Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akifurahia jambo na mwanafunzi wa darasa la 6 Jenipher Mwita Chaha, wa Chemchemi Nursery and Primary School iliyopo Nkuhungu Dodoma, katika viwanja via Bunge, jijini Dodoma, Mei 6, 2026.