Top Stories
View all
USAFI WA MAZINGIRA NI NYENZO YA AFYA NA MAENDELEO
Imeelezwa kuwa usafi wa mazingira ni nyenzo ya afya na maendeleo, jambo linalohitaji ushirikiano wa kila mwananchi ili kuhakikisha kila kona ya manispaa inabaki…
JK, AKIWA MJUMBE MAALUMU WA AU, AANZA KAZI KWA MATUMAINI MAPYA KATIKA JUHUDI ZA AMANI SUDAN KUSINI
Ziara ya Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, mjini Juba imeashiria hatua mpya ya kidiplomasia katika kuhuisha mchakato wa amani nchini Sudan Kusini. …
MADEREVA WALALAMIKA UBOVU WA BARABARA YA SONGEA-TUNDURU
Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Ferdinand Mdoe,akizungumzia ubovu wa barabara ya Songea-Namtumbo-Tunduru ambayo kwa sasa inalalamikiwa na madereva na watumiaji wengine…
PROF. SHEMDOE AELEKEZA WAFANYABIASHARA SOKO LA SIMU 2000 KUENDELEA NA BIASHARA
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe…
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA KAMPUNI ZA EQUINOR NA SHELL KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA LNG NCHINI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS pamoja na Shell Exploration and Production Tanzania Ltd…
SERIKALI YAHIMIZA MAENDELEO YA KIKANDA NA MIPANGO MIJI KUKUZA UCHUMI AFRICA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akizungumza katika Mjadala wa Kitaalamu unaofanyika sambamba na Kongamano la Pili la…
TANZANIA NA KENYA ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KUKUZA BIASHARA NA UJUMUISHAJI WA KIKANDA
Tanzania na Kenya zimethibitisha upya dhamira yao ya kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, huku viongozi wa nchi hizo mbili wakisisitiza kuongeza ushirikiano katika sekta za…
WAZIRI KOMBO AKIPOKEA TAARIFA YA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA MAURITIUS
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo akipokea taarifa kuhusu Ushirikiano na uhusiano Kati ya Tanzania na…
WAZIRI KOMBO ASHIRIKI MKUTANO WA TISA WA BAHARI YA HINDI MAURITIUS
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameshiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi, unaofanyika jijini…
ZIARA YA MWENYEKITI CCM KIBAHA MJINI YAGUSA KERO ZA WANANCHI VISIGA
Mwamvua Mwinyi, Kibaha MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha, Mwajuma Nyamka, amewaelekeza viongozi wa kata na mitaa katika kata ya Visiga…
MAPINDUZI SEKTA YA AFYA: JKCI YALETA TEKNOLOJIA YA ROBOTI YA BILIONI 5.5
Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Glory Mtui akiiruhusu roboti kuendelea na upimaji wa sampuli za damu kwa kutumia teknolojia…
WAZIRI WA FEDHA MHE. BALOZI OMAR ATETA NA UONGOZI WA AfDB,
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiongoza kikao chake na Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika, Ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji…
ULEGA AKOSHWA NA MIRADI 81 YA DHARURA
📌 Asema imesaidia kupunguza athari za mafuriko nchini. 📌 TANROADS yapewa pongezi Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameonesha kuridhishwa kwake na kazi kubwa iliyofanywa…
NYERERE ALIKUWA MTETEZI WA WANAWAKE, ALIANDIKA KITABU HAKIJACHAPISHWA-WASIRA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema mawazo ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwa Chuo Kikuu…
MKURUGENZI MKUU VETA AHIMIZA USHIRIKIANO NA VIWANDA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amewahimiza viongozi na watendaji wa vyuo vya ufundi stadi…
RAIS SAMIA AZINDUA MINARA 758 YA MAWASILIANO, AAGIZA HUDUMA ZIWAFIKIE WANANCHI WOTE
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla akisaini Hati ya Makabidhiano kati ya Serikali na Umoja wa…
SERIKALI YASISITIZA UBORA WA ELIMU NA UJUZI KWA MAENDELEO YA TAIFA
Na.Sophia Kingimali. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Hussein Mohammed, amesema serikali inaendelea kuweka mkazo katika uwekezaji wa elimu yenye…
SERIKALI YAKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA
Na, Mwandishi Wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe.…
WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO KUHUSU UTEKELEZAJI WA WA ELIMU MSINGI YA LAZIMA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza Kikao cha Kazi cha Mawaziri na Makatibu Wakuu Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu,…
HABARI PICHA: RAIS SAMIA AKIWA KWENYE HAFLA YA UZINDUZI WA MINARA 758
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya Uzinduzi wa minara 758, maunganisho ya Mkongo wa…
SPIKA ZUNGU AWAHIMIZA WABUNGE KUACHANA NA KARATASI, WAHAMIE MFUMO WA KIDIJITALI KULINDA MAZINGIRA
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamehimizwa kupunguza matumizi ya karatasi na kutimia mfumo wa kidijitali katika shughuli za Bunge ili…
KAMATI YA BUNGE YAJENGEWA UWEZO KUHUSU PROGRAMU YA AFDP
NA, MWANDISHI WETU – DODOMA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, chini ya Makamu Mwenyekiti wake Mheshimiwa Edwin Swalle, imejengewa…
SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MITAJI KUPITIA MIKOPO NAFUU
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Msalala, Mhe. Mabula Johnson Magangila, aliyetaka kujua wakati ambao Serikali…
WATATU JELA MIEZI SITA KWA KUZUA TAHARUKI YA KUIBIWA NYETI
Kufuatia uzushi na uvumi wa baadhi ya watu kuzua taharuki na kueleza kuibiwa nyeti zao baada ya kuguswa bega hali iliyopelekea vitendo vya uvunjifu…
RAIS MSTAAFU WA MALAWI LAZARUS CHAKWERA AKUTANA NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na…
TANZANIA YAELEZA MAFANIKO NA FURSA ZA UWEKEZAJI SEKTA YA MAKAZI KATIKA KONGAMANO LA MIJI AFRICA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo akisoma tamko la Tanzania katika Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd…
WAKAZI WA DAR WAIPONGEZA NMB IKIZINDUA HUDUMA YA MATAWI YANAYOTEMBEA
Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (wa nne kushoto), akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo, wakati…
MBUNGE VILLA ATIMIZA AHADI, AKABIDHI MEZA 90 KWA WAJASIRIAMALI WA SOKO LA MASHUJAA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Mafinga Mjini, Mheshimiwa Dickson Lutevele Villa, ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi jumla ya meza 90 kwa…
CHANGAMOTO ZA BARABARA, MAJI NA UMEME ZAWAKUMBA WAKAZI WA MAFINGA – MBUNGE LUTEVELE AWAPA MATUMAINI UHAKIKA KUTATUA KERO HIZO
NA DENIS MLOWE, IRINGA WAKAZI wa maeneo yanayozunguka mgodi wa Lumwago, katika Mafinga Mjini mkoani Iringa, wameeleza malalamiko yao kuhusu ubovu wa miundombinu ya…
MAFUNZO YA USULUHISHI WA MIGOGORO YA NDOA YAWA CHACHU YA KUJENGA JAMII IMARA.
Na Silivia Amandius Bukoba. Mafunzo ya usuluhishi wa ndoa yanayoendeshwa na Wizara ya Katiba na Sheria yameendelea kuleta mwanga mpya katika jamii, huku yakitajwa…
AFISA ELIMU SEKONDARI DKT. MUSSA APEWA TUZO KWA USIMAMIZI BORA SEKTA YA ELIMU
Na HENRI SHAABAN, DAR ES SALAAM Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Mwalimu Dkt.Mussa Ally, amepewa tuzo na shule ya…
SERIKALI YAIMARISHA ELIMU YA UALIMU KUPITIA MRADI WA TESP
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuimarisha sekta ya ualimu nchini kupitia Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu…
RAIS MSTAAFU WA MALAWI LAZARUS CHAKWERA AKUTANA NA PROFESA KABUDI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu…