TANZANIA YASHIRIKI JUKWAA LA UTALII, BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA MISRI
Cairo, Misri, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo Juni 8, 2026 ameshiriki Ufunguzi wa Jukwaa la Utalii, Biashara na…
Cairo, Misri, Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi leo Juni 8, 2026 ameshiriki Ufunguzi wa Jukwaa la Utalii, Biashara na…
Na Prisca Libaga RS Arusha Wanafunzi wa shule za sekondari kutoka Halmashauri zote saba za mkoa wa Arusha wameonyesha vipaji bora katika mbio za…
Na Silivia Amandius Muleba,Kagera. Mashindano ya soka kwa vijana ya Kamachumu Paul Mwijage Cup yamezinduliwa rasmi katika Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba mkoani…
Na Mwandishi wetu, Mirerani MADINI ya Tanzanite ya thamani ya zaidi ya shilingi milioni 993 yameuzwa kwenye minada miwili iliyofanyika hivi karibuni katika jengo…
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, anatarajiwa kuwasili nchini leo jioni kwa ziara ya kitaifa kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya…
Asisitiza Tsh Trilioni 1.2 zimewekezwa Kilimanjaro, sasa ni zamu ya mfumo wa Usambazaji. MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Baraa, Stephen Wasira,…
DC Awapongeza wananchi kwa mwitikio mkubwa wa Jogging Na Oscar Assenga, Muheza MAANDALIZI ya kuupokea Mwenge wa Uhuru 2026 katika Wilaya ya Muheza yamezidi…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam,…
Na. Mwandishi wetu, DODOMA Wanafunzi wanaojiandaa kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMMISETA) ngazi ya mkoa wamepata…
Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam, Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka…
Na, mwandishi wetu – Dar es Salaam SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU)…
Mwandishi wa makala haya akiwa kwenye shamba la mahindi la Mzee Mbega, anasema alidharau ushauri uliotolewa na wataalamu kutolima mahindi kwa sababu ya mvua…
Na Mwandishi Wetu, TBN, Dar es salaam Mikataba na hati za makubaliano manane (8) zilizosainiwa kati ya Tanzania na Urusi, ndizo zilizoweka msingi mkuu…
Na Mwandishi Wetu, TBN, Dar es salaam Katika ulimwengu wa diplomasia ya kimataifa, kuna matukio yanayobadilisha mwelekeo wa upepo wa kiuchumi, na ziara ya…
Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo kula chakula hakikuwa tena jambo la kufurahia. Kila nilipokula baadhi ya vyakula, nilihisi maumivu tumboni. Wakati mwingine nilikuwa…
Siku nilipopewa taarifa ya kuachishwa kazi, nilihisi dunia yangu imeporomoka. Nilikuwa nimetegemea kazi ile kwa miaka mingi. Ilikuwa ndiyo chanzo cha mapato yangu na…
Kaimu Kamishna, Kitengo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Wizara ya Fedha, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Uadilifu…
Na: Mwandishi wetu – Dar es Salaam, Juni 7, 2026 Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao…
Sehemu ya Skimu ya Umwagiliaji Kijiji cha Chekelei wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga. Ambayo kwa sasa inatumika na wakulima wa mpunga, mbogamboga na matunda.…
Dodoma. Wizara ya Madini kupitia Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini imeshiriki kikamilifu katika zoezi la ufuatiliaji wa utekelezaji wa miongozo ya Ufuatiliaji na Tathmini,…
Na Prisca Libaga RS Arusha Mashindano ya Michezo kwa Shule za Sekondari (UMISSETA) Mkoa wa Arusha yameanza rasmi katika viwanja vya Shule ya Sekondari…
Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto,…
Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze WATU wawili wamefariki dunia na magari mawili kuharibika vibaya kufuatia ajali ya kugongana uso kwa uso iliyotokea katika Daraja la…
Serikali ya Tanzania imeendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa mafanikio makubwa baada ya kuvutia wawekezaji kutoka Urusi katika sekta mbalimbali za kimkakati, hatua inayotarajiwa…
Na John Bukuku – Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa ziara…
Na John Bukuku – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, ameeleza umuhimu wa ziara ya…
Mkurugenzi wa hoteli za kitalii za Masai Safari Lodge Arusha na Masailand Coffee Lodge Karatu, Dkt. Charles Becon akizungumza na waandishi wa habari kwenye…
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Iringa kwa kuwataka viongozi na watumishi wa umma kuendelea kusimamia haki, uwajibikaji na…
Na Sophia Kingimali. Chuo cha Ufundi cha Furaika Education College kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kimezindua mpango maalum wa kutoa…
Na Mwandishi wetu, Babati SHIRIKA lisilo la kiserikali la Civic Social Protection Foundation (CSP) na Vi Agroforestry wameadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kupanda…
Mkurugenzi wa House of Canvas Ltd, Evans Ogiloh akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho hayo. ……….. Na Happy Lazaro, Arusha . Maonesho ya…
Farida Mangube, Morogoro Wataalamu wameonya kuwa kuongezeka kwa matumizi ya kemikali za kilimo bila kuzingatia kanuni za kitaalamu kunaweza kuongeza hatari ya magonjwa, kuathiri…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema matumizi ya teknolojia ya kidijitali katika sekta ya sheria…
OWM-TAMISEMI, Iringa Serikali imeendelea kuelekeza nguvu katika kuibua na kukuza vipaji vya michezo nchini kwa lengo la kuandaa kizazi cha wanamichezo kitakachoiwakilisha na kuiletea…