JAB: TEKNOLOJIA ISITUMIKE KUHARIBU UBORA WA HABARI
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka waandishi wa habari, watangazaji na wadau wa sekta ya habari kutumia teknolojia…
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka waandishi wa habari, watangazaji na wadau wa sekta ya habari kutumia teknolojia…
Na Mwandishi Wetu Waandishi wa habari nchini wamehimizwa kuwekeza zaidi katika elimu, mafunzo na kujisomea ili kujenga uwezo wa kufanya uandishi wa uchambuzi unaolenga…
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza kutoa huduma mbalimbali za ithibati katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika…
Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Honoured to chair the 9th Meeting of the African Group of World Heritage Committee Members in Dakar, Senegal, bringing together delegates from Senegal, Angola,…
Wadau mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16, 2026…
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati), akiwa na Menejimenti Kuu ya benki hiyo wakionyesha ishara ya furaha…
Biashara yangu ilikuwa ikiendelea vizuri kwa miaka kadhaa. Nilikuwa nimejenga jina zuri na kupata wateja wengi wa kudumu. Kila siku nilifungua biashara yangu nikiwa…
Kama mzazi, hakuna kitu kilichokuwa kinaniumiza zaidi kuliko kuona mtoto wangu akihangaika shuleni. Kwa miaka kadhaa, matokeo yake hayakuwa mazuri. Kila muhula nilikuwa nikisubiri…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ni kumbusho kwa jamii kuhusu wajibu…
Katika jamii ya Kimaasai, maisha ya mwanaume hupitia hatua mbalimbali za kimila zinazoonyesha ukuaji, Miongoni mwa hatua hizo muhimu ni kufanyiwa sherehe inayojulikana kwa…
Serikali imesema utekelezaji wa miradi ya biashara ya kaboni hasa kaboni ya buluu utakapokamilika na mauzo kufanyika, itanufaisha jamii inayozunguka maeneo mengi ya Ukanda…
Na Mwandishi wetu, Mwanza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imetoa hukumu katika shauri la jinai Na. ECC 13121/2026 linalowakabili viongozi wa Chama…
Timu ya watalaam kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Juni 15, 2026 imeanza kutatua mgogoro wa malalamiko ya Kituo cha St. Charles Missionary Society, Tanzania…
Na Oscar Assenga, Tanga Mkoa wa Tanga unatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru Juni 17, mwaka huu, ambapo utakimbizwa katika halmashauri zote 11 za…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Iran na New Zealand zimetoka sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia, huku…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Belgium imetoka sare ya 1–1 na Egypt katika mchezo wa Kombe la Dunia 2026. , uliochezwa Juni 15,2026 Egypt…
▪️Ni uwekezaji wa zaidi ya Tsh Bilioni 600 ▪️Malighafi ya madini chuma kutumika kama bidhaa kuu ▪️Ajira 1500 kuzalishwa, huku ujenzi ukikamilika ndani ya…
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Hispania imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Cape Verde…
TAWLA imeitaka Serikali ya Tanzania kufanya marekebisho ya sheria zinazohusiana na ndoa za utotoni, ikieleza kuwa bado kuna vipengele vinavyokwamisha jitihada za kulinda haki…
Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha…
Na John Walter-Babati Kwa miaka mingi, wakazi wa Tarafa ya Bashnet katika Wilaya ya Babati wameishi na changamoto ya kupata huduma za kipolisi kwa…
NA DENIS MLOWE IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ameendelea kuonyesha dhamira yake ya kusimamia maendeleo ya wananchi kwa kuibana Serikali kuhusu…
NA: MWANDISHI WETU, MWANZA Hakuna kulala. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ndugu msomaji. Hii ni baada ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kuamua kukesha mitamboni…
………. KAMPUNI ya Oryx Energies Tanzania imezindua kituo kipya cha mafuta eneo la Wazo jijini Dar es Salaam huku mkakati wake wake ukiwa ni…
Na Mwandishi Wetu, Muheza Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Ayoub Sebabili, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika shughuli za mapokezi ya…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kwa kufanya…
NA: MWANDISHI WETU, MWANZA Hakuna kulala. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ndugu msomaji. Hii ni baada ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kuamua kukesha mitamboni…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mhe.…
NA DENIS MLOWE NJOMBE MRATIBU wa mbio za Uchumi Parachichi Marathon 2026, Respicius Mtabingwa, amesema maandalizi ya mbio hizo yanaendelea vizuri huku waandaaji wakijipanga…
Naibu Msajili wa Hazina, Lightness Mauki, amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwazi, uwajibikaji na usimamizi wa uwekezaji wa umma ili kuhakikisha rasilimali zilizowekezwa katika taasisi,…
Ushirikiano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SJMT) na Serikali ya Italia umeleta manufaa nchini ambapo taifa hilo limeonesha nia ya…
Na Mwandishi wetu,Mbinga HALMASHAURI ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma imesema, itahakikisha inatenga fedha za kutosha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya michezo mashuleni ikiwemo…
Kwa miaka mingi, nilihisi kama sauti yangu haikuwa na maana ndani ya familia yetu. Kila kulipokuwa na kikao cha kifamilia, wazee na ndugu wengine…