Top Stories
View all
WAZIRI MKUU AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MKUU WA VIET NAM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Trinh Dinh Dung, katika mazungumzo ya faragha yaliyofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni…
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YATWAA TUZO MBILI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA DARE SA SALAAM
Makamu wa Pili wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (wapili kushoto), akimkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha…
JAFO KUKUTANA NA WALIMU WA KILA SOMO KWA WANAFUNZI WALIOTINGA 10 BORA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo amepanga kukutana wa walimu wote wa masomo kutoka shule…
KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA DK. ZAINAB CHAULA AZINDUA MWONGOZO WA MAFUNZO YA KOZI ZA HUDUMA YA MAGONJWA YA DHARURA NA AJALI
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk Zainab Chaula akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Muongozo wa kozi Huduma za Magonjwa ya Dharura na ajali…
Mgogoro Baina ya Wazee wa Kimila na Chuo cha Ufundi Arusha Watatuliwa
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Susan Mlawi akisistiza jambo wakati wa kikao cha usuhushi baina ya Wazee wa kimila…
SERIKALI YA UJERUMANI YAIPIGA JEKI SEKTA YA MAJI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo,akizungumza mara baada ya kusaini Mkataba wa Euro 6.0 na Serikali ya Ujerumani ambapo fedha hizo…
uzinduzi wa kiliniki tembezi ya upasuaji wa Mabusha
Mkurugenzi wa Kinga Dkt.Leonard Subi kushoto akimfanyia upasuahi mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma ya upasuaji wa mabusha kwenye kliniki hiyo ************** Wizara ya…
MAONESHO YA BIASHARA SABASABA
Meneja Msaidizi Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki, Victoria Msina akizungumza na wanafunzi wa shule ya Grace Nursery and Primary School walipotembelea banda…
JAFO ATOA RAI KWA WAZAZI KUTOWASUMBUA WATOTO KUWAPELEKA SHULE BINAFSI
Na.Alex Sonna,Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mhe.Selemani Jafo amewataka wazazi kutowasumbua watoto wao kwa kuwahamisha…
JESHI LA POLISI DODOMA LAFANYA MSAKO NA KUKAMATA MAWAKALA HEWA 47 ,LAINI ZA SIMU 4667
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa Kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA] kwa kanda ya kati limefanya Operesheni Maalum…
AS VITA KUKIPIGA NA YANGA KILELE CHA SIKU YA WANANCHI
Klabu ya AS Vita ya DR Congo imealikwa kucheza na Yanga siku ya utambulisho wa kikosi cha timu hiyo ambayo ni siku ya kilele…
WAWEKEZAJI WALIA NA WATALAAMU WA HALMASHAURI NJOMBE
************* NJOMBE Wawekezaji wilayani Njombe wamesema licha ya rais kuagiza watalaamu wa ngazi mbalimbali serikali kuondoa vikwazo visivyo na tija kwa wawekezaji wenye uhitaji…
UINGEREZA YAAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Masuala ya Afrika katika…
MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI ZA SADC
Mkuu wa Operesheni na Mafunzo, Brigedi ya Magharibi, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kanali Wilbert A. Ibuge akiwasilisha mada wakati wa…
IGP SIRRO AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
*************** 12/07/2019 MUSOMA, MARA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amewataka askari wa Jeshi hilo kote nchini kujiepusha na vitendo vya…
Wakandarasi tumieni vijana wanaomaliza JKT, kujenga miradi ya umeme
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu Aakizungumza na makuruta wa kikosi cha 825KJ katika kambi ya Mtabila wilayani Kasulu mkoani Kigoma, alipofanya ziara ya…
MATUKIO KATIKA PICHA USAJILI WA NGO’s KANDA YA MASHARIKI
Mmoja wa mdau kutoka Taasisi na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ambayo awali yalisajiliwa chini ya Sheria nyingine Bi.Vick Ntetema (kushoto aliyekaa) akipata huduma ya…
ZIADI YA WAFUNGWA 640 WAMENUFAIKA NA MPANGO WA BODI YA PAROLE NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITATU
Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza, Kamishna wa Magereza, Uwesu Ngarama(kulia) ambaye pia ni Kaimu Katibu wa Sekretarieti ya Bodi ya Taifa ya Parole akitoa…
TATIZO LA MIMBA ZA UTOTONI BADO NI CHANGAMOTO HAPA NCHINI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Mhe.Mwita Waitara, akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya idadi ya watu duniani,…
Morogoro waomba TTCS awamu ya tatu
Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Emmanuel Lyimo akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Morogoro katika mkutano uliofanyika jana…
MAJALIWA AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI MKUU WA VIETNAM, TRINH DINH DUNG
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Trinh Dinh Dung, katika mazungumzo ya faragha yaliyofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni…
RAIS YOWERI MUSEVENI KUMTEMBELEA JPM KIJIJINI KWAKE
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kesho, Julai 13 anatarajia kufanya ziara binafsi nchini Tanzania. Ziara wilayani Chato ambapo , Rais Museveni atamtembelea Rais wa…
SERIKALI YAZIDI KUPAMBANA NA RUSHWA NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Ushirikiano Afrika Mashariki, Dkt Damas Ndumbaro, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili maswala ya rushwa ikiwa ni…
WANAFUNZI WATEMBELEA BANDA LA BoT SABASABA NA KUPATA ELIMU YA MASUALA YA FEDHA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Albert Jonkergouw akifafanua jambo alipotembelea banda la BoT kwenye maonesho ya Sabasaba Meneja Msaidizi, Dawati la Malalamiko BoT,…
NANE NANE KUANZA TAREHE 28 MWEZI HUU MKOANI SIMIYU
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bw.Jumanne Sagini akiongea na wanahabari katika Maonesho ya biashara katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar…
WIZARA YA MADINI KUFUTA LESENI ZOTE AMBAZO HAZIFANYI KAZI NA KUWAPA WACHIMBAJI WADOGO
Meneja wa NMB kanda ya Ziwa – Abraham Augustino akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini. Afisa Mkuu wa Wateja Wadogo na Kati wa NMB…
Wananchi 1776 wamepata huduma za ushauri, vipimo na tiba za magonjwa ya moyo bila malipo zinazotolewa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwenye maonesho ya 43 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na mkuu wa kitengo cha Utafiti na Mfunzo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akiwafundisha…
DR.KUSILUKA AWAUMA SIKIO WALENGWA WA TASAF
Na Estom Sanga-Njombe Wananchi wanaonufaika na huduma za serikali kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAFwameaswa kutumia…
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, PHAUSTINE KASIKE AKAGUA SHAMBA LA KIMKAKATI LA MAHINDI KATIKA GEREZA LA KILIMO NA MIFUGO KITENGULE, MKOANI KAGERA.
Kamishna Jenerali wa Magereza( wa Kwanza kulia) akikagua shamba la mahindi ambalo liko katika hatua za mwisho za kuvunwa la gereza Kitengule. Kamishna Jenerali…
KILIMO CHA UMWAGILIAJI SULUHISHO LA MABADILIKO YA TABIANCHI
******** NA MWANDISHI MAALUM DODOMA Kuwekeza katika kilimo cha Umwagiliaji kunaweza kuwa ni njia sahihi ya kuhimili athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo…
Naibu Waziri Aweso Abaini Ubadhirifu Kwenye Mradi wa Maji Kasulu
Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akikagua Mradi wa Maji wa Heru Juu katika Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma. Naibu Waziri wa Maji, Jumaa…
Jafo ahoji Mil 60 ununuzi wa dawa ya mchwa Hospital ya Wilaya Morogoro Dc Nteghenjwa Hosseah, Mvuha Morogoro.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo akitoa maelekezo wakati alipotembelea ujenzi wa hospitali ya…
Bi. IRENE ROBERT AMEACHIA WIMBO WA TEMBEA
Baada ya kukamata anga katika nyimbo za injili hapa nchini, Bi.Irene Robert sasa ameamua kuja wimbo huitwao Tembea ambao kwasasa ni wimbo wake wa…
WCF YATWAA TUZO MAONESHO YA 43 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM 2019
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetwaa tuzo ya mshindi wa pili kundi la Sekta ya Hifadhi ya Jamii pamoja…