RAIS WA KENYA WILLIAM SAMOEI RUTO AWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto CGH, amewasili nchini Tanzania kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili Mei 4 na 5,…
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto CGH, amewasili nchini Tanzania kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili Mei 4 na 5,…
Na Silivia Amandius Kagera. Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa majiko banifu nchini, ambapo jumla ya majiko 200,000 yatasambazwa kote Tanzania ili kuhamasisha matumizi…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) na Balozi wa Uturuki nchini, Mhe. Balozi Dkt. Bekir Gezer, wakisaini Mikataba ya Kuondoa Utozaji…
Mkurugenzi wa Shughuli za Baraza la Wawakilishi Othman Ali Haji akitoa Taarifa kwa Vyombo vya Habari mbalimbali kuhusiana na Kuanza kwa Kikao cha Baraza…
Na Happy Lazaro, Arusha NAIBU Waziri katika Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Dkt. Pius Stephen Chaya, amewataka wafanyabiashara nchini kutumia kikamilifu fursa…
▪︎ Asema mapambano dhidi ya uhalifu yanahitaji mshikamano wa kimataifa_ ▪︎ Aeleza teknolojia ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na uhalifu wa kisasa_ WAZIRI MKUU,…
Mwenyekiti wa chama kikuu cha ushirika wilaya ya Tunduru(TAMCU LTD)Mussa Manjaule kushoto na meneja masoko wa benki ya CRDB Kanda ya kusini Emanuel Biganio,wakibadilishana…
Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya wilaya Mbinga wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Joseh Kashushura wa pili kulia na mwenyekiti wa Halmashauri…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Christian Makonda amesema Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na…
Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa ufafanuzi kuhusu sakata la wafanyabiashara wa lililokuwa soko la Rehema Nchimbi…
Na Mwandishi Wetu Dodoma, Mei 04, 2026 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amesema sekta zilizo chini ya wizara yake…
Na Oscar Assenga, Tanga Mkoa wa Tanga unaendelea kuandika historia mpya ya kiuchumi kufuatia kuongezeka kwa kasi kwa wawekezaji na kuimarika kwa miundombinu, hatua…
📍BUNGENI DODOMA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda akiwa pamojana mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast…
Nilikuwa karibu kukata tamaa kabisa na biashara yangu kabla ya kugundua njia iliyobadilisha maisha yangu. Mimi ni Mariam kutoka Arusha, na nilikuwa na biashara…
Maumivu ya ndoa yenye usaliti Neema Mwashighadi, mkazi wa Voi, anasema aliishi katika ndoa yenye huzuni kwa muda mrefu kutokana na tabia ya mume…
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, akizungumza jambo leo Mei 3, 2026 wakati akikagua maendeleo ya mradi wa nyumba 144 unaotekelezwa na Wakala wa…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM, Festo Shem Kiswaga, ambaye anatoka katika eneo la Iringa Vijijini, leo amezungumza…
Mkuu wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Bi. Rukia Zuberi, ametoa wito kwa wananchi wa wilaya hiyo kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo ya viongozi…
Kesi yangu ilianza kama jambo dogo, lakini iligeuka kuwa mzigo mkubwa uliotishia maisha yangu yote. Nilijikuta nimeshtakiwa kwa kosa ambalo, kwa namna fulani, lilinionyesha…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imelazimishwa sare ya mabao 2–2 na Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa leo, Mei 3,…
Kwa muda mrefu nilikuwa nikipoteza vitu nyumbani bila kuelewa kinachoendelea. Mara simu inapotea, mara pesa zinapungua, mara vifaa vidogo vidogo vinatoweka bila dalili yoyote.…
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, Amezindua ofisi mpya za Jumuiya ya Wanahabari ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za nishati na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo na Ujumbe wa Rwanda uliongozwa na…
Na.Sophia Kingimali Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Prof. Said Mohammed, ametangaza rasmi kuanza kwa mitihani ya taifa ya kidato cha sita…
Pemba, Zanzibar | 30.04.2026. Kampuni ya huduma za fedha kidigitali, Mixx, imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuimarisha uchumi wa wakulima wa karafuu Zanzibar kwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mhe. Paul Kagame…
Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili…
NA DENIS MLOWE IRINGA KIJANA mzalendo Alphonce Myinga, maarufu Black, ameendeleza jitihada za kuhamasisha uzalendo kupitia hatua ya kuwagawia mafuta zaidi ya vijana 100…
_▪︎ Asema dini ni nguzo muhimu ya malezi na mshikamano wa Taifa_ _▪︎ Asisitiza jamii kuendelea kuombea na kulinda amani ya nchi_ Waziri Mkuu,…
Dodoma, Mei 02, 2026 Mkoa wa Dodoma umefikia hatua muhimu katika safari ya kujenga jamii salama, jumuishi na yenye haki kwa wote, kwa kuzindua…
Meneja wa huduma za maabara Hospitali ya misheni Litembo wilayani Mbinga Deograsias Ndunguru,akionyesha baadhi ya vifaa vya kuhifadhi damu na kutambu magonjwa mbalimbali kwa…