Top Stories
View all
ENGLAND YAIBUKA NA USHINDI WA 4-2 DHIDI YA CROATIA
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo England imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Croatia katika mchezo uliomalizika kwa dakika 90 (FT), ukiwa…
KIKWETE: TATHMINI ZA UTENDAJI ZISIWANYIME WATUMISHI HAKI YA KUPANDA MADARAJA
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema…
URENO YALAZIMISHWA SARE NA DR CONGO
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Timu ya taifa ya Ureno imeanza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya…
WANANCHI WAMEENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA AFYA ZINAZOTOLEWA NA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA KWENYE VIWANJA VYA CHINANGALI PARK
Na Jeremia Mwakyoma- BMH DODOMA – JUNI 17, 2026 Wananchi mbalimbali wameendelea kutembelea banda la Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) lililopo katika Viwanja vya…
RAIS SAMIA KUZINDUA AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA ZANZIBAR
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua Awamu ya Pili ya Kampeni ya…
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YAHIMIZA VIJANA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog,Dodoma DODOMA: Wizara ya Viwanda na Biashara imewahimiza wananchi, hususan vijana na wajasiriamali, kutumia kikamilifu fursa zinazotolewa na taasisi zake ili…
DCP NGOSO, DCF NGENYA NA DCI MWAIFUGE WAJIONEA HUDUMA NA SHUGHULI ZA UREKEBISHAJI KATIKA BANDA LA MAGEREZA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Usimamizi wa Maadili na Ushughulikiaji wa Malalamiko (Mrejesho) wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna…
WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTOA ELIMU YA USALAMA WA MTOTO MTANDAONI
Na Mwandishi Wetu, WMJJWM Dar Es Salaam. Waandishi wa habari na waandaaji wa vipindi vya watoto nchini wametakiwa kutumia vyombo vyao vya habari kuelimisha…
KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 , TRA YAFANYA KONGAMANO LA MAADILI NA VIONGOZI WA DINI
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Mambo ya Ndani (INAD), leo Juni 17, 2026 imeandaa Kongamano la Maadili lililowakutanisha viongozi wa dini…
SIMBA YAONGEZA PRESHA MBIO ZA UBINGWA, YAICHAPA MBEYA CITY
NA MWANAMICHEZO WETU, NOEL RUKANUGA Simba SC imeendeleza ubabe wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya leo, Jumatano, Juni 17, 2026, kuichapa Mbeya…
WADAU WA MADINI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA SHERIA KUONGEZA MANUFAA KWA TAIFA
📍DODOMA Wadau wa Sekta ya Madini wamehimizwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia shughuli za madini ili kuhakikisha rasilimali hizo zinaendelea kuchangia maendeleo ya…
MSHIKAMANO WA KITAIFA WAPEWA KIPAUMBELE KATIKA KIKAO CHA WAZIRI SANGU NA VYAMA VYA SIASA
Na. OWM (KAM), Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema mahusiano mema, mazungumzo ya kujenga…
ELIMU YA HAKI ZA BINADAMU YATAJWA MUHIMU KULINDA MASLAHI YA WAVUVI MAFIA
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo ya uzingatiaji wa haki za binadamu katika ufikiaji, upatikanaji…
HABARI PICHA: WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA VETA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Katika picha ni Waziri wa Ofisi ya Raisi- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kiwete wapili kutoka kulia akipata…
JUKWAA LA KWANZA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI LAZINDULIWA MWANZA,WATAKIWA KUZINGATIA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA
Mkuu wa Wilaya ya Misungwi johari samizi (kulia) akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wazamini wa jukwaa la wataalam wa ununuzi na ugavi lililozinduliiwa…
TARURA YAFUNGUA FURSA ZA AJIRA KUPITIA VIKUNDI VYA KIJAMII VYA MATENGENEZO YA BARABARA
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia mradi wa RISE imeendelea kuimarisha ushiriki wa wananchi katika shughuli za matengenezo ya barabara kwa…
TEEMO YAZINDUA KITUO CHA UKUSANYAJI WA PLASTIKI KUKABILI TISHIO LA UCHAFUZI WA BAHARI MAFIA
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia Uchafuzi wa mazingira unaotokana na taka za plastiki zinazotupwa ovyo baharini umeendelea kuwa tishio kubwa kwa mifumo ya ikolojia ya…
SERIKALI YAENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUPATA MITAJI, MAFUNZO NA MASOKO
Na Jackline Minja, WMJJWM Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha jitihada za kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia upatikanaji wa mitaji, mafunzo na masoko ili kuongeza ushiriki wao…
WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTOA ELIMU YA USALAMA WA MTOTO MTANDAONI
Na John Bukuku, Dar es Salaam. Waandishi wa habari na waandaaji wa vipindi vya watoto nchini wametakiwa kutumia vyombo vyao vya habari kuelimisha…
NILIVYOINUA TENA BIASHARA YANGU ILIYOKUWA IMEPOROMOKA BAADA YA KUPATA MWELEKEO MPYA WA KUFANYA MAAMUZI
Biashara yangu ilianza vizuri sana. Mwanzoni nilikuwa napata wateja kila siku na mauzo yalikuwa yakiongezeka. Lakini baada ya muda, mambo yalibadilika ghafla. Wateja wakapungua,…
NILIVYOSHINDA WASHINDANI WANGU SOKONI BAADA YA BIASHARA YANGU KUWA YA MWISHO KWENYE MAUZO KWA MIEZI KADHAA
Nilipoanzisha biashara yangu, nilikuwa na matumaini makubwa ya kufanikiwa. Nilijituma kila siku kuhakikisha wateja wanapata huduma nzuri na bidhaa bora. Mwanzoni mambo yalikuwa yanaenda…
CHATANDA: SERA YA KUTOFUNGAMANA UPANDE WOWOTE ITATUPA FURSA NYINGI ZA KIUCHUMI
NA: MWANDISHI WETU, DODOMA Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mary Chatanda,…
HABARI PICHA: KAIMU KAMISHNA WA USTAWI WA JAMII AKUTANA NA WATOTO KATIKA KONGAMANO LA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KIKOMBO
Matukiokatikapicha Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Faithmary Lukindo akizungumza kwa niaba ya Katibu…
UFARANSA YAANZA KOMBE LA DUNIA KWA USHINDI DHIDI YA SENEGAL
Na. Fullshangwe Blog, Updates Michezo Timu ya Taifa ya Ufaransa imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi…
JESHI LA MAGEREZA LASHIRIKI MAADHIMISHO YA KITAIFA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Jeshi la Magereza kwa mara nyingine tena linashiriki kikamilifu kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa…
MAGARI MABOVU 07 YAKAMATWA, MADEREVA WENYE LESENI ZILIZOISHA MUDA WACHUKULIWA HATUA-SONGWE.
Magari saba (07) yaliyobainika kuwa na ubovu mkubwa yameondolewa namba za usajili, mengine yakatozwa faini huku baadhi yakielekezwa kurekebisha kasoro mbalimbali za kiufundi, kufuatia…
VULLU AWASIHI WAZAZI KUIMARISHA MALEZI,HUKU AKIGUSIA HATARI KWA WATOTO WA KIUME
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Juni 16, 2026 Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Pwani, Zainab Vullu, amewasihi wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto kwa…
TANZANIA NA CANADA KUSHIRIKIANA KWENYE UTAFITI WA KINA WA MADINI NCHINI
▪️Serikali ya Canada yavutiwa na MINING VISION 2030 ▪️Utafiti kugusa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kaskazini ya Tanzania ▪️Waziri Mavunde awaelekeza GST kuainisha…
WATUMISHI SABA MANYONI NA MZABUNI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA UTAKATISHAJI FEDHA MILIONI 501
Na John Bukuku Watumishi saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni pamoja na mzabuni mmoja wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni wakikabiliwa na…
KITUO CHA KUBADILISHIA UMEME MBANDE KUIMARISHA UHAKIKA WA UMEME KONGWA NA WILAYA JIRANI
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amezindua Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja…
REA YAWAALIKA WADAU KUTEMBELEA BANDA WIKI YA UTUMISHI KWA UMMA CHINANGALI
Msangira aeleza utekekezaji wa miradi ya Wakala nchini Chinangali Park – Dodoma Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu, Bw. Renatus Msangira kutoka Wakala wa Nishati…
EWURA YAFIKIA WANANCHI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma…
TANZANIA YAPIGA HATUA UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WAFIKIA 29.6%
Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam TANZANIA imeonyesha mafanikio makubwa katika kupanua upatikanaji wa nishati safi ya kupikia, ambapo kiwango cha kitaifa cha upatikanaji…
JAB: TEKNOLOJIA ISITUMIKE KUHARIBU UBORA WA HABARI
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewataka waandishi wa habari, watangazaji na wadau wa sekta ya habari kutumia teknolojia…