MIRADI YA KIMKAKATI INAYOENDELEA KUTEKELEZWA MKOANI MWANZA KUFUNGUA UTALII WA KANDA YA ZIWA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na wananchi kuhusu faida za miradi ya kimkakati kukuza utalii wa Kanda ya…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na wananchi kuhusu faida za miradi ya kimkakati kukuza utalii wa Kanda ya…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Dkt. Angeline Mabula amewataka wanawake kujiamini na kutumia fursa mbalimbali zinazowazunguka ili kujiimarisha kiuchumi badala ya kuendelea kulalamika…
Majengo pacha ya mama na mtoto pamoja na upasuaji katika kituo cha afya Liganga Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma yakiwa yamekamilika kwa asilimia…
Wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wasindikizaji wa wenzao waliopanda Mlima Kilimanjaro, wakiwashangilia wenzao waliopanda na kushuka Mlima huo kwa siku Saba, katika…
******************* NA EMMANUEL MBATILO KLABU ya Yanga imeondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mara baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka…
Mwanahabari Frank Mbunda, enzi za uhai wake Na Dotto Mwaibale Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Frank Mbunda amefariki dunia leo Oktoba 16, 2022 Hospitali ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Jumamosi, 15 Oktoba, 2022 alizindua kituo cha kupokea, kupoza na kusafirisha umeme mkubwa…
Mrajis wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt Benson Ndiege akizunguma katika kongamano la wanawake lililofanyika Malaika Beach Resort jijini Mwanza Katikati Mheshimiwa Waziri…
i Na Oscar Asssenga, Tanga, AFISA Masoko kutoka Kampuni ya Agricom inayojihusisha na uuzaji na usambazaji wa zana…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kipande cha reli cha majaribio wakati alipokagua maendeleo ya Ujenzi wa kipinde cha Isaka – Mwanza cha Reli ya…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM, Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Runzewe wakati akihitimisha ziara yake Mkoani Geita tarehe 16…
***************** NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa timu ya…
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) (katikati), akizungumza jambo na Mkurugenzi anayesimamia masuala ya masoko ya mitaji, maendeleo ya Nishati na…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipozindua Jengo la Huduma ya Macho katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando jijini Mwanza, Oktoba 16,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Profesa Makame Mbarawa pamoja na…
Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele tarehe 14 Oktoba 2022 mkoani Kagera, zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko…
*Ampa Kongole kwa kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan…
Na Neema Chalila Mbuja,JNHPP Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua…
********************* Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa TARURA…
Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi PURA wakiwa katika kikao kilicholenga kujadili taarifa za utekelezaji wa Taasisi hiyo kwa mwaka 2021/22 na robo…
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu akiongoza Kongamano la kumbukizi ya miaka 23 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa ,Mwalim Julius Nyerere lililofanyika…
Mjasiriamali Saimon Sirilo. Kwa kushirikiana na Shirika la Restless Development linalofanya kazi na Vijana tumeshiriki katika maadhimisho ya wiki la vijana na kuweza…
Wanamuziki wakitumbuiza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Muziki Duniani yaliyofanyika wilayani Karatu mkoani Arusha Oktoba 1, 2022.. Wasanii wa kikundi cha Ngoma…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Zambia zimesaini Mkataba wa Kubadilishana Wafungwa na Mkataba wa Utatu kati ya…
********************** Na Shamimu Nyaki- India Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Pauline Gekul ameipongeza timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17…
Mwakilishi wa Afisa elimu msingi wa Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma Sister Krisima Ngonyani,akizungumza na wanafunzi wa darasa la nne wa shule ya…
Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia…
DAR ES SALAAM. Tume ya vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kukamilika kwa Udahili kwa Awamu ya Nne na ya mwisho kwa ngazi ya Shahada…
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akipokea cheti cha tuzo ya “Benki Bora Tanzania” kutoka kwa Mwanzili na Mhariri Mtendaji wa…
Mgeni Rasmi Mganga Mkuu Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile ( wa pili kulia),Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Little Treasures, Paul Ikelege na…
OR -TAMISEMI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha za ujenzi wa ofisi za wafanyabiashara wadogo (machinga) kwa…
TANZANIA imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda Uwanja wa Abebe Bikila…
TANZANIA imeonyesha uimara katika michuano ya Kombe la Dunia Wasichana U17 baada ya kuwachapa Ufaransa mabao 2-1 leo katika mchezo wa Kundi D Uwanja…