ESPERANCE MABINGWA WA AFRIKA,WAICHAPA 1-0 WYDAD CASABLANCA
WENYEJI Esperance wamefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco bao pekee la…
WENYEJI Esperance wamefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco bao pekee la…
NAIBU Waziri wa Maji Jumaa Aweso ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) kushoto akipata futari na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji…
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati wa kikao cha dharura na Wakurugenzi wa Taasisi na Idara mbalimbali za Wizara ya…
***************************************** Shirikisho la mpira wa miguu hapa nchini TFF limeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Romario Sports 2010 limited kwa ajili utengenezaji…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akizungumza na , Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Malawi,…
*************************************** NA MWAMVUA MWINYI, KIBITI MKUU wa mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo amemuelekeza mkurugenzi wa halmashauri ya Kibiti pamoja na mkuu wa wilaya…
Mmoja wa wafanyakazi wa TPDC akimuelezea Waziri Angela Kairuki namna wanavyojitahidi kufanya kazi katika shirika hilo katika maadhimisho ya miaka 50 ya shirika la…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi Ruth Msafiri, Kamanda wa Jeshi la…
Mwili wa kiongozi wa zamani wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Etienne Tshisekedi umewasili mji mkuu wa Kishasa. Mwili huo ambao…
Madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Okoa Moyo…
NJOMBE Waziri wa ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEM Selemani Jafo amefanya ukaguzi katika mradi wa ujenzi wa kituo…
Na GB Pazzo, BMG Waziri wa Madini, Doto Biteko ameshuhudia makabidhiano ya mali ikiwemo dhahabu iliyokamatwa katika Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, ikisafirishwa kinyume na…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Willium Mahalu akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu…
Moja ya dhumuni kuu la tovuti yetu ya Kandanda.co.tz ni kusheherekea mafanikio ya watu ambao wanafanya vizuri katika ulimwengu huu wa soka kwa Tanzania.…
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na wadau walioudhuria futari iliyoandaliwa na shirika la Okoa Moyo wa…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba John Kabudi (Mb.) akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wabunge wakati wa…
Na Frank Mvungi- MAELEZO Thamani ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imefikia Trilioni 5.8 hali inayoonesha kuwa mfuko huo unaendelea kuimarika…
Na Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma. Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Vyuo na Taasisi za Elimu na Mafunzo…
Na Ahmed Mahmoud Arusha Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za jumuiya ya Afrika mashariki wamekutana kwa siku mbili Jijini Arusha na wametia saini…
MTOTO MMOJA AITWAYE MARIAM KANIZIO, MSUKUMA, MIAKA 12 MWANAFUNZI WA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KIGONGO FERRY, ALIUWAWA KWA KUCHINJWA/KUKATWA SHINGONI NA…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akipewa zawadi ya fimbo mara baada ya kuvishwa vazi aina ya kikoi ikiwa ni ishara…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu waandishi wa Habari, Kama mnavyofahamu kuna zoezi linaendelea la kusajili namba za simu kwa kutumia mfumo wa…
Waziri Mkuu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na , Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Malawi, Ben Botolo baada ya kuwasili…
– Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jafo (kushoto) akimkabidhi mkataba wa utekelezaji wa mradi wa…
Kada wa CCM na Mwanachama Philipo Mwakibinga niliyetokea upinzani na kujiunga na chama hicho amesema ipo tofauti kubwa kati ya Chama cha mapinduzi CCM…
Mwenyekiti wa baraza la elimu ya Ufundi NACTE John Kondoro, kulia akimuelekeza jambo Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe.Wiliam Ole Nasha katikati,…
Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Wiliam Mwegoha,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufanya ziara ya kujionea…
**************************** Na Dennis Buyekwa Katika kuhakikisha inatoa huduma bora na yenye viwango, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi…
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Innocent Bashungwa (Mb) akijibu swali bungeni leo tarehe 31 Mei 2019 wakati wa mkutano wa kumi na tano wa Bunge…
Michuano ya kombe la Dunia vijana wenye umri chini ya miaka 20, Norway wameilaza Honduras goli 12-0 zaidi kuna kijana kafanikiwa kuingia kambani mara…
*********************************** Klabu ya Inter Milan inayoshiriki ligi kuu ya Italia maalufu Seria A imemtangaza aliyekuwa kocha wa Chelsea Antonio Conte kuwa kocha wao mpya…
Na Mwandishi Wetu. MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Rwanda, Meddie Kagere ameibuka kinara katika tuzo za Mo Simba kwa kushinda tuzo mbili – Mchezaji Bora…
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, amefunga rasmi mashindano ya michezo kwa shule za Sekondari (UMISSETA 2019) Mkoani Shinyanga, na kuwataka washindi…