VYAMA SITA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAANZA MAFUNZO KIBAHA
Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya vyama sita rafiki vya ukombozi kutoka kusini mwa Afrika imefanyika leo katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius…
Hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya vyama sita rafiki vya ukombozi kutoka kusini mwa Afrika imefanyika leo katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius…
Fullshangwe Blog, Bungeni Dodoma Mbunge wa Hanang, Asia Halamga ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa hatua na mikakati inayoendelea kuchochea maendeleo ya sekta…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Raisa Abdallah, amewataka viongozi wa majimbo kuendelea kuimarisha mapambano ya kisiasa kwa lengo la…
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili…
MELEKA KULWA PICHANI JUU NDIYE MWAKILISHI WA FULLSHANGWEBLOG KANDA YA KATI DODOMA WADAU WETU WOTE WAWASILIANE NA MELEKA KULWA MOJA KWA MOJA AU MKURUGENZI…
Na. Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Bw. Eliakim Maswi, amewataka …
Na John Bukuku Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa, amekutana na Afisa wa Marekani wa Shirika la Global Health, Brad Smith, mjini Geneva na…
Waziri wa Afya na Mbunge wa Rufiji Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameshiriki matembezi ya mshikamano ya “Walk the Talk” yalioandaliwa na Shirika la Afya Duniani …
Siku hiyo nilikuwa nimejiandaa kwa meeting ya kawaida tu ya kazi kupitia Zoom. Nilivaa vizuri juu lakini chini nilikuwa nimevaa kawaida, nikidhani hakuna mtu…
Kufungua biashara ilikuwa ndoto yangu ya muda mrefu. Nilikuwa nimeweka akiba kwa miaka kadhaa ili siku moja niweze kujiajiri na kusaidia familia yangu kwa…
Na Kassim Nyaki, Dodoma. Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa iliyopita na…
*Apongeza mchango wake katika maendeleo nchini. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 17, 2026 ameshiriki katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa…
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna (kushoto), na Makamu wa Rais wa IFC Kanda ya Afrika, Ethiopis Tafara,…
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
Serikali imejipanga kuondosha adha ya huduma ya maji kwa wakazi wa Chemba. Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itahakikisha Mradi wa Maji…
Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Serikali imeeleza hazma yake ya kuendelea kutekeleza miradi ya mashirikiano katika sekta za kilimo na Uvuvi kwa…
* Asema utekelezaji wa Bwawa la Farkwa kuanza baada ya kukamilika kwa taratibu za manunuzi * Aagiza kukomeshwa kwa ukamataji usio na msingi wa…
Siku hiyo nilikuwa nimeenda kwa building moja ya kifahari kwa meeting ya kawaida ya kazi. Nilikuwa focused kabisa, nikiwa na plan ya kumaliza shughuli…
TABORA Uongozi wa Soko la Madini Nzega mkoani Tabora umempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuanzisha masoko…
Siku hiyo ilikuwa jioni ya kawaida kabisa. Nilikuwa nimekaa sebuleni nikitazama TV, nikijaribu kupumzika baada ya siku ndefu ya kazi. Ghafla, simu yangu ikaanza…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Mji wa Chemba unakamilika kwa wakati ili kuongeza…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Tanzania, Dkt. Leonard Akwilapo akisoma tamko la serikali ya Tanzania wakati akihutubia Mkutano wa Mawaziri…
Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na UN-Habitat katika jitihada za kukuza maendeleo…
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira akiwahutubia mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma mjini leo Mei 16,…
NA: MWANDISHI WETU, PANGANI Timu kutoka Kata ya Bweni ya wilaya ya Pangani imefanikiwa kuibuka mshindi wa mashindano ya Aweso Vijana Cup kwa ushindi…
WAZIRI MKUU, amewahimiza wananchi kuendelea kuiombea Tanzania ili amani, umoja na mshikamano wa kitaifa viendelee kuimarika sambamba na nchi kuendelea kupiga hatua za maendeleo…
Happy Lazaro,Arusha . Arusha .SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirikisho la Urusi zimefungua rasmi ukurasa mpya wa ushirikiano wa kimkakati katika…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuunga mkono kikamilifu maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na jitihada…
Katika bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii, makabila ya Wadatoga na Wahadzabe ambayo ni sehemu ya Jiopaki ya Ngorongoro Lengai walitia nakshi na…
Waswahili husema _Iso kongwe haivuki na Utu uzima dawa_, misemo hii imedhihirika mwishoni mwa wiki hii wakati Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt.…
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia…
Katika jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa…
Na OWM – TAMISEMI, Azerbaijan Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe…