Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo

Belgium imetoka sare ya 1–1 na Egypt katika mchezo wa Kombe la Dunia 2026. , uliochezwa Juni 15,2026

Egypt walipata goli la kwanza kupitia Emam Ashour dakika ya 20. Belgium wakasawazisha kupitia Goli la Kujifunga Kwa Beki wa Misri kipindi cha pili.