabiliana na milipuko ya ugonjwa wa kuambukiza wa kipindupindu kwa…
Na Silivia Amandius Bukoba. Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Mhe. Erasto Sima, Aprili 27, 2026 amefungua kikao cha wadau wa zao la kahawa kilichofanyika…
Na Farida Mangube Morogoro Kemikali inayodaiwa kuwa ni sulphur imemwagika baaaa ya gari yenye namba za usajili T196 EMU mali ya kampuni ya Alhushum…
📍 Dodoma Bunge la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya shilingi bilioni 174.9 kwa Mwaka wa…
*Yawa kinara FDI , Miradi ya kimkakati yafungua ajira na mapato Dodoma Sekta ya Madini nchini imeendelea kudhihirisha ubora wake katika kuchangia uchumi wa…
Jumla ya watoto 252 wamepata huduma za upasuaji wa moyo kupitia ushirikiano uliopo kati ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Shirika la…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari, amesema kuwa Ofisi…
Wizara ya Nishati na Wizara ya Uchukuzi za Tanzania zimeshiriki katika Mkutano wa 5 wa mwaka wa Kamati Maalum ya Wataalamu ya Umoja wa…
Na. Sixmund Begashe, Njombe Wananchi wametakiwa kupanda miti na kutunza Misitu nchini kwa maslahi mapana ya Taifa na mtu mmoja mmoja. Wito huo umetolewa…
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika kikao chake na Balozi wa Hispania nchini Tanzania Mhe. Paloma Serra Robles, kilichofanyika…
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Joseph Mkude akifunga mafunzo hayo jijini ArushaMeneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Arusha, Mhandisi Reginald Masawe akizungumza…
Na WMMJWM-Dar Es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amesema Ukanda wa Maziwa Makuu…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini, Mhe.…
Na Hellen Mtereko, Mwanza Taasisi ya Men at Work Global ieweka mkakati wa miaka 10 ijayo ya kujenga kituo maalumu kwaajili ya kutoa mafunzo…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndugu Rabia Abdalla Hamid akiwa kwenye kikao kazi na…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana kwa mazungumzo na Balozi mteule wa Tanzania…
Waziri Mkuu mstaafu wa Ethiopia, Mhe. Hailemariam Dessalegn Boshe akifungua jukwaa la kikanda lililofanyika katika makao makuu ya African Union jijini Addis Ababa,Ethiopia Aprili…
Na OWM (KAM), Njombe Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka waajiri nchini kutekeleza Amri ya nyongeza ya Kima…
………… Na Hellen Mtereko, Mwanza Katika kipindi ambacho dunia inaangalia mwenendo wa usalama na utulivu wa mataifa, kauli ya serikali imeendelea kuweka msisitizo mkubwa…
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali inaendelea kuonesha dhamira ya dhati ya kuifanya sekta ya…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Wizara ya Madini imeomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni 174.98 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ili kuwezesha…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Kinondoni, Mhe. Tarimba Gulam Abbas (hayupo pichani), ambaye alitaka kujua…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametimiza ahadi yake ya kutoa pikipiki 10 kwa vikundi vya waendesha bodaboda wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ikiwa ni jitihada za…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani MWENGE wa Uhuru umeridhishwa na utekelezaji wa miradi yote 68 yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 263.1 mkoani Pwani,…