DCF NZALAYAIMISI ATEMBELEA BANDA WIZARA MAMBO YA NJE: ATOA PONGEZI
Na: Charles Kuzenza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Naibu Kamishna (DCF) Puyo Nzalayaimisi ametembelea Banda…
Na: Charles Kuzenza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Naibu Kamishna (DCF) Puyo Nzalayaimisi ametembelea Banda…
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amelipongeza Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA…
Timu ya Taifa ya Marekani imeendelea kuonyesha kiwango bora katika Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Australia…
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi, kuhusu mikopo, elimu ya…
Vyuo vikuu nchini vinapaswa kuifanya agenda ya umataifishaji kuwa sehemu ya mikakati yake ya msingi kwa kuijumuisha katika ufundishaji, utafiti, ubunifu na huduma kwa…
NA: MWANDISHI WETU, DODOMA Watanzania na wapenda maendeleo nchini wameombwa kuishika mkono familia ya Bi.Victoria Mkwizu, aliyejifungua watoto watano, Juni 13, 2026, katika Hospitali…
Na Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Mzee Kayumba, mkazi wa Dodoma, amefurahishwa na huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)…
Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau wa maafa nchini katika Kikao cha Jukwaa la Taifa la Wadau wa Usimamizi wa Maafa kilicholenga kupitia…
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia Bi .Felista Rugambwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya kisoshalisti ya Vietnam Nchini Tanzania…
▪️Akutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Faru Graphite ▪️Awataka kuharakisha utekelezaji wa mradi na malipo ya fidia kwa wananchi ▪️Faru Graphite waahidi kuendelea…
Wakati Afrika ikiadhimisha Mwezi wa Mtoto wa Afrika mwezi Juni, ambao hutoa fursa kwa jamii kutafakari haki, ustawi na mustakabali wa watoto wa bara…
*Asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima *Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1 *Awapongeza Wafanyakazi kwa…
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameongoza kikao kazi kinachohusu mapitio ya Mapendekezo ya Marekebisho ya Sheria ya Jeshi la Polisi…
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 21 Juni…
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafugaji nchini kuanzisha mashamba ya malisho na kutumia teknolojia za kisasa za ufugaji ili kuongeza tija na kupata…
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Zaidi ya wananchi 2,000 wamejitokeza kupata huduma katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi iliyoandaliwa na Taasisi ya…
Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufani za Zabuni za Umma (PPAA), Bw. James Sando, akiscan msimbo kupata Jarida la Hazina Yetu, linaloandaliwa na Kitengo…
Na Mwandishi Wetu, Songea Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendesha mafunzo ya siku moja kwa vijana, wafanyabiashara, wakandarasi, watoa huduma na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania,…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewakaribisha wananchi kutembelea banda la ofisi katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya…
Timu ya Taifa ya Mexico imefuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kukusanya pointi 6 kutokana na ushindi…
Bahi, Dodoma. Serikali imeipongeza NMB Bank Plc kwa kujenga shule ya sekondari ya bweni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu wilayani Bahi, mradi wa Sh5…
Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na…
Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kujivunia mafanikio ya matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa kieletroniki…
Na Shaban Juma, Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa vifaa tiba na rasilimali watu katika sekta…
📍Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi wa Migodi na Mazingira kwa lengo la kuhakikisha shughuli za…
John Bukuku, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika kipindi cha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake imepata mafanikio makubwa katika…
Kwa muda mrefu, nilihisi kama kuna jambo halikuwa sawa katika maisha yangu. Kila nilipopanga jambo muhimu, lilikuwa linaharibika dakika za mwisho. Wakati mwingine biashara…
Mkurugenzi wa Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bw. Eleuter Mangi (kulia), akipata maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na Ofisi ya…
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechaguliwa kuwa Mratibu wa Nchi za Afrika katika Ajenda ya Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Mobility). Hayo…
Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewahimiza wazazi na walezi kuimarisha…
Kuanzia siku niliyoolewa, ndoto yangu kubwa ilikuwa kuwa mama. Nilikuwa nikitamani kushika mtoto wangu mikononi na kujenga familia niliyokuwa nimeiota kwa muda mrefu. Miezi…
Na John Bukuku Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefungua rasmi dirisha la uombaji wa mikopo kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga…
Na John Bukuku, Dar es Salaam, Wakili Emma Gelani kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma amesema Sheria ya Maadili ya Viongozi wa…