SERIKALI YAIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KUKUZA VIWANDA NCHINI
Serikali imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa…
Serikali imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa…
📌Ujenzi wafikia asilimia 94.9 📌Aagiza Mkandarasi kumaliza jengo la abiria ndani ya siku 45 za kimkataba Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika…
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, ametembelea na kutoa…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira na Mahusiano Deus Sangu(kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Kazi na Uwekezaji wa Serikali ya…
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya kamati hiyo TMA. …
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati wa kumbukizi ya miaka mitano…
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Mhe. Florent Kyombo ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za…
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Katibu Tawala Msaidizi , Uchumi na Uzalishaji , Mkoa wa Pwani, Shangwe Twamala, amewataka maafisa ugani mkoani humo kuwafikishia wakulima…
Happy Lazaro,Arusha Arusha .Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao kwa kufanya oparesheni, misako na doria katika maeneo…
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya elimu, Utamaduni na Michezo Mhe. Husna Sekiboko amekitaka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili…
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akipokea tuzo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri, kama ishara ya…
Na Maelezo Zanzibar 17/03/2026 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza ujenzi na utanuzi wa hospitali ya Rufaa Mnazi Mmoja ili kuimarisha huduma za afya…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (kushoto) akitoa ufafanuzi wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo ilipotembelea…
Na WMJJWM – New York, Marekani Tanzania imeimarisha upatikanaji wa haki kwa wanawake na wasichana ili kufanikisha usawa wa kijinsia na maendeleo endelevu. Hayo…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza mara baada ya kuwasili kwa Kamati…
Na Silivia Amandius Bukoba. Hatimaye jitihada za muda mrefu za wazazi na walezi wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunena, Manispaa ya Bukoba, zimezaa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akitoa salamu za Serikali wakati wa Kumbukizi ya Miaka Mitano ya…
……… Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Watu 527 wamenufaika na huduma za uchunguzi wa afya katika kambi maalumu ya siku tatu iliyofanywa na…
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa,akizungumza katika hafla ya futari ya Madiwani wa Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar…
Serikali imedhamiria kuwa Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) itakuwa mji wa kitaaluma na tiba, ikijumuisha vituo…
Naibu katibu Mkuu (Mazingira) Balozi Baraka Luvanda akiongoza kikao cha uanzishwaji wa Mradi wa kuimarisha jamii na mifumo ikolojia katika katika kustahimili Athari za…
Mkurugenzi wa biashara kutoka Azania benki ,Yahaya Mbanka akizungumza kwenye uzinduzi huo jijini Arusha leo. Mkurugenzi wa kituo cha kimataifa cha mikutano cha AICC…
Na Farida Mangube, Morogoro Serikali imeuagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuandaa mpango na mkakati madhubuti wa kuwezesha makundi mbalimbali mkoani Morogoro kuzalisha nishati…
Sekta ya Maji imepongezwa kwa mafanikio yaliyopatikana kwa utekelezaji wa miaka ishirini ya Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji. Waziri wa Fedha Mhe.…
…….. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na…
Na Atley Kuni, WAF – Morogoro Mkuu wa Huduma za Radiografia kutoka Wizara ya Afya, ndugu Gerald Mrema, amewataka wataalamu wa radiografia kutumia weledi…
Uzuri wa mwanamke siyo sura pekee, bali ni bahati na nyota iliyong’aa. Mimi naitwa Rehema Juma, mzaliwa wa mkoani Tabora, lakini nimeishi miaka mingi…
*Aweka bayana Dhamira ya Serikali ni Kupunguza Magonjwa Yasiyoambukiza. Mkurugenzi wa Huduma za Uhamasishaji wa Afya katika Wizara ya Afya Tanzania, Dkt. Rahma Ahmed…
NA DENIS MLOWE, IRINGA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi kongamano la wadau wa habari, wahariri na waandishi wa habari la…
Mwandishi wa OMH Arusha. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki…
Maisha yanaweza kukubadilisha mpaka ukajisahau kama uliwahi kukaa darasani na kuvaa joho la mahafali. Naitwa Juma, mkazi wa Sakina, jijini Arusha. Licha ya kuwa…
Lindi Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaolenga kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi katika Manispaa ya…
KUKAMILIKA kwa mradi wa ujenzi wa meli nne kubwa za mizigo katika Bandari ya Karema ni fursa kwa wananchi wa mikoa inayopitiwa na Ziwa…