Top Stories
View all
BRELA YAPOKEA UGENI WA WANACHAMA KUTOKA NCHI ZA LCD’s
Kaimu mtendaji mkuu wa BRELA akipokelewa na Mkuu wa chuo cha Sanaa (TASUBA) Alipotembelea kuongoza ujumbe wa washiriki kutoka nchi mbalimbali waliofadhiliwa na shirika…
FRANCIS KAHATA KUTOKA GOR MAHIA ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI SIMBA SC
Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Crescentius Magori (kushoto) akimtambulisha Francis Kahata baada ya kusaini mkataba leo ………………… Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KIUNGO…
RAIS MAGUFULI KUFUNGUA HIFADHI MPYA,ASEMA WAZIRI DKT.KIGWANGALLAH WAKATI AKIFUNGUA MKUTANO WA WAHARIRI WA HABARI JIJINI MWANZA
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dkt Hamis Kigwangallah akizingumza wakati akifungua Mkutano Mkuu baina ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),Wahariri pamoja na Waandishi wa…
VETA YAIBUKA KIDEDEA TUZO YA KUNDI LA ELIMU
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka wa VETA Dkt. Pancras Bujulu akipokea tuzo Mshindi wa Kwanza katika kundi la Elimu, Utafiti na Uendelezaji Ujuzi na Mshindi…
WAZIRI LUGOLA AWATAKA WANANCHI KUDUMISHA AMANI, WAOGOPE NJAA KAMA UKOMA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola, akikagua ujenzi wa darasa wa Shule ya…
VITENDO VYA UKATILI MKOANI DODOMA VINAZIDI KUONGEZEKA
************ LICHA ya juhudi kubwa zinazofanywa na serikali pamojana na mashirika mbalimbali ya kutetea haki za binadamu na vitendo vya ukatili wa kijinsia, lakini…
Dkt. Kigwangala Afungua Mkutano wa Mwaka wa TANAPA na Wanahabari
Baadhi ya Wahariri na Waandishi wa Habari Waandamizi wakifuatilia hotuba za ufunguzi wa mkutano wa Mwaka ulioandaliwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),…
WAFANYABIASHARA NA WAKULIMA WAMETAKIWA KUSHIRIKIANA NA TANTRADE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Bw.Edwin Rutageruka akizungumza na Wafanyabiashara, Wakulima na Wanunuzi mbalimbali walioweza kufika katika ufunguzi wa…
MOBISOL KATIKA JITIHADA ZA KUMUOKOA MTANZANIA KIUCHUMI
Mkurugenzi wa TANTRADE, Bw. Edwin Rutageruka (Wakwanza kushoto), Waziri Mkuu Mtaafu Mh. Mizengo Peter Pinda Wakipokea maelekezo kutoka kwa Afisa Masoko wa Mobisol Bw.Farid…
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Nchini Niger
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu wa Niger Mhe. Brigi Rafini alipowasili kwenye…
Marufuku mbolea kuchelewa kufika kwa wakulima – Mhe Hasunga
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam Serikali imetangaza kiama kwa wanaochelewesha mbolea…
NAIBU KATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)AZITAKA NCHI WANACHAMA KUUNGANA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYOBUNIWA NA JUMUIYA HIYO
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. Christopher Bazivamo akifugua semina ya waandishi wa habari iliyofanyika mwanzoni mwa wiki hii kwenye…
TANZANIA BILA DENGUE INAWEZEKANA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu (aliyevaa buti) wakielekea katika eneo lenye mazalia ya mbu wanaosababisha homa…
TUME YA MADINI YATOA MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WADOGO 350
Afisa Usalama katika eneo la migodi ya madini StamGold ) Fredy Mwakebeta akieleza namna ya kumsaidia mtu aliyepatwa na matatizo katika maeneo ya uchimbaji…
TTCL YAVUNA WATEJA WAPYA 215,000 NA KUTEKELEZA AGIZO WITO WA RAIS MAGUFULI
Mtoa huduma kwa wateja wa Shirika la Mawasiliano Nchini (TTCL) akiwahudumia wateja mbalimbali waliofika katika Banda la Shirika hilo kwa ajili ya kupata taarifa…
Makete yaja viwanda vya Mianzi badala ya kunywa Ulanzi
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa MDA wakifuatilia mada mbalimbali juu ya uwekezaji wilayani Makete Festo Sanga kushoto akiwa na washiriki wengine kwenye mkutano…
UKAGUZI WA CAG SASA KUJA NA HATI MBILI
*********** Na Danny Tweve Songwe Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za serikali CAG itaanza kutoa hati mbili za ukaguzi badala ya moja…
MADEREVA DALADALA WATAKIWA KUFATA SHERIA
Mwenyekiti wa usalama Barabarani, Salim Abri akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya madereva daladala. Mwenyekiti wa usalama Barabarani mkoa wa Iringa, Salim Abri akiwa…
WAZIRI LUGOLA AWATAKA WANANCHI KUILINDA AMANI, KUOGOPA NJAA KAMA UKOMA
***************** Felix Mwagara, Mwibara (MOHA) WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewataka wakazi wa Jimbo la Mwibara, Wilayani Bunda Mkoa wa…
MAWAZIRI WA SERIKALI YA ZANZIBAR WAFANYAZIARA MAALUM KUANGALIA VIFAA VIPYA VYA UJENZI WA BARABARA KIBELE MKOA WA KUSINI UNGUJA
Baadhi ya Vifaa vipya vya Ujenzi wa Barabara vilivyonunuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar vikiwa katika eneo la Kibele Mkoa wa Kusini ambapo…
WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS DR JOHN MAGUFULI. NCHINI RWANDA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za…
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LINAENDELEA NA OPERATION KALI ILIYOANZA TAREHE 4/6/2019. MPAKA SASA LIMEFANIKIWA KUWAKAMATA WATUHUMIWA SUGU AROBAINI NA SITA (46)…
JAMII CHIBUMAGWA YAHAMASISHWA KUACHANA NA NYUMBA ZA TEMBE ILI KUBORESHA MAKAZI
Mzee Wilfred Nyaombo mkazi wa Kijiji cha Chibumagwa kilichopo kata ya Sasajila Wilayani Manyoni akishiriki kubeba tofali wakati ya Kampeini ya Kitaifa kuhamasisha wananchi…
Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania yawatahadharisha watumiaji wa simu za mkononi zilizoisha chaji
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania Peter…
NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI ATEMBELEA KIKOSI KAZI KINACHOANGALIA MABORESHO MFUMO WA HAKI JINAI JIJINI DODOMA AWATAKA KUZINGATIA WELEDI NA HAKI ZA BINADAMU
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Tixon Nzunda amekitembelea kikosi kazi kinachoangalia maboresho ya mfumo wa…
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA WIZARA YA MAJI
Kuna mabadiliko katika uteuzi wa Mameneja wa RUWASA Wilaya. Meneja ya Wilaya ya Uyui aliyetangazwa awali ameondolewa na nafasi yake itajazwa punde.
NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA WILLIAM OLE NASHA ATEMBELEA BANDA LA VETA
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha akiangalia zawadi zake wakati Afisa Habari wa Veta Dora Tesha alipokuwa akimkabidhi Mkuu wa…
Tabora Yaibuka kinara wa Mashindano ya UMITASHUMTA 2019
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo akitoa zawadi ya kikombe kwa washindi wa mpira wa wavu…
WANAFUNZI KUANZA KUIMBA NYIMBO ZA KUHAMASISHA UZALENDO WIKI IJAYO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo akihutubia maelfu ya wanafunzi, walimu na wakazi wa…
TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI AMBAZO ZINAENDELEA KUFANYA VIZURI KATIKA KUPAMBANA NA RUSHWA
*********************** NA EMMANUEL MBATILO Tafiti zinaonyesha kuwa Tanzania imeanza kufanya vizuri katika mapambano dhidi ya Rushwa na Utawala Bora katika kipindi hiki cha hivi…
JKT YAKANUSHA TAARIFA ZA VIJANA WA JKT KUNDI LA KIKWETE NA OPERESHENI MAGUFULI KUKUSANYIKA KAMBI YA JKT MGULANI
**************Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linapenda kukanusha taarifa zinazoendelea kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, zinazoelezea kuhitajika kwa vijana wa JKT kundi la kujitolea Operesheni…
IBRAHIM AJIBU MIGOMBA AREJEA SIMBA SC KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI
………………… Na Mwandishi Wetu, KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Ajibu Migomba amesaini mkataba wa miaka miwili kurejea klabu yake ya zamani, Simba…
WAZIRI MHAGAMA AFUNGUA WARSHA YA WADAU KUJADILI FURSA ZA BOMBA LA MAFUTA -EACOP SHINYANGA
Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira Na Watu Wenye Ulemavu),Mhe. Jenista Mhagama amefungua warsha ya siku mbili ya…