Top Stories
View all
BARAZA LA WAFANYAKAZI MKOA WA DODOMA LAKUMBUSHWA KUSIMAMIA UFANISI WA WAFANYAKAZI
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amewakumbusha wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa juu ya umuhimu wa…
RC SENYAMULE ATAKA VIJANA NA WAFANYABIASHARA KUNUFAIKA NA FURSA ZA ZABUNI ZA SERIKALI
π Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule amewataka vijana, wafanyabiashara na makundi maalum nchini kutumia kikamilifu fursa zinazopatikana katika zabuni za…
MRADI WA KOKOTO WAFUNGUA FURSA MPYA ZA UCHUMI NJOMBE
πNjombe Mradi mkubwa wa uzalishaji wa kokoto uliopo mtaa wa Kambarage kata ya Njombe Mjini, unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa kokoto na kuchochea shughuli za…
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
Arusha Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani (IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa utendaji na…
βWAKAGUZI WA MIGODI NA BARUTI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA UADILIFU KAZINI
πMwanza Wakaguzi wa Migodi na Baruti nchini wametakiwa kuendelea kuzingatia sheria, kanuni na uadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuimarisha usimamizi wa shughuli…
TANZANIA NA URUSI ZAJADILI USHIRIKIANO WA KIMKAKATI
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo…
HABARI PICHA: MKURUGENZI MKUU WA VETA AKIFUATILIA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA MADINI FINLAND
Matukio mbalimbali katika picha yakionesha Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA Anthony Kasore akiwa amembatana na baadhi ya viongozi wa menejimenti ya VETA Makoa Makuu…
TBS YASOGEZA HUDUMA KARIBU, YAJENGA MAABARA MPYA DODOMA, MWANZA NA ARUSHA
π Bungeni, Dodoma WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imeendelea kuimarisha udhibiti wa ubora wa bidhaa za chakula na…
TIRDO YAIMARISHA HUDUMA ZA UTAFITI WA VIWANDA
π Bungeni,DodomaΒ Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) imeendelea kuimarisha sekta ya viwanda nchini kwa…
KAPINGA: SERIKALI YAIMARISHA VITA DHIDI YA BIDHAA BANDIA
π Bungeni, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeendelea kupambana na bidhaa bandia nchini kupitia operesheni maalum zilizofanywa na Tume ya Ushindani (FCC), ambapo…
π¦ππ₯πππππ ππ‘πππ‘πππππ ππ¨π£π’πππ π ππ’π‘π π¬π π πππ’π₯ππ¦ππ’ π¬π π¦πππ₯ππ π¬π ππππ π¨
Serikali imetoka rai Kwa wananchi kushiriki kutoa maoni juu ya maboresho ya Sheria ya Elimu, Sura ya 353 kupitia tovuti, Mitandao ya Kijamiiya Wizara…
NILIVYOPATA FURAHA BAADA YA KILA BIASHARA NILIYOANZISHA KUFELI MPAKA NIKAANZA KUAMINI SIJQZALIWA KUFANIKIWAΒ
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kuamini labda mafanikio hayakuwa sehemu ya maisha yangu. Nilikuwa mtu wa ndoto kubwa. Sikupenda kutegemea watu, na…
WAUGUZI, WAKUNGA WAHIMIZWA UTENDAJI WA MABADILIKO, KULINDA UTU WA MGONJWAΒ
Na Hassan Kimweri, WAF – DodomaΒ Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayeshughulikia Dawa na Vifaa Tiba, Bw. Emmanuel Tayari, amewataka Viongozi wa…
VIJANA, WAFANYABIASHARA NA MAKUNDI MAALUM WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZABUNI ZA UMMA
Β Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule akifungua mafunzo ya fursa na haki za wafanyabiashara na makundi maalum katika michakato ya ununuzi wa…
SERIKALI YAELEZA MIKAKATI YA KULINDA WATOTO WA MAZINGIRA HATARISHI NA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUELEKEA DIRA 2050
Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati…
WAZIRI DKT. GWAJIMA ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA MAZINGIRA BORA YA KAZI KWA WATUMISHI
Na WMJJWM β Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watumishi wa Wizara hiyo kufanya…
YANGA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabigwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Sc imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 ya dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliochezwa leo…
TIRDO YASAJILI VIWANDA 25,650, SERIKALI YAONGEZA NGUVU MAABARA ZA KISASA
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imeendelea kuimarisha sekta ya viwanda nchini huku Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) likisajili…
MHE. DKT. KIKWETE APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA FEDHA ZA GALA DINNER ZA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete…
DC ARUSHA AZINDUA RASMI CHAPA MPYA YA GESI SAFI YA KUPIKIA LOTI GAS ,AHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude akizungumza kwenye uzinduzi huo jijini Arusha Mkurugenzi waΒ Kampuni ya Loti Energies Bw. Collins KimaroΒ akizungumza kwenye…
SALOME: NGUZO ZA ZEGE NA CHUMA KUTUMIKA KUKABILI CHANGAMOTO YA KUANGUKA KWA NGUZO ZA UMEME ZA MITI.
NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia TANESCO inaendelea kubadilisha nguzo chakavu kwa kuweka nguzo imara zaidi, zikiwemo nguzo za zege…
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA BALOZI WΓ NORWAY NCHINI TANZANIA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano…
TANZANIA KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Martha Ngalowera, kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…
WAKULIMA TUNDURU WAUZA UFUTA KILO 994,618 WENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2,463,668,786
Baadhi ya wakulima wanaohudumiwa na Chama kikuu cha ushirika wilaya ya Tunduru(TAMCU LTD)wakifuatilia mwendendo wa mnada wa kwanza wa zao la ufuta uliofanyika jana…
KAMATI YA BUNGE YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA BILIONI 200 ILI KUWAWEZESHA VIJANAΒ
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Mjini, Mariam Ditopile, ameipongeza…
UCHAMBUZI: RAIS SAMIA APAZA SAUTI UTEKELEZAJI MIPANGO YA NYUKLIA AFRIKA
Na John Bukuku, Dar es Salaam Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa Uvumbuzi wa Nishati…
MIRADI YA UTAFITI KUINUA KILIMO NA MAENDELEO SUA
Na Farida Mangube MorogoroΒ Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utekelezaji wa miradi mipya 12 ya utafiti yenye thamani ya jumla ya…
TMA YATOA ELIMU YA HALI YA HEWA KWA WAVUVI KUPITIA MRADI WA ECOFISH
Pemba, 20 Mei 2026. Mradi wa ECOFISH unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Denmark kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania…
NILIVYOFUNGUA M-PESA YANGU TENA BAADA YA WATEJA KUPUNGUA NA BIASHARA KARIBU KUFUNGWA KWA KUKOSA WATEJA
Biashara yangu ilikuwa kila kitu kwangu. Nilikuwa nimewekeza muda, nguvu, na pesa nyingi kuhakikisha mambo yanaenda sawa. Kila siku nilikuwa naamka mapema kufungua biashara…
HUDUMA ZA FISTULA ZITOLEWE HADI NGAZI YA JAMII KUFIKIA MALENGO YA 2030
Na Atley Kuni, WAF β Nkinga Tabora Wataalamu wa afya kutoka Wizara ya Afya pamoja na wadau wa mapambano dhidi ya fistula wamehimizwa kuimarisha…
ZIWA VICTORIA LIPATE USIMAMIZI IMARA VIONGOZI WAAHIDI MAPAMBANO YA PAMOJA YA USALAMA NA MAZINGIRA
Maadhimisho ya Kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria yamefanyika katika Viwanja vya Nyamhongolo jijini Mwanza yakiweka historia mpya kwa ukanda wa Afrika Mashariki, yakisisitiza…
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAENDELEA KUTEKELEZA MAPENDEKEZO YA TUME YA HAKI JINAI
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeendelea kutekeleza mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai kwa kutoa mafunzo…
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA β RIDHIWANI
Na Mwamvua Mwinyi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema serikali itaendelea kuboresha maslahi…