Friday, May 15, 2026

Top Stories

View all
SBL KUGAWA MBOLEA BURE KWA WAKULIMA SONGWE

SBL KUGAWA MBOLEA BURE KWA WAKULIMA SONGWE

Kaimu Meneja wa Kampuni ya Mbolea Tanzania Kanjel Mloba akimpongea Mkurugenzi wa Kampuni ya Utengezaji Mbolea ya SBL kutoka Kenya Joe Kariuki katika maonyesho…

NHC KUENDELEZA NYUMBA ZAKE ZILIZOCHAKAA

NHC KUENDELEZA NYUMBA ZAKE ZILIZOCHAKAA

Na Mwandishi Wetu, SHIRIKA la Nyumba (NHC),linatarajia kuanza kubomoa nyumba zilizochakaa katika maeneo ya Kariakoo na Posta jijini Dar es Salaam pamoja na kuendeleza…

DC KISWAGA VIJANA RUDINI SHAMBANI KUNALIPA

DC KISWAGA VIJANA RUDINI SHAMBANI KUNALIPA

  Mkuu wa wilaya ya Kahama Festo Kiswaga akiongea kwenye kipindi cha Morning Talk cha radio Ebony Fm juu ya kuwahimiza vijana kuchangamkia fursa…

TASAF HALMASHAURI YA SONGEA KUTUMIA FEDHA ZILIZOOKOLEWA KUJENGA NYUMBA YA MGANGA

TASAF HALMASHAURI YA SONGEA KUTUMIA FEDHA ZILIZOOKOLEWA KUJENGA NYUMBA YA MGANGA

Baadhi ya walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini katika kijiji cha Mpitimbi B Halmashauri ya wilaya Songea wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Neema Maghembe(hayupo pichani)wakati akitoa taarifa ya ujenzi wa nyumba ya mganga inayotarajiwa kujengwa katika Hospitali ya Halmashauri hiyo ambapo zaidi  ya Sh.milioni 68 zitatumika. Afisa mtendaji wa kijiji cha Mpitimbi B  Halmashauri ya wilaya Songea Naomi Julius akitoa taarifa ya utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini wanaopokea ruzuku kutoka mfuko wa maendeleo ya jamii nchini Tasaf. Afisa  ufuatiliaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini mkoa wa Ruvuma Edwin Mlowe akizungumza katika hafla ya kukabidhi kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mganga wa Hospitali ya Halmashauri ya wilaya Songea itakayojengwa katika kijiji cha Mpitimbi B kutokana na fedha zilizookolewa kwenye kazi za ajira ya muda. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Songea Neema Maghembe akizungumza katika hafla hiyo, Katibu Tawala wa wilaya ya Songea Pendo Daniel akizungumza na wananchi na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma kabla ya kukagua eneo litakojengwa nyumba ya Mganga wa Hospitali ya Halmashauri  kijiji cha Mpitimbi B. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma Menas Komba akimuonesha Katibu Tawala wa wilaya ya Songea…