Top Stories
View all
WAKALA WA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR (ZFDA) WAPIGA MARUFUKU CHOKLET NA JUISI FRUT ZILIZOMO KWENYE VIFUNGASHIO AINA YA BOMBA LA SHINDANO
Mkurugenzi Idara yaUdhibiti Usalama wa Chakula (ZFDA) Dr. Khamis Ali Omar akitoa taarifa kwa wandishi wa habari ya marufuku ya uzaji wa choklet na…
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA TANZANIA BARA PHILIP MANGULA ATOA ONYO KWA WANA CCM
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Tanzania Bara, Philip Mangula akihutubia juzi wilayani Ikungi mkoani Singida katika mkutano wa kuwapongeza Wana CCM wa…
UBA GROUP TO PROJECT AFRICAN ENTREPRENEURS TO THE GLOBAL MARKET VIA ITS SECURED ECOMMERCE PLATFORM-UBA MARKETPLACE
************ AND EMMANUEL MBATILO On UBA Marketplace, there are different ways to sell your products such as listing on the marketplace, offering deals or…
AWESO ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATENDAJI RUWASA
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akiwa kwenye chumba cha pampu za kusukumia maji za Mradi wa Maji wa Chankorongo katika Halmashauri…
NGOMA AFRICA BAND NA CD YAO MPYA AWAMU YA TANO HAPA KAZI
Si wengine ni hile bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni ,inayoongozwa na mwanamuziki Kamanda Ras makunja wenye…
Naibu Waziri Shonza Awataka Walimu wa Michezo kupata Mafunzo katika Chuo cha Michezo Malya
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza akizungumza na wanamichezo (hawapo pichani) Julai 23,2019 wakati wa alipofungua wa mashindano ya mpira…
WAPUUZENI HAO WANAOTAKA KUKIVURUGA CHAMA CHETU-DK.BASHIRU
Na.Alex Sonna,Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Bashiru Ally,leo ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuwapuuza wale watu wanaoendeleza…
MWANDISHI WA HABARI ASHEHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUWAPA ZAWADI AKINA MAMA WALIOJIFUNGUA HOSPITALI YA MKOA WA SHINYANGA
Mwandishi wa habari wa kituo cha matangazo Radio Faraja FM Stereo iliyopo Shinyanga Mjini Josephine Charles, amesheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutoa zawadi…
Tanzania yang’ara mashindano ya Warembo Viziwi Kimataifa
************* Na Mwandishi Wetu MREMBO Winfrida Brayson ameshika nafasi ya kwanza kwenye shindano la Urembo la Mitindo na Utamaduni katika mashindano ya Urembo ya…
Real Betis yanasa saini ya Nabil Fekir
************** NA EMMANUEL MBATILO. Mchezaji huyo amejiunga akitokea Lyon ambapo kiasi cha €20 million kimemvusha boda kutoka nyumbani kwao mpaka Spain ikiwa ni baada…
BALE KULIPWA ZAIDI LIGI YA CHINA
************ NA EMMANUEL MBATILO Baada ya kuondolewa katika mipango na kocha wake kudai hamuhitaji,winga wa Real Madrid na Nahodha wa timu ya taifa ya…
GAVANA SHILATU ATEMBELEA MAGHALA YA UFUTA
*********** Na Mwandishi wetu Mihambwe Afisa Tarafa wa Mihambwe Ndg.Emmanuel Shilatu ametembelea Maghala ya vyama vya msingi yanayopokea ufuta kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani…
WAZIRI MKUU AZIONYA HALMASHAURI ZILIZOLEGA MAKUSANYO YA KODI
************** WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezionya Halmashauri za Wilaya na Manispaa zilizoshindwa kufikisha malengo ya makusanyo ya kodi na kuzitaka zijitathmini ni kwa nini…
ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MTOTO MKOANI MBEYA
*************** Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanamke mmoja ANNA EZEKIA [23], mkazi wa Itumbi Chunya na Igamba Wilayani Mbozi kwa tuhuma za…
EAC Secretariat urges Partner Statesto increase risk and crisis communication measures to keep out Ebola Viral Disease
**************** East African Community Headquarters, Arusha, 22 July 2019: The confirmation of a fatal Ebola case in the Ituri province of the Democratic Republic of Congo…
MATUKIO KATIKA PICHA ZOEZI LA USAJILI WA NGOs KANDA YA KATI
Msajili na Mkurugenzi wa Idara ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao (kulia) akitoa huduma ya kusajili Taasisi chini ya Sheria ya Mashirika…
MKUTANO WA SADC NI FURSA KWA WATANZANIA-MH. BASHUNGWA
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa akielezea faida za maonesho ya wiki ya viwanda kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya…
JESHI LA POLISI DODOMA LANASA MTU MMOJA ALIYETAPELI KWA KUJIFANYA POLISI.
*************** Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Jeshi la polisi mkoani Dodoma limemshikilia RAJAB RAMADHAN[32] aliejifanya askari polisi Kwa kutapeli watu mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa Habari…
MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI MKOANI PWANI AMEZITAKA HALMASHAURI KUFUATA UTARATIBU WA MANUNUZI NA FEDHA
*********** NA MWAMVUA MWINYI,KIBITI MKAGUZI wa hesabu za serikali mkoani Pwani, Hamis Juma amewataka wakuu wa idara ,maofisa ununuzi na wakuu wa vitengo ikiwemo…
WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UJENZI
Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Samson Anga, akifungua semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo wanawake makandarasi wa mikoa ya Kigoma, Tabora, Rukwa na Katavi.…
Mkutano wa ALAT Mwanza
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Majaliwa Kassim Majaliwa akipata maelezo ya huduma za kibenki kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja…
Waziri Mkuu afungua Mkutano Mkuu wa 35 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati Benki ya CRDB (kulia), Boma Raballa, wakati akikagua mabanda, katika mkutano mkuu…
DC NDEJEMBI -RAIS DKT.MAGUFULI ANATEKELEZA KWA VITENDO ALIYOYAAIDI 2015
Na.Alex Sonna,Kongwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe Deo Ndejembi amesema vijana nchini wanapaswa kumuunga mkono Mhe Rais Dk John Magufuli kwa jinsi alivyowaamini…
WAZIRI KALEMANI AIAGIZA TANESCO KUWAPA TRANSFOMA NA MTAMBO WA KUFUA UMEME BURE WABUNIFU WA UMEME NJOMBE
NJOMBE Waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani amewatembelea wabunifu wa umeme walioitwa ikulu kutoka mkoani Njombe na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania…
DC CHAMWINO : VIJIJINI KUNA VIPAJI VIKUBWA MAKOCHA WA TIMU ZA TAIFA WAJE
MKUU wa Wilaya ya Chamwino,Vumilia Nyamoga,ambaye alikuwa mgeni rasmi katika fainali ya Buchimwe Cup 2019 akisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili za Buigiri…
RAIS DKT.MAGUFULI AAGIZA MKURUGENZI MKUU TPDC KUREJESHWA KAZINI
Rais Magufuli ameagiza Dkt. James Mataragio arejeshwe katika nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), baada ya kusimamishwa kazi…
WAZIRI MKUU AAGIZA ENEO LA MNARA WA ZINJATHROPOUS LIBORESHWE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza wakati alipotembelea mnara wa fuvu la binadamu wa kale (Zinjanthropus Boisei), uliliyopo katika bonde la Olduvai-Ngorongoro, Julai 22.2019. Tokea…
PROF.MKENDA:TAMASHA LA URITHI FESTIVAL KUFANYIKA PAMOJA NA JAMAFEST MWAKA HUU
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof.Adolf Mkenda (kulia) akitoa tamko la kuridhia kuunganishwa kwa Tamasha la Urithi Festival kwa mwaka kufanyika…
WAZIRI JENISTA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MTUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akizungumza na waombolezaji wakati alipowaongoza katika Ibada…
KAMILISHENI USAJILI KWA KIPINDI CHA MIEZI MWILI –MSAJILI NGOs
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao akizungumza na vyombo vya habari kuhusu usajili wa Mashirika ambayo hayakusajili kwa Sheria ya NGOs…
Rais Magufuli Atoa Agizo Kero Ucheleweshaiji Vibali NEMC Itatuliwe
Na: Frank Shija – MAELEZO JPM: Rais John Pombe Magufuli metoa agizo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Goerge Simbachawene…
Naibu Waziri Shonza Atembelea Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia) akisalimiana na mwenyeji wake Mratibu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara…
INJINIA MELI YA MV MAPINDUZI AJINYONGA AKIWA SAFARINI
INJINIA msaidizi wa Meli ya MV Mapinduzi inayofanya safari zake Unguja na Pemba, Haji Abdalah Khatib, amekutwa amejinyonga wakati meli hiyo ikiwa safarini kutoka…