SIMBA YABANWA NA TRA UNITED, MBIO ZA UBINGWA LIGI KUU
Simba SC imeshindwa kupunguza pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga, baada ya kubanwa mbavu ya kutoka sare tasa na TRA United,…
Simba SC imeshindwa kupunguza pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga, baada ya kubanwa mbavu ya kutoka sare tasa na TRA United,…
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe akizungumzia na waandishi wa habari leo April 9, 2026 Ofisini kwake, Arusha. ………. Na Happy Lazaro,…
UONGOZI wa Mac Promotion umezindua rasmi mbio za Mac D Marathon 2026, zitakazofanyika Jumamosi, Julai 4, katika viwanja vya Chuo cha Taifa cha Ulinzi…
Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini,…
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) Profesa Gileard Masenga akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili…
Na Happy Lazaro, Arusha . ZAIDI ya watengeneza maudhui 450 wakiwemo vijana wabunifu, wapiga picha, watayarishaji wa video pamoja na watumiaji mahiri wa mitandao…
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omari, amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha sekta ya fedha ili iwe chachu ya…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO)…
Mwamvua Mwinyi, Kibaha April 9, 2026 Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini kimeanza mpango wa kurahisisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa kushirikiana na…
MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetangaza hatua mpya ya kuboresha utoaji huduma kwa kuunganisha mifumo ya kidijitali ya TANCIS ya Mamlaka ya…
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu Miradi ya Maendeleo na Fursa za…
*Amesema Mazingira bora ya kazi ni msingi wa tija *Samaje amesema GST itaendelea kuboresha huduma za maabara na jiosayansi Dodoma, Aprili 9, 2026 Katibu…
* Kupitia uelimishaji na uhamasishaji wa jamii Katika mwendelezo wa mafunzo kwa watengeneza maudhui mtandaoni (Content Creators), awamu ya kwanza inayoendelea Jijini Arusha leo…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), akizindua rasmi Sera Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na mabalozi wateule wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali waliofika ofisini kwake Vuga…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Zainab…
Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey amekutana na…
Serikali yatenga sh. bilioni 280 kama dhamana kwa uwekezaji kwa vijana WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hakuna zuio la kisheria wala la kikanuni…
Kamishna wa Polisi Jamii nchini CP Alex Mkama amewataka Watendaji wa Kata na Mitaa, Viongozi wa dini, Wazee wa kimila na Maafisa Usafirishaji kushirikiana…
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha shindano…
▪️Asema Serikali itaimarisha vitengo vya tathmini na ufuatiliaji kila wizara_ Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza…
Na: OWM (KAM) – Dodoma Serikali imeendelea kuhakikisha miradi mikubwa inayotekelezwa ama inayoanzishwa inatoa fursa za Ajira kwa Watanzania zaidi. Aidha, utekelezaji wa suala…
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa akiwasili kwa mara ya kwanza katika Ofisi ya Makamu wa Rais…
Na John Bukuku, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Dawa za Binadamu na Mifugo katika Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Yona Mwalwisi,…
Katibu Msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Elizaberth Komba, amesema vyombo vya habari vina nafasi…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akibofya kitufe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi Sera ya…
Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey, amewasili nchini…
Afisa habari wa TRA United ,Christina Mwagala akizungumza kuhusu mechi hiyo kesho jijini Arusha . Happy Lazaro,Arusha Arusha .TIMU ya TRA Sports Club yatamba…
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma WAZIRI MKUU, Mwigulu Nchemba, ametoa maagizo kwa mamlaka, taasisi na wadau wote wanaosimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya…
Na. MWANDISHI WETU -DODOMA Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wamekumbushwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ufanisi na kujituma ili kuhakikisha wanachangia kikamilifu…
*Awapongeza Rais Samia, Rais Mwinyi kwa kuendeleza mafanikio Na Mwandishi Wetu, Zanziba MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema…
NA NOEL RUKANUGA Mabigwa Watetezi Ligi Kuu Tanzanka Bara Yanga SC imeendeleza ubabe baada ya kuichapa Pamba Jiji mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa leo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kuwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma…
Siku za hivi karibuni kumekuwa na taharuki zilizosababisha vurugu na kukosekana kwa amani na utulivu wa jamii katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Mkoa wa…
Na Ashrack Miraji, Fullshangwe Blog, Kilimanjaro Wananchi wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wamewaomba viongozi kuhakikisha tamasha la utalii la Same Utalii Festival linafanyika…