HABARI PICHA: RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA WADAU WA SEKTA YA AFYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea Mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea Mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa – Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amefanya Kikao kazi na…
Waziri Mavunde Afafanua Leseni za Utafiti Ndizo zinaibua Migodi Mikubwa, Kati 📍 Dodoma Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali inaendelea na Marekebisho…
Na. Mwandishi wetu Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola ambaye pia ni Rais wa zamani wa Malawi, Mhe. Lazarus McCarthy Chakwera…
(HUMANITARIAN AWARD) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo maalum ya kimataifa ya Ubinadam ya upasuaji wa ubongo,…
Dodoma. Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma katika mwaka wa fedha 2026/27, kama sehemu…
Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imeonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi…
Mgeni Rasmi na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akipokea hundi mfano kutoka kwa Mkurugenzi wa Mahusiano ya Wawekezaji, Uendelevu na Mawasiliano…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (Mb.) ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Pili…
Ataka watanzania waache tabia ya kujidogosha WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi kifupi cha uongozi wake, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandika…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akitoa ufafanuzi kwa Waheshimiwa Wabunge, wakati akichangia mjadala wa…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri…
Mawakili 30 kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamehitimu Mafunzo ya kitaalamu yanayohusu Masuala ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta…
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha wanadhibiti maji yasiyolipiwa (NRW) katika maeneo wanayotoa…
Na Mwandishi Wetu Aprili 14, 2026, katika Mahakama ya Wilaya ya Hanang’, shauri la uhujumu uchumi namba 7891/2026 limefunguliwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,…
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri…
Na.SOPHIA KINGIMALI. Katika kipindi ambacho taifa linaendelea kurejea katika hali ya utulivu kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza nchini, waandishi wa habari wametakiwa kutumia taaluma yao…
Na Mwandishi wetu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kuweka utaratibu wa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka…
Wekundu wa Msimbazi Sc imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa Leo April…
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amesema Tanzania iko tayari kuimarisha ushirikiano na Canada katika sekta ya kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji…
*Dkt. Kiruswa Atoa Wito Vijana Kujitokeza Kuvitumia Kituo Cha TGC & Chuo Cha Madini Dodoma  Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini inatarajia kujenga Kituo…
 Wachezaji wa Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipokuwa wanajiandaa kufanya mazoezi ya pamoja…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiagana na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya…
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam. 15/04/2025. Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wametakiwa kuzingatia usalama na afya mahali pa kazi…
‎Picha ya pamoja ya wataalam wa masuala ya Afya Moja waliokutana kuandaa Mpango wa Mkoa wa Afya Moja kwa mkoa wa Tanga.Kikao hicho kilichoratibiwa…
 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa…
Na Mwamvua Mwinyi, Kongowe April 15, 2026 MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwajuma Nyamka, amesisitiza Serikali za mitaa pamoja na viongozi…
Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha April 15,2026 BARAZA la Madiwani Manispaa ya Kibaha limepitisha bajeti ya jumla ya Sh milioni 700 kwa ajili ya kukarabati miundombinu…
Mwamvua Mwinyi,Kongowe April 15, 2026 MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwajuma Nyamka, amesisitiza Serikali za mitaa pamoja na viongozi wa chama…
Na Mwandishi Wetu, Pwani Uhifadhi wa misitu katika Halmashauri ya Chalinze, mkoani Pwani, umeanza kuzaa matunda yanayoonekana wazi, baada ya uharibifu wa misitu kupungua…
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Donald Msengi (katikati), akikata utepe kuzindua rasmi duka jipya la Yas mkoani Mtwara jana, likiwa na lengo…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)…
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mhe), akizungumza wakati wa kikao na Ujumbe kutoka Kikundi cha ECOBANK, ulipomtembelea ofisini kwake Wizara…
NA DENIS MLOWE IRINGAÂ JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 53 wanaodaiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika kipindi cha…