Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani na Ushirikiano Afrika Mashariki, Dkt Damas Ndumbaro, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili maswala ya rushwa ikiwa ni siku ya mapambano dhidi ya rushwa kwa nchi za umoja wa Afrika uliofanyika jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti yaUtumishi wa Umma, Dkt Merry Mwanjelwa, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili maswala ya rushwa ikiwa ni siku ya mapambano dhidi ya rushwa kwa nchi za umoja wa Afrika uliofanyika jijini Dodoma.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Umoja wa Afrika ya Mapambano dhidi ya Rushwa, Cherity Nchimunya, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili maswala ya rushwa ikiwa ni siku ya mapambano dhidi ya rushwa kwa nchi za umoja wa Afrika uliofanyika jijini Dodoma.
Mkaguzi na Mdhibiti wa hesabu za Serikali(CAG) Profesa Mussa Assad, akifuatilia mawasilisho ya mtoa mada wakati wa mjadala wa namna ya kupambana na rushwa nchini Tanzania, kongamano lililofanyika jijini Dodoma.
Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo vikuu na shule za sekondari, wakifuatilia mawasilisho ya mtoa mada wakati wa mjadala wa namna ya kupambana na rushwa nchini Tanzania, kongamano lililofanyika jijini Dodoma.
Mwakilishi wa waandishi wa habari, Blaya Moses Mwandishi kutoka Star Tv( mwenye shati jeupe wa kwanza kushoto, akiwasilisha mawazo ya waandishi wa habari juu ya mapambano dhidi ya rushwa katika kongamano hilo, lililofanyika jijini Dodoma.
Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU, CP Diwani Athumani, akizungumza wakati wa kongamano la kujadili maswala ya rushwa ikiwa ni siku ya mapambano dhidi ya rushwa kwa nchi za umoja wa Afrika uliofanyika jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Damasi Ndumbaro katikati, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mara baada ya kumalizika kwa kongamano la kujadili maswala ya rushwa, tukio lililofanyika jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Damasi Ndumbaro katikati, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanya kazi wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa(TAKUKURU) mara baada ya kumalizika kwa kongamano la kujadili maswala ya rushwa, tukio lililofanyika jijini Dodoma.









