Top Stories
View all
DKT. MWIGULU KUMWAKILISHA RAIS SAMIA ,MAZISHI YA LUKUVI
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Machi 31, 2026 amewasili Iringa Mjini akiwa njiani kwenda Idodi kumuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mazishi…
RAIS SAMIA AIPONGEZA NA KUIELEKEZA PPRA, NeST YAOKOA ZAIDI YA SH. BILIONI 13.5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kwa kusimamia kwa…
DKT. SUBI: WANANCHI JIUNGENI NA BIMA YA AFYA KUEPUKA GHARAMA KUBWA ZA MATIBABU
Na. Fullshangwe Blog Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ili kujiweka tayari pindi wanapougua wao au ndugu zao ambao…
TANZANIA, ZAMBIA KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA KIMKAKATI SEKTA YA MADINI
*Lengo ni kusafirisha tani milioni 2.4 kwa mwaka *Lengo ni kupunguza muda wa usafarisha madini kutoka siku14 hadi siku 5 Kitwe – Zambia Serikali…
WIZARA YA MADINI YAKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA KUJADILI FURSA ZA USHIRIKIANO SEKTA YA MADINI
* Ni Kampuni ya Liaoning Fangda Group yenye Mtandao Mpana wa Uwekezaji Duniani * Ni Wawekezaji wa Kimataifa Wenye Uzoefu katika Chuma, Madini na…
MPANJU APONGEZA DAWATI LA HUDUMA USTAWI KWA KUWAHUDUMIA WATU 99
Na WMJJWM Morogoro Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju, amepongeza kazi inayofanywa na Dawati la…
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 13 WA AMANI, ULINZI, USALAMA NA SERA ZA MAMBO YA NJE EAC
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu…
WANANCHI IDODI WAMLILIA LUKUVI
……. Wananchi wamlilia aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani Marehemu…
MHANDISI SAMAMBA ASISITIZA KUIMARISHWA USIMAMIZI WA USALAMA SEKTA YA MADINI
📍Mwanza Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba, amewataka watendaji wa Tume ya Madini hususan Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa kuimarisha usimamizi…
STAMICO, PLANET ONE ZASAINI MKATABA WA KIHISTORIA UCHIMBAJI MADINI YA KINYWE MIRERANI
*Dkt. Kiruswa ashuhudia Utiaji Saini Mkataba wa Kinywe Mirerani* *Dkt. Mwasse: STAMICO kuendelea kuvutia mitaji na uwekezaji katika sekta ya madini Nchini* *Mbibo: Wizara…
MANISPAA YA KIBAHA YANUNUA MAGARI 7, YALENGA KUONGEZA UFANISI NA UKUSANYAJI MAPATO
Mwamvua Mwinyi-Kibaha Machi 30,2026 Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imenunua magari saba yenye thamani ya Sh bilioni 1.356 kupitia bajeti ya mwaka wa fedha…
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
Waswahili husema “Dunia ni jumba la maajabu ” Ngorongoro haiishiwi maajabu , Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya…
CAG: DENI LA SERIKALI BADO NI HIMILIVU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)…
WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA WAHITAJI DODOMA
…….. Katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Wakala wa Vipimo (WMA) imetoa misaada ya vifaa vya ujenzi wa jiko la kisasa katika…
SERIKALI YASUKUMA UCHUMI REJESHI KUPUNGUZA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na.Sophia Kingimali. Wakati dunia ikiendelea kukabiliwa na ongezeko la taka, Tanzania imeanza kuchukua hatua madhubuti kubadili changamoto hiyo kuwa fursa ya kiuchumi kupitia mkakati…
SEKTA BINAFSI YATAJWA KUOKOA MPANGO WA UMEME WA 2050
Na.Sophia Kingimali. Wakati Tanzania ikiweka malengo makubwa ya kufikia uzalishaji wa takribani megawati 70,000 za umeme ifikapo mwaka 2050, wadau wa maendeleo wameanza kuangazia…
WAZIRI ULEGA AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA UJENZI KUONGEZA UWAJIBIKAJI NA UFANISI
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega, akizungumza na watumishi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi jijini Dodoma,…
TANZANIA YAHIMIZA MATUMIZI YA AI KUIMARISHA MTANGAMANO WA MAENDELEO EAC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika…
JK. NA FAR CITY AFRIKA KUSINI
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Panel…
MIXX BY YAS YAZINDUA WAKALA APP, UBUNIFU UNAOBADILI MFUMO WA UENDESHAJI WA MAWAKALA TANZANIA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mixx by Yas, Angelica Pesha akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa kwa…
YAS YASOGEZA HUDUMA KARIBU KWA WATEJA KUPITIA UFUNGUZI WA DUKA JIPYA SGR DODOMA
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri (katikati), akikata utepe kuzindua rasmi wa duka la Yas katika kituo cha SGR jijini Dodoma jana,…
ASKOFU MSTAAFU WA JIMBO KUU KATOLIKI IRINGA TARCISIUS NGALALEKUMTWA AWAFARIJI WAUMINI: “KIFO SI LAANA, NI WITO WA MUNGU”
NA DENIS MLOWE, IRINGA ASKOFU mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Iringa, Tarcisius Ngalalekumtwa, ametoa ujumbe wa faraja kwa waumini akihubiri kuwa kifo cha mwanadamu…
WENGI WAMNENEA MAZURI MHESHIMIWA WILLIAM LUKUVI — VIONGOZI, WANASIASA, WASANII NA WAFANYABIASHARA WATOA POLE NA SIFA KWA KAZI ZAKE
NA DENIS MLOWE, IRINGA MAMIA ya wananchi, viongozi wa dini, siasa, biashara na sanaa wamejitokeza kumuenzi maisha na mchango wa aliyekuwa Waziri wa Nchi…
MHANDISI MLAVI: ASILIMIA 87 YA BARABARA ZA KITAIFA ZIKO IMARA
Na. Meleka Kulwa- Fullshangwe Blog, Dodoma Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Ephatar Mlavi, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya…
TAKUKURU YAOKOA BILIONI 14.5, YABAINI MIANYA YA RUSHWA MIRADI YA TRILIONI 14.3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Mwaka ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na…
WAZIRI MAVUNDE: MAKAA YA MAWE NI NGUZO MUHIMU KUKUZA UCHUMI NA VIWANDA
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, akizungumza na wadau wa makaa ya mawe wakati wa kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Tume ya Madini jijini…
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MEWATA, AUNGA MKONO MKUTANO MKUU WA MADAKTARI WANAWAKE AFRIKA KUFANYIKA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na uongozi wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA)…
MISA YA KUOMBEA NA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MHE. LUKUVI – IRINGA
Misa Takatifu ya kuuaga Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo…
APONA TATIZO KUBWA LILILOKUWA LINATIA DOA FAMILIA YAKE KUBWA
Naitwa Grace, mkazi wa mkoa wa Mtwara. Mume wangu ni kiongozi mkubwa katika sekta ya bandari na anaheshimika sana. Lakini ndani ya chumba chetu…
FEDHEHA MA- GENZ WALIOMUIBIA MAMA MBOGA LAKI MOJA WAVULIWA NGUO HADHARANI BAADA YA KUSHINDWA KUKIMBIA
Kulikuwa na vurugu kubwa katika soko moja maarufu jijini Mwanza baada ya kundi la vijana wanaojulikana kama “ma-genz” kunaswa wakijaribu kumlaghai mama mboga na…
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MHE. WILLIAM VANGIMEMBE LUKUVI MKONI IRINGA
IRINGA, 29 Machi, 2026 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), akiambatana na viongozi mbalimbali wa Chama na…
KAMANDA JONGO AFUATILIA ZOEZI LA KUFUKUA MGODI WA MSASA, BUKOMBE
BUKOMBE, GEITA Machi 29, 2026 — Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, akiwa na Kaimu Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa…