MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI KUFANIKISHA SENSA 2022
Rais Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano TCRA, Bi. Lucy Mbogoro kwenye banda…
Rais Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano TCRA, Bi. Lucy Mbogoro kwenye banda…
Tanzania na Iran zimekubaliana kuibua maeneo mapya ya ushirikiano katika sekta za biashara, kilimo, masoko, utalii, uwekezaji, afya, madini, nishati na utaalamu. Hayo…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa wadau wa kupokea maoni kuhusu Sera ya Taifa ya Sayansi,Teknolojia na…
GARI likishusha Vipodozi na bidhaa zilizoisha muda wake katika Dampo la Chidaya jijini Dodoma ambavyo vimeteketezwa na Shirika la Viwango (TBS) Kanda ya kati …
************************** Kassim Nyaki, NCAA Uboreshaji wa huduma za kijamii katika Kijiji cha Msomera Handeni Mkoani Tanga umeendelea kuvutia wananchi wanaoishi eneo la Hifadhi ya…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Thomas Laban akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Peramiho ambao tayari walikuwa wamehesabiwa katika zoezi la sensa ambalo…
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akikagua tofali zinazotumika katika ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari kata ya Paramawe Wilaya ya Nkasi Leo…
******************** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo: Amemteua Bw. Peter Ilomo kuwa Mwenyekiti wa Kamati…
********************** Na Farida Mangube, Morogoro MENEJIMENTI ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira Mkoa wa Morogoro, (MORUWASA) imewaondoa hofu wananchi wa Kata…
Mfamasia wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele, Neema Nagu akizungumza na wandishi WA habari Kando ya mkutano wa 10 wa…
******************* Na John Walter-Babati Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa Babati Abdulrahmani Kololi ameiagiza Halmashauri hiyo kuwaondoa mbwa wanaozagaa mtaani ovyo kwa kuwaua. Amesema…
************************* 27 agost Na Mwamvua Mwinyi,Kisarawe Jeshi la polisi Mkoani Pwani linamshikilia mtu mmoja mwanaume miaka 32 msanii na mkazi wa Sanze kata ya…
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Ujumbe kutoka uturuki wakishirikiana na Miko wakijadili upatikanaji wa huduma ya Afya ikiwemo dawa na Vifaa Tiba…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Sheikh.Gurudev Sri Sri Ravishankar, (kulia kwa Rais)…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto wa mtaada wa Mbuyu…
********************* NJOMBE Mkazi wa kijiji cha Ilunda Bwana Seveline Kaduma aliyekuwa anagomea zoezi la sensa ya watu na makazi kwa kile alichodai serikali imeshindwa…
************************* Na John Walter-Babati Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Daniel Sillo ametoa mabati 600 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa miradi ya elimu…
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida, Victorina Ludovick (aliyesimama) akichangia jambo katika moja ya mikutano ya kuhamasisha matumizi ya Lishe bora kwa watoto mkoani…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Katibu Mkuu wa umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe.…
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la usimamizi wa mazingira na maendeleo Tanzania (EMEDO),Editrudith Lukanga akizungumza na waandishi wa habari mkoani Arusha. Baadhi ya Wafanyabiashara wa …
Kanisa Halisi la Mungu Baba lililopo Namanga Tegeta Dar es salaam limeandaa sherehe ya kumletea Matunda Chanzo Halisi ya Shamba lake. Akizungumza jana na…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, akizungumza wakati wa ziara ya Manaibu Makatibu Wakuu…
Mkurugenzi wa Kitengo cha Diaspora, Mhe. Balozi James Bwana na Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali, Bw. Alfred Shao wakibadilishana Hati ys Makubaliano…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchini Iran …
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete (kushoto) akimsikiliza Meneja wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), Fuad Abdalla kuhusu maboresho yanayofanyika stesheni…
Kamishina Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Bw. Filippo Grandi yupo nchini tokea tarehe 24 Agosti 2022 kwa ziara ya…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Butengo baada ya kuzindua mradi wa maji katika…
…………………….. Na John Walter-Babati Mbunge wa jimbo la Babati Vijijini Mheshimiwa Daniel Sillo, amesema ndani ya kipindi cha miaka miwili akiwa madarakani yapo mambo…
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga (kushoto) akipokea Kompyuta mpakato kutoka kwa Mkurugenzi Mkaazi Shirika la Mpango…
Rais wa Chama cha Wafamasia nchini [PST], Fadhili Hezekiah akizungunza Katika semina ya waandishi wa habari iliyofanyika Chuo Kikuu Kushiriki Cha Sayansi (MUHAS) Muhimbili…
**************** Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 15 kwa ajili ya kununua magari yatakayo pelekwa kwa Makamanda wa…
MAMLAKA ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Morogoro, imewafikisha mahakamani watuhumiwa sita kwa makosa matatu likiwemo la kushindwa kuomba kusajiliwa kwenye kodi ya ongezeko…
************************** Na Farida Mangube, Morogoro MAMLAKA ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Morogoro, imewafikisha mahakamani watuhumiwa sita kwa makosa matatu likiwemo la kushindwa kuomba…