Top Stories
View all
JAFO AONGEZA SIKU 30 UKAMILISHAJI WA HOSPITAL ZA WILAYA
……………………….. Nteghenjwa Hosseah, Singida Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo ametoa siku 30 kwa Halmashauri…
“TUNA OFISI 29 MIKOA YOTE TANZANIA BARA NA ZANZIBAR, FIKENI MUHUDUMIWE”: PSSSF
NA Khalfan Said WANACHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma, (PSSSF) popote pale walipo Tanzania bara na Visiwani, wamesogezewa huduma…
NIKIFANYA KAZI NA FID Q HUWA NAFURAHI-ROSA REE
************** NA EMMANUEL MBATILO Rapa wa kike hapa nchini Rosa Ree amefunguka kwa kusema kuwa mara nyingi hupendelea kufanya kazi na Fid Q kwani…
RAIS MAGUFURI ATEMBELEA STENDI YA DALADALA BUKOBA KUELEKEA KOROGWE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Abiria wa Daladala iliyokuwa ikitoka Bukoba…
TAKUKURU TANGA YAOKOA MILIONI 23 KWA KIPINDI CHA MIEZI MIWILI
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga Christopher Mariba akizungumza na waandishi wa habari mkoani Tanga wakati akitoa taarifa ya kuzuia na kupambana na rushwa…
WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA MISRI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel Fatah Al Sisi, katika Ikulu ya Rais, mjini Cairo, Julai…
WAZIRI LUGOLA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA SHULE MPYA YA MSINGI MWIBARA, SERIKALI YAWAPA NGUVU, YATOA MILIONI 96
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Namalebe, Kata ya Chitengule, Jimbo la Mwibara, Wilayani Bunda…
WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA NJOMBE
************** NJOMBE Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amezindua utoaji wa huduma za afya katika hospitali mpya ya…
DKT. KIJAJI AAHIDI KUTATUA MGOGORO WA ARDHI IHARI
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kondoa, Dodoma, Alhaji Othman Gora akiwasalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ihari wilayani humo ambapo…
KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA AFANYA MAZUNGUMZO NA PROF. KABUDI
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland akisalimiana na waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John…
MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa…
ASILIMIA 90 YA WAGONJWA WA MOYO WANATIBIWA TANZANIA
Mratibu Mkuu wa kampuni ya SUKOS KOVA Foundation Rahma Kova akimwelezea Naibu waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine…
AFISA WA USHIRIKA WA WILAYA YA TANGANYIKA NA WENZAKE WASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA KUUZA TUMBAKO KIMAKOSA
************** TANGANYIKA Afisa ushirika wa wilaya ya Tanganyika Luxford Mbunda na wajumbe wawili wa bodi ya chama cha msingi cha Ushirika Mpandakati Amcos wanashikiliwa…
VETA YAJA NA UFUMBUZI WA CHANGAMOTO ZITOKANAZO NA UHALIBIFU WA MAZINGIRA KWA KUJA NA MAJIKO YA GESI
Mmoja wa wanagenzi akimuelezea mteja ambaye ameweza kufika katika banda la VETA katika Maonesho ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar…
VETA WAMEKUWA MFANO KUFIKIA UCHUMI WA VIWANDA.
********* NA EMMANUEL MBATILO VETA imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha Tanzania inafanikisha malengo ya kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 hasa…
TAKUKURU YAMSHIKILIA BW.OMARY KWA TUHUMA ZA KUTAKA KUMTAPELI MKUU WA WILAYA YA KISARAWE
Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi TAKUKURU, Bw.Ali Mfuru akiongea na wanahabari katika Ukumbi wa mkutano wa taasisis hiyo Jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi wa…
WAZIRI WA AFYA HAMAD RASHID AWAAGA MADAKTARI WA KICHINA ZANZIBAR
Baadhi ya Madaktari wa Kichina waliohudhuria katika Hafla maalum ya kuwaaga baada ya kumaliza muda wao wa kutumikia ikiwa ni kawaida kila baada ya…
NDUGULILE ATOA WIKI MBILI UHUISHAJI USAJILI WA NGO KIELETRONIKI
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati wa…
KWAYA YA WATOTO YATOA MSAADA WA MASHINE YA MILIONI 100 MUHIMBILI
……………………… Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepatiwa msaada wa machine ya kisasa ya Optical Coherence Tomography (OCT) ya kusaidia kupima magonjwa ya macho yenye…
DC MBOZI AMPUMZISHA KAZI MWENYEKITI WA KIJIJI CHA UTAMBALILA
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Utambalila wilayani Mbozi waliohudhulia mkutano wa kumsimamisha mwenyekiti wao wa Kijiji bwana Dotto Kessy Mgalla Mkuu wa wilaya…
MBUNGE MAVUNDE AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI
Na.Alex Sonna,Dodoma MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira n Mh Anthony Mavunde amewasihi wananchi wa eneo la…
VYAMA VYA WAMWAGILIAJI NCHINI VYATAKIWA KUWA NA USIMAMIZI THABITI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI
Picha ya pamoja ikionyesha baadhi ya washiriki katika kongamano la mashindano ya vyama vya umwagiliaji lililofanyikaJijini Dodoma Leo. Bi Frida Tarimo Mkulima wa zao…
IGP SIMON SIRRO AKAGUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA POLISI SHINYANGA
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) nchini Tanzania Simon Sirro ametembelea na kukagua nyumba 10 za kisasa za makazi ya askari polisi zilizojengwa katika…
WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA MISRI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel Fatah Al Sisi, katika Ikulu ya Rais, mjini Cairo, Julai…
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WAZIRI MKUU NCHINI MISRI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Watanzania waishiyo nchini Egypt, katika hoteli ya Almasa, mjini Cairo, Julai 9.2019. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea picha…
SERIKALI YATENGA BIL 40 UJENZI WA VYUO VYA UFUNDI STADI VYA WILAYA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggey Mwandri baada ya kuwasili katika chuo cha…
ALIYELAZWA MWAKA MMOJA MLOGANZILA APATIWA MASHINE YA KUPUMUA
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Charles Majinge (kushoto) akimpatia msaada wa mashine ya kusaidia kupumua (Oxygen Concentrator) Bw.…
MASAUNI, IGP SIRRO WAWASILI SHINYANGA KWA ZIARA YA KIKAZI
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Terack (katikati), baada ya kuwasili…
SERIKALI YAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA VIWANDA VYA NGOZI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara mbalimbali kutoka Misri ikiwemo kampuni ya Cairo for Investment and Development inayoshughulika na usimamizi wa kiwanda…
ZIARA YA JPM NAMIBIA, YAWAIBUA WAWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MIFUGO NCHINI
Na. Edward Kondela Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel amemshukuru Rais Dkt. John Magufuli kufuatia ziara yake…
BASI LINGINE LA LAKAMATWA LIKIWA NA ABIRIA ZAIDI YA 90
Na Gasto Kwirini wa Polisi Arusha Katika operesheni ya ukaguzi wa magari ambayo bado inaendelea leo tarehe 10.07.2019 muda wa saa 06:00hrs asubuhi Mkuu…
NAIBU WAZIRI DKT.NDUGULILE ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Faustine Ndugulile akiongea na madaktari kutoka Taasisi ya Mifupa(MOI) wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo kwenye maonesho…
MRADI WA KUUNGANISHA UMEME VIJIJINI KATAVI UNASUA SUA
************ Na Mwandishi wetu, Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi bwana Juma Homera ameonyesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa…