Friday, May 15, 2026

Top Stories

View all
“NDOTO YA SAMIRA” YATOA FUNZO KWA WANAFUNZI.

“NDOTO YA SAMIRA” YATOA FUNZO KWA WANAFUNZI.

Mchezaji wa Filamu ya “Ndoto ya Samira”Samira Masoud akieleza dhamira ya kucheza filamu hiyo. Afisa Elimu Mwandamizi Makumbusho ya Taifa Anamery Bageny akizungumzia namna…

WAZIRI MKUU AKIWA ZIARANI MKOANI  KAGERA

WAZIRI MKUU AKIWA ZIARANI MKOANI KAGERA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Uongozi wa Kiwanda cha Kagera Sugar, wakati alipofanya ziara ya kukagua upanuzi wa mashamba ya miwa na mitambo…

WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI MPITIMBI WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA BWENI LA KISASA,WALIMU WASEMA LIMEHAMASISHA WATOTO KUPENDA SHULE IKILINGANISHWA NA MIAKA YA NYUMA

WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI MPITIMBI WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA BWENI LA KISASA,WALIMU WASEMA LIMEHAMASISHA WATOTO KUPENDA SHULE IKILINGANISHWA NA MIAKA YA NYUMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma Neema Maghembe, akizungumzia juu ya ujenzi wa miundombinu ya elimu hususani bweni la wanafunzi wa shule za Sekondari Mpitimbi kata ya Mpitimbi ambapo Serikali imetumia kiasi cha Shilingi milioni 80 kumaliza tatizo la malazi kwa wanafunzi wa kike wa shule hiyo. Bweni jipya lililojengwa na Serikali kupitia Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma likiwa limekamilika na kuanza kutumika na wanafunzi wa kike wa shule ya Sekondari ya Mpitimbi ambalo limegharimu Sh.milioni 80 ikiwa ni jitihada za Serikali ya awamu ya sita ya kuboresha na kuimarisha miundombinu ya elimu kwa shule mbalimbali hapa nchini. Baadhi ya walimu na wanafunzi wa shule ya Sekondari Mpitimbi wakiwa katika picha ya pamoja. moja kati ya…

BUGINGO AWAFUNDA MAAFISA HABARI PWANI

BUGINGO AWAFUNDA MAAFISA HABARI PWANI

Na Victor Masangu,Pwani  Maafisa Habari wa Halmashauri za Mkoani Pwani pamoja na Waandishi wa habari wametakiwa kuwa wazalendo na kutumia kalamu zao kwa weledi…

TANZANIA MGUU SAWA KUIKABILI UFARANSA

TANZANIA MGUU SAWA KUIKABILI UFARANSA

Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 (Serengeti Girls) jioni ya  Oktoba 14, 2022 wamefanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wao na…