Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Dkt. Zeyana Abdallah Hamid wakati wa kikao cha Bunge jijini Dodoma leo Juni 15, 2026. Aliyekaa mbele ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile.
HABARI PICHA WAZIRI MASAUNI ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE
By John Bukuku
June 15, 2026 | 9:05 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
19 minutes ago
AWESO AKESHA MITAMBONI USIKU KUHAKIKISHA MAJI YANATOKA MWANZA
NA: MWANDISHI WETU, MWANZA Hakuna kulala. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ndugu msomaji. Hii ni baada ya Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, kuamua kukesha mitamboni…
Mchanganyiko
1 hour ago
UCHUMI PARACHICHI MARATHON 2026 KUMTANGAZA MKULIMA BORA NA FURSA ZA UCHUMI NJOMBE
NA DENIS MLOWE NJOMBE MRATIBU wa mbio za Uchumi Parachichi Marathon 2026, Respicius Mtabingwa, amesema maandalizi ya mbio hizo yanaendelea vizuri huku waandaaji wakijipanga…