KINGOBA: UHURU WA KUTOA MAONI UENDE SAMBAMBA NA UWAJIBIKAJI
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mjumbe wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na Kaimu Meneja wa Huduma za Kiswahili wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mjumbe wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na Kaimu Meneja wa Huduma za Kiswahili wa…
Ili kuelewa mjadala kuhusu michango ya CHADEMA, ni muhimu kurejea historia ya chama hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1992, wakati Tanzania ilipoanza mfumo wa vyama…
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo (TIB), Bw. Deogratius Kwiyukwa (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 9…
Mwandishi Mkuu wa Sheria, Bw. Onorius Njole amefungua mafunzo maalum kwa Mawakili wa Serikali nchini, yanayohusu Sheria ya Fedha (Finance Act). Mafunzo hayo yamefanyika…
▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka Watanzania kuanza ujenzi wa…
DAR ES SALAAM, Julai 30, 2026 – Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ametangaza kuwa Maadhimisho ya Wiki ya Taifa ya…
Watanzania wametakiwa kuhakikisha wanatumia ipasavyo Mfumo wa NeST kukamilisha michakato ya ununuzi wa umma ili kuinua jamii kiuchumi na kuhakikisha fedha zote zinazotengwa zinasimamiwa…
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB), Frank Nyabundege, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Julai 30, 2026, katika…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Julai 30,2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa…
Mwamvua Mwinyi,Kibaha Julai 30,2026 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa maofisa maendeleo ya Jamii kuhakikisha wanazingatia Dira ya Taifa ya…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Julai 30,2026 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amesema Kongani Mpya ya Viwanda ya Misugusugu katika Manispaa ya Kibaha…
*PPRA Yatambua Ubora na Usimamizi . Arusha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Tanga imeibuka miongoni mwa taasisi zilizofanya vizuri…
Bohari ya Dawa (MSD) imeibuka kinara katika matumizi ya Mfumo wa Kitaifa wa Ununuzi wa Umma kwa Njia ya Kielektroniki (NeST) baada ya kutunukiwa…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakari Kunenge, Julai 28, 2026, amefanya ziara ya ukaguzi wa eneo la Kongani Mpya ya Viwanda la Misugusugu,…
ibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa ameshiriki Mkutano wa Tatu wa Tume ya…
Mwenyekiti wa mashindano hayo ya Redcross Marathon Arusha 2026,Dora Mushi akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo Mkurugenzi wa kampuni ya utalii ya…
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSI) chini ya kampeni yake ya #PSSSFKaribuNaJamii, Mfuko wa…
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila (kushoto), akipata maelezo kuhusu Sera ya Ununuzi wa Umma, kutoka kwa Afisa Ugavi Mwandamizi Idara ya…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Bw. Sospeter Mtwale,…
Serikali imeweka mkazo katika kuhakikisha huduma za VVU/UKIMWI, Kifua Kikuu (TB) na Malaria zinaendelea kutolewa kwa ufanisi, bila kuathiriwa na mabadiliko ya ufadhili wa…
Na Mwandishi wetu, Arusha Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki Kongamano la 10 la Ununuzi wa Umma mwaka 2026 linaloendelea jijini…
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, ametunukiwa tuzo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kutambua mchango wake katika kuimarisha upatikanaji…
Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Julai 29, 2026 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza rasmi kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari…
Na Happy Lazaro, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amewataka wananchi wote waliolipwa fidia kwenye maeneo zinapojengwa barabara zote…
Na Mwandishi Wetu, Busan, Korea Kusini Kiongozi wa jadi wa Kimasai, Isack Lekisongo Meijo, ametoa wito wa kuwepo kwa uwiano endelevu kati ya binadamu,…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Akiongoza Kikao Maalum cha…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Kungu John Malulu Julai 28,2026 katika Kata ya Kilungule iliyopo Mbagala…
Wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendesha zoezi la usafi lililofanyika sokoni hapo,…
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Thomas Chali akifungua mafunzo kuhusu mfumo wa matumizi ya nishati safi kwa wataalamu…
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa…
Some places are admired for their beauty. Others are remembered for the stories they hold. Ngorongoro is both. Addressing the 48th Session of the…
Na Oscar Assenga, TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dkt. Batilda Burian, amewataka wananchi kuacha ukataji holela wa mikoko na kushiriki kikamilifu katika…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wametoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Jamus SSFC katika mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya…