Top Stories
View all
MBUNGE SILLO AMSIFIA RAIS SAMIA KWA BAJETI KUU YA 2022/2023.
………………………………. Na John Walter-Babati Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Daniel Sillo amempongeza Rais…
WAZIRI UMMY AZINDUA MITAMBO YA KUZALISHA HEWA TIBA
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akizindua mitambo ya kuzalisha hewa tiba ya Oksjeni iliyogharimu bilioni 1.5 ambapo zimetumika kununua mitambo, gari ya kusambazia mitungi…
MANYARA WACHANJA UVIKO-19 NYUMBA KWA NYUMBA
…………….. Na Joseph Lyimo, Mbulu Ili kuhakikisha Mkoa wa Manyara, unapiga hatua kubwa kwa wananchi wake kushiriki chanjo ya UVIKO-19 na kujikinga na maambukizi…
DKT. BITEKO AFAFANUA UCHIMBAJI MADINI KWENYE MAENEO YA HIFADHI
WAZIRI wa Madini, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa maeneo yaliyopo kwenye hifadhi bado yanatafutiwa ufumbuzi ili wachimbaji wa madini waweze kuchimba na kunufaika na…
COSTECH KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WABUNIFU NCHINI.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania -COSTECH Dkt Amos Nungu akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea na kuzungumza kwenye Banda…
SERIKALI YATOA VIFAA MTAJI KWA VIKUNDI VYA VIJANA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 371
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa mtaji kwa…
SAO HILL MAJANGA YA MOTO YAMEPUNGUA KWA KIASI KIKUBWA MUFINDI.
Mhifadhi mkuu Msaidizi Tarafa ya nne Mgololo,Lukiko Maiila akiongea na waandishi wa habari wakati wa usahili wa vijana 49 wa kupandana na majanga ya…
MBARAWA AAGIZA SHERIA YA MAJENGO YA SERIKALI KUKAMILIKA HARAKA
Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Mbunifu Majengo, Edwin Nnunduma akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi…
NAIBU WAZIRI GEKUL: TUMEJIPANGA KUENDELEZA MASHINDANO YA UTAMADUNI KILA MWAKA
*************************** Na Eleuteri Mangi, WUSM-Dar es Salaam Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul amefungua mashindano ya Utamaduni yanayohusisha ngoma na…
CHONGOLO AKUTANA NA MABALOZI WATANO CHI ZA KISINI MWA AFRIKA
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi tano za Kusini mwa Bara la…
DMI YAWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Kelvin Kalumuna, Mkufunzi Msaidizi kutoka chuo cha bahari Dar es Salaam, akitoa huduma Kwa mteja aliyetembelea katika banda la chuo cha bahari Dar es…
WAFANYAKAZI BODI YA MAJI BONDE LA PANGANI WAFANYA USAFI CHANZO CHA MAJI MTO NGARENARO
Afisa mazingira bodi ya maji blonde la Pangani ,Felista Joseph akizungumza katika maadhimisho hayo jijini Arusha Afisa afya Kenneth Twinzi akizungumza katika kilele cha…
BUWASA KAGERA YAJIPANGA KUONDOA KERO YA MAJI WILAYA YA KARAGWE.
Na Silvia Mchuruza,Bukoba Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Karagwe ikiongozwa na Mhe. Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mwl.Julieth Binyura ikiwa pamoja…
WAOGELEAJI 200 KUWANIA VIKOMBE,MEDALI MASHINDANO YA TAIFA YA KUOGELEA
…………………….. Na Mwandishi wetu-Dar es Salaam Jumla ya waogeleaji 200 chipukizi kutoka klabu tisa za mchezo kesho Jumamosi Julai 2 wataanza kushindania medali na vikombe…
WAZIRI AWESO AZINDUA BODI YA NNE YA MAJI YA TAIFA JIJINI DODOMA
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya nne ya Maji ya Taifa iliyofanyika jijini Dodoma . Naibu Waziri…
MHE. JENISTA AZINDUA HUDUMA YA HEKIMA BANKING TABASAMU LA KUSTAAFU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WASTAAFU IKIWEMO KUTAPELIWA MAFAO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na watumishi wanaotarajia kustaafu, wastaafu na watendaji…
WAWEKEZAJI KUTOKA FALME ZA IMARATE WATUA NJOMBE KUWEKEZA VIWANDA VYA NYAMA,KILIMO CHA PARACHICHI
Na Joctan Agustino,NJOMBE Ikiwa siku chache zimepita tangu rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan afanye ziara ya kikazi katika nchi…
GGML YAAHIDI KUENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI
Meneja Mwandamizi wa masuala ya ubia kutoka GGML, Manace Ndoroma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa Kampeni…
MILIONI 495 ZATUMIKA KUFUNGUA BARABARA MPYA NAMTUMBO,TARURA WAISHUKURU SERIKALI KUTOA FEDHA ZA UJENZI WAHAIDI KUJENGA MIRADI YENYE VIWANGO
Daraja la mto Lumbegea linalounganisha kijiji cha Miembenina kijiji cha Likuyumandela lililojengwa na Tarura wilaya ya Namtumbo likiwa limekamilika na kuanza kutumika. Mhandisi wa…
RC SINGIDA ATAHADHARISHA WANANCHI KUTOUZA CHAKULA OVYO, HALI NI MBAYA
Mkuu wa Mkoa Singida Dk.Binilith Mahenge akizungumza na Wananchi wa Ikungi mkoani humo katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero zao na kuzitafutia…
BODI YA WADHAMINI TANAPA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MIRADI YA UVIKO- TARANGIRE
Na. Catherine Mbena/TARANGIRE Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), ilikagua na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya uboreshaji wa…
DC KISSA GWAKISA AMSAIDIA ADA MWANANCHI ALIYEJITOLEA UTENDAJI WA KIJIJI MIAKA 12
************************ NJOMBE Mkuu wa wilaya ya Njombe Kissa Gwakisa Kasongwa amejikuta katika simanzi na kuahidi kugharamia masomo ya mkazi mmoja wa Kijiji Cha Mtanga…
WAZIRI NDUMBARO AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI UJENZI JENGO LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
WAZIRI wa Katiba na Sheria Dk.Damas Ndumbaro, akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Mradi wa ujenzi wa Jengo la Ofisi ya…
WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTUMIA KALAMU ZAO KUIELIMISHA JAMII MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa akizungumza wakati wa kufungua maadhimisho ya siku ya kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya yaliyoandaliwa…
RAIS SAMIA SULUHU AMUAPISHA JENERALI JACOB JOHN MKUNDA KUWA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI (CHIEF OF DEFENSE FORCES-CDF) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akimvalisha Cheo kipya cha Jenerali Jacob John Mkunda kabla…
MENEJIMENTI YA WIZARA YA NISHATI YAKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA JNHPP
Wajumbe wa Menejimenti ya Wizara ya Nishati wakiwa katika picha ya pamoja katika eneo la Tuta Kuu la Bwawa baada ya kufanya ziara ya…
TFRA YAANZISHA MFUMO WA KIELEKTONIKI KURAHISISHA HUDUMA KWA WATEJA WA MBOLEA
Kaimu Meneja wa TEHAMA na Takwimu Maafisa kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania –TFRA Salehe Kejo akizungumza katika banda lao kwenye Maonyesho ya…
HALMASHAURI YA JIJI DAR ES SALAAM KUPOKEA UGENI KUTOKA UJERUMANI
Waandishi na baadhi ya wafanyakazi wa Halmashauri ya jiji wakufuatilia kwa makini mkutano huo wa wanahabari ambao umefanyika jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa…
UHURU WA UHARIRI UNAINGILIWA – WAKILI MARENGA
HATUA ya mhariri wa chombo cha habari kuelekezwa na serikali taarifa ya kuchapisha, kama ilivyolekezwa na kifungu cha cha 7 (2) (b) cha sheria…
VIJANA MKOA WA SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MIKOPO KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bw. Julius Tweneshe akizungumza wakati wa…
UWEKAJI VIGINGI PORI LA LOLIONDO HAUTOATHIRI MAENDELEO YA WANANCHI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema zoezi la uwekaji wa vigingi katika eneo la kilometa za mraba 1,500 la Pori Tengefu la Poloreti-Loliondo ambalo limekamilika kwa asilimia 100 halitoathiri maendeleo ya wakazi waishio kwenye eneo…
KAMATI-TENDAJI YA EACO YAJIDHATITI KUKUZA SEKTA YA MAWASILIANO, AFRIKA MASHARIKI
Na Mwandishi Wetu / Zanzibar Kamati-tendaji ya Umoja wa Mawasiliano Afrika Mashariki (EACO) imejipambanua kukuza sekta ya mawasiliano Afrika Mashariki; mkakati uliowekwa bayana kwenye…
DKT KIJAZI ATAKA WATAALAMU WA UTHAMINI KUJITATHMINI KATIKA UTENDAJI KAZI
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Allan Kijazi akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Wataalamu wa Uthamini Juni 30,…