TBS YATEKETEZA CHAKULA NA VIPODOZI FEKI ZENYE THAMANI YA ZAIDI MILIONI 21.8
Na Alex Sonna, Dodoma SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa za chakula na vipodozi visivyokuwa na ubora kilo 837,075.07 zenye thamani ya…
Na Alex Sonna, Dodoma SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa za chakula na vipodozi visivyokuwa na ubora kilo 837,075.07 zenye thamani ya…
SARE ya Yanga SC imefufua Matumaini ya kutinga hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika baada ya kutoka sare ya kufungana…
………………… Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini, amewataka watendaji wa madawati ya jinsia ndani ya Jeshi la Polisi nchini…
……………….. MKAZI wa Mkoa wa Ruvuma, Ndugu Bernard Mwingira ameuaga umasikini baada ya kuibuka mshindi wa ‘Jackpot’ na kujinyakulia kiasi Cha Sh 250,000,000 kupitia…
Na. WAF, Hanang Serikali imesema Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii wametoa elimu kwa Familia zaidi ya 760 juu ya kutumia dawa ya kutibu…
Katibu Tawala wilaya ya Kishapu Fatma Mohamed akizindua zoezi la upandikizaji Vifaranga vya Samaki katika Bwawa Jipya la Mwang’olo. Muonekano wa Vifaranga…
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Twins Auction Mart wakitoa vitu vya wadaiwa sugu katika eneo la Area D jijini Dodoma ikiwa ni mwendelezo wa opareshini…
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka(Mwenye suti nyeusi kushoto) akiwa pamoja na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Iringa, Dkt.…
Na Sophia Kingimali,Dar es salaam. MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othman Masoud Othman ameyataka mataifa ya Afrika kuharakisha uwekaji…
Wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi wakifuatilia wasilisho kuhusu Wajibu wa Benki Kuu katika kukuza usalama wa taifa lililotolewa na Meneja, Utafiti kutoka…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Makamu wa Pili wa…
Mwenyekiti wa Bodi ya Hazina Saccoss Bw. Afrikar Tonono (kushoto), akikabidhi viti mwendo 15 kwa Kaimu Mkurugenzi Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dkt. Kessy Shija,…
Na Ahmed Mahmoud Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha kimepongeza waandaaji wa mbio za Mount Meru Marathon Kwa kujitolea vifaa mbalimbali kusaidia Uzazi Salama…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) akimsikiliza Katibu Mkuu wa Secretarieti ya Soko Huru la Pamoja…
Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe ,akikagua Gwaride wakati akifunga mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa (JKT), kundi maalum BBT Jenga kesho iliyo bora…
Na Sophia Kingimali WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye amezitaka kampuni zinazoshughulika na Teknolojia ya Habari Mawasiliano(TEHAMA) kuona jinsi ya kuongeza…
Balozi wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo maalumu ya ubunifu na ujasiriamali yaliyoandaliwa na shirika la maendeleo la Kimataifa…
Na WMJJWM, Dar Es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameielekeza Taasisi ya Ustawi wa…
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdurahman Kinana amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama Cha SWAPO cha Namibia (kushoto)…
NA VICTOR MASANGU,PWANI Mamlaka ya mapato Tanzania ((TRA) Mkoa wa Pwani imesema kwa sasa bado inakabiliwa na changamoto ya wimbi la baadhi ya watu…
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na mafunzo ya Amali Zanzibar Khamis Abdulla Said akijadili jambo na Mkurugenzi wa TAMWA Zanzibar Dkt. Mzuri Issa katika…
Waziri Mkuu, KASSIM MAJALIWA akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye baada ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuzungumza na wananchi kwenye uwanja wa…
Shirika la mazingira na maendeleo EMEDO limeutambulisha mradi wa kuzuia watu kuzama maji katika Ziwa Victoria kwa wadau mbalimbali wa uvuvi mkoani Mwanza. …
Na; Mwandishi Wetu – Bujumbura, BURUNDI Maonesho ya 23 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi/Jua Kali…
Ashrack Miraji Same Kilimanjaro Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya SAME Cde.Azza Karisha amehitimisha mashindano ya SAMIA CUP…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimsikiliza Balozi Mpya wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Mhe.Yahya Ahmed…
NA DENIS MLOWE, IRINGA Kampunk ya Qwihaya General Enterprises Co. Ltd imeng’aa baada ya kunyakua Tuzo la kuwa mlipa kodi Bora kwa mwaka 2023.…
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Magomeni kata ya Majimaji wilayani Tunduru. Mafundi wakiendelea na ujenzi wa vyumba vipya vya madarasa katika shule…
NJOMBE, Muungano wa vikundi vya wakulima wa Miti Tanzania TTGAU wenye vikundi 154 nchi nzima kwa kushirikiana na shirika la Chakula Duniani FAO umefanya…
Na OR-TAMISEMI, Dodoma Serikali imevitaka vyuo vyote nchini kujiendesha kibiashara badala ya kutegemea ruzuku ya fedha za matumizi yao kutoka Serikali Kuu. Akihutubia katika…
Vinara 16 wa Kupambana Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia 2023. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Shirika la Wanawake katika Sheria…
Na Sophia Kingimali,Dar es salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe amesema serikali imejipanga kuwasaidia wanawake katika biashara ikiwemo kuwapa mitaji na…
Ferdinand Shayo ,Manyara Kampuni ya kuzalisha mbegu ya Zam Seed imetoa msaada wa tani 2 za mbegu za mahindi ili kuwasaidia wakulima walioathiriwa…