RAIS SAMIA AKUTANA NA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mzee…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere Mzee…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation, Dkt. Ellen Mkondya – Senkoro akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Jukwaa la kumbukizi ya…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiongea katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu ushiriki wa Tanzania…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini (CDF) Jenerali Venance…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akifungua kongamano maalum la Viongozi wa dini la kuhamasisha sensa…
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Ali Said Nyanga akizungumza na watendaji wa kada mbalimbali za Afya wakati akifungua mkutano maalum wa watendaji…
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Beda Chamatata akizungumza wakati akizindua Mafunzo Tepe (Soft Skills) kwa Makundi Maalumu ya Vijana Wenye Ulemavu, wanaoishi na…
Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Juni 2022 akifanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore Mheshimiwa Dkt.…
Mwonekano wa banda la TFRA wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Ushirika Duniani yanayofanyika kitaifa mkoani TaboraNaibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde (wa pili…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Juni 2022 akizungumza wakati wa mkutano wa viongozi…
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Jonathan Budenu akizungumza wakati wa kutoa taarfa ya hali ya huduma za afya na miradi…
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akizungumza na wanafunzi wa kozi ya awali ya askari Polisi inayoendelea katika uwanja wa medani…
Na John Walter-Manyara Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amewataka wananchi kujitokeza kuwaandikisha watoto wao wenye umri chini ya miaka mitano kupata vyeti…
Mgeni Rasmi katika warsha hiyo ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera akiwa meza kuu pamoja Mkurugenzi wa Utekelezaji na Uzingatiaji…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe.Amos Makalla akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 29,2022 katika Ofisi za Habari Maelezo JNICC Jijini…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, Bungeni jijini Dodoma, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza…
MUONEKANO wa sehemu ya Barabara ya Mchoteka-Masuguru-Marumba wilayani Tunduru yenye urefu wa km 17 iliyojengwa na Wakala wa Barabara za mijini na vijijini(Tarura)wilaya ya…
Na Lucas Raphael Morogoro Mabadiliko ya Tabia Nchi yamezifanya Taasisi zinazozalisha Mbegu,zinazofanya tafiti na uthibiti ubora ziweke mikakati ya kuongeza uzalisha wa Mbegu bora…
Na Mwandishi Wetu, LA, California Wasanii mbalimbali wa Tanzania hasa wa muziki na filamu wameahidiwa kufunguliwa milango zaidi katika soko na kiwanda kikubwa zaidi…
Afisa Wanyamapori wilaya ya Tunduru Limbega Hassan akitoa taarifa ya matukio ya wanyamapori waharibifu kwa Mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro(hayupo pichani)aliyetembelea ujenzi wa kituo cha askari wa wanyamapori kinachojengwa katika kijiji cha Chingulungulu kata ya Muhuwesi. Kaimu Mkuu wa idara ya maliasili na mazingira wilaya ya Tunduru Omben Hingi akitoa taarifa ya ujenzi wa kituo cha askari wa wanyamapori kwa Mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro wa pili kushoto kinachojengwa katika Chingulungulu wilayani humo. Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro akizungumza na viongozi wa kijiji cha Chingulungulu na kata ya Muhuwesi alipotembelea kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kituo cha askari wa wanyamapori katika kijiji cha Chingulungulu wilayani humo. Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Julius Mtatiro, akisikiliza maelezo ya ujenzi wa kituo cha askari wa wanyamapori kutoka kwa fundi wa mradi huo Shaban Allai wakati mkuu huyo wa wilaya alipotembelea kuangalia ujenzi wake. Picha zote na Muhidin Amri ……………….. Na Muhidin Amri, Tunduru SERIKALI kupitia mamlaka ya usimamizi wanyapori Tanzania(Tawa) kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya Tunduru,imeanza kujenga kituo kikubwa cha askari wa wanyamapori ili kudhibiti wanyama wakali na waharibifu wanaovamia makazi ya watu na kuharibu mazao mashambani. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa idara ya maliasili na hifadhi ya mazingira wilaya ya Tunduru Ombeni Hingi,kwa mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro aliyetembelea ujenzi wa kituo hicho kinachojengwa katika kijiji cha Chingulungulu kata ya Muhuwesi. Hingi alisema,lengo la kujenga kituo hicho ni katika jitihada za Serikali za kudhibiti na kukabiliana na changamoto kubwa ya wanyama hao hasa Tembo wanaotoka porini na kwenda kwenye makazi ya watu. Alisema,wilaya ya Tunduru ni miongoni mwa maeneo yenye changamoto kubwa ya wanyama wanaohatarisha maisha ya watu na kuharibu mashamba,hivyo Serikali imeona ni vyema kujenga kituo hicho ambacho kitakuwa na askari watakaofanya kazi ya kudhibiti wanyama hao. Kwa mujibu wa Hingi,walifanya jitihada mbalimbali kuomba msaada katika taasisi,idara za Serikali na zisizo za Serikali ili kuwasaidia kukabiliana na wanyama hao,lakini wizara ya maliasili na utalii kupitia Tawa ndiyo waliokubali kutoa Sh.milioni 80 kwa ajili ya kujenga kituo hicho. Alisema,kwa sasa Halmashauri ya wilaya Tunduru kupitia idara ya maliasili inakabiliwa na changamoto kubwa ya vitendea kazi na watumishi ambao wako tisa(9) tu hivyo ,hawawezi kutokana na tatizo kubwa la wanyama hao katika wilaya ya Tunduru. Alisema,kujengwa kwa kituo hicho na vituo vingine vidogo vitakavyojengwa hapo baadaye ambavyo vitakuwa na askari wengi kutaongeza nguvu katika jitihada za kukabiliana na wanyamapori. Kwa upande wake Afisa Wanyamapori wa wilaya hiyo Limbega Hassan alisema,kijiji cha Chingulungulu na kata ya Muhesi ni maeneo yenye changamoto kubwa ya kuvamiwa na wanyamapori mara kwa mara. Alisema,kujengwa kwa kituo hicho katika kijiji hicho ni kama bahati kwani kuna maeneo mengi yenye uhitaji wa askari wa wanyamapori na kuwaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa askari watakaoletwa ili waweze kutekeleza majukumu yao badala ya kuwaogopa. Diwani wa kata ya Muhuwesi Imani Ngonyani amehaidi kutoa ushirikiano wa hali na mali kwa fundi aliyepewa kazi ya kujenga kituo hicho na hata kwa askari watakaoletwa kwa ajili ya kusaidia wananchi kukabiliana na wanyama hao. Mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro,ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa usikivu wake na kuleta fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho ambacho kitakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa Tunduru katika kudhibiti matukio ya kushambuliwa na Tembo. Alisema,tatizo la wananchi kushambuliwa na tembo katika maeneo yao limekuwa kubwa kutokana na wilaya hiyo kwa sehemu kubwa kuzungukwa na Hifadhi ya Nyerere yenye wanyama wengi wakali na waharibifu wa mazao.…
Naibu Waziri wa Kilimo na Umwagiliaji Anthony Mavunde akifungua Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) ambayo mwaka huu yanafanyika Kitaifa katika viwanja vya…
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Profesa Riziki Shemdoe (mwenye suti nyeusi na tai katikati) akiwa katika picha…
……………….. Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania, Dkt Noel Lwoga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan…
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande akijibu swali Bungeni jijini Dodoma *************** Na Farida Ramadhani, WFM Serikali imeeleza kuwa bidhaa za…
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akihitimisha hoja kabla ya kupitishwa kwa Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2022, Bungeni jijini Dodoma.Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan…
Mratibu wa Utafiti wa zao la Korosho Kitaifa kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Naliendele, Dk. Geradina Mzena akizunguza katika hafla fupi ya…
PICHA mbalimbali za matukio ya ziara ya mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge alipotembelea baadhi ya miradi ya barabara zinazotekelezwa na TARURA pamoja…
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Bi. Zuhura Yunus pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Waziri wa Nishati,…
*********** Klabu ya Simba imemtangaza Zoran Manojlovic (Zoran Maki) raia wa Serbia ?? kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua mikoba ya Pablo Franco.…
Mkuu wa Mkoa Singida Dk.Binilith Mahenge akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Misigiri kilichopo Kata ya Ulemo wilayani Iramba mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza…
************************** Na John Walter-Manyara Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, kwa pamoja na wadau mbalimbali wameanza kampeni maalum ya…
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Venance Mabeyo,akimsikiliza Mkurugenzi wa SUMA JKT Kanali Petro Ngata,kabla ya kuzindua jengo la Kitega Uchumi la ghorofa tano lililojengwa…
NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe.Omary Kipanga, akizungumza na wazazi wa shule za msingi za kata ya Ipagala kwenye hafla ya kuwapongeza walimu…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe, leo Juni 28 akifungua kikao kazi Cha wataalami wa TEHAMA katika Wizara ya Afya.…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akiwa katika mazungumzo na Viongozi wa Umoja…