Top Stories
View all
KAGAME, RUTO KUFANYA ZIARA TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIKANDA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza ujio wa viongozi wawili wa Afrika Mashariki, Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame na…
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AHIMIZA WANANCHI KULINDA MIRADI YA UMWAGILIAJI
*Makambako, Njombe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewataka wananchi wa Wilaya ya Makambako mkoani Njombe na…
WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA YA MTILI–IFWAGI, AAGIZA KUHARAKISHWA KWA SEHEMU ZILIZOSALIA
▪︎ Asema ujenzi uendelee hadi kukamilisha km 58 zote kwa kiwango cha lami ▪︎ Asisitiza kukamilishwa kwa usanifu na upatikanaji wa fedha kwa wakati…
DKT. MWIGULU AAGIZA WANANCHI MUFINDI WALIPWE SH. MILIONI 5.6 ZA PAPO HAPO
*Ni za madai ya zaidi ya miaka mitatu iliyopita WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amefanikisha kulipwa papo hapo madeni ya wananchi wa Mufindi yenye…
TANZANIA YAANZA ENZI MPYA UZALISHAJI WA HELIUM DUNIANI
*Yajipanga Kubeba Suluhu ya Uhaba wa Gesi hiyo Duniani* *Helium One Global Yasema Akiba ya Songwe ina Thamani Kubwa Kijiolojia* *Mradi Kuanza Kutekelezwa baada…
DKT. MWIGULU AAGIZA UJENZI WA BARABARA MUFINDI KUSINI, ASISITIZA AHADI ZA RAIS ZINATEKELEZWA
▪︎ Aagiza TANROADS kumpata mkandarasi ndani ya wiki mbili ▪︎ Aelekeza fedha za awali zitolewe mara moja kuanza ujenzi Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba,…
MKURUGENZI WA BAHI AIPONGEZA HABITAT TANZANIA
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, Bi. Albina Mtumbuka, amelipongeza na kulishukuru Shirika la Maendeleo la Habitat…
NILIVYOWAKAMATA WEZI BAADA YA VITU WALIVYOIBA KUKWAMA GHAFLA NA KUSHINDWA KUTOKA NJE YA NYUMBA
Kwa muda mrefu nilikuwa nikipoteza vitu nyumbani bila kuelewa kinachoendelea. Mara simu inapotea, mara pesa zinapungua, mara vifaa vidogo vidogo vinatoweka bila dalili yoyote.…
WAHANDISI WATATU WA MAJI KIGOMA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UHUJUMU UCHUMI WA SHILINGI MILIONI 103
Wahandisi watatu wa rasilimali za maji kutoka Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Tanganyika (LTBWB) mkoani Kigoma wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma…
NSSF YAPOKEA TUZO YA SHUKRANI KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI 2026
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, akipokea tuzo kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuzo…
MKUU WA MKOA WA KATAVI ATOA SIKU 30 WATUMISHI AJIRA MPYA KULIPWA
Baadhi ya wafanyakazi wa mkoa wa Katavi. ……………… Na. Mwandishi wetu Katavi Mkuu wa mkoa wa katavi bi. Mwanamvua Mrindoko ametoa siku thelathini kwa…
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI, YATOA WITO KWA MASHIRIKA YA UMMA KUONGEZA UFANISI
Dar es Salaam, Mei 1, 2026 Ofisi ya Msajili wa Hazina, Leo Ijumaa, Mei 1, 2026, imeshiriki kikamilifu maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani…
WATUMISHI WA VETA WAUNGANA NA WAFANYAKAZI KUADHIMISHA MEI MOSI DODOMA
Watumishi wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi (VETA) wakiandamana katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) Mkoa wa Dododma, tarehe…
DCEA, TFS WATEKETEZA EKARI 68 ZA BANGI TABORA, WATU 7 WAKAMATWA
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) pamoja na Kamati ya Ulinzi…
DKT.SAMIA ASISITIZA HAKI NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI
Na Mwandishi Wetu, Njombe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na…
SUA YASISITIZA MCHANGO WA WAFANYAKAZI, YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI
Farida Mangube, Morogoro Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesisitiza kuwa mafanikio yake katika tafiti, ufundishaji na utoaji wa huduma kwa jamii yanategemea…
MZUMBE YAUNGANISHA WATAFITI NA JAMII KUKABILI ATHARI ZA TABIANCHI NA CHANGAMOTO ZA MAJI
Farida Mangube Morogoro Juhudi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na changamoto za upatikanaji wa maji zimepata msukumo mpya kufuatia kuimarishwa kwa…
MAKONDA: UHURU WA HABARI HAUWEZI KUDUMU BILA UCHUMI IMARA KWA WANAHABARI.
Happy Lazaro,Arusha . Arusha.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, amesema uhuru wa vyombo vya habari hauwezi kuwa wa kweli kama…
RAIS SAMIA ASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI, ASISITIZA UWAJIBIKAJI KUKUZA TIJA NA USTAWI WA WAFANYAKAZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Vikombe, tuzo pamoja na vyeti kwa Wafanyakazi Hodari kutoka Wizara mbalimbali…
WATUMISHI WA UJENZI WAUNGANA NA WAFANYAKAZI KUADHIMISHA MEI MOSI DODOMA
Watumishi wa Wizara ya Ujenzi, leo Mei 01, 2026, wameungana na wafanyakazi wengine katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kudumisha juhudi, mshikamano na…
AfroExchange YAIBUA MJADALA WA KUFIKISHA MUZIKI WA TANZANIA KIMATAIFA KUPITIA DJs
Jijini Dar es Salaam jana kulishuhudiwa mjadala muhimu uliowakutanisha wadau wa tasnia ya muziki kupitia jukwaa la AfroExchange, lililodhaminiwa na Johnnie Walker, kwa lengo…
WATAALAMU WATAKIWA KUYATUMIA MAFUNZO VIZURI KUKABILIANA NA MAAFA
Na Mwandishi wetu- Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala amewataka wataalamu ambao wamepatiwa…
WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA WASHIRIKI MEIMOSI DODOMA.
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha, wakiwa katika maandamano ya Mei Mosi wakielekea katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki…
NAIBU MEYA DAR ES SALAAM AWAPA HAMASA VIJANA VETA FURAHIKA
Na.Sophia Kingimali Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam, John Rioba Mrema, amewataka vijana wanaosoma katika Chuo cha VETA Furahika kutumia fursa ya…
WAFANYAKAZI WA THBUB WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, amewataka waajiri nchini kuzingatia maslahi ya wafanyakazi wao ili kuhakikisha kunakuwa na ustawi na…
WATUMISHI WIZARA YA AFYA WATOA MIL. 15 KUSAIDIA WAHITAJI HOSPITALI MIREMBE, SIKU YA MEI MOSI 2026
Na Atley Kuni, WAF-Dodoma Watumishi wa Wizara ya Afya wameshekea Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani kwa kufanya matendo ya Huruma mara baada ya kuchangia vitu…
MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla ametuma ujumbe wa shukrani na pongezi kwa wafanyakazi wa Wakala hiyo, siku ya maadhimisho…
NMB BAGS FIVE NATIONAL AOSH AWARDS FOR SECOND YEAR RUNNING
NMB Bank Plc has once again affirmed its leadership in workplace safety, employee wellbeing and organisational excellence after winning five accolades at the national…
DKT. AKWILAPO AKUTANA NA WADAIWA WA KODI YA PANGO LA ARDHI KIGOMA
#Asisitiza umuhimu wa kulipa Kodi ya ardhi kwa wakati #Aahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili Na Munir Shemweta, KIGOMA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…
MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA IRINGA DC WAJIKITA KATIKA KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI
NA DENIS MLOWE IRINGA MKUTANO wa Baraza la Madiwani Robo ya Tatu wa mwaka wa fedha 2025/2026 wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa umetamatika…
DKT. KISENGE AWAPONGEZA WAFANYAKAZI JKCI, ASISITIZA UFANISI NA WELEDI KAZINI
Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge, amewapongeza wafanyakazi wa taasisi hiyo kwa…
WANAFUNZI WA UKUNGA, UUGUZI NA UTABIBU CHUO CHA AFYA LITEMBO WAIOMBA SERIKALI MIKOPO KUTIMIZA NDOTO ZAO
Na Mwandishi Wetu,Mbinga WANAFUNZI wa fani ya utabibu,uuguzi na ukunga wanaosoma katika chuo cha afya Litembo wilayani Mbinga,wameiomba Serikali kuhakikisha inatoa mikopo kwa wanafunzi…