RAIS SAMIA AZINDUA UMEME WA GRID NA KUZIMA UMEME WA JENERETA MKOANI KIGOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria kuzima Majenereta na kuzindua umeme wa Gridi ya Taifa kwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria kuzima Majenereta na kuzindua umeme wa Gridi ya Taifa kwa…
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Mavere Ali Tukai,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Utekelezaji wa Shughuli mbalimbali za Taasisi hiyo na mwelekeo…
Maandalizi ya maonesho ya Maadhimisho ya Kitaifa ya Juma la Elimu ya Watu Wazima 2022 yanaendelea katika viwanja vya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu…
Wataalamu wa upasuaji moyo na mishipa ya damu kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka Shirika la Mending Kids…
Mnufaika wa SDF katika sekta ya Uchukuzi akitoa elimu kuhusu matengenezo ya pikipiki na bajaji aliyopata kupitia ruzuku ya SDF. ***************** Mamlaka ya Elimu…
MKUU wa wilaya ya Pangani Ghalib Ringo akizundua mradi wa kuhamasisha uwajibikaji wa Jamii na Mamlaka husika katika kuboreshga Elimu na elimu Jumuishi kwenye…
Watumishi wa Chuo cha sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Almasi wa Mwadui…
Balozi wa Tanzania nchini Japan Mhe.Balozi Baraka Luvanda (wanne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa wa ubalozi na wadau wa…
***************** Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura amesema jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimeliwezesha Jeshi…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipotoa zawadi ya sh. milioni moja kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Irugwa wilayani Ukerewe, Leocadia Vedastus (kulia),…
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Kiria Laizer (kushoto) akimkabidhi shilingi 5,000 mwanafunzi wa stashahada ya utunzaji kumbukumbu ya nyaraka katika chuo…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Mpango akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Bi. Grace Makalla ambaye ni…
Mwezeshaji wa mafunzo, Mhadhiri Mwandamizi wa Uchumi, Chuo Kikuu Mzumbe Dkt. Jenipher Sesabo, akitoa mafunzo kwa washiriki.Baadhi ya Washiriki wa mafunzo wakimsikiliza kwa makini…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akivuta kitambaa kuashiria uzinduzi wa Majengo mapya…
Afisa Mtendaji Mkuu, Wakala ya Maabara ya Veterinari (TVLA), Dkt. Stella Bitanyi akimkabidhi moja fimbo za watu wenye ulemavu Katibu wa Chama cha TLB,…
Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya St Mary’s Mbezi Beach jijini Dar es Salaam wafurahia na wenzao kwenye mahafali yao yaliyofanyika shuleni…
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) wameridhishwa na uwekezaji uliofanywa katika kiwanda cha Chai…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na wananchi kuhusu faida za miradi ya kimkakati kukuza utalii wa Kanda ya…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Dkt. Angeline Mabula amewataka wanawake kujiamini na kutumia fursa mbalimbali zinazowazunguka ili kujiimarisha kiuchumi badala ya kuendelea kulalamika…
Majengo pacha ya mama na mtoto pamoja na upasuaji katika kituo cha afya Liganga Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma yakiwa yamekamilika kwa asilimia…
Wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wasindikizaji wa wenzao waliopanda Mlima Kilimanjaro, wakiwashangilia wenzao waliopanda na kushuka Mlima huo kwa siku Saba, katika…
******************* NA EMMANUEL MBATILO KLABU ya Yanga imeondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mara baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka…
Mwanahabari Frank Mbunda, enzi za uhai wake Na Dotto Mwaibale Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Frank Mbunda amefariki dunia leo Oktoba 16, 2022 Hospitali ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Jumamosi, 15 Oktoba, 2022 alizindua kituo cha kupokea, kupoza na kusafirisha umeme mkubwa…
Mrajis wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt Benson Ndiege akizunguma katika kongamano la wanawake lililofanyika Malaika Beach Resort jijini Mwanza Katikati Mheshimiwa Waziri…
i Na Oscar Asssenga, Tanga, AFISA Masoko kutoka Kampuni ya Agricom inayojihusisha na uuzaji na usambazaji wa zana…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kipande cha reli cha majaribio wakati alipokagua maendeleo ya Ujenzi wa kipinde cha Isaka – Mwanza cha Reli ya…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM, Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Runzewe wakati akihitimisha ziara yake Mkoani Geita tarehe 16…
***************** NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa timu ya…
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) (katikati), akizungumza jambo na Mkurugenzi anayesimamia masuala ya masoko ya mitaji, maendeleo ya Nishati na…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipozindua Jengo la Huduma ya Macho katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando jijini Mwanza, Oktoba 16,…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Profesa Makame Mbarawa pamoja na…
Mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2022 zilizofikia kilele tarehe 14 Oktoba 2022 mkoani Kagera, zimefanikiwa kurejesha fedha za mikopo kwa vijana kupitia mfuko…
*Ampa Kongole kwa kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan…