ZAINABU MAULID AMEZIAGIZA NGAZI ZA WADI NDANI YA MKOA WA MAGHARIBI UNGUJA KUFANYA VIKAO VYA KAWAIDA
KATIBU wa UWT Wadi ya Mwanakwere Ndugu Khadija Seif akisoma Taarifa ya Utendaji wa Majukumu mbali mbali ya Wadi hiyo mara baada ya kufunguliwa…
KATIBU wa UWT Wadi ya Mwanakwere Ndugu Khadija Seif akisoma Taarifa ya Utendaji wa Majukumu mbali mbali ya Wadi hiyo mara baada ya kufunguliwa…
*************************************** WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ni wakati muafaka kwa Watanzania kuanza kujiwekea akiba kwa kununua hisa kupitia taasisi za kifedha nchini ikiwemo benki ya CRDB.…
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Injinia Stella Manyanya akisaini kitabu cha wageni walipowasili kwenye Mahafali ya chama cha wanafunzi wa Kiswahili Afrika mashariki…
Mshambuliaji wa timu ya Soka ya Benki ya CRDB ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Abdulmajid Nsekela akimtoka mlinzi wa timu ya…
Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga(wa pili kushoto) akiangalia baadhi ya mashine za kuchambua pamba zinavyofanya kazi, wakati alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha…
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) muda mfupi baada ya kufanya kikao na wakurugenzi wa taasisi 16 na…
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Tanzania inaungana na Mataifa mengine wanachama wa Umoja wa Afrika katika kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma barani Afrika ambayo yameanza…
Afisa Madini mkazi mkoa wa Njombe na Iringa Wilfred Machumu katikati akiambatana na Mwenyekiti wa Tume ya Madini Prof. Idris Kikula wa kwanza kulia…
Waziri wa Mifugo naUvuvi Mhe. Luhaga Mpina akizungumza na Wafanyakazi wa Kampuniya Ranchi zaTaifa (NARCO) alipotembelea Makao Makuu ya kampuni hiyo Nzuguni, Dodoma, leo…
***************************** Mkuu wa wilaya ya Arumeru Ndugu Jerry Muro ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wananchi wanaowatumikisha watoto wadogo kazi za majumbani (House…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akimpa pole, Mkurugenzi wa Uendeshaji Sport Pesa Tanzania, Tarimba Abbas, kwa kufiwa na watoto wake wawili, Maisam na Alliazgar Tarimba…
Mwanariadha Regina Deogratius kutoka mkoa wa Pwani akimaliza mbio za mita 1500 na kujinyakulia medali ya dhahabu katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof Aldof Mkenda akifurahia chungu na vibuyu vilivyotumika kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar vilivyohifadhiwa Makumbusho…
Kukamilika kwa barabara ya Kasanga Matai Sumbawanga kutaifanya Bandari ya Kasanga ambayo inahudumia wananchi wa maeneo mbalimbai ya Mwambao wa ziwa Tanganyika wilaya ya…
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Uuzaji Nyumba 4000 katika eneo…
********************* Na Ahmed Mahmoud, Arusha Taasisi ya maendeleo ya jamii Tengeru (TICD) imezindua bonanza la michezo kwa wanafunzi na watumishi wa taasisi hiyo yakiwa…
Na.Alex Sonna,Dodoma Chama Cha Mapinduzi(CCM), kimewapongeza wanachama wake wa mkoa wa Dodoma kwa utulivu walionao kutokana na kutembea na wagombea makwapani. Pongezi hizo zilitolewa…
Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya (kushoto) akimsikiliza Ofisa mtendaji wa kata ya Orkesumet, Edmond Tibiita (kulia) akielezea miradi mbalimbali…
MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kwa wakazi eneo la C Centre lililopo…
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza akizungumza na Wahitimu wa Stashahada za Michezo mbalimbali,wanafunzi na wazazi (hawapo katika picha) katika mahafali ya…
********************* Mfanyabiashara maarufu hapa nchini ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Igunga mkuani Tabora, Mh.Rostam Azizi ameweza kutoa kiasi cha shiringi Milioni 200 za kitanzania…
Mlinzi wa Mtibwa Sugar na Timu ya Tanzania vijana u20 Ngorongoro Heroes Nickson Kibabage pamoja na Kiungo mshambuliaji wa kimatifa wa DR Congo,Jonathan Ifaso…
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mh. Juma Homera akikagua tumbaku inayohaniwa kulanguliwa na (Vishada) Walanguzi. ………………………………………. Mkuu wa mkoa wa Katavi Mh. Juma Homera…
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa Mh. Asid Mtanda akizungumza na waandishi wa habari katika Bandari Bubu ya Kirando ziwa Tanganyika wakati alipofanya…
Shamba la zao la mpunga katika skimu ya umwagiliaji ya Lemkuna Iliyopo wilayani Manyara mkoani simanjiro, ambapo Mpunga huo upo tayari kwa ajili ya…
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, akizungumza na Wanachama na wapenzi wa Yanga katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar…
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla akimkabidhi Bendera ya Taifa kiongozi wa timu ya waendesha baiskeli 28, Bw. Paul Pulson wakati…
************************ Na WAMJW- Mwanza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ametoa tahadhari kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa…
*********************** Wakazi wa Kawe Mkwamani wanaokaa pembezoni mwa mto mbezi watakiwa kuacha kuendelea kuchukua mchanga katika mto huo ili kuondokana na uhalibifu wa miundombinu…
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi,akivishwa Skafu na Kijana wa UVCCM wa Wilaya ya Mfenesini Unguja mara baada ya…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, katika hafla ya kuchangia klabu ya Yanga, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es…
NA Khalfan Said MSEMAJI Mkuu wa serikali, Dkt. Hassan Abbasi ameupongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma (PSSSF) kwa kuanza vizuri…
************************ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amevitaka vilabu vya soka nchini kutumia vema fursa ya kuwa na mashabiki wengi katika kuvifanya viweze kujitegemea kiuchumi. Waziri…
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiipongeza Benki ya CRDB, kwa kuwa Benki ya mfano kwa kutoa gawio la…