Top Stories
View all
MATUKIO KATIKA PICHA: MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUJADILI MASUALA YA MASHIRIKIANO SJMT NA SMZ DAR ES SALAAM
Na. Mwandishi wetu – Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim…
MBUNGE WA VITI MAALUM KUNDI LA WALEMAVU ASISITIZA JAMII KUJIFUNZA LUGHA YA ALAMA
Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Nassirya Ally amesisitiza umuhimu wa jamii kujifunza na kutumia lugha ya alama ili kujenga…
YANGA SC YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO LA CRDB
Mabingwa wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Young Africans S.C. wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe hilo baada ya kuichapa JKT Tanzania…
DKT. NCHEMBA AONESHA UPENDO KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM DODOMA
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akizungumza na mtoto mwenye ulemavu wa viungo, Raudhwat Abeid katika viwanja vya Puma Kondoa, mkoani Dodoma leo tarehe 16…
DIWANI WA MAKANGARAWE ATOA MSAADA WA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI DOVYA NA JITIHADA
Diwani wa Kata ya Makangarawe, Fadhili Mboga (kushoto) akikabidhi madawati katika Shule za Msingi Yombo Dovya na Jitihada leo Mei 16, 2026, Dar es…
WAKILI MARATHON KUCHOCHEA MSAADA WA KISHERIA, KUHAMASISHA AFYA
Na Sophia Kingimali. Mwenyekiti wa Chama cha mawakili wa Serikali, Addo Novemba amesema mbio za Wakili Marathon zitakazofanyika Mei 31 mwaka huu mjini Dodoma…
JUMUIYA WAZAZI PANGANI YAWAFUNDA WANAFUNZI FUNGUNI SEKONDARI
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamefundwa masuala mbalimbali yahusuyo elimu, maadili, ukatili wa kijinsia…
JKCI YAWAFIKIA WATUMISHI 441 WA WIZARA YA FEDHA KWA HUDUMA ZA UCHUNGUZI WA MOYO
Mtaalamu wa Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Glory Mtui akichukua sampuli ya damu ya Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali…
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA BONIFACE MAKENE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Boniface Makene…
RC MAKALLA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUMI NA MAENDELEO WA URUSI
Na Prisca Libaga, Arusha RC Makalla akaribisha watalii na wawekezaji kutoka Urusi kuwekeza katika sekta ya utalii – Wapendekeza ushirikiano wa Mkoa wa Arusha…
DIPLOMASIA YA UCHUMI YA DKT. SAMIA INAIFANYA TANZANIA KUBAKI KITOVU CHA UWEKEZAJI KIKANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha sementi cha Dangote cha…
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI.
Na MWANDISHI, WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI
Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…
RAIS MSTAAFU KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA RAIS MSTAAFU MOGAE WA BOTSWANA, AKIMWAKILISHA MHESHIMIWA RAIS SAMIA
GABORONE, BOTSWANA 16 Mei 2026 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo tarehe 16…
RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AWASILI BOTSWANA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MAZISHI YA HAYATI FESTUS MOGAE
GABORONE, BOTSWANA 15 Mei 2026 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasili nchini…
SERIKALI YAPANGA MABORESHO YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI
▪︎ Dkt. Mwigulu asema maghala yawafuate wakulima badala ya wakulima kufuata maghala ▪︎ Serikali kuitisha kikao maalumu cha mikoa inayozalisha mazao ya biashara WAZIRI…
RAIS DKT. SAMIAAZUNGUMZA NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi…
DKT. AKWILAPO KUMUWAKILISHA RAIS SAMIA KONGAMANO LA JUKWAA LA MIJI BAKU
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo atamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.…
DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao katika…
KILA NILIPOPELEKA MAOMBI YA KAZI NILIAMBIWA “TUTAKUPIGIA, ” SIMU
Maisha ya mtaani hayana huruma, na hakuna kitu kinachoumiza kama kuamka kila siku ukiwa na shahada yako kabatini huku mifuko ikiwa haina hata shilingi…
WALIPANGA KUMTAFUTIA MWANAUME WANGU MWANAMKE MWINGINE
Naitwa Agatha, mkazi wa mkoa wa Kagera. Licha ya kuwa na heshima kubwa kazini kama Mwalimu Mkuu, nyumbani kwangu nilikuwa sina thamani yoyote. Kwa…
JUMLA YA MIRADI 99 YA BIASHARA YA KABONI YASAJILIWA NCHINI TANZANIA
Jumla ya miradi 99 ya biashara ya kaboni imesajiliwa nchini tangu kuanzishwa kwa Kituo cha Taifa cha Kuratibu Biashara ya Kaboni (NCMC) Machi 2025,…
VITUO VYA HUDUMA ZA AFYA BORESHENI MAOTEO YA DAWA, WANANCHI WASIKOSE HUDUMA
Vituo vya kutolea huduma za afya vimetakiwa kuboresha maoteo ya uagizaji wa dawa na kuzingatia mwenendo wa magonjwa katika maeneo yao ili kuhakikisha bidhaa…
KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA URUSI LAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA
Na Happy Lazaro, Arusha Tanzania imejipanga kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi kutoka Urusi na mataifa mengine duniani kwa lengo la…
RIDHIWANI KIKWETE ASISITIZA UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI CHIPUKIZI
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wahitimu wa Taasisi ya Uongozi nchini…
DKT. KIJAJI ATEMBELEA BANDA LA TFS KATIKA VIUNGA VYA BUNGE JIJINI DODOMA
Dodoma, Mei 15, 2026 Waziri wa Maliasili na Utalii, Ashatu Kijaji ametembelea banda la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika maonesho ya…
WAZIRI MKUU AKUTANA NA WABUNGE WA MIKOA YA MWANZA, MARA NA SIMIYU
Wajadili mipango endelevu ya ujenzi wa miundombinu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya kikao kazi na wabunge wa mikoa ya Mwanza, Mara…
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2026
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege…
FUNGUNI SEKONDARI YAZIDI KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI KUJIAJIRI BAADA YA KUHITIMU MASOMO YAO
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye…
WIZARA YA FEDHA YAKAMILISHA MAFUNZO YA UDHIBITI WA NDANI
Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha Bw. Kenneth Nindie, akizungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo wakati wa mafunzo ya Mwongozo…
NAIBU WAZIRI KWAGILWA AHIMIZA WANAHABARI KUELIMISHA JAMII FURSA BIASHARA YA KABONI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Kwagilwa akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa vyombo…
MAKAMU WA RAIS AWASILI MKOANI MARA KWA SHUGHULI ZA KIKAZI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo tarehe 15 Mei 2026 amewasili mkoani Mara kwa shughuli…
ZAIDI YA WAONESHAJI 550 KUTOKA NCHI 14 KUSHIRIKI MAONESHO YA KARIBU -KILIFAIR 2026 JIJINI ARUSHA .
………. Na Happy Lazaro, Arusha . Zaidi ya Waoneshaji 550 kutoka nchi 14 pamoja na mawakala na waendeshaji wa safari zaidi ya 1,000 kutoka…