Top Stories
View all
RED CROSS LIMETOA MSAADA ZAIDI YA MILIONI 34 KWA KAYA 459 KATA YA KIGOGO NA TANDALE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO
************************* Shirika la Red Cross limetoa msaada wa zaidi ya Sh milioni 34 na huduma za kibinadamu ikiwamo magodoro kwa kaya 459 katika kata…
GAVANA SHILATU AWAPA ZAWADI BODABODA
Na Mwandishi wetu Mihambwe Vijana wengi nchini wamejiajiri katika sekta isiyo rasmi ya uendeshaji wa Pikipiki almaarufu Bodaboda ili kuweza kuyaendesha maisha yao pamoja…
WAZIRI MHAGAMA APOKEA MSAADA WA VIFAA SAIDIZI NA CHEREHANI KUTOKA UBALOZI WA CHINA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza wakati wa hafla fupi…
SIMA-MISITU YA MIKOKO HUSAIDIA KUZUIA MABADILIKO YA TABIANCHI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira, Mhe. Mussa Simma amesema misitu ya mikoko husaidia kuzuia mabadiliko ya tabianchi kutokana na joto…
Serikali Yaja na Suluhisho la Walanguzi wa Tiketi za Mabasi
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuanza kwa majaribio ya Mfumo wa kukata tiketi kwa…
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mtu mmoja ABDALLAH BUSHIRI @ SHIJA [42], mkazi wa Igodima Jijini Mbeya kwa tuhuma za kufanya kazi…
MABORESHO YA MFUMO WA HAKI JINAI YAHAKIKISHE WANANCHI WANAPATA HAKI – LUGOLA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza na Washiriki wa Maboresho ya Mfumo wa Haki Jinai katika Ukumbi wa Mikutano wa…
TANESCO KANDA YA KASKAZINI YAWAKUTANISHA WAMILIKI WA VIWANDA PAMOJA NA WAWEKEZAJI
NA GLADNESS MUSHI, ARUSHA Shirika la umeme Tanesco kanda ya kaskazini leo limewakutanisha wamiliki wa viwanda ,wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa mikoa ya kanda…
JUMLA YA WANANCHI 13,234 WAMEFIKIWA NA ELIMU YA MADHARA YA MIMBA ZA UTOTONI HAPA NCHINI
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma Hayo yamesemwa leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya jamii,jinsia wazee na watoto Dokta Faustine Ndugulie wakati akijibu…
MWENYEKITI WA KAMATI YA UONGOZI YA MKURABITA BALOZI OLE NJOLAY AWAKABIDHI WANANCHI WA MPENDAE ZANZIBAR HATI ZA ARDHI NA KUWATAKA KUZITUMIA KUOMBEA MIKOPE BANK
Mwenyekiti wa Kamati ya uongozi ya (MKURABITA ) Balozi mstaafu Daniel Ole Njolay akimkabidhi Bw. Said Yahya Mkaazi wa Mpendae Hati yake ya Ardhi…
WANANCHI WATAKIWA KUJENGA UTARATIBU WA KUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA
MKUU wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza wakati wa uzinduzi wa tiba ya bure kutoka kwa madaktari na wauguzi kutoka nchi Mbalimbali…
TANAPA YADHAMIRIA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII KANDA YA KUSINI NA KUWA KINARA NCHINI
******************* NJOMBE Shirika la hifadhi ya taifa TANAPA kanda ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania imezitaja changamoto za miundombinu,elimu duni pamoja na…
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI NA RAIS WA JAMHURI DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA MAADILI NA USALAMA PAMOJA NA KAMATI KUU LUMUMBA DSM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Maadili…
NAIBU SPIKA DKT. TULIA AZINDUA KITABU CHA “VIWANDA: MOVING TANZANIA FORWARD” KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI JIJINI DODOMA
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na waheshimiwa wabunge, watumishi wa Ofisi ya Bunge na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa…
TANESCO KANDA YA KASKAZINI YAWAKUTANISHA WATEJA WAKUBWA NA WAWEKEZAJI KUJADILI CHANGAMOTO ZINAZOWAKUMBA
mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akifungua mkutano washirika hilo na wateja wakubwa wa nishati ya Umeme kanda ya kaskazini meneja wa shirika…
MAFUNZO YA MAWAKILI WA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA KUHUSU NAMNA YA KUKABILIANA NA RUFAA ZA UCHAGUZI, HAKI ZA BINADAMU NA MADAI KWA JAMII
Jaji Mkuu mstaafu Mh.Auguistine Ramadhan, akiongea na wanahabari pamoja na mawakili mbalimbali katika mafunzo kwa mawakili yalioandaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za…
BODI ZA HOSPITALI ZA RUFAA ZATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali za Rufaa za Mikoa wakiwa katika kikao kazi Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Afya akisema jambo…
Penye Ukweli Uongo Hujitenga
Na Mwandishi wetu Waswahili husema penye ukweli, uongo hujitenga. Usemi huu umedhihirishwa hivi karibuni na Jarida la Kimataifa la Forbes Africa juu ya uwezo…
SPIKA NDUGAI AKABIDHI UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA RAIS MAGUFULI CAIRO NCHINI MISRI
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika, Mhe. Balozi Aboubakr Mahmoud ambae…
MA -DC MKOANI PWANI WAAGIZWA KUANZA UTEKELEZAJI WA CHF ILIYOBORESHWA HADI IFIKAPO JULAI 31 -NDIKILO
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO SERIKALI mkoani Pwani,amewaagiza wakuu wa wilaya mkoani humo, kuhakikisha wanaanza utekelezaji wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii ulioboreshwa (CHF)kuanzia…
RC SHIGELLA AWATAKA MABAHARIA KUIMARISHA ULINZI ILI KUDHIBITI UINGIZWAJI WA DAWA ZA KULEVYA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya siku ya mabaharia duniani ambapo yanafanyika kwenye viwanja vya Lamore Jijini Tanga…
Prof. Kabudi Ahudhuria Mkutano wa Waratibu wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Nchi za Kiafrika zimeiomba China kuhakikisha kuwa ufadhili ama mikopo inayotoa kwa Nchi za Kiafrika inalenga katika miradi…
Mini Grids Have Potential to Bring Electricity to Half a Billion People, According to New World Bank Study
***************** WASHINGTON, June 25, 2019— Mini grids, previously viewed as a niche solution, can provide electricity to as many as 500 million people by…
Tigo yazindua mtandao wa 3G Longido
Meneja wa Tigo kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo (kushoto) akiongea na wananchi wa Longido mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa mnara mpya ulio ongezewa…
Idara ya Habari (MAELEZO) Maelezo Zanzibar
Mjasiriamali Chum Makame Chum akielezea changamoto wanazokutana nazo katika utendaji wa shughuli zao kwa Kamati ya Uongozi ya MKURABITA ikiwa ni mwendelezo wa ziara…
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA,DKT ALLAN KIJAZI AWAVISHA VYEO ASKARI UHIFADHI WAKUU NA WAANDAMIZI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)Dkt,Allan Kijazi akikagua Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya programu ya kuvalisha Vyeo Askari Uhifadhi…
MWANZA YAZIDI KUTAMBA SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2019
Beki wa Mwanza Wallace Paulo akipiga mpira kuelekea lango la timu ya Pwani wakati timu hizo zilipokutana jana kwenye uwanja wa chuo cha ualimu…
RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK. SHEIN AKITOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA DR. BADRIA NA KUHUDHURIA HITMA MASJID MAAMUR UPANGA JIJINI DAR ES SALAAM
MWAKILISHI wa Familia ya Marehemu Dr. Badria Abubakar Gurhan akitowa shukrani kwa Wananchi na Viongozi wa Serikali kujumuika katika msiba wa ndugu yao Dr.…
NAHODHA WA NEYMAR, COUTINHO ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA SC
Beki Mbrazil, Gerson Fraga Vieira (kulia) akisaini fomu za mkataba wa kujiunga na Simba pembeni ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya klabu, Zacharia…
MRADI WA MAJI LAMADI WAFIKIA HATUA ZA MWISHO
Washirika wa maendeleo wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji Serikalini. Katikati waliokaa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Emmanuel Kalobelo;…
TANESCO Yatenga Tshs. Bilioni 400 Kupeleka Umeme kwenye Maeneo Yaliyopitiwa na Miundombinu
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, akizungumza wakati wa Majumuisho ya Semina ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti iliyohusu miradi…
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGE LAPITISHA BAJETI KUU YA SERIKALI YA SH. TRILIONI 33.1 KWA KISHINDO
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akifanya majumuisho ya mjadala wa Bajeti Kuu ya mwaka 2019/20 kabla ya kupitishwa…
Matukio Katika Picha Ziara ya Viongozi wa TAGCO na Idara ya Habari MAELEZO Jijini Dodoma
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bi Sarah Kibonde akisisitiza umuhimu wa maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kutumia mbinu…