BARABARA YA KAKONKO -MUHANGA KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI
Serikali imesema itaijenga barabara ya Kakonko kwenda mpaka wa Muhanga kupitia Gwarama (km 41.43) kwa kiwango cha lami ili kurahisisha huduma za usafiri na…
Serikali imesema itaijenga barabara ya Kakonko kwenda mpaka wa Muhanga kupitia Gwarama (km 41.43) kwa kiwango cha lami ili kurahisisha huduma za usafiri na…
Viongozi wateule wakiapa Kiapo cha Maadili kwenye hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma tarehe 08 Aprili, 2026.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Na Shaban Juma, WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kukuza utalii wa tiba, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya…
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya kikao kazi cha pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati zinazoshughulikia mafuta leo…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Momba Mhe. Condester Michael Sichalwe, Bungeni Jijini Dodoma, aliyetaka kujua…
Rais wa Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika (AU)…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, kuhusu tuzo ya Uandishi Bunifu ya Mwalimu Julius Nyerere itakayofayika Aprili 13, 2026 jijini Dar…
Na Munir Shemweta, Nairobi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Leonard Akwilapo, anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Kongamano la…
Katika hatua inayoendelea kuipa heshima Tanzania kwenye ramani ya sayansi na afya duniani, Dkt. Stellah Mpagama ametajwa miongoni mwa viongozi wa afya duniani kutoka…
Matukio katika picha; Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi waliojumuika wa Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Ndugu 𝗞𝗲𝗻𝗮𝗻𝗶 𝗞𝗶𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼𝘀𝗶, ametoa maelekezo kwa serikali kuhakikisha…
Na Ashrack Miraji fullshangwe Media Katika ukanda wa milima ya Pare Kusini, ndani ya Kata ya Vunta wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, kuna kivutio…
Mkuu wa wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, ambaye amemuwakilisha Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Albert Chalamila, amepongeza na kuwashukuru viongozi…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiweka Shada la Maua katika Kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na…
Na Mwandishi Wetu DODOMA : MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu…
▪︎ Asema hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma ▪︎ Aelekeza vituo vyote vitambuliwe na kuimarishwa Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna mtoto anayepaswa kuachwa…
Na Imani Mtumwa Maelezo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameongoza viongozi mbalimbali wa serikali na kisiasa kushiriki maadhimisho ya miaka…
Ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha elimu bora na kuwawezesha waalimu, Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam kupitia mradi wake wa…
▪︎ Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi ▪︎ Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hatua za…
Na Miza Kona, Maelezo Zanzibar Waziri Uchumi wa Buluu na Uvuvi Mhe. Masoud Ali Mohamed amesema waasisi wa Mapinduzi wamepigania na kuikomboa nchi ili…
_Atoa pole kwa wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) waliopata ajali ya moto_ Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Aprili 5, 2026, ameshiriki…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Aprili 6, 2026 anakagua madhara yaliyotokana na kuungua kwa soko la wafanyabiashara wadogo la Simu 2000, lililopo Ubungo…
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam ndiko ulikopigwa mchezo wa dabi ya Mzizima iliozikutanisha…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini Fadhil Ngajilo ameungana na waumini wa dini mbalimbali katika kuadhimisha Sikukuu ya Pasaka kwa…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imetangaza kwamba Mfaransa mwenye umri wa miaka 62 ambaye alikuwa amehukumiwa kifo na China kwa ulanguzi wa…
Na Maelezo Zanzibar 05.04.2026 Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe. Shabaan Ali Othman amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuthamini juhudi za…
Na Farida Mangube, Morogoro Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limewakamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kuhusika na matukio ya mauaji yaliyotokea katika wilaya za…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watuhumiwa (25) kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya Henry Shubati Myuwanga (50), Mwalimu wa…