Top Stories
View all
KAMBI YA UPIMAJI AFYA KARIAKOO, WANANCHI WAHAMASISHWA KUJITOKEZA
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam 20/3/2026 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imewahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao katika kambi…
RC CHALAMILA AKABIDHI ZAWADI ZA EID KWA WILAYA 5 DSM
*Asema zawadi hizo ni mkono wa Eid kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt Samia. Mkuu wa Mkoa wa Dar es…
SERIKALI YATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI NISHATI ZA DOLA BIL. 12.9
Washington Dc, Serikali ya Tanzania imetangaza uwepo wa fursa kubwa za uwekezaji katika sekta ya nishati zenye thamani ya dola za Marekani bilioni 12.9,…
RAYMOND HACK: SENEGAL WABAKI MABINGWA AFCON 2025, UAMUZI WA MWAMUZI NI WA MWISHO
Aliyekuwa mwamuzi wa migogoro katika Court of Arbitration for Sport (CAS), Raymond Hack amesema kuwa Senegal inaweza kushinda kesi yao dhidi ya Confederation of…
MKANDARASI ANAYEJENGA BARABARA KUELEKEA UWANJA WA AFCON 2027 ARUSHA HATAONGEZEWA MUDA – PROF. SHEMDOE
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction…
SERIKALI YASAINI MKATABA WA BILIONI 82.9 UJENZI WA BARABARA UWANJA MPYA WA AFCON
*TARURA yaainisha ujenzi wa barabara zenye urefu wa Km. 19 *Mkataba ni wa miezi 13 na itaunganisha barabara kuu ya bypass Arusha Serikali ya…
JESHI LA POLISI MKOANI RUKWA LAWAFIKIA WENYE UHITAJI MAALUM
Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa SACP Shadrack Masija akizungumza wakati wa zoezi la utoaji wa msaada wa vifaa mbalimbali kwa watu wenye kuhitaji.picha…
CCM SIMANJIRO WAENDELEA NA ZIARA
Na Mwandishi wetu, Simanjiro SEKTRETARIETI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, imeendeleza na ziara ya kata mbalimbali ili kushukuru, kusikiliza…
LUGARI AMCOS YANUNUA GARI LA KUBEBA MAZAO YA WANACHAMA NA WAKULIMA WENGINE,SERIKALI YAPONGEZA KWA HATUA KUBWA YA MAENDELEO
Afisa ushirika kutoka Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Ashura Mponda kulia,akikabidhi funguo ya gari kwa mwenyekiti wa Chama cha msingi cha ushirika Lugari…
MVUA YALETA UHARIBIFU WA BARABARA KATIKA ENEO LA KITASENGWA KATA YA ISAKALILO MANISPAA YA IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa mtaa wa Kitasengwa ulioko katika kata ya Isakalilo manispaa ya Iringa wamesema kuwa wanaishi kwa hofu na uchungu…
UDOM, UNICEF WALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI KONDOA
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Bi. Rose Joseph, akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Bi. Sekela…
WAKULIMA NDOGOWE WAPATIWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI
Na. Fullshangwe Blog, chamwino Dodoma Baadhi ya wakulima na Wanufaika wa mradi wa mashamba ya Serikali ya Jenga kesho iliyobora(BBT)wapatao 300 katika Kijiji cha…
WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI
Na WMA – Dodoma Watumishi wa Wakala wa Vipimo (WMA), wameitikia wito wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
MBUNGE VUNJO APONGEZWA KWA KUSAMBAZA MICHE LAKI TANO YA KAHAWA MOSHI
Na Ashrack Miraji,Fullshangwe Media- Kilimanjaro Wakulima wa kahawa katika Kata za Kilema Kati na Kilema Kaskazini, wilayani Moshi, wamepongeza juhudi za Mbunge wa Jimbo…
WIZARA YA MADINI YAIMARISHA USHIRIKIANO NA TGC KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO TANZANIA
Leo Machi 19, 2026 ujumbe kutoka Wizara ya Madini Makao Makuu ukiongozwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango Augustino Olal umetembelea Kituo cha Jemolojia Tanzania…
POLISI ARUSHA WAGUSA MIOYO YA WATOTO KWA KUWAPA TABASAMU NA MAHITAJI
Katika kuelekea sikukuu ya Eid El Fitri, Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya matendo ya huruma kwa kutembelea vituo viwili vya watoto wenye…
WAZIRI DKT. GWAJIMA KUANZISHA JUKWAA LA MAJADILIANO ENDELEVU YA KISEKTA KUHUSU MIKUTANO YA WIZARA KIMATAIFA
Na WMJJWM New York Marekani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema, Serikali kupitia Wizara anayoiongoza…
NCHIMBI AWASISITIZA VIONGOZI WA DINI KUIMARISHA MAFUNDISHO YA MAADILI KWA VIJANA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufundisha maadili mema kwa…
BWANA HARUSI AZIMIA KUKIMBIA SIKU YA HARUSI BANDS YA KUFICHUA SIRI NZITO YA UCHAWI
Hali ya sintofahamu ilitanda katika kijiji kimoja mkoani Morogoro baada ya bwana harusi kudaiwa kutaka kutoroka dakika chache kabla ya kufunga ndoa. Tukio hilo…
MFANYABIASHARA AFICHUA SIRI YA KUWASHINDA WASHINDANI WAKE SOKONI
Mfanyabiashara mmoja kutoka Dar es Salaam ameibua mjadala baada ya kufichua kile alichodai kuwa siri ya mafanikio yake makubwa katika biashara. Akiwa awali akipambana…
RAIS SAMIA ALIVYOITOA WIZARA YA MAJI KUTOKA KUWA KERO NA LAWAMA HADI FARAJA
Na: Dk. Reubeni Lumbagala Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji…
WANANCHI BUKOMBE WAPANDA MITI 200 KUADHIMISHA SIKU YA MISITU DUNIANI
Wahimizwa kuitunza kwa manufaa ya uchumi na mazingira BUKOMBE, Machi 19, 2026 — Wananchi, wanafunzi na walimu wa Kata ya Busonzo, Kijiji cha Idoselo…
MWILI WA MWANAUME WAOKOTWA MAGUGU, WANANCHI WAISHI KWA HOFU
Na John Walter-Babati Tukio la kusikitisha limeutikisa wakazi wa eneo la Magugu, wilayani Babati mkoani Manyara, baada ya mwili wa mwanaume ambaye bado hajatambulika…
MKUMBO AONGEZA NGUVU USHIRIKIANO WA UWEKEZAJI TANZANIA NA SHANDONG, CHINA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Biashara wa Jimbo la Shandong,…
KAMATI YA TAMISEMI YAPITISHA RANDAMA YA BAJETI YA OWM – TAMISEMI NA KUELEKEZA KULETA TABASAMU KWA WANANCHI
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imepitisha Randama ya Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida na Mpango…
KIRUSWA AINGILIA MGOGORO MGODI WA AMAZONITE KARATU, ASISITIZA UZINGATIAJI SHERIA
Aelekeza utaratibu wa ulipaji deni la Sh1.4 bilioni* *Aipa Zhao Hao masharti ya kutimiza usalama wa mgodi ndani ya wiki mbili* 📍 Karatu,…
SIMBA SC YAPOTEZA POINTI MWANZA
Simba SC imeshindwa kuibuka na ushindi baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya…
TUNAIMARISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI UMEME KUKIDHI MAHITAJI YA UCHUMI UNAOKUA- MHANIDISI MRAMBA
New Delhi, India Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ameieleza Jumuiya ya kimataifa kuwa Tanzania inaendelea…
TRA DODOMA YATOA MKONO WA EID KWA WATOTO YATIMA, YAIMARISHA UPENDO NA MSHIKAMANO
DODOMA, 09 Machi 2026 Kaimu Meneja wa Mkoa wa TRA Dodoma, Bw. Obrey Sillayo, akiambatana na Kaimu Meneja wa Huduma kwa Mlipakodi pamoja na…
SERIKALI YASISITIZA KUONGEZA USHIRIKI WA WASICHANA KATIKA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
Na WMJJWM – New York, Marekani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Mhe. Anna Athanas, amesema ni muhimu kuondoa vikwazo…
HOSPITALI YA JWTZ TABORA YATOA MSAADA
Maafisa na Askari wa Hospitali ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Kanda ya Tabora (ZMH-Tabora)iliyopo Kambi ya Mirambo wametembelea vituo vya kutunza…
BUWASA YAPANDA MITI 1,000 KULINDA VYANZO VYA MAJI KAGERA
Na Silivia Amandius. Bukoba. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA) imeendelea na juhudi za kulinda mazingira kwa kupanda miti katika vyanzo…
MFALME WA SWEDEN AMUAGA BALOZI MATINYI
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Mfalme wa Sweden, Carl XVI Gustaf, wakati alipokwenda kumuaga…