TAKUKURU PWANI YABAINI MAPUNGUFU MIRADI YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 800-SUZAN
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Pwani, imebaini mapungufu kwenye miradi ya maendeleo mitatu yenye thamani ya…
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Pwani, imebaini mapungufu kwenye miradi ya maendeleo mitatu yenye thamani ya…
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samuel Jeremia Opulukwa (kulia) akisikiliza maelezo kuhusu chumba cha upasuaji kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt…
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akitoa maneno ya ukaribisho kwa wageni waliohudhuria shughuli hiyo ya uzinduzi katika Wilaya ya Shinyanga. Mkuu…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa nchi wanachama…
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya ccm…
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akisaini kitabu cha wageni baada ya kumaliza ziara yake ya kukagua…
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Kushoto) akifurahia jambo na Mkuu wa Wilaya Karagwe Mhe.Godgrey Mhehuka katikati ni Katibu wa CCM wilaya ya…
MKURUGENZI wa Maendeleo ya jamii kutoka Wizara ya Afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto, Patrick Golwike,akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya…
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Jamhuri ya Czech watafuta fursa za biashara na uwekezaji nchini Tanzania Ujumbe…
HALMASHAURI ya Wilaya Mvomero mkoani Morogoro imesema asilimia 30 kati ya asilimia 33 ya bajeti ya halmashauri hiyo inategemea mazao ya kilimo na hasa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafungwa, Mahabusu, pamoja na Askari wa Jeshi la Magereza katika…
Kaimu Mtakwimu Mkuu wa Serikali Abdul Rauf Ramadhan Abeid akitoa hotubaya makaribisho katika mkutano wa Uwasilishaji wa Ripoti ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo…
***************** Na Emmanuel Mbatilo MSANII wa kizazi kipya hapa nchini Bensoni Wiliam maalufu Bensoni wa hauzimi jana aliweza kumzika mwanae kipenzi ambaye umauti ulimfika…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua Tuta la Sehemu inapojengwa Chelezo kubwa yenye uzito wa Tani 4000…
Naibu Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso,akizungumza katika kikao kazi cha Mameneja wa Mikoa na Wilaya wa Wakala wa Majisafi, Usafi na Mazingira Vijijini…
Na. Edward Kondela Serikali imesema wadaiwa wote waliowekeza katika ranchi za taifa zinazomilikiwa na Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) walipe madeni yao kabla…
Msajili na Mkurugenzi wa Idara ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao (kushoto) akitoa huduma ya kusajili Taasisi chini ya Sheria ya Mashirika…
………………………… Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, ametoa miezi mitatu kwa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kutopeleka magari ya Serikali…
Makamuwa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Iddi alisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua pamba wakati alipotembelea ghala la Chama cha Msingi cha cha Ushirika cha kijiji cha Mwabakima wilayani Igunga akiwa katika…
Ernest Mintah Mkurugenzi wa Shirikisho la wadau wa Korosho Afrika (African Cashiew Alliance) akizungumza katikia mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika leo kwenye hoteli…
Mratibu wa Kitaifa wa Mradi katika taasisi ya Great Hope, Noelle Mahuvi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mafunzo ya malengo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuonesha ishara ya uzinduzi rasmi wa miradi 7 yenye jumla…
***************** Wakati Taifa linajiandaa kwenda katika Uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa, Wito umetolewa kwa wananchi kuhakikisha wanatumia haki yao ya msingi kwa…
Diwani wa kata ya Mwangata katika Halmashauri ya manispaa ya Iringa Nguvu Chengula akiwa amepiga magoti kuomba wanachama wa vikundi vya ujasiliamali vya umoja…
Askofu Mkuu wa Kanisa la TAG Dkt.Barnabas Mtokambali akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi uliopo hoteli ya Cordo Spring Jijini Arusha. Mhubiri…
Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo, Ushauri na Utafiti, Dkt. Faraja Chiwanga wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akizungumza kabla ya kufungua mafunzo ya upandikizaji…
Sehemu ya jengo linalotoa huduma ya Tiba za Saratani pamoja na Kiwanda Kidogo cha Oxygen huduma ambayo inapatikana pekee katika hospitali hiyo. Rais wa…
************** NA EMMANUEL MBATILO Kocha wa muda wa timu ya Taifa Stars ameweka wazi kikosi cha Wachezaji 26 kitakacho jiandaa na mchezo dhidi ya…
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Kilakala, akizungumza katika uzinduzi wa Ilala ya Kijani. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM, Tabia Mwita akiwa…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mikokoteni iliyosheheni pamba wakati alipotembelea ghala la Chama cha Msingi cha Ushirika cha kijiji cha Mwabakima wilayani Igunga alikofanya…